Mm nasemaga ukimuhoji Kiba Mambo yanayo muhusu Ata kujibu vizuri Lakini ya uchonganishi au umbea Awezi kukujibu sasa kunaawandishi Awajui kuuliza mtu Alafu Usipo wa jibu unaonekana eti unadharau,, Waaandishi Wengi wanapenda Udaki kuliko Mambo ya msingi ya kumjenga au kumshauri msanii, KINGKIBA YUKO NOMAL TU MBONA
Anajibu kiakili sana bro safi sana ILA PITIA HAPA KUONA UCHAFU UKIGEUZWA KUWA MAPAMBO YA NDANI!! SUBSCRIBE channel hii kuni sapoti, Bofya picha kushoto.
WATANGAZAJ WA ONLINE TV`s MAJORITY NI WABOVU mpk aibu ..So far this gal she`s` gonna be good bt ryt nw Ana fail ktk kuulza maswal Especially suala la sumu la ommy
Hahahaaa mbona mike haina logo? Maana mziki wa huyo mnaemuhoji siyo wa kawaida. Ange chomoa na umeona hapo kakushangaaa kwanza hadi umepanic Ila kupata interview na huyu jamaa napo ni kipaji. Mmejitahidi
Du yan dina leo sijui kama atalala wallah maana yupo na furaha sana leo kumuhoji kiba yanii namm nimefurah sana dina my lv nakuona had unatetemeka mamy uwiii sema.leo utakuwa unacheka cheka mwenyewe kwa furaha 😂😂😂😂
Kweli Kiba umbea si ndugu yako ww hupendi Kabisa na ndio maana unakwepa maswali mengi alafu watu wanakwambia unamadharau lkn naona media zimeanza kukusoma leo umejibu vzuri sana coz umbea pembeni
Uyo muongo kiba hana wasanii alafu kujielza awezagi puuuuuuuu we mtangazaji toka apo hana nyimbo kabla ajaowa alikuwa atoagi nyimbo anakaA mwaka ad mwaka
king kiba sanaaaa term ikovizuli mwambie sina hataliiiii sana vi2adim wapange vijana moto uwemkaliiii amnakupoa saiv atupoi wala atupyanki kiba kizazi sanaaaa pande mbeya
Jamani uyo mwenye kilemba ni Handsome kiukweli uwa sichoki kuitazama hii video yao ya #MwambieSina kwa sababu yke tuu gonga like km pia wewe Umemuona ni Handsame kuliko Alikiba😁😁😁😁😁
Mm nasemaga ukimuhoji Kiba Mambo yanayo muhusu Ata kujibu vizuri Lakini ya uchonganishi au umbea Awezi kukujibu sasa kunaawandishi Awajui kuuliza mtu Alafu Usipo wa jibu unaonekana eti unadharau,, Waaandishi Wengi wanapenda Udaki kuliko Mambo ya msingi ya kumjenga au kumshauri msanii,
KINGKIBA YUKO NOMAL TU MBONA
Ali. Yupo vizuri sana
Wangapi wamerudia rudia kipande cha mwisho..
Abdulkadir Abubakar mm apaaa
Mm
Nimeshuhudia Interview nyingi za King Kiba huwa hazitendeagi haki ila hii he did great. #kingmusic
Jamani eeh!! Tuongee tuuamalize ila kiba nimaaaaaaaaaaa nampenda bureeeee👏👏🔥🔥🔥🙌🙌
Kumbe kiba akiulizwa maswali pasi na umbea...hua anajibu vizuri pamoja sana king...!!
Abdalla Mwinyi
😀😀😀😀
Kiba hapendi umbea ndio maana watu wengi usema anamadharau coz yy huwa hajibu maswali ya kizushi penda sana Kiba jamani
Kaka anajiweza kweri kazi nzru
Abdalla Mwinyi nice
Eti unamagari mengi sana hii sijui ndo inaitwaje nakuishika kabisa 😁😁😁😁😁hapo ulinchekesha sana ukimhoji king lazima utulize muasho wako wakisimi
Dada haamini kuongea na kingkiba 😂😂😂 keep it up 👏👏👏💥💥💥
Dinny kumbe unajua pa kufanyia umbea hapo kwa Alikiba umetulia 😂😂😂
Kiba anajibu maswali kiakili sana bt wajinga hawaelewag2
Ramadhani Ngalemba hapendi maswali ya kimbea ndio maana watu husema anadharau
Ni mzee wa Kimya Kimyaa huyu..
hahahaa mkali wetu
Kiba hapendagi maneno sana
Ramadhani Ngalemba
YAani kuinterview Kiba ni achievement. Respect the King
saf King hupendag umbea xx aimbe ili iweje..
Anajibu kiakili sana bro safi sana ILA PITIA HAPA KUONA UCHAFU UKIGEUZWA KUWA MAPAMBO YA NDANI!! SUBSCRIBE channel hii kuni sapoti, Bofya picha kushoto.
That we like you king kiba,its because you are very careful to all of your interviews.I salute you Bro
Huyu demu muoga 😂😂😂 kapaniki kinoma
Chezea kiba yoooo mmenda bila mick yenu yenye Dizz angewajua asinge kubali
Hahahhahahah
Kwn anaugomvi na dizzim
Black passy
Abdu asa kicheche anavomuangalia uyo dini
WATANGAZAJ WA ONLINE TV`s MAJORITY NI WABOVU mpk aibu ..So far this gal she`s` gonna be good bt ryt nw Ana fail ktk kuulza maswal Especially suala la sumu la ommy
Unapp muhoji huyu mtu lazima vigezo na masharti vizingatiwe!vinginevyo unaweza jikuta unajihoji mwenyewe 😂😂😂😂😂
Dina nasoro leo huamini kabisa km umemuoji king kiba
😂😁😂😂😂dada kapagawa na gari. umemuhoji dakika chache lakini umechoka, huyo ndio King kiba.
king kiba siyo wa kukurupukia Dina nmpongeza amejitahidi Kwa kumuhoji Na king kiba amemujibu vzr nimependa mahojiano yalimuwepo poa
Dada leo ataota kamuoji ali kiba
munira Hassan hahaha
😂😂😂😂
@@zahararajabu4169 🤣🤣
😂😂dinny bana eti unamagari mengi apo mwisho ujaamini kam umefanya interview na king kiba
😂😂😂😂 nime cheka sna
Hhahhaha yan kachekeshaaa
True 😜😂😂😂😂
Haai
Kwakweli yani kiba yuko vizur ukimuoji unatakiwa uwe na akili nyingi hatakagi maswali ya kijinga huyo yuko tofaut sana na kina fulan
Hehehhe eti unamagari mengi sana kumbe umeyaona we wengine kule wanasema kiba hana magari pumbaaaaaavvvvvvvvv
Nawashangaa niwasenge sana
Yaa naona leo roho ilikuea haipo mwili ndo ulikuwepo mtangazaj maan ulikuwa huamni kam ndo wew unamhoji alikiba😂😂
Hahahaaa mbona mike haina logo? Maana mziki wa huyo mnaemuhoji siyo wa kawaida. Ange chomoa na umeona hapo kakushangaaa kwanza hadi umepanic
Ila kupata interview na huyu jamaa napo ni kipaji. Mmejitahidi
Dina nassor umeenda teuka mshusho mbele ya safari mamaaa huamini kama king angekubali kuongea na ww
Sema alikiba anamjuaga huyu dsm anapotokeaga that's y anamjibugi hivi
Yaan Alikiba Anaiongea kwakulinga kinoma Anajisikia Sana Aminia Diamond Nimtu Anaeingea Kwakujiachia
Hahaaa mtangazaj haamini kama ameligusa Gari la Alikiba
Hahahahha dinny haamin wallah kama kamuoji king uwiiii
Dina wewe😅😅😅😅😅umefurahi sana kumhoji king 👑
@alikiba brother je madanza vp
King's music record @officialalikiba for life 👍 👍 👍
We dinna hujatulia wewe hahahahaha eti una magari mengi
Watapata tabu sana
Kiba njoo uku kunaumbea mpya uku nasikia wapewa pikipiki majina mama mondi kaiba aaaaaa
Hhhhhh nimekupenda bure dada jins mahojiano yko .kwanza uko chaming ndio mtangazaji anavyotakiwa priciet u 🤘🏾
Safi sana kaka nakutakia uweze kufika mbali kwenye kundi lako tuko pamoja
King,,,, mtamalizia wenyew mm siongei umbea
Du yan dina leo sijui kama atalala wallah maana yupo na furaha sana leo kumuhoji kiba yanii namm nimefurah sana dina my lv nakuona had unatetemeka mamy uwiii sema.leo utakuwa unacheka cheka mwenyewe kwa furaha 😂😂😂😂
kafurah baada king hajagundua kam anahojiwa na dizzim angekataa
mic haina nembo ya dizzim walijishtukia
Shoct kwani vp hujaamini kaa umemuhoji king
Yes ooo the king of music much love from America
Kweli Kiba umbea si ndugu yako ww hupendi Kabisa na ndio maana unakwepa maswali mengi alafu watu wanakwambia unamadharau lkn naona media zimeanza kukusoma leo umejibu vzuri sana coz umbea pembeni
ua-cam.com/video/XCBh4G7S-Lo/v-deo.html check out hapa👈👈👈
D.nasoro umeona unaenda kuhoji watu hata wigi halidondoki huyo ndo #king
Awapeleke na wasafi kuwatambulisha bas
kiba bhn anazingua kamuuliza Dada wawatu we ni dancer kwl huyu mfalme
Uyo dada mbona mick yake haionyeshi ni wawapi
Siku takayo mshika alikiba mkon sitonawa
chama lawana achieni jiwe lingine mzee nakuamin xana mzee baba
namkubal sana,penda sana kazi zako
Uyo muongo kiba hana wasanii alafu kujielza awezagi puuuuuuuu we mtangazaji toka apo hana nyimbo kabla ajaowa alikuwa atoagi nyimbo anakaA mwaka ad mwaka
😂😂😀😀😁😁mzee naona unaumia sana kuhusu kiba
Poa sana mtangazaji umehoji vizuri tena kwa mtu mwenyewe katulia
Ata we mwenyewe umetisha pia
Jameni hilo weave limeona siku mirefu 😂😂😂😂😂
Magri mengi sana baba dahh we mtangazaji bhana duhhhh nakuona tu
alikiba ni king hakun mwingine
uyo domo ninan kwanza akafie uko
King uposawa pamoja sana
Mpe like
Dada unajua hongera
Aminia kings music
king kiba sanaaaa term ikovizuli mwambie sina hataliiiii sana vi2adim wapange vijana moto uwemkaliiii amnakupoa saiv atupoi wala atupyanki kiba kizazi sanaaaa pande mbeya
Leo kajibu pw
Duu! Dada ake hujaamin kama umechonga na bingwa.
😂😀😀😀😂😀😂😀😀😂😀😂😀😂😀😂😀😂😀😂😀we jamaa umenichekesha
Kg ajua kujibu vizuri maswar
Umejibu swali vizuri kuhusu kuumwa kwa Ommy Dimpozi,respect Alikiba
Short and clear words from king kiba umeskiako hapo mambo za mara bro..bro..bro ama kulala na wasichana wangapi anajibu alieulizwa
safiii alikiba unajib vzr umbea haukuga umejua kuwakomesha kina naniiiiii
Kig kiba Kama unamukubal king gonga like
mbona mlitoa logo ya mic dizm online ili kiba asijue kama ni dizm online ina maana asingekubali hii..
Dada huyu mbea sana et una magar mengi 😂😂😂😂
Kiba una macho yakimalaya
Huyu ndio king
king uko vzur
Huyu dada hajui km ali kiba hapendi umbea
uyu demu unimbamba tu sana
Heeeeee hatar
king
katisha
Jamani uyo mwenye kilemba ni Handsome kiukweli uwa sichoki kuitazama hii video yao ya #MwambieSina kwa sababu yke tuu gonga like km pia wewe Umemuona ni Handsame kuliko Alikiba😁😁😁😁😁
😂😂😂😂😂😂
@@tausilifestyle795 Umemuona nawe pia😁😁😁😁
😂😂😂😂😂anafaa huyu kwa matumizi ya nyumbani
Hahahahahaa
hana uhansome wowote
Good good 👑 king
🤣🤣🤣🤣 unatetemeka
pw sana bladha king
King is fire
Nice king
Dina leo kauwa kenge imekuwa sikuuu sio dada mdogo big up king shemelaaaa wawakenya
,Hahaha nakwambia akija kenya nimjeuli nilijaribu kumsalimia vile nimtanzania mwenzangu jibu nikabaki hoi alisema sipendi watz napenda wakenya we aliniaibisha sana
Good good
king kiba juuuuuuu
king music ni noma
king up
King
Hatare sana
king
King
Dinna umenichekesha sana hujiamini kuongea na kingkiba bhn 😁😁😂
Hi
Rais wa music