#EXCLUSIVE
Вставка
- Опубліковано 30 сер 2022
- #EXCLUSIVE: DIVA NA MUMEWE WAFUNGUKA MAZITO, MIMBA 3 KUHARIBIKA, MUME KUOA MKE WA PILI | MAPITO...
Karibu kutazama kipindi cha MAPITO kinachokujia kwako kila siku za jumapili na jumatano, ambapo leo tumeuzungumza na Diva the bawse pamoja na mume wake Abdulrazack ambao wamefunguka mambo mengi kuhusu safari yao ya maisha na ndoa yao.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - Розваги
Msiongee mambo yenu ya ndani sijapenda kabisa kuwafaidisha watu baki eti mimba 3zimeharibika mmeniboa sana apo diva Nice speech excellent 100 % apo tu mwisho wa kunukuu
Umeoneee!
This lady is very smart akona akili1❤️ MashaAllah hongera sana guys
There is a procedure called cervical cerclage it involves positioning of suture (stitch) around the neck of the womb (cervix)this will give her support and will definitely reduce the risk of her loosing her babies. Diva if they can’t do it in Africa then go to France 🇫🇷 they so good at it. My sister lost 5 pregnancies🤰 and she has now 3 kids and each of the 3 she had that procedure it’s amazing!!
They perform that procedure in Tanzania
One day the truth will come out
ALLAH awazidishie mapenzi. Mpendane milele. Aameen
Maneno mengi kuliko Akili. Pole diva umepotea kweli...Mganga na mteja kamroga roga ndipo akubali kuja ...pole Diva mungu akusaidie
Wivu tuuu
Ila huyu mtangazaji hayupo Presentable daaah all in all ...
Studio /🇹🇿 hatuelewi Kizungu, heshimu Global.. Ongea Kiswahili.
Majigambo meengi eti nilikuwa cjui hata kuosha kikombe kaa ungekuwa nzuri wew tungekoma
kubwa jinga linaona sifa
I really enjoyed your interview, uko sawa dada MashaAllah
Diva my dear kwann uachani na yule mwanaume ni tapeli yule akufai jmn
🤣🤣🤣 miwani miwig mhh acheni kumdanganya uzuri hana hata kidogo wakawaida sana msituchoshe halafu muongo muongo
👏👏👏👏👏 safi sana viva
Jmn watu hamumpendi diva ila mm ananifurahisha sana mambo yake she is a real tv personality😂😂😂
❤️🇬🇧
Watu wanaovaa miwani hizi nyeusi au za giza huwa waoga wa uhalisia wao au waongo wanaficha ukweli. Tutaona mengi mwaka huu angalieni hizo body languange. Na wanakuwa wasemaji saaana ili wapate waaminiwe lakini ukweli upo palepale, iko siku mtaniambia haya juu ya ukweli hapo na uhalisia wa mahusiano haya. 😳😳
100%💕
Ndio maana anavaa miwani muongo mkubwa huyu million 10 ya matako yako 🤣 tubu dada uongo unamwisho wake 🚮 so ukachagua protection over 500Milillon ??? Nakojoaaaaaa🤮
Umeonaee muongo mpaka muongo tena
@@chillboo-4328 muongo tena hamuogopi Mungu yaan m500 ingempa zaid ya protection
@@feynation3739 yaani anajishauwa utazani ako na Miata 21
Kweli muongo
Ht hizo mimba pia ni muongo🤣🤣
Shida ya huyu dada ni Moja tu anapenda sana sifa.. labda tu nimuulize kwani hajawai kutembea barabarani?? Acha sifa dada duniani tunapita..🇰🇪
Wana Globa hii diva katupiga na kitu kizito kichwan so kwa uongooo huoa M10 😳🤔🙌🏻
Diva, Iove U. Unajielewa na unaongea kwa kujiamini sana. Couple yenu ni nzuri sana mnapendana na kuendana na mumeo. My advice, ushakuwa muislamu sasa. Kubali mambo yote yanayoendana na Uislamu. Anything happened in future, take it easy, zidi kumpenda mumeo na kubaliana nayo. Dont U ever think kuachana na mumeo. Anakupa furaha sana uliyokuwa ukiitafuta. I wish ningewaona nyote.
kwani kaukybali au kafata ndoa tu ? tizama ilompa kuslimu kwanza . Pia mtizame huyo alomfanya aslimu anafata maadili ya kiislamu ? km wewe mwenyewe huijui dini yako huwezi kumuingiza mtu mwisho wa siku atakubadilisha yeye ( km yeye ameisoma dini yake )
No human is better than the other,kuwa na kipato kushinda mwingine haikupi ruhusa ya kumdharau mwanadamu mwezio,be humble Diva
Namelewa sana Diva.
Diva and husband 😍 Mnaendana Sanaa 💯 Nawatakia Kila la kheri. Beautiful couple 👫 👌🏽💯
Tatizo la wewe Diva ni muongo muongo yani hapo vya ukweli ni asilimia 50 tu lkn ving vya uongo
Diva ana mental issues, kujisifu, mrongo etc
Mmmm..kwa kweliii
Ni mbayaa
Sura hapana
Diva kwanini usiwe Mkweli 🤷🏽🤔 Yaani wewe Ongea Kiswahili!
Km hajazoea afanye nn
Nel ninani?
Diva ua the best
Yani unajisifia ujinga eti kasome then kalala then what? Hiyo sio sifa
Nampenda mtu anae jiamini Diva simamia maamuzi yako jikubali maneno ya watu uwa ni mengi wewe endelea kuwashangaza tu imeubwa hivi uwez kupendwa na wote
Mdada anapenda misifa huyuu...af anapenda kuonekana mtoto wa kishua wkt ushamba mwingii
Am Tz🇹🇿 💋Diva anaongea point❤💯 hadi sad kwa Kweli kukosa malezi wazee umepungukiwa kit maisha 😭😭 tunayopitia
Sheba msalimie sana all way from NJ back then lol!
This lady what she’s expressing herself is not how she’s, she’s dreaming that kind of life which she doesn’t have it. How can someone forget if she start working on her career when she was in university or high school? Doesn’t make sense. She’s not genuine at all. But if she’s, May Lord bless her. By the way, who am I to judge, . Someone please reminds me to mind my own business please.
Hajawahi enda chuo huyu. Tena kizungu cha ku watch movie za kizungu. She so fake tena tena.ipa babake tajiri
@@christercheru8328 alisoma international school nasikia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wig la kizungu Diva umetisha
Lavi davi we got 2party lol!
Long time sis pls inbox ur brother lol!!
Diva uongo wako hauna kumbukumbu siku ya ndoa ulisema mumeo anamke mmoja na nimwarabu
Eheee ndio alisema ana mke mmoja Muarab huyo sawa anakubali. Hata mimi nakumbuka alisema hivyo.
Aaalllah amjaliye apatemtoto diva
Hawa wanakimbia kuzaa waonekane waschana hawataki maombi ndugu
Ana watoto wengine wa nini??
Nawapenda Allah awadumishe
Nawapenda san couple
🤔
Uwongoo uhooongoo uhooongoo uooo
Dental formular ya Diva ni mbaya sana plus lips du du duduuuu 🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Diva anajikuta ni wamatawi ya juu
Yani Duruvan kalia kisa umeolewa kkkkkkkk lol 😆 kalia kabisaa?
uongo uongo sana😂😂😂😂😂 uongoooooooo!
Hivi akiambiwa arudie hayo aliyoongea ataweza😅 mi mwenyewe nimeisha sahau alichoongea mwanzo😂😂😂
Huyu uongo utamfikisha pabaya sana na sifa za kijinga kutwa kujidanganya
Ana sifa na uongo mwingi mpk kapitiliza
Nawapenda bureeee mbarikiwe uingiapo na mtokapo
Huyu jamaani muongo hajui dini pumbavu!!! Dini inaruhusu m/mme kuoa si lazima kuwepo n'a sababu, eti hazai nooo! M/Mme kama anauwezo wa kuwahudumia wake zake, na ana nguvu zake, anaruhusiwa muhimu ni kufanya uadilifu n'a sio unabase upande mmoja, hiii ni sheria imewaruhusu wanaume, bcoz wanawake ni wengi n'a wanaume wengi wanafariki vitani, so kila Mme 1 akioa Mke 1, wangine wanawake hawataolewa.
Achakuongelea vitu vinavo vunja ndoa Mara nyingi
Ww c ulisem umellewa na Bibi jmn😂😂😂😂sijaelewa na leo Baba🤣
Duh n hatari
Jamani naomba kama mna no ya Saida Karoli mtakuwa mmenisaidia sana
Mungu ailinde ndoa yako DivaAdui zako wanatamani uachike usikubali mkabidhi Mungu maisha yako
Weeee anahusikaje kwa interview ya mrembooo😂😂😂😂😂
Mi naikubali Sana kazi yako Ila punguza kufeck life Cha kwanza pili punguza kuvaa vitu feck staa gan ubatuvalia miwani ya buku nne kingine mwanamke gan ety huna ata aibu ya kusema hujui kuosha hata kikombe ety hujui kupika chai mtanga gani hajui kupika chai wacha kutudanganya bhana 🤣
Sena Mwana F.A hajiskii anajiweka.waakawada.
Eti kiswahili kinampiga Chenga😂
Ila wanajifanya wazungu
Shida ya diva ni kujishauwa mwingi yn anajikuta ndo ana hl nzur sn Shida azijui
Diva Michael Jackson
Wako jakoo😂😂😂😂😂
🤣🤣
Diva jamani sifa ndo vazi lako dada wallah hatarii
Nawa penda sana
Eeeee men. Ukweriiiiii
Watu wana masifaaaaa👐
Mmmmmh kunbe nuasiri yao kujiskua wabondei tena No kula mihogo na. Mafeneai😂😂😂😂😂😂😂
Cheni diva😂😂😂zimekabaaa ila sio siri nakupendaa
Shingo nene
Mie nilihuzunika niliposikia wameachanaaa naomba busu hebu mnifurahishe mie wambea waoneee
Mnaosema Diva mbaya msimkufuru Mungu aliyemuumba ni mzuri sn
Diva kawa kipofu
Weeee 😂😂😂 usiseme hivyoo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Watangazaji mmemjaza san
Sasa diva ulivoelewa hukujua kwamba dini inaruhusu wake wanne eti utamalizana naye
Huyu kumbe chizi lots of roses za kusaidia nn
Diva na mamiwani machafu
🤣🤣🤣🙌eee machafu
Lipoje hili lidada liuso lake limevimba vimba
mmmh we uko chuo field unakatazwa na baba😆😆😆
Diva anaboa Sana kwasifa nauongo
"Nimelelewa kwenye mambo ya helahela "
Mdomo wangu nyamaza, nisiongee labda nitakosea!!!
Uwa spendag anavosema hivo,wakishua uwa hawajisemag asee.
🤔🤣🤣🤣🤣🇹🇿
Ila anamkana baba nakuwabagua watoto ajabu kweli
Nahivi mlianza kumwambia asiongee kingereza ndio anatufanyia kusudi jamani diva wewe 😃😃😃
Mbona amepanick huyu Diva..?
sauti ya mchongo
Muongo huyo kama unapata hizo mbona hununui nyumba unapanga tu na pia huyo abdul ndomaana ana use wewe kwa kujua una pesa au majisifu yako
Watazania tumejariwa kwauongo njama tunatakiwa tuzo,
Wanaendana waacheni wapendane
Dada muhongo huyu
😂😂😂😂😂
Wewe umepata laghai hata mahari ukasamehe yoye ukaolewa bure
Sio kweli mke hatangulii mbele bali mume ndio anakaa mbele mke ndio anakaa nyuma utaratibu uko ivyo.
mke na mume hiyo miwani kama bundi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wabaya
Mumeo alikwambia uso kama chapati anataka kiki tu
Wash safe Abdullazack
Safiii
kwani huyu dada n muhaya jmn
🤣🙌
Mtanga
Diva anajikuta Kim kardashian, eti level una level gani? Ungeolewa n'a huyo mpumbavu? Eti diamond/ zuchu wameperfom umewalipa? It's just favour to their employee
huyo mama wa pembeni aliposkia mil.10 😂😂😂😂😂😂😂 kawa kama kaumwa kunguni 😂😂😂😂😂 ahahahahahahaha diva bhana muongooooo aiseer
🤣🤣🤣🤣
Sawa lakin chandani mnakijuwa wenyewe kila laheri
Huyu Dada anapenda sifa jamani huongo mwingi nahuyo mganga wako ukipigwa kibuti utakaa sawa kkkkkkkk lol nahiyo miwani
Msidharau wake waliokuwa nyumbani hawana kazi mshenzi wewe
Muongo kumanyoko zake na mgongo wake kama chura milion kumi anaijua akiiona she is so fake i really hate her🤬🤬