DIZASTA VINA aachia diss rasmi kwa RAPCHA ‘The Tribulation’, amshutumu kuandikiwa Mistari

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 січ 2023
  • Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership
    / @simulizinasauti
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 781

  • @abelbest4984
    @abelbest4984 Рік тому +79

    Kama unaamini Rapcha amekuja kupata uchambuzi huu sababu aelewi ngoma Og.Gonga like

  • @nillyjos1203
    @nillyjos1203 Рік тому +60

    Kama unamkubali dizasita nipe like 🔥🔥🔥🔥

  • @nickyvanich6214
    @nickyvanich6214 Рік тому +97

    Dizasta vina ni bora kuliko Shaaban Robert , sisemi hivi kuonesha kumdharau shebby no! Ila ni kwa jinsi uchimbaji wa maarifa wa Dizasta. Jamaa anaakili kubwa kabisa ni mwalim wangu wa siku zote kataja vitu ambavyo sijawahi hata kuviwaza. kAMA DIZASTA UNAMTUMIA KAMA MWALIM GONGA LIKE

    • @williamnazzareno8889
      @williamnazzareno8889 Рік тому +5

      Dah umempa kabisa mzee shaaban AKA eti shebby 😂😂

    • @MkbinladenNikunetotoz
      @MkbinladenNikunetotoz Рік тому +5

      Acha ujinga wewe shaaban Robert ni baba wa kiswahili duniani na muandish wa mashairi zaidi ya 458 .usirudie tena kufananisha kìswahili na msomaji wa kiswahili.

    • @seifbagilo2516
      @seifbagilo2516 Рік тому +3

      @@MkbinladenNikunetotoz iyo inaitwa personification kwenye literature ni mizuk tu kutokana ukal aliouonyesha D usimmaind kawaida

    • @Franklin0803
      @Franklin0803 Рік тому

      😂

    • @monixkarim-st4qm
      @monixkarim-st4qm Рік тому +1

      @@MkbinladenNikunetotoz ulizingua

  • @sahidymassoudysahidy8776
    @sahidymassoudysahidy8776 Рік тому +46

    Team tamaduni tujuane apa, Dizasta 🔥🔥🔥🔥mtu hatar sana unamsikiza uchoki

  • @princegabriel3770
    @princegabriel3770 Рік тому +73

    Wangapi tulikuwa tunasubiri uchambuzi.? Gonga like hapo

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 Рік тому +103

    huyu Dizasta anatak mwenzie afe na pressure 🤣🤣....aise hii diss track nikali sana but I like it sio kama wale wengine wanao bishana kwenye insta story.

  • @raymondmuga7542
    @raymondmuga7542 Рік тому +55

    I'm a biggest fan of rapcha, but this guy is another level

    • @allyabdallah1147
      @allyabdallah1147 Рік тому +1

      Rapture aachane na ii kitu uu moto auwez disasta n jinias ni noma na nusu

    • @ommyducati8165
      @ommyducati8165 Рік тому +1

      Oyaah Weeh Hilo Dizasta Ni Nuclear BOM

  • @nehemiahmguluka1996
    @nehemiahmguluka1996 Рік тому +34

    Hapa rapcha Alikunya ukweni 🔞🔞🔞🔥 👽👽👽

  • @gb-one6435
    @gb-one6435 Рік тому +103

    uchanaji wa Rapcha ni mzuri zaidi anavutia kuendelea kumsikiliza anavyo flow ila kiu andishi Dizasta nimkali zaidi sana Yani jamaa ni Janga kama anavyo jiita 😂

    • @pesaspy_tv
      @pesaspy_tv Рік тому +4

      Uko sahihii

    • @taufiqkweka669
      @taufiqkweka669 Рік тому +2

      Uko sawa

    • @NondoGenius
      @NondoGenius Рік тому +6

      Rapcha ni Drake ala Dizasta ni TUPAC , Mmoja mgumu mwingine mraini kwahiyo wagumu wengi tunasema Dizasta ndo anachana vizuri

    • @barakayesaya5000
      @barakayesaya5000 Рік тому +2

      @@NondoGenius sio ishu ya ulaini na ugumu, ni dogo si mkali kiuandishi, na hiyo ni swala kubwa kwenye rap. So anaendelea kujifunza

    • @samckiper9719
      @samckiper9719 Рік тому +3

      We jamaa ukifa uwozi

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah6669 Рік тому +35

    Dizasta ni hatari I love this aiswear sijawai ona genius rapper tz kama huyu jamaa ni noma sana bars to bars.language technically,heavy words which needs interlectual person.

  • @nehemiahmguluka1996
    @nehemiahmguluka1996 Рік тому +15

    "Sibembelezi warembo Mii sio Mario"inamaanisha pia raptcha ni mrembo so dizasta haez bembeleza ushkaj kwa raptcha km alivyokua anamuita ni best friend

  • @bizzleadam9895
    @bizzleadam9895 Рік тому +26

    Uyu brother Yupo kwny LIST ya Watu Wanaoskilzwa na NIKI MBISHI......Sasa Unadhan n wa Kawaida.....Huyu n Hatarii

  • @dizastavinafanaccount
    @dizastavinafanaccount Рік тому +16

    Nitakusimamishia shughuli ka sabato
    Siku ya sabato waumini husika husimamisha shughuli zao kuenzi siku njema

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 Рік тому +22

    Sky anafafanua vizuri mmno hata rapcha inabidi tu akuisikilize (sky)

  • @Mtumishi2000
    @Mtumishi2000 Рік тому +24

    kaka Dizasta anabadilika kama kinyonga... ni mkali wa hizi kazi asee, au haujaskia "confession of a mad "son" "philosopher" "teacher"" n.k🙌

    • @jacobraymond2309
      @jacobraymond2309 Рік тому +2

      Teacher inamtosha kujua mchiz anabadililika kama jini.

  • @jolamboi8842
    @jolamboi8842 Рік тому +122

    This song will always be exceptional.
    Beat ✅
    Delivery ✅
    Percussion ✅
    Lyrics ✅
    Flows ✅️
    Rhyme construction ✅️
    Melody ✅️
    Punchlines ✅️
    Overall barz ✅️
    Metaphors ✅️
    Charisma ✅️
    I hope everyone has a chance to listen to and enjoy this song.

  • @stevemwachi254
    @stevemwachi254 Рік тому +20

    COSMAS inamaanisha beauty au urembo..Rapcha analeta ubishoo wakati ni mrembo..akaendelea kwa mstari mwengine kukejeli jina bado aliposema habembelezi warembo yeye sio mario..
    Ukweli ni kuwa rapcha hawezi battle na vina huyu jamaa anawaza mara 100 zaidi ya rapcha anavyowaza pamoja na wenzake

    • @eddsonjeremiah6669
      @eddsonjeremiah6669 Рік тому +3

      Nimeenjoy kusikiliza I need more of this dizasta akili nyingi Sana sio mistari ya kuunga unga aiseeee dizasta ni number chafu ingekuwa Mimi ningenyoosha mikono juu siini Cha kujibu it's high level aiseeeee

  • @dizastavinafanaccount
    @dizastavinafanaccount Рік тому +31

    Heavy elements zinazaliwa baada ya star kufa-
    1. Oxygen, Helium etc hazitengenezwi lab, zipo naturally baada ya Nyota kubwa kulipuka.
    2. Star wa filamu Brandon lee mtoto wa Bruce anakufa 1993, Dizasta anazaliwa 1993

  • @mountaincoffee7
    @mountaincoffee7 Рік тому +10

    Wangapi wanaamini rapcha atakuja kusikiliza hu ufafanuzi ili kujibu masta vina like apa

  • @mandalasimshani62
    @mandalasimshani62 Рік тому +38

    Kama una kubali hili biff gusa like✌🏿

  • @sullekasaleh2315
    @sullekasaleh2315 Рік тому +11

    Dizasta umemzidi dogo kwa kilakitu mzee nitumie number yako nikutumie pesa kwa kazi nzuri

  • @afyandogo
    @afyandogo Рік тому +17

    Huu uandishi Rapcha haji kuufikia milele

  • @moziidavchonchi3338
    @moziidavchonchi3338 Рік тому +59

    Jaman huyo Dizasta uku mtaani tunamuita T'tcha.. mwalimu wa fasihi andishi na simulizi pia mistali yake utumika kufundishia vyuo vikuu Germany 🙌🙌🙌🔥

  • @visionally975
    @visionally975 Рік тому +28

    Oyah DIZASTA ni jini.. ikumbukwe ni kizazi cha mwisho cha aina yake

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Рік тому +1

      N toleo la mwisho la kiumbe wa aina yake

  • @dizastavinafanaccount
    @dizastavinafanaccount Рік тому +15

    Elephantiasis tissues za miguu zinavimba kama matende
    Info Elephantiasis ni hali ya kuwa na taarifa nyingi kichwani.

  • @macpharaonofficial269
    @macpharaonofficial269 Рік тому +15

    Thx Kwa kumsaidia Rapcha kuelewa alicho kiimba Dizasta maana Kwa uelewa wa Rapcha asingeelewa huu uandishi😂😂

    • @mtasma1994
      @mtasma1994 Рік тому +4

      Hahahaha kweli broh huyu jamaa hata mimi uandishi wake daaaah unanitisha maana anajua kinoma

    • @FxTtroy22
      @FxTtroy22 Рік тому +3

      Kwakwer 😂😂😂

    • @FxTtroy22
      @FxTtroy22 Рік тому +2

      Anaweza hisi kichina 😂

  • @nehemiahmguluka1996
    @nehemiahmguluka1996 Рік тому +63

    Hii ngoma bado ilikua na vitu vingi na upana mkubwa wa kuichambua Kaka Ila sio mbaya though Kuna Punchlines, metaphor na word play kibao ambazo haujazifumbua na kuzifafanua.But we appreciate your energy and effort Sir, Grateful 🙏🙏🙏🙏

    • @emmanueljohn5162
      @emmanueljohn5162 Рік тому +2

      u cant analyse each words rather lines with contents kuna line zipo kujaza vina na punchlines...this is best analysis ever

    • @nehemiahmguluka1996
      @nehemiahmguluka1996 Рік тому +3

      Yeahh sure,it also depends on how deep you analyze🙏🙏

  • @abdallatafaki7655
    @abdallatafaki7655 Рік тому +31

    Since day uno DIZASTA VINA is on top...all da way 4rom 🇰🇪🇰🇪 hii ni suicide mzee 🔥🔥🔥

  • @moziidavchonchi3338
    @moziidavchonchi3338 Рік тому +17

    Pongezi kwako kaka umechambua viziri sana hakikaa Dizasta ni shule 🙌

  • @tzoneboy9760
    @tzoneboy9760 Рік тому +20

    Bonge moja la series tunasubili episodes nyingine ni 🔥

  • @SUNDAYMRGAMINGTZ
    @SUNDAYMRGAMINGTZ Рік тому +12

    Niliwaambia dizasta sio Mtu.... Ni jitu.... 💚💛

  • @paulonjozi1638
    @paulonjozi1638 Рік тому +11

    Yeah nihivi kamarapcha anataka kujibutena nibola aandike barua akampe diz maana tumechoka utotowake anasaund mbayauyu rapcha

  • @starford
    @starford Рік тому +75

    I repeat, Dizasta is a monster. If Rapcha likes his career, he shouldn't respond to this

    • @kasimjuma6649
      @kasimjuma6649 Рік тому +1

      kwa mistari ipi???

    • @speaklifeafrica
      @speaklifeafrica Рік тому +1

      Let him prove himself

    • @starford
      @starford Рік тому +8

      Prove himself how again? These two tracks have already taught us what the better rapper is. Rapcha can't beef

    • @starford
      @starford Рік тому +6

      @@kasimjuma6649 umeusikia ule mstari wa dada ake? Alafu kuna ghost writers, how Rapcha is living a fake life and that weakly he came at his own homie

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Рік тому +2

      Rapcha alishasema hatoi kiki tena

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Рік тому +6

    Sijaona Online Tv whole World kama SnS ,ebu funguweni Radio or Tv please!!! Mnafanya kazi ya ziada 👊👊👊

  • @zahrababygarl1568
    @zahrababygarl1568 Рік тому +64

    Aise Dizasta ni mc bora sana free style zake zinaeleweka kama za King zila misamiati yake kila mtu anaelewa ...Moja ya sifa ya MC mzuri ni ku freestyle misamiati ambayo hata wewe ambae sio shabiki wa hip-hop utaelewa Vina ni akili nyingi hii track imehusika ubongo mwingi sana coz kuna maneno humu mpaka mimi sijaelewa yanamaanisha nini🔥🔥🔥🔥🔥 inatosha bro utamuuwa Rapcha

    • @danielngove
      @danielngove Рік тому +3

      Next time rapcha hafai kujibu this....dis track

    • @nasibumwigane6854
      @nasibumwigane6854 Рік тому +1

      Utaua

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab Рік тому +3

      wimbo huu tu ndio uliofahamika kwa Disaster coz now anabadilishwa na Rapcha

    • @johnphilipo6760
      @johnphilipo6760 Рік тому +3

      @@R10_Rajab kwa comment yako inaonyesha hujui unachosema

    • @ramamtanga3482
      @ramamtanga3482 Рік тому +1

      @@R10_Rajab umjui dizasta kaa kimya

  • @aishaobo6186
    @aishaobo6186 Рік тому +19

    Mr sky mm hua i dont admire beef bt this one make me like hiphop moree

  • @priscamwakalindile6689
    @priscamwakalindile6689 Рік тому +8

    DIZASTA shikamoo bro salute kwako king🥰

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 Рік тому +21

    nikweli ad Idriss katumia mashahir yake...huyu jama anajua to be honest....ngoma imetulia but maneno makali sana na inaonesha kwamba Dizasta anasoma vitabo sana

    • @edstoner4424
      @edstoner4424 Рік тому

      Kweli jamaa NI msomaji WA vitabu Sana maana sio Kwa hiyo mistari

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Рік тому +58

    U guy u know how to promote our arts u deserve the best of all

    • @nicholausmbilinyi3587
      @nicholausmbilinyi3587 Рік тому +2

      Bora umeliona hili aisee..media zote zingekuwa hv..muziki wa hiphop ungepiga hatua zaidi ya hii uliyopo sasa hv

    • @mountaincoffee7
      @mountaincoffee7 Рік тому +2

      Ase media muhimu sana hiii asanteni kwa kurudisha hip-hop kwa akili nyingi sana alizotumia hongereni sana sana sana kila napo pita simulizina sauti

    • @ramadhanmussa6588
      @ramadhanmussa6588 Рік тому

      Kiufupi sky rapcha mkali kuliko vina mimi na hip-hop kitambo kwenye hii rap game ya bongo , vina anauwezo wa kufikilia na kuandika ila kwa upande wa muziki hawezi sio tuu kumchana rapcha hiphop yake ni low sio level za rapcha
      Mshaulini tuu atulie rapcha mkali kwanza rapcha amefanya watu wamjue dizasta
      Inabidi amshukuru sana rapcha

    • @officialnadoboytz1005
      @officialnadoboytz1005 Рік тому

      @@ramadhanmussa6588 Unaongelea nin Mwana wemkundu wa msimbazi 😂

  • @macksonjuma5180
    @macksonjuma5180 Рік тому +12

    Kuanzia leo nimeamini hip hop sio flows pekee na pia kama hujasoma hip hop haikufai. Cosmas atajibu kweli hii?

  • @hamsinikhalid5551
    @hamsinikhalid5551 Рік тому +7

    'Disaster '(Dizasta) kama jina lake.. Jamaa anapanchi za hatarii 👌💯💯💯

  • @voomtv1254
    @voomtv1254 Рік тому +14

    GENIUS GENIUS GENIUS

  • @ezekiaaliko1015
    @ezekiaaliko1015 Рік тому +17

    hata rapcha alikuwa haeliwi naye ndo anasikiliza saivi 😂😂

    • @princemallya4085
      @princemallya4085 Рік тому +1

      Cosmas ndio anaelewa baada yakuja kusikiliza uku 😅😅😅

  • @rajabukimweri5893
    @rajabukimweri5893 Рік тому +17

    Dizasta ni winner kila sehemu kwa Rapcha
    1.Vina
    2.Story teller
    3.More than Talented
    4.A reader of Books
    5.and other issues in music writting especial in Hip Hop
    kuna interview moja niliwah kumsikia Prof ana jilaumu why hajampa Air time Dizasta coz jamaa anajua sana. so Rapcha inabidi ashauriwe aombe radhi kwa brother ake Dizasta ili azidi pata ma ujuzi katika Hip Hop

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah6669 Рік тому +6

    Sky tuache utani huyu jamaa ni bonge la interlectual rapper bongo hakuna msitari rahisi aiseeee very genius haijawai tokea bongo aiswear.i love this

  • @shabanbruno8136
    @shabanbruno8136 Рік тому +19

    Vina anasoma sana vitabu,anajua mambo mingi…ni mwandishi bora wa rap kiukweli ,jamaa anaandika sana

  • @fahramy1113
    @fahramy1113 Рік тому +13

    kaka Sky naomba uwasiliane na Rapcha aombe msamaha kwan kukubal kushindwa wala sio ujinga
    hahahahahaha

    • @svt3
      @svt3 Рік тому

      Fah Ramy: nakubaliana na wewe Uandishi wa Disasta unaweza mfanya Rapcha apate msongo wa mawazo kila kufikiria mashahiri ya Disasta, aombe Disasta msamaha yaishe

  • @abdallahkassim318
    @abdallahkassim318 Рік тому +31

    He deserve the best, Dizasta 🔥🔥🔥🔥

  • @edstoner4424
    @edstoner4424 Рік тому +10

    Rapcha inabidi asome vitabu Sana apate knowledge kubwa kuandika

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 Рік тому +53

    Yule dogo Rapture tulimwonya hakutaka kusikiya sio kwamba hayupo vizuri apana ni rapper moja mkali sana lakini huu moto aliyo ufunyaga utamchoma vibaya mno. ( ikumbukwe huyu dizasta ni rapper ambae anaweza chana ata wiki mbili mfululizo bila hata kupumzika wala chorus) jamaa kuimba bila chorus ni kawaida yake tena,wimbo hata dakika 10 na hato rudia neno na vina kama yote ...
    Kwenye hii vita Rapture nikama Ukraine anaedanganywa apigane na Dizasta ambae ni urusi uku rupture Ukraine akijuwa fika hawezi kumshinda dizasta ambae ni urusi

  • @Makavelithedon2086
    @Makavelithedon2086 Рік тому +13

    *Rapcha ni last king of 90s*
    *Dizasta vina yeye ni kizazi cha mwisho cha aina yake*
    *Tuseme tu ukweli Dizasta vina ka m’murder Rapcha kweli kweli*

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Рік тому +13

    Hii battle imeamsha rap game...mmoja hapo mzuri kwa uandishi na mmoja kwa kuchana...much love frm🇶🇦🇶🇦

  • @cosbytz2370
    @cosbytz2370 Рік тому +18

    Dizasta Vina anataka dogo afe kwa Pressure

  • @jacksonmishwaro9671
    @jacksonmishwaro9671 Рік тому +12

    Aisee Rapcha atatusababishia watoto wote wa shinyanga tuhamie Mwanza..! Amuache huyu jamaa sisi huku hatutaki shida

  • @franksmalls218
    @franksmalls218 Рік тому +9

    Dizasta anasoma sana huyu mwamba sasa naelewa alivo sema kichwa kimetapakaa books kma library

  • @musanjalua2967
    @musanjalua2967 Рік тому +11

    D anaandika na kuchana sana. Big up
    Bro unachambua vizuri sana

  • @azizsuleiman5130
    @azizsuleiman5130 Рік тому +5

    Kama unamkubal dizasta gonga like

  • @dizastavinafanaccount
    @dizastavinafanaccount Рік тому +13

    Rapture alternative meaning ni kupazwa ( mfano siku ya mwisho kupaa mbinguni)
    So Rapture of the dead ni kuamsha maiti ili ziuliwe tena

  • @Abmusiqq
    @Abmusiqq Рік тому +14

    Hapo kwenye Amma rack him (Rakim) nitampa Big L. Rakim ni maanii mkongwe mwenye heshima zake kwenye rap industry. Of course umesikia hio Big L nayeye pia ni msani mkongwe. So dizasta amefanya word play ya hayo majina (clever sana) na pia ni homophone ya maneno 🔥🔥 jama ni noma sana

    • @CertifiedStoic
      @CertifiedStoic Рік тому

      Lot of bars went over lot of people’s heads.

    • @charlesignas5988
      @charlesignas5988 Рік тому +2

      Yeah man also speaking of hii word Big L the L stands for losing(kushndwa) kwahyo big L means losing big. 🔥 Co poa.

    • @moziidavchonchi3338
      @moziidavchonchi3338 Рік тому +1

      Umeandika nilichokua nawaza kabla🙌🙌

    • @charlesignas5988
      @charlesignas5988 Рік тому

      @@moziidavchonchi3338 nakubaliii

  • @LANDLORD_TV
    @LANDLORD_TV Рік тому +2

    Rapcha Alishawahi kufreestyle kwenye beat ya Frida aman (me na we) akawa kama anamtongoza hivi ndio Hao mademu dizasta Anasema sio level zake ni level za mond.. So akiwatext DM wanamuona mbwiga(limubukeni) and that's really 😂😂

  • @afyandogo
    @afyandogo Рік тому +21

    Rapcha anatakiwa kusikiliza huu uchambuzi ili umsaidie kujibu hii diss

  • @mtasma1994
    @mtasma1994 Рік тому +10

    Broh sky umemwelewesha Sana Rapcha maana asingeelewa

  • @blessing-baraka.
    @blessing-baraka. Рік тому +32

    Hatari sana....yaani hii ndio maana ya Hip hop 🔥

    • @danielngove
      @danielngove Рік тому +2

      Good.. sii matusi kama rapcha singing ma p****,p****..he is a kid yet to grow

  • @beckamohamed469
    @beckamohamed469 Рік тому +10

    Dizasta ni mtumwenye akili nyingi Sana aKuna rapakama dizasta duniani wewe🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️💕💕💕💕💕💕

  • @dizastavinafanaccount
    @dizastavinafanaccount Рік тому +5

    Bar builder (wajezi wa baa kulewesha)
    Bar builder (wajenzi wa nondo za jela)
    Bar bulder (wajenzi wa stanza)

    • @afyandogo
      @afyandogo Рік тому

      🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @gb-one6435
    @gb-one6435 Рік тому +19

    Nilisubiria sana Uchambuzi wako bro Sky 💪

    • @mwasokambingela9312
      @mwasokambingela9312 Рік тому +1

      Kaka etu Frederick bundala ni mmojawapo kati ya WADAU WAKUBWA SAANA katika TASNIA YA HABARI DUNIANI EVER,HAKIKA TUNAJIVUNIA HUYU KAKA ETU ANA AKILI NYINGI SAAAAAANA,NA HANAGA UPANDE ITS ALL ABOUT FACTS 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👊👊👊👊👊👊👊👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @Hashdough
    @Hashdough Рік тому +15

    Diss Dk 10+ Nzima? Tena January? 😢

  • @evancekimario2584
    @evancekimario2584 Рік тому +8

    Vina ni mwanangu so nitatembea na yeyote anaemgusa Kwa namna yoyote

  • @hamismalimungu921
    @hamismalimungu921 Рік тому +6

    Sema bro umeichambua vizuri sana rapcha itabidi apite kwanza hapa Dizasta 🙌🙌🙌

  • @SwahiliFilmTz
    @SwahiliFilmTz Рік тому +19

    I Don't Understand Swahili But Dizasta Ni Nyoko 🔥🔥

  • @mwasakaseti8139
    @mwasakaseti8139 Рік тому +9

    Bila shaka #skywalker umemsaidia rapcha kuielewa #tribulation truck😃

  • @sinaloa5698
    @sinaloa5698 Рік тому +10

    Dizasta ni nomaaa sana he's real hippop 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @josephchuwa9884
    @josephchuwa9884 Рік тому +5

    Pole Sana brother sky Kwasababu Jamaa amekupa kazi kubwa Sana lakini nimekukubali Sana Kwa hili Mpka umeweza Sana kuchambua Ngoma ya vina ni kazi Sana nawewe umefanya ivyo
    Nikirudi Kwa hii battle Jibu ni{ A} vina ni Zaidi ya hip pap ya bongo sisemi vibaya Ila kama yupi aonyeshe

  • @sospeteramos8393
    @sospeteramos8393 Рік тому +14

    Dizasta is a King of Hip Hop, IQ man

  • @dizastavinafanaccount
    @dizastavinafanaccount Рік тому +6

    Jamani wahasibu
    Dizasta kasema ukileta ULEJALEJA (ledger ledger) nakupost twice..
    Double entry system inasema every entry must be posted twice in the book of accounts... Genius 😭😭😭

  • @dizastavinafanaccount
    @dizastavinafanaccount Рік тому +4

    Gordon Na Shilton ni story kuhusu football kudondoka UK.
    Ikumbukwe modern football, set up na sheria zote zilitungwa Uingereza na tangu zitungwe Uingereza hawamuwahi kushinda kombe kimataifa ndipo msemo ukazaliwa kuwa football ilikimbia nyumbani.
    Mwaka 1966 Uingereza wakashinda world cup na ndipo mpira ukarudi nyumbani FOOTBALL CAME HOME. na Gordon aliokoa magoli ya wazi ikiwamo penalties kwenye nusu na robo fainali. Kwahiyo wakasema Gordon amerudisha soka nyumbani.

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Рік тому +12

    Sijui kama kuna msani yoyote TZ anaemuweza kumu diss akashinda,ana punchlines za nguvu kinoma👊👊👊

  • @nehemiamwashinani1821
    @nehemiamwashinani1821 Рік тому +21

    Disaster vina ni kama PAC au Kendrick lamar ✌️🔥🔥✅

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain172 Рік тому +9

    DIZASTA nomaaaaaah rapcha awezi Moto wa #vina

  • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
    @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG Рік тому +16

    Dizasta 8 - Rapcha 2 😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Tumpe kombe lake Dizasta 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @erastompongo8400
    @erastompongo8400 Рік тому +7

    Dyu uuuyu jamaa dizasta ni habari nyingine
    Ila Kuna vipande umeviruka ila big up

  • @msabatozeson9023
    @msabatozeson9023 Рік тому +14

    Ilibidi nisubiri uchambuzi ! Maana kuelewa kila kitu kwenye hiyo ilikuwa tabu kiogo

  • @barakakambi1469
    @barakakambi1469 Рік тому +9

    The black Maradona, on to the next level ...💥💥💥💥

  • @munzarymaeda4968
    @munzarymaeda4968 Рік тому +7

    Haya rapcha aje hapa apate tafsiri ya dis truck aloitka ili tuendeleee na mambo menginee aiseeeeee this man ANKO D ni zaid ya neno hatari lenyewe

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 Рік тому +8

    Kusema kweli rapcha akisikiliza hii ngoma peke ake hawezi kuielewa, kuna misamiati na tenzi ngumu sana umu jamaa kaitumia..

  • @reubenbaraka6869
    @reubenbaraka6869 Рік тому +9

    Narudia tena ukiona sky amesalute zaidi ya mara tatu broo. Jua ni moto saaaana

  • @thompsonkiputa6842
    @thompsonkiputa6842 Рік тому +15

    Once young killer said rap ni misemo., DIZASTA ni fasihi ya kiswahili chetu yaan ni Ticha I've done give your flowers bruh.!💯🔥🔥

  • @kilalakaila9762
    @kilalakaila9762 Рік тому +12

    Pure mind #dizastavina👑

  • @realhiphopmentalityforreal
    @realhiphopmentalityforreal Рік тому +9

    Sky I'ma Rock him and give him a BIG L kataja kumkunja kumpatia maumivu makali na Big Loss lakin kawataja Rakim na BIG L woote Marapa wa Zamani

  • @jofreymfugale4752
    @jofreymfugale4752 Рік тому +15

    Inzi kauwawa kwa nyundo 🙌🙌

  • @deadliestjourney5962
    @deadliestjourney5962 Рік тому +4

    sky after hii beef huyo jamaa fanyanae interview bhan

  • @imba7352
    @imba7352 5 місяців тому +2

    Mimi ni shabiki wa rapcha umeniuwaaaa naliaaaaaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @selemanishabani126
    @selemanishabani126 Рік тому +11

    Namkubali sana Rapcha but Dizasta anamuua sana dogo

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 Рік тому +3

    Dizasta ni Dizasta Kabisa the guy is on top of the Rap Music hiyo iko wazi labda mubishe tu kiushabiki na ushamba mwingi

  • @mountaincoffee7
    @mountaincoffee7 Рік тому +3

    Sky asanteni kwa kurudisha hip-hop tz Tena kwa kasi like zenu wanao amini hi

  • @rainerymathayo4426
    @rainerymathayo4426 Рік тому +8

    Dizasta ni habari nyingine jamaa ni fire kabsaaa…..rapcha atakufa na pressure

  • @buchi_gang272
    @buchi_gang272 Рік тому +5

    Daah uyu jamaa khaa 🔥 🔥 🙌🙌🙌🙌more than skills

  • @fkimwaga
    @fkimwaga Рік тому +7

    Dizasta wen't to school and still reads a lot.

  • @rajabukimweri5893
    @rajabukimweri5893 Рік тому +11

    Dizasta more than talented and more than story teller kuna muda Rapcha anastahiri atoe heshima kubwa kwa brother ake coz hamfikii hata chembe Dizasta me nimeshangaa Rapcha ana shangaa ngoma yenye dakika 8 wakati kuna magoma kibao kama Hatia series , Kifo , Confession series , Shahidi and other song na hii ni kuhidhirisha yeye ni bora kuliko Story teller mwingjne kwa nafasi yake # Rapcha inabidi atulie na ma brother zake apate madini zaidi

  • @hassanomar1041
    @hassanomar1041 Рік тому +2

    Big bro sky umeichambua hii mistari vizuri sana. Uko vizuri sana bro mimi nikishindwa kufafanua zaidi ila umenielewesha kwa kina.