Mshindi wa BSS alivyomnyanyua Dogo Janja kwenye Kiti Chake

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 129

  • @officialgakankara
    @officialgakankara 5 років тому +35

    Kama umemuona Juma Sharobaro gonga like

  • @agathanyondo9384
    @agathanyondo9384 5 років тому +67

    Kama unasikia makelele kuliko muimbaji like hapa

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 5 років тому +6

    Hawa mademu wa hip hop wanatokea kaskazini pekee kingereza kilipo asisiwa

  • @eddyeddy2907
    @eddyeddy2907 5 років тому +6

    Kama kuna alyemuona Juma Sharobaro anyoshe kidole juu

  • @ezekieliezekielimelekizede5120
    @ezekieliezekielimelekizede5120 4 роки тому +2

    Kama umemuona juma sharobaro gonga like

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. 5 років тому +8

    Hicho kizungu ni kigumu ,afadhali angeimba kiswahili diamond na wasafi group waelewe

  • @vicentbasigaza8100
    @vicentbasigaza8100 5 років тому +22

    Daah asee saiv watu wana ukakasii mifukoni hata hawTunzi ovyo ovyo miaka ya nyuma apoo angeoga mihela

    • @zakariageorge8657
      @zakariageorge8657 5 років тому

      Si unaona watu wenyewe wachache sio kama miaka iliyopita

    • @allykassim9826
      @allykassim9826 5 років тому

      vinny cente hahahahahaha. Vyuma babaa

  • @ramsojimmykelly3379
    @ramsojimmykelly3379 5 років тому +49

    Kilichobaki tusubirie vituko vyake na picha za uchi

    • @zaynsalma3466
      @zaynsalma3466 5 років тому

      Boya we nimechek kwa saut

    • @theafricanprincevivecongo8632
      @theafricanprincevivecongo8632 5 років тому

      Ramsojimmy Kelly 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @amourabbas2306
      @amourabbas2306 5 років тому

      Ramsojimmy Kelly exactly ilo ndio tatizo kubwa la wabongo

    • @africanhappyadventure6951
      @africanhappyadventure6951 5 років тому +1

      Na hawa wanaoitwa washidi huwa wanapoteleaga hapo hapo hatuwaoni tena sasa sijui wanashinda au wanapewa kazi kweli kwelii.Kama yupo aliyeshind Na Bado yuko on Fire Sijui wote potelea mbalii kabisaa..

    • @shaymaajohn436
      @shaymaajohn436 5 років тому

      @@africanhappyadventure6951 yupo kayumba juma mshind wa2015 na anafanya poa tuu kweny industry

  • @DenyoReigns
    @DenyoReigns 5 років тому +13

    Rock City Gyal...🙌 This babe Sara is phenomenal😍

  • @hamzamohd9980
    @hamzamohd9980 4 роки тому +1

    Ongera

  • @ssur5797
    @ssur5797 5 років тому +10

    Unasauti nzuri ya kuimba lkni hpo salama atkosowa to mna ktulia na yupo makin na kukutizama dada kazi nzuri mydear 😘😘

  • @aminimunisi3233
    @aminimunisi3233 4 роки тому

    Dogo janja natamani na mimi ningekuwepo nimpe japo ata 5000 sarafina ana karama aigizi

  • @hamisimnyeheri2155
    @hamisimnyeheri2155 5 років тому +4

    Huyuu dem ni mkali sana tusubirieni tusker project fame ni all east Africa huyu dem atafika mbali

  • @nabiilikhamisi7458
    @nabiilikhamisi7458 4 роки тому

    uyo masta jeu mbaguz tu kwa kuwa kamuona Hamis hana kitu ndio maana alikuwa ana myanyaa paa tu

  • @laymapeace4538
    @laymapeace4538 5 років тому +2

    majaji wa BSS nawapenda sana mnaijua haki ya mtu sio wale wanafki wa jibebe is

  • @georgefrancis8686
    @georgefrancis8686 5 років тому +1

    Hamna msaanii hapo wanao jua Washa mwagwa nyuma huko angalia walio pewaga mwanzo wako WAP bhn hawa hiz tuzo za mipango BG up sana harmonize kwa kutoboa wcb hawa wakandamizaj kama fiesta???

  • @jongojongo9388
    @jongojongo9388 5 років тому +62

    ushakuwa maarufu karibu kwenye urimwengu wa kukaa uchi

  • @nabiilikhamisi7458
    @nabiilikhamisi7458 4 роки тому

    Hakuna kama hamis nyinyi wanaguz tu hasa mastar j

  • @edsonteri4489
    @edsonteri4489 5 років тому +25

    Nakumbuka shoo yetu ya fainali bss ya kwanza 2008 tena tulikuwa hatuna wadhamini ilifanyika daimond jubilee hall kingilio elfu10 na ukumbi tuliujaza mshindi aliyetuongoza jumanne idd wapili lea muddy nikilinganisha na shoo hii ambapo ni miaka10 sasa nisiwe mnafki bss imeshuka kimsisimko yaani haivuti watu kama wakati ule yaani hata washiriki ulikuwa unajiuliza sasa hapa atatoka nani abaki nani

    • @africanhappyadventure6951
      @africanhappyadventure6951 5 років тому

      Kipindi kile watu walikuwa wanajua sio.kama sasa mtu anaimba ma flat hivyo eti ndio mshindii hawa majaji wananiangusha sijui wnangalia nini..Ngoja tuone ataishia wapii..

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA 5 років тому +1

      Nyie hamjui kitu vijana wanaimba sana achen upuuz wenu

    • @rodricklwamayanga6154
      @rodricklwamayanga6154 5 років тому

      Nakukumbuka sana kijana

    • @andrewmachibya3170
      @andrewmachibya3170 5 років тому +1

      ama kweriii kwanzaaa miii nimekuja xhangaa nakutananayo youtube tuuu leo lkiniii enzi zleee nilikuwa nafutiliaa mwanxo mwixhoo na mara yangu ya mwisho kufuatilia nafikiri ilikuwa 2009 cjui anachukuaa paschal cassian duu ikikuwa tamuuu kweriii raia walimwaga pesaa jukwaaniii mpkaaa xhidaaa

    • @badimusa694
      @badimusa694 5 років тому

      Bss 9

  • @msemakweli9626
    @msemakweli9626 5 років тому +4

    nilijua huyu mshindi toka namuona mara ya kwanza

  • @juliusdeogrtius6199
    @juliusdeogrtius6199 5 років тому +35

    Kama nimemuona juma sharobaro

  • @emanuelmushi6878
    @emanuelmushi6878 5 років тому

    Kinachoshangaza wanaoshindwaga hapo ndo wanaotoboaga ktk ulimwengu wa mziki wanapoamua kupambana mtaani'Like harmonize) AF washindi wa Bss wanaishiaga hapohapo bss: ndo utagundua kua unakazi ya ziada ya kufanya ili kipajichako kilete mafanikio:

  • @focustz4408
    @focustz4408 5 років тому +1

    hiv yure wazir alie sema nyege kilipu yake bado tu mjaipata alisema kipindi wanasubili ndege ya Tanzania

  • @extramen5534
    @extramen5534 5 років тому +3

    Salama uzee unakustend sasa

  • @privinusdecroshan135
    @privinusdecroshan135 5 років тому +7

    Team mwanzq

  • @mwisakihaji3782
    @mwisakihaji3782 5 років тому +1

    Tatizo hawafiki kokote wanaishia hapohapo Bss

  • @OmanOman-hr6cb
    @OmanOman-hr6cb 5 років тому +3

    Mbona nasikia kelele

  • @magrethmhoha1630
    @magrethmhoha1630 5 років тому

    ua-cam.com/video/xBFVbbtVH1U/v-deo.html diet ya mayai siku saba kupunguza zaidi ya kilo nne Fungua link 👆

  • @youngdady7901
    @youngdady7901 5 років тому +2

    Dada anaswaga huyo

  • @sungula100
    @sungula100 5 років тому

    Ivi huyu ni mshindi wa ngapi toka kanda ya ziwa? namkumbuka Misoji Nkwabi, namkumbuka Paschal Kasian, ....
    Kuleni Sangara na Sato jamani, nafikiri wanasaidia!

  • @barnabasmalima4823
    @barnabasmalima4823 5 років тому

    hongereni kwanza kabisa majaji kwa namna mnavyopendana na mnavyofanya kazi mama na dada yangu madam Litha god may bless you unajua nimeangalia machozi yamenitoka hivi km c wewe hivi vipaji vingefia wapi nice nice and sooo nice.no hao wanaofanya festivals.fiesters wengekuwa wasaniii wao wanapafumu namna hivi ingekuwa safi sana kulikokuwaimbisha au kutuimbisha hongereni sana sana nice show duuh top 5 Kali sana ya bongo star search tangu niangalie Bss

  • @shaymaajohn436
    @shaymaajohn436 5 років тому +1

    Jomon ntaipataje hii video

  • @zeinabhassan6071
    @zeinabhassan6071 5 років тому

    sarafina you are a star...I predict that..you are a girl to watch..your voice is amazing...my dia girl one day am gonna buy your album...more love from Kenya.. I agree with madam Rita you have all the quality of a star

  • @merveillekianga8888
    @merveillekianga8888 3 роки тому

    Mevreille

  • @cedricnitunga468
    @cedricnitunga468 5 років тому +7

    eti Mwanza NY nikadhani New York kuna mahali panaitwa Mwanza kumbe ni Nyegezi😂😂😂 Basata wametisha bwana

  • @barakafrancis7523
    @barakafrancis7523 5 років тому +3

    Good Dada unajua kuimba Kwa kweli nimeielewa shoo yako respect sana kwako

  • @muttaadrolph6162
    @muttaadrolph6162 5 років тому

    Izo hair zako ni rasta au nin maan daily izo izo

  • @maryamsalum1830
    @maryamsalum1830 5 років тому

    Yaaaaan huyu dada Angechukua KablA ya Final mAana mh SaraFina Hot

  • @maxirodrigez2908
    @maxirodrigez2908 5 років тому +1

    Katoto kikwetu Mwanza💗

  • @juniorsmart2483
    @juniorsmart2483 5 років тому

    Aisee!term hii mlikosa kabsaaaa!hakuna lolote

  • @juliusyohana3543
    @juliusyohana3543 5 років тому

    nmependa dada upo vzr piga kolabo na dogo janja

  • @amanlenatus9067
    @amanlenatus9067 5 років тому +6

    HAYO MA FLAT NDO YA USHINDI MAJAJI NI HOVYO TUUUUUUUU

  • @aishakilangi717
    @aishakilangi717 4 роки тому

    Mwanza xo proud for saraphina j

  • @florencegregory8932
    @florencegregory8932 5 років тому

    Sidhn km mnazingatia kura za watanzania

  • @benardmartine244
    @benardmartine244 5 років тому +4

    Rock city talents

  • @barnabasmalima4823
    @barnabasmalima4823 5 років тому

    hongereni kwanza kabisa majaji kwa namna mnavyopendana na mnavyofanya kazi mama na dada yangu madam Litha god may bless you unajua nimeangalia machozi yamenitoka hivi km c wewe hivi vipaji vingefia wapi nice nice and sooo nice.no hao wanaofanya festivals.fiesters wengekuwa wasaniii wao wanapafumu namna hivi ingekuwa safi sana kulikokuwaimbisha au kutuimbisha hongereni sana sana nice show duuh top 5 Kali sana ya bongo star search tangu niangalie Bss

  • @ayoubgabriely6517
    @ayoubgabriely6517 5 років тому

    sarafina anajuwa

  • @achi_raymond
    @achi_raymond 5 років тому

    Saraphina michael bongo star search 2018 Winner mshindi

  • @zaitunimkali3818
    @zaitunimkali3818 5 років тому +2

    Nyege nyegeziiii

  • @hafidhdrogba1813
    @hafidhdrogba1813 5 років тому

    Akunalolote jau kabisa

  • @arafazakir4150
    @arafazakir4150 5 років тому

    Mmecheka MASTER J asa mjinga 😂😂😂😂😂

  • @ruqiaothman3112
    @ruqiaothman3112 5 років тому

    Katokea nyegezi huyo

  • @EdwinMrope
    @EdwinMrope 5 років тому

    NIFWATE HAPA

  • @georgefrancis5378
    @georgefrancis5378 5 років тому

    Sara ni kipaji harisi..

  • @djmeza411a58
    @djmeza411a58 5 років тому

    Uyo stephane ameisha pita akuna Cha kula au Nini I see star

  • @musicworldwide2625
    @musicworldwide2625 5 років тому

    Kabebwa

  • @nasramsami3410
    @nasramsami3410 5 років тому

    Mhhh huyo mbn anapaka lipshen

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 5 років тому

    Dada yupo vizuri asee👏👏

  • @piarajaneth6030
    @piarajaneth6030 5 років тому

    Hapo ni haki yake kabisa kuwa mshindi

  • @ToyTz
    @ToyTz 5 років тому

    uyu dem.jini

  • @allykassim9826
    @allykassim9826 5 років тому

    Good perfomance

  • @topandbesttalents9699
    @topandbesttalents9699 5 років тому

    Boers and weird!!

  • @vickymmasi2618
    @vickymmasi2618 5 років тому

    jmn tuekee yote

  • @frankphilipo8413
    @frankphilipo8413 5 років тому

    Poa

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 5 років тому

    Nice one

  • @deborahalyoce2178
    @deborahalyoce2178 5 років тому

    hahahahahaha nice one

  • @masoudabdi6076
    @masoudabdi6076 5 років тому

    lovely

  • @raybrankxbalozi3684
    @raybrankxbalozi3684 5 років тому

    She made it

  • @innojoowzey6913
    @innojoowzey6913 5 років тому

    Super hero 🔥🔥🔥

  • @dechemisttv5064
    @dechemisttv5064 5 років тому

    Talented🔥🔥

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 років тому +4

    Kazi ngumu kweli kweli

    • @mohamedsadiki1575
      @mohamedsadiki1575 5 років тому +1

      kufik apo simchezo mwamb

    • @emlongetcha88
      @emlongetcha88 5 років тому

      Kazi ngumu?? Acha utani!! Kuimba nyimbo ya mtu🤣🤣🤣 Sijui alietunga tumwambieJe😆😅😂🤣

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 5 років тому +3

    sarafina ni faida ya Nchi wallai

    • @rigalugano8791
      @rigalugano8791 5 років тому

      Abo janatizma wamesomea wapi mziki pumba tuu

  • @FatmaFatma-kt1or
    @FatmaFatma-kt1or 5 років тому

    Nc

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 5 років тому +3

    We bwege!dogo Janja yupo wapi?

  • @featurebillionaire5464
    @featurebillionaire5464 5 років тому +1

    Kwani wauza nguvu za kiume bado hawajacoment

  • @aboubakarmassooud6908
    @aboubakarmassooud6908 5 років тому

    Huu wimbo unatakiw kuwepo mtaan sass

  • @dicksonulotu9717
    @dicksonulotu9717 5 років тому

    Safi sana una haki ya kuwa mshindi,Bgup

  • @halimahalima9133
    @halimahalima9133 5 років тому

    Ata c uongo ni vituko2 na picha za uchi

  • @AliBaba-zb3tg
    @AliBaba-zb3tg 5 років тому

    Madam rita hii nywele na sura yake utafikili Embe mawazo mxiuuu