Part 1. Nikki Mbishi afunguka kuhusu katiba mpya, sitaki maua yenu, Blue/Nyandu Tozi Malengend.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 43

  • @addamschamwande7734
    @addamschamwande7734 Рік тому +8

    Uhulu wakuabudu skuizi umepitiriza ukienda nyumba za ibada naona kama wanaigiza pesa wanaingiza kwa mafuta ya upako imani yanguvu zagiza inafanyika tupo macho brother unjuu sjui nikwambiaje 💥💥💥💥🎙️🎙️🎙️🎙️

    • @skataezer7487
      @skataezer7487 Рік тому +3

      Uhulu ni Nini hiyo ndugu yangu jifunzeni basi Kiswahili

  • @nicksoncharles-kx3gr
    @nicksoncharles-kx3gr Рік тому +7

    Leta full interview Chen kuzngua ganja Unju ana bonga fact Alafu Albm nmenunua Ina Mawe heavyweight

  • @mkolekulwa3090
    @mkolekulwa3090 Рік тому +4

    Unju ana akili sana huyu mwamba watu kama hawa ni faida sana Kwa taifa lolote duniani

  • @t.ikingtz5703
    @t.ikingtz5703 Рік тому +3

    Uwa naenjoy San interview za #unju

  • @LIMATV_TANZANIA
    @LIMATV_TANZANIA Рік тому +2

    Mahojiano mazuri tena ya kimkakati. Yanakuza utamaduni halisi.✊✊

  • @samirmswahili
    @samirmswahili Рік тому +6

    Mbona interview fupi wapi tunaipa yamuendelezo?

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp 5 місяців тому

    Unju Chukua Jimbo Mzee Baba

  • @pademwanaharakati8980
    @pademwanaharakati8980 2 місяці тому

    Una akali sana, kweli asiyejielewa hawezi kukuelewa

  • @pharergyramson5918
    @pharergyramson5918 Рік тому +2

    Kumsikiliza Unju inabidi umsikilize mwanzo Mwisho Sasa hapa ndo mmefanya nini

  • @daddyarfaksadi
    @daddyarfaksadi Рік тому +3

    MHeshimiwa DR.UNJU💯💯💯💯💥💥💥💥💥💥💯💥💯💥💯💥👏👏👏🤝🤝🤝

  • @emmanuelbrassy4000
    @emmanuelbrassy4000 Рік тому +2

    Mzuka mwingi Unju

  • @user-rc6ww6rx7n
    @user-rc6ww6rx7n 9 місяців тому

    Hashimu anaimba wee upo boya ww

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 Рік тому

    J.R Junior Naenjoy sana ukihoji interview zako haswa hup hop unasupport kubwa bro

  • @ambroceharouna1612
    @ambroceharouna1612 Рік тому +3

    Akili nyingi unjuuuu

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Рік тому +1

    Legend

  • @pademwanaharakati8980
    @pademwanaharakati8980 2 місяці тому

    Wee mwamba ni mwanaharakati piua, unajua jinsi ya dadavua kitu kwakina majibu yaliyoshba

  • @testarguy8609
    @testarguy8609 Рік тому +1

    Interview za unju,chid na eyez nako hua naenjoy na hazichoshi

    • @bobolino1951
      @bobolino1951 Рік тому

      Wewe kama Mimi kabisa na nyandu tozy pia

  • @hamzaobadia590
    @hamzaobadia590 Рік тому

    Kumbe J r yupo times fm

  • @BugaJustine-wr9pt
    @BugaJustine-wr9pt Рік тому

    Baba ckupingi mazee

  • @tulisanga2023
    @tulisanga2023 Рік тому

    SEMA unju anabalaa kwenye mahojiano yeyote

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 Рік тому +1

    Nimerudi leo nilikua mtatumalizia ila bado wapi tuifate maana timesfm ipo nusu jr vip unatusumbua wafuas wako

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 Рік тому

    Hiyo mic 🎤 yenu inatakiwa kunyanyuka kidogo sauti iko chini

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Рік тому +2

    Hiphop wana akili
    Waimbaji wakihojiwa ni ovyo tu

    • @baloziubalozini5074
      @baloziubalozini5074 Рік тому +1

      Ni Hiphoppas(Wanaohusika na utamaduni wa Hip Hop)

    • @frankkajoba8372
      @frankkajoba8372 Рік тому +1

      Iko wazi Hip Hop artists wengi wanaandika kwa kufikiri( kutumia akili), wale wengine wanaangalia udaku, ngono, kiki, utunzi hafifu na upumbavu mtupu kwa walio wengine

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 Рік тому

      @@frankkajoba8372 kweli kabisa

    • @LIMATV_TANZANIA
      @LIMATV_TANZANIA Рік тому +1

      Hata mashabiki wa muziki wa RAP Wana akili pia😂😂

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Рік тому +3

    Sasa nyie CHIMBO LA HIP HOP kwanini mnapost interview muhimu kama izi NUSU NUSU? hata kwa wakazi mmefanya vivyo hivyo

  • @tunyoorap825
    @tunyoorap825 Рік тому

    Bin upupu

  • @all-victorious2156
    @all-victorious2156 Рік тому

    Huyu jamaa ana nyimbo gani mbona kama hana hit hata moja??

    • @christophertz
      @christophertz Рік тому +1

      Duh 🤔

    • @santanatz2559
      @santanatz2559 Рік тому

      We utakuwa umeanza kusikiliza mziki juzi

    • @all-victorious2156
      @all-victorious2156 Рік тому

      @@santanatz2559 hizo ngoma zake alizowahi kufanya miaka ya 2009-2012 ni ndogo sana naona anajipaisha tu na kujiweka kwenye ukubwa asiokuwa nao.

    • @Ram_1893
      @Ram_1893 Рік тому

      Unamzungumzia jamaa gani?

    • @babalaujamaa7131
      @babalaujamaa7131 Рік тому

      Sawa toa wewe hit tuisikie