Vyovyote vile ila rapcha amuezi dizasta vina D ni best rapper na anawakalisha marapa kibao tu apa bongo ni vile apewi heshima yake na nyie waandishi uchwara
Respect is earned, wanapewa heshima wale wanaostahili. Majority rules, ukimkubali wewe na wengi hawamkubali basi kuna sehemu anakosea. Rapcha wa juzi ana subscribers 166,000 UA-cam lakini huyo wa zamani Dizasta ana subscribers 30,000 UA-cam so hii inatuambia nini? Mtu asituletee alinacha za 'sizitaki mbichi hizi' kama wanaomkubali ni wachache.
Real hip hop fans watavote kwa dizasta, ila haimaanishi raptcha hajui.. kwa wale ambao hawajazama kwenye hip hop sana ndo watamtaja raptcha sababu ndo anajulikana!
Tukisema ukweli dizastar ni legendary ila moto wa Rapcha apana yani kwanza Rapcha ana mafanikio kwenye game kuliko dizastar kama wote wa wili wakienda kupiga show Kenya Rapcha aki tia mashabiki 100 basi dizastar ata kua mwenyewe on stage
Natamanii wote mngemuelewaa dizasta asee rapcha mkalii ila dizasta mkalii zaid mazee
Hawawezi kumuelewa kw sab wamejaa ujinga....wanatak kuskia Trap music na vibe kam walevi
Vyovyote vile ila rapcha amuezi dizasta vina D ni best rapper na anawakalisha marapa kibao tu apa bongo ni vile apewi heshima yake na nyie waandishi uchwara
Respect is earned, wanapewa heshima wale wanaostahili. Majority rules, ukimkubali wewe na wengi hawamkubali basi kuna sehemu anakosea.
Rapcha wa juzi ana subscribers 166,000 UA-cam lakini huyo wa zamani Dizasta ana subscribers 30,000 UA-cam so hii inatuambia nini?
Mtu asituletee alinacha za 'sizitaki mbichi hizi' kama wanaomkubali ni wachache.
Rapcha kwa sasa ndio Rapa number number moja Huyo Disaster wako hata hajulikani mzee
@@R10_Rajab iyoo ni kweli kabisa
Subsciber 30,000
Daah wejamaa bilashaka unaas8li flani ya kikekike mbona sion mm hiyo pale
@@japharymagesa735
Angalia acc yake ya UA-cam, that's the painful truth.
spoken like Dr. Unju 🔥
Kutoka Kenya..Dizasta ni disaster ukweli....Kijana ni hatari kubwa💥💥💥
D.I.Z.A.S.T.A........n Dizasta kwelii...Anajuwa mpaka Anajuwa tenaa
Vina ni balaaaaa hatariiii
So Nikki amemaanisha ugomvi WA dizasta na rapcha n watoto wanacheza
Exactly
💯%
Pale ni watoto wanacheza.
Nop Dizasta anapewa challenge na Mdogo ake Rapcha
@@bonifacemeela5247 kweli kabisa
Xo wa Kucompare na huyu Mtoto Rapcha.....Ebu Mpeni heshma yakee bhxxx
Real hip hop fans watavote kwa dizasta, ila haimaanishi raptcha hajui..
kwa wale ambao hawajazama kwenye hip hop sana ndo watamtaja raptcha sababu ndo anajulikana!
Kabsa lakin kwa cc wazee Wa old schools Dizasta vina mwamba
Dr,unjuu waambie kama uyo lapcha kazua bifu ya nyama ya ng'ombe amuwezi dizasta vina ata kwa CCTV
Dizasta atabaki kuwa mkali siku zote🔥🔥🔥
Kabsa
DIZASTA VINA🔥🔥🔥🔥🔥🔥📢📢📢
Mpeni dizasta heshima yake aseee vina ni mwamba sema tu Media znabana
Rapcha atulie tna kimya amwezi DIZASTA vina ni legend kuzidi yeye
Cm Yangu kioo kibovu ila uyo jamaa afungwe maisha haiwezekan amuue mke wake
Dizasta nimuandishi mzur but rapcha have good flow
NA flow haidhiirishi ubora ndani ya Rap, Si msingi wa Rap
@@polycarpmdemu3552 ni
Big point 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏😧
@@polycarpmdemu3552 hapan rapper anatakiwa awe Navy vyote
Dizasta ate Rapcha up
I eat people
Dah kweli mtoto kajiona kakua dizasta ni moto wa kuwakia mbali rapcha afanye mziki tu ila dizata level za juu
Dr Unju 💥 always Dizasta it's a champion 🏆
💥
Rapcha is a disaster, dizasta is catastrophic
Unju kajibu kiutuzima
Dizasta vina mkali Sana weee
Musimfananishe dizasta na vitu vya ajabu
Dizasta ame m inspire Rapture sasa angalieni vya kulingansha
Baba mdogo,rapa wenu anapewa dakika nane studio anaongea point moja tu mze.
Dizasta ni killer 100
Hakuna wakumfananisha na DASTA VINA 🔥🔥🔥🔥
Dizasta tribulation. Anatakiwa afungwe hauwezekani amchane vileee aiseee. Rapcher usijalibu tehnaaa
Amemchana ad raha
Team D tujuane kwa like hapa
Dizasta vina sio Michael B ni Michael A Jordan
Rapcha anajua lakini dizasta vina nihabari nyingne huyu mtu nibalaaaaa
rapcha bdo San kw dizasta hamuez kbsaa
Ukimkubari D zast ukamkataa rapcha utkuwa hujuii mziki, hawa wote ni shidaa
UNJU🔥🔥🔥📢📢📢📢
Nikk anaongea kama chid benz
uju unuki
Ila nikki mbishi ni msela sanaaa😂
Dizasta sio wakumfananisha na racha nimtoto sana
Nikki mbishi ni gaid
Cha muhimu waiteni wote kwenye FNL
Unjuu
Nikki mbishi
Baba marcom
Bin upupu
Dizasta ndio nan tena
Ni emcee mkali kinyama tafuta ngoma tribulation ngoma yake uone utamu Wa hip hop
Nembo ya mtaa unjuu
Tukisema ukweli dizastar ni legendary ila moto wa Rapcha apana yani kwanza Rapcha ana mafanikio kwenye game kuliko dizastar kama wote wa wili wakienda kupiga show Kenya Rapcha aki tia mashabiki 100 basi dizastar ata kua mwenyewe on stage
Hujui chochote
We ni kuma tu ujui kitu wapumbav kama ww ndio wanaakil mgando na izo ngonjera zenu ,futa candy crush kweny sim
Qma wewe😂🤣hujui kitu mako
Dizasta vina ni number nyingine usimfananishe na uchafu hip-hop tunajua nini maana ya dizasta
Ww endelea kuskilza tu taarabu