RAIS SAMIA AMUULIZIA DIAMOND "YUKO WAPI HAJAJA? KWENYE SHOW YA HARMONIZE AMSIFIA HARMONIZE JESHI
Вставка
- Опубліковано 26 вер 2024
- Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
Kama unampenda harmo nipe like zangu ata 10❤❤❤❤❤
Miminnapenda bt wanawake wenye mizigo.humfanya avute sana
Umetisha mama
Chukuwa iyo
Chukua
Ngoma ya komasava ni kali🔥🔥
Hongera mama kufika kusfia mwana mapenzi ya mama .❤❤ na umependeza sana mama ❤ much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thank you your excellency Mama samia for blessing Harmonize konde boy we love you from burundi❤🇧🇮🇧🇮
Kenya sijai ona rais akiwa karibu na wasanii kama wewe mama...kazi mzuri sana
i was to write this 🤣🤣🤣🤣but umeandika the same thing big up sana kevin kuona ivo. Kenya hakuna support
Natazama nikiwa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kama unaempenda harmonize nipe likes
Samia hongera sanaaa kwa kusaport vipaji vya wasanii wetu wa Tanzania nichue na mie mie najua sema connection
Karibu Sana
Mama leo kapendez km sio yeye khaa. Pongezi sana harmo kweli wew JESHIII
Mama leo kawa pic kali kabisa❤😂
Mama kapendeza kwa kweli...amani iwe juu yako mamangu....unaongoza vizur xna kwq amani na upendo mamangu....ata hutuba zako na sauti yako... ubarikiwe daima...
Rais Samia kama unanipenda harmonize mimi naitwa elishama mulokozi💯👋👋
Tunapenda sana rais wetu mama samia suhulu hassan kutoka tanzania❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Yah bro harmonize welldone. Njoon wew msanii,mfanyabiashara upate mchongo wa online pesa mbs zako nihela nzuri tu njoo nikufunze
Nifunze
Mungu alibariki TZ kwa mengi bora 💟💟💟💟💟
hongera sana selikali ya Tanzania.kwa kutambua vijana
UMEPENDEZA MAMA. UMERUDI MSICHANA KAMA MSICHANA WA CHUO. ❤❤❤❤❤❤❤❤
It is very humbling to hear Mama Samia talking about setbacks you might incur while growing from level to level..she is very humble & loving...long live Mama Samia🎉
❤❤❤❤ wewe ni mama wakweli nimefurahishwa Sana Sana mama kutenga muda wako na kukaa na watoto wako Mw Mungu akujaaliye afya njema uzidi kukaa na vijana wako amin
Atenge mda wa kukaa na masikini pia
@@Hamisi965aende mtaani kwa maskini ndo tuseme ni mam wa kweli
Samahani sana ..kwa kweli nimetafta hotuba ya SM tangia Jana Leo hii ndo nakutana nayo hapa hapa....from kenya ❤❤mama kaongea vizuri bila upaguzi
A woman and a half indeed...love you your excellency mama Samia Suluhu❤so proud of you.
Umependeza sana, Mimi na semeni mwanamke ni watu wawili ohhh❤️👏👏🌹💯
Yaani Mama samia anajua diamond kama Nassib Abdul❤❤❤...kijana Wake🔥🔥🔥
Kabisa much luv nipitie namimi please
Naomba namba ako tafadhal vicky.
Mbona amemtaja omari mmemsikia nasib pekee bongo bana
Kijana Harmonize nakukubari sana ❤❤
No political woman in my country Kenya can speak this fluent swahili ..na kama yupo mtaje unichallenge
Umesahau Aisha Juma kakangu eh 😮😂
Asante mama kwa kuonyesha upendo kwa wanainchi wako kwa kuitikia usiku mama na kujumuika pamoja
Jamn mpaka Raha Team konde Oyeeeh 💪💪💪💪💪
Mm ni msani upcoming, lakini nampenda Sana harmonize ,nipe like zako . from KENYA
Daah mimi simpendi toka amtukane mwenyezi mungu namuona kama lishetani fulani hivi😂😂😂
Asante Jeshini kwa kutuelimisha kuhusu ukuu wa Mama. Thx.
Mama umetisha
Kondeboy hongera❤❤❤❤🎉🎉
Mama leo umependeza sana❤
Huyu mama anazingua amekosa kwenda kushughulikia wezi et na yeye anakuja kwenye mipasho
Hongera sana mama nakupenda sana mama mungu akutangulie kwenye majukumu yako
Usijal bingo your the champions
Kama unampenda mama wetu gonga like kibao hapa🎉
Mwambie atupunguzie bei ya umeme nagesi
Mda wa ku like ujinga sina
it@ShomarSalum
Konde boy hongera sana tena sana❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mama Mimi ni mukimbizi kutoka kivu kasikazini naishi Zambia.Mama nakupenda sana.Ila kabula sijafa ni ngemuomba Mungu ni kusalimiye mama...ukija uku Zambia ni kuone mama.
Mama wa taifa la tz Alhamdulilahi tupepata mama mwema Allah akuifadhi duniya na aghera raisi wetu kipenzi chetu nakuomba sana sana sana mkowa wetu wa pwani wilaya ya kisalawe tunateseka sana na mkaa tunateseka sana wengine wanamchi wako atuna uwezo na gesi ata kuni nyasi pia tunakatazwa mama yetu kipenzi chutu na kipenzi cha Allah tunakuomba liyangalie hili kwa ajili ya Allah na wanamchi wako mkowa wa pwani wilaya ya kisalawe tuwengalie sana kuusu mkaa na kuni nyasi maskali wanakata sana wanao beba mkaa na kuni
Wa pili like zang
You made it bro umetisha Sana
Hongera mama kwa kuwajali vijana wetu wape nguvu ili wazidi kuhimarika ki mziki na kisanaa pia , ahsante sn mama Allah akulinde kl wakati.
Naipenda Tanzania❤❤
Mzazi ni mzazi tu❤❤❤❤❤❤
Mama mungu akuweke inshaaalah unaupiga mwingi
Maneno ya kizungu muziki wa kigogo nimeipenda hiyo wagogo oyeeeeeeeeeeee❤️🔥❤️🔥agweeeeee zauswelooo
Mama ongera sana Kwa upendo wako wenderee madalakani myaka 10 tena❤❤❤❤❤
Mama Samia unaonekana mustaarabu sana lakini unajifanya kama huoni maisha ni magumu unapiga kampeni kijanja na machawa wako
Tufanye kazi.. maishha bilaa kazi magumu Sana.
Kazi tunafanya ila tunabanwa ushuru Kila Kona,
Hadi kusababisha bidhaa kupanda Bei na tunavyojua watz wengi wamejiajiri na wengine hawana ajira rasmi hivyo Hali kuwa ngumu kwenye jamii huku
Umependeza mama❤
Mama Samia much love❤❤❤
Kioo cha jami na nchi zote africa pia duniani nzima
Mama wa kazi
Mama Leo umependeza mara Moja Moja wakuache ujipambe bhana sio Kila saa wanataka uwe sirious hata ww unatakiwa kutenga mda wa kujiienjoy bhana #Kazi iendeleee mama Mungu ibarki Tanzania 🇹🇿🇹🇿
Wanawake kipo chakujifunza kutoka kwa mama n raisi lakini hathubuthu kuacha kichwa chake wazi havai mawigi leo bint ajulikane tuh wasafi redio kesho utamkuta kajianika uchi mfyu et keshakuwa super star
Umri mzee wew mkeo anavaa shungi au ndio kusema
Viva IDM Mzumbe.....viva MU (Mzumbe University). Hongera Mama kwa ujumbe mzito wa kutokata tamaa.
nimekupenda sanaa
Rais wetu, Leo ndo umenipa maana ya mwanamke ni mtu na nusu. Ahsante sana.
Gud job mama, unatuona sisi vijana maana tunateseka kweli, wanawake wapo wengi hapa Tanzania lakini wa kuwaweka ndani hawapo kwa sasa hivi, ndo maana masingle mother ni wengi sio kuwa hatupendi kuoa, ila duuh! Hataree.
Ubarikiwe mama
Tanzania Bada ya myaka 5 pakua hakuna mwanaume wakuongoza nchi watanzania mtajikuta wanawake kihakili kama mtaendelea kuzalisha Kina harmonize mijinga
😂😂😂😂
Punguza wivu
Asante kwa kulionahilo wasanii wanaendelea kuhalibu watoto wa msikini viongozi wanasapoti kulinda mamlakayao kwa kuandaa watoto wao.kuendelea kuwaviongozi baadayao
Asante mheshimiwa rais kwa maneno mazuri,,na pia asante hermonize kwa kutuheshimisha.
Mama hapa anaonekana bado under 35 MashaAllah
Mama samia wangu jaman umependeza sana yaan uko mwaaa😘ukiona comennt yangu naomba unijibu nifurahi dear mama
NASHUKURU MWANANGU😂
😂😂😂@@khamisabdulla9517
Asante sana mwanangu karibu Ikulu
Asante sana nimejibu kwa niaba yake amesoma hii
@@Allyhujjat ok nashukuru kwa kuisoma
can our president do this ako🇰🇪
😂😂😂😂😂 tulikosea wapy jamani
Ruto tawe
Asante sana Mama MASHAALAH 🤲❤️❤️😍🔥🔥🇰🇪🇰🇪👏💞💞
Haya bwana mama naona Mimi haunisifii unamsifia keshi Mimi hunisifii
Mama kependeza leo mashallah😊
Yaani president wa Tanzania anafahami sana umuhimu wa sanaa katika serikali yake? Hongera unafunza wengi.
Hongera mama etu tunakupenda sana sana Allah akulinde mama angu kipenzi sisi ni wanao tuko kwa ajili yako miyaka mengine tena Allah akulinde mama love you ❤️😍😘 Allah akulinde na kila balaa amin
Good to watch imependeza kiukweli big up
Hongera sana mama yetu kipenzi mungu akupe maisha marefu
Aisee mama kalipendezesha vazi,Mungu kambarikia raisi wetu utu,akili na uzuri,sifa na utukufu zimrudie Mungu wetu kwa kutupendelea watanzania.
Katupendelea Nini huyu mama kafeli kabisa analea wezi magufuri ndio alikuwa ni mtu sio huyu mama hamna kitu hapo
Management ya harmonize iko vizuri SN HONGERA sn harmonize.. ubunifu mzuri sn pambana mdogo wetu
Rais Samia u mrembo sana,Ayse
Mwenyezi mungu akubariki akulinde....mama samia!!!
Never give up ,,my favourite song💪💪💪
MashaAllah mh RAIS SSH UMEPENDEZA SANA KIONGOZI WANGU MAHIRI WA NCHI YANGU TZ
Nice one prezo
Kweli mama
Amependeza mama nimependa
Nampenda huyu mama sana.... Sauti yake nyororo😊
Nimeipenda❤❤❤
Congratulations kondeboy🙌🙌🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mama kama mama
May Allah guide you mama
Mama leo umependeza sana. I ❤you Mama President
I admire tanzania
Where are you right now?
Kweli kwenye maisha usikati tama
Hongera harmonize umekua kweli
Mama ni mwanamke na nusu mashaAllah super women mashaAllah 👏👏👏
Only Tanzania msanii anaandaa show na Rais akaja bila ushauri wa mtu huku kwetu Kenya haiwezi kutokea😂
Duuh kweli
Kwenu ni maombi sio uchawi
Da uyu mama kama agelikua single tugefunga ndoa na bonge la arusi masha Allah kapendeza
Halafu tunakuangalia tu?
Asate sana mama wetu ❤❤❤❤❤
Stand strong our president
Hamo kajua kutembea na upepo
Hakika Jeshi much love
Mama alikua amependeza kweli kweli hongera sana mama Samia
Mama Samia leo hii Hotuba Nimempenda Alivyoongea, Huyu Mama ana hekima sana.
Kukosea kupo na Hatujakamilika but kwa hii hotuba hongera mama Una hekima sana.
Ashanti mama mungu akubariki sana wewe kweli ni mama nanusu asante sana
❤❤ great
Obrigado konde Boy🇲🇿👏
Harmonise 100 kwa 100
🔥🔥🔥
❤❤❤❤ kweli kabisa mama
Ongera my dear suruhu nakupnd kipenz changu
Mama kaupiga mwingi ongerasana KONDE BOY 🔥🔥