Na hawa wanaoitwa washidi huwa wanapoteleaga hapo hapo hatuwaoni tena sasa sijui wanashinda au wanapewa kazi kweli kwelii.Kama yupo aliyeshind Na Bado yuko on Fire Sijui wote potelea mbalii kabisaa..
Hamna msaanii hapo wanao jua Washa mwagwa nyuma huko angalia walio pewaga mwanzo wako WAP bhn hawa hiz tuzo za mipango BG up sana harmonize kwa kutoboa wcb hawa wakandamizaj kama fiesta???
Nakumbuka shoo yetu ya fainali bss ya kwanza 2008 tena tulikuwa hatuna wadhamini ilifanyika daimond jubilee hall kingilio elfu10 na ukumbi tuliujaza mshindi aliyetuongoza jumanne idd wapili lea muddy nikilinganisha na shoo hii ambapo ni miaka10 sasa nisiwe mnafki bss imeshuka kimsisimko yaani haivuti watu kama wakati ule yaani hata washiriki ulikuwa unajiuliza sasa hapa atatoka nani abaki nani
Kipindi kile watu walikuwa wanajua sio.kama sasa mtu anaimba ma flat hivyo eti ndio mshindii hawa majaji wananiangusha sijui wnangalia nini..Ngoja tuone ataishia wapii..
Kinachoshangaza wanaoshindwaga hapo ndo wanaotoboaga ktk ulimwengu wa mziki wanapoamua kupambana mtaani'Like harmonize) AF washindi wa Bss wanaishiaga hapohapo bss: ndo utagundua kua unakazi ya ziada ya kufanya ili kipajichako kilete mafanikio:
Ivi huyu ni mshindi wa ngapi toka kanda ya ziwa? namkumbuka Misoji Nkwabi, namkumbuka Paschal Kasian, .... Kuleni Sangara na Sato jamani, nafikiri wanasaidia!
hongereni kwanza kabisa majaji kwa namna mnavyopendana na mnavyofanya kazi mama na dada yangu madam Litha god may bless you unajua nimeangalia machozi yamenitoka hivi km c wewe hivi vipaji vingefia wapi nice nice and sooo nice.no hao wanaofanya festivals.fiesters wengekuwa wasaniii wao wanapafumu namna hivi ingekuwa safi sana kulikokuwaimbisha au kutuimbisha hongereni sana sana nice show duuh top 5 Kali sana ya bongo star search tangu niangalie Bss
sarafina you are a star...I predict that..you are a girl to watch..your voice is amazing...my dia girl one day am gonna buy your album...more love from Kenya.. I agree with madam Rita you have all the quality of a star
hongereni kwanza kabisa majaji kwa namna mnavyopendana na mnavyofanya kazi mama na dada yangu madam Litha god may bless you unajua nimeangalia machozi yamenitoka hivi km c wewe hivi vipaji vingefia wapi nice nice and sooo nice.no hao wanaofanya festivals.fiesters wengekuwa wasaniii wao wanapafumu namna hivi ingekuwa safi sana kulikokuwaimbisha au kutuimbisha hongereni sana sana nice show duuh top 5 Kali sana ya bongo star search tangu niangalie Bss
Kama umemuona Juma Sharobaro gonga like
Kama unasikia makelele kuliko muimbaji like hapa
😀😀😀😀😀😀
😅😁👌
Hawa mademu wa hip hop wanatokea kaskazini pekee kingereza kilipo asisiwa
Kama kuna alyemuona Juma Sharobaro anyoshe kidole juu
😂😂😂😂😂
Kama umemuona juma sharobaro gonga like
Hicho kizungu ni kigumu ,afadhali angeimba kiswahili diamond na wasafi group waelewe
😂😂😂😂
Daah asee saiv watu wana ukakasii mifukoni hata hawTunzi ovyo ovyo miaka ya nyuma apoo angeoga mihela
Si unaona watu wenyewe wachache sio kama miaka iliyopita
vinny cente hahahahahaha. Vyuma babaa
Kilichobaki tusubirie vituko vyake na picha za uchi
Boya we nimechek kwa saut
Ramsojimmy Kelly 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ramsojimmy Kelly exactly ilo ndio tatizo kubwa la wabongo
Na hawa wanaoitwa washidi huwa wanapoteleaga hapo hapo hatuwaoni tena sasa sijui wanashinda au wanapewa kazi kweli kwelii.Kama yupo aliyeshind Na Bado yuko on Fire Sijui wote potelea mbalii kabisaa..
@@africanhappyadventure6951 yupo kayumba juma mshind wa2015 na anafanya poa tuu kweny industry
Rock City Gyal...🙌 This babe Sara is phenomenal😍
Ongera
Unasauti nzuri ya kuimba lkni hpo salama atkosowa to mna ktulia na yupo makin na kukutizama dada kazi nzuri mydear 😘😘
Dogo janja natamani na mimi ningekuwepo nimpe japo ata 5000 sarafina ana karama aigizi
Huyuu dem ni mkali sana tusubirieni tusker project fame ni all east Africa huyu dem atafika mbali
uyo masta jeu mbaguz tu kwa kuwa kamuona Hamis hana kitu ndio maana alikuwa ana myanyaa paa tu
majaji wa BSS nawapenda sana mnaijua haki ya mtu sio wale wanafki wa jibebe is
Hamna msaanii hapo wanao jua Washa mwagwa nyuma huko angalia walio pewaga mwanzo wako WAP bhn hawa hiz tuzo za mipango BG up sana harmonize kwa kutoboa wcb hawa wakandamizaj kama fiesta???
Oky brother
ushakuwa maarufu karibu kwenye urimwengu wa kukaa uchi
Jongo Jongo 🤣🤣
Jongo Jongo KWELI KAKA
Umesema kweli kabisa
Jongo Jongo 😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻
Jongo Jongo 😂😂😂😂
Hakuna kama hamis nyinyi wanaguz tu hasa mastar j
Nakumbuka shoo yetu ya fainali bss ya kwanza 2008 tena tulikuwa hatuna wadhamini ilifanyika daimond jubilee hall kingilio elfu10 na ukumbi tuliujaza mshindi aliyetuongoza jumanne idd wapili lea muddy nikilinganisha na shoo hii ambapo ni miaka10 sasa nisiwe mnafki bss imeshuka kimsisimko yaani haivuti watu kama wakati ule yaani hata washiriki ulikuwa unajiuliza sasa hapa atatoka nani abaki nani
Kipindi kile watu walikuwa wanajua sio.kama sasa mtu anaimba ma flat hivyo eti ndio mshindii hawa majaji wananiangusha sijui wnangalia nini..Ngoja tuone ataishia wapii..
Nyie hamjui kitu vijana wanaimba sana achen upuuz wenu
Nakukumbuka sana kijana
ama kweriii kwanzaaa miii nimekuja xhangaa nakutananayo youtube tuuu leo lkiniii enzi zleee nilikuwa nafutiliaa mwanxo mwixhoo na mara yangu ya mwisho kufuatilia nafikiri ilikuwa 2009 cjui anachukuaa paschal cassian duu ikikuwa tamuuu kweriii raia walimwaga pesaa jukwaaniii mpkaaa xhidaaa
Bss 9
nilijua huyu mshindi toka namuona mara ya kwanza
Kama nimemuona juma sharobaro
Julius Deogrtius hata mm
Duuh
Yuko mbele kabisa
Julius Deogrtius yupo na mim nimuona
Ata mm
Kinachoshangaza wanaoshindwaga hapo ndo wanaotoboaga ktk ulimwengu wa mziki wanapoamua kupambana mtaani'Like harmonize) AF washindi wa Bss wanaishiaga hapohapo bss: ndo utagundua kua unakazi ya ziada ya kufanya ili kipajichako kilete mafanikio:
hiv yure wazir alie sema nyege kilipu yake bado tu mjaipata alisema kipindi wanasubili ndege ya Tanzania
Salama uzee unakustend sasa
Team mwanzq
Tatizo hawafiki kokote wanaishia hapohapo Bss
Mbona nasikia kelele
ua-cam.com/video/xBFVbbtVH1U/v-deo.html diet ya mayai siku saba kupunguza zaidi ya kilo nne Fungua link 👆
Dada anaswaga huyo
Ivi huyu ni mshindi wa ngapi toka kanda ya ziwa? namkumbuka Misoji Nkwabi, namkumbuka Paschal Kasian, ....
Kuleni Sangara na Sato jamani, nafikiri wanasaidia!
hongereni kwanza kabisa majaji kwa namna mnavyopendana na mnavyofanya kazi mama na dada yangu madam Litha god may bless you unajua nimeangalia machozi yamenitoka hivi km c wewe hivi vipaji vingefia wapi nice nice and sooo nice.no hao wanaofanya festivals.fiesters wengekuwa wasaniii wao wanapafumu namna hivi ingekuwa safi sana kulikokuwaimbisha au kutuimbisha hongereni sana sana nice show duuh top 5 Kali sana ya bongo star search tangu niangalie Bss
Jomon ntaipataje hii video
sarafina you are a star...I predict that..you are a girl to watch..your voice is amazing...my dia girl one day am gonna buy your album...more love from Kenya.. I agree with madam Rita you have all the quality of a star
Mevreille
Max
eti Mwanza NY nikadhani New York kuna mahali panaitwa Mwanza kumbe ni Nyegezi😂😂😂 Basata wametisha bwana
Good Dada unajua kuimba Kwa kweli nimeielewa shoo yako respect sana kwako
Izo hair zako ni rasta au nin maan daily izo izo
Yaaaaan huyu dada Angechukua KablA ya Final mAana mh SaraFina Hot
Katoto kikwetu Mwanza💗
Aisee!term hii mlikosa kabsaaaa!hakuna lolote
nmependa dada upo vzr piga kolabo na dogo janja
HAYO MA FLAT NDO YA USHINDI MAJAJI NI HOVYO TUUUUUUUU
Uko wapi kaka yangu
Mwanza xo proud for saraphina j
Sidhn km mnazingatia kura za watanzania
Rock city talents
Benard Martine rock city
hongereni kwanza kabisa majaji kwa namna mnavyopendana na mnavyofanya kazi mama na dada yangu madam Litha god may bless you unajua nimeangalia machozi yamenitoka hivi km c wewe hivi vipaji vingefia wapi nice nice and sooo nice.no hao wanaofanya festivals.fiesters wengekuwa wasaniii wao wanapafumu namna hivi ingekuwa safi sana kulikokuwaimbisha au kutuimbisha hongereni sana sana nice show duuh top 5 Kali sana ya bongo star search tangu niangalie Bss
sarafina anajuwa
Saraphina michael bongo star search 2018 Winner mshindi
Nyege nyegeziiii
Ntafute ww +97450580766
Akunalolote jau kabisa
Mmecheka MASTER J asa mjinga 😂😂😂😂😂
Katokea nyegezi huyo
NIFWATE HAPA
Sara ni kipaji harisi..
Uyo stephane ameisha pita akuna Cha kula au Nini I see star
Kabebwa
Mhhh huyo mbn anapaka lipshen
Dada yupo vizuri asee👏👏
Hapo ni haki yake kabisa kuwa mshindi
uyu dem.jini
Good perfomance
Boers and weird!!
jmn tuekee yote
Poa
Nice one
hahahahahaha nice one
lovely
She made it
Super hero 🔥🔥🔥
Talented🔥🔥
Kazi ngumu kweli kweli
kufik apo simchezo mwamb
Kazi ngumu?? Acha utani!! Kuimba nyimbo ya mtu🤣🤣🤣 Sijui alietunga tumwambieJe😆😅😂🤣
sarafina ni faida ya Nchi wallai
Abo janatizma wamesomea wapi mziki pumba tuu
Nc
Safi sana salaphina
We bwege!dogo Janja yupo wapi?
We nae anaemwaga pesa ni nan kwan??!
Hatujui mm na ww
@@jurmainezaidi739 pow
Kwani wauza nguvu za kiume bado hawajacoment
Wako insta tu
Huu wimbo unatakiw kuwepo mtaan sass
Safi sana una haki ya kuwa mshindi,Bgup
Ata c uongo ni vituko2 na picha za uchi
Madam rita hii nywele na sura yake utafikili Embe mawazo mxiuuu
Mbavub2 embe mawazo ndio ipoje hiyo
Nimecheka sana