ALIYEITUNGA KOMBOLELA AFUNGUKA/UGUMU WA ILE NYUMBA/KUMBE SIO TEMEKE/WATU WANAISHI NA ANAILIPIA
Вставка
- Опубліковано 30 кві 2022
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
ALIYEITUNGA KOMBOLELA AFUNGUKA/UGUMU WA ILE NYUMBA/KUMBE SIO TEMEKE/WATU WANAISHI NA ANAILIPIA
#Bonatv #Exclusive - Розваги
Watu wamekupenda kwa sababu ya uswahili wa Mama Kimbo na Kombolela, jitahidi kuwafurahisha kwa kujibu kiswahili ili uwe nao sawa! Japo tunajua ni mwalimu mzuri wa kingereza
Hongera sana abdul umejua kutukamata lkn kombolela umetukamata zaidi👏👏👏
Jamaaa ajengewe sanamu... Bonge la series 💘💘💘
Mtangazaji nakupa 100/100...unafanya kazi nzuri sana...KEEP IT UP
.
Mtunzi jitahidi hujibu maswali kwa Lugha ya kiswahili kama unavyoulizwa, wafutatiliaji wengi ni waswahili, unapochanganya Lugha kuna watu wanakwama hawakuelewi.
Kwakweli kama mimi mmmhhh😁😁😁😁😁😂
Hongera sana mtunzi kombolela iko juu sanaaa umegusa maisha halisiii endelea kutuletea vitu km hivi vya uhalisia wetuu
Hongera sana kaka una uwezo mkubwa sana Mungu azidi kukupa nafasi ya kuonesha uwezo wako
Yaani mtunzi hukukurupuka ulikaa ukatunga yaani hawo wahusika ndo kabisa umenimaliza wamebeba uhusika sawa sawa filamu inaruhusu kutizwamwa na familiya kwa pamoja yaani iko juu sijuwi atanisemeje kaah 👌👌👌🥰
Huyu mtangazaji yupo vizr kweli kweli
Kingereza kingi sana huo ni utumwa
Kombolela naipenda sana,natamani isiishe iwe kama isidingo
❤❤angetp mwendelezo hatima y tukae uko jera hatima ya siwa Na uchiz wake hatima ya madawa Na hatima y kila mtu jmn tuone ❤❤tunaipen bado inaishi
Hongera kaka cjawah kupenda tamthria kama h ya kbongo
Yani story zako zote nzuri kombolela adi mama kimbo
2022 kombelela na Juakali ya Lamata DStv ndio Moto
Kombolela nzuri sana
Abdul yaani Kombolela❤️❤️❤️❤️
Congratulations you are the best & talented
mazee huwa natamani ijumaa ifike ni jumapili isiishe ili niangalie kombolela...mashallah a very interesting story...Big up bro
Yaan Abdul kutunga Ma Kimbo na Kombolela Ni Maisha ambayo anayajua Sana na ameyaona kwa ukaribu Sana Hongera Sana🙏🔥
Daaa mungu akubariki sana maana kombolelaa ni balaaaaaaaa
Hongera sana Abdul kwa kazi nzuri big up
Mtunzi umeupiga mwingi Sana ujengewe sanamu
Mashallah kichwa sana uyu kaka
Naomba nafasi na mm samahan
abduli unilipe pesa yangu maan nimenunua king'amuzi kilazim 🤣🤣🤣🤣👣
Kombolela tamthilia bora 2022
Hongera. Kaka. Abudull. Allah. Akubarik. Sana
Kombolela gumzo la Afrikamashariki
Hongera zake
Tamthilia nzuri sana
Awesome 👍👌🏽huna juwa! Ww na lamata ni 🌶️
Hongera saaaaaaana
Hongera yake jaman anaweza sanaaa
Hongera mtuzi
Nyieee kingee
Kaka kaz mzr🥰🥰🥰🥰👏👏
Jmn Abdul naomba namba zako nami nahitaji kuingia kwa tasnia 😅😅
Big up kaka,Kombolela ni balaaa yaani
Mashallah
❤️❤️
HAJAMUHOJI KOBISI WA MAPENZIII
Iriki ya mapenziii😄😄
Na mama cholo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamani nimecheka kwa sauti sana
0
M
Kaka huku tupo tunatamani kuigiza na tunajua haswaaa ila namna ya kukufikia sasa😤😤😤
Ina maana kiswahili ujui vzr au??
Huyu kaka kazi nyingine ni mwalimu kabisaaa wa kingereza
Kaka anajuwa mbaka anakeeeelaaaaaaa yani unajuwa tena 😂🤣😂 piga kelele kwa kombolela yake weweweeeeeeeeeeeee
Hongera sana kaka umeupiga mwingi u deserve it