asiefunzwa nawazazi anafunzwa na dunia kweli nimekuwa nikimukomment sana hivyo hata bado hajahonja jela.na asipojituria tulia yatampata mengi zaidi ya hayo.
Lulu, usitake kulazimisha maneno, Swali ni ulikuwa napangilia kuhongea nini ukiwa Kwenye interview fulani. Yaani nijambo ambalo tayari ulisha pangilia, siyo uhanze kufikiria tena ukiwa nawazia that means u didn't have any thing to say.. Lakini hongera!
i love u lulu but i c no reason 4 u 2 try speak 4reign language on yo interviews wakt huwezi umebaki unastak stak, punguza kujipritend kuongea just b yourself & speak lyk ukiwa home.my love i only advise u lyk ma little sista plz never do dat next tym unajiaibisha especially huo msamiati mpya uloupata wa "actually" yani mpk inaboa!!! but all in all yo ma fans kip it up gal
much respect 2 u lulu cz unakula jasho lako, no body z perfect, kip it up dada kuanza upya c ujinga na hauwez shindana na mdomo wa mwanadam ""
P
P
just happy lulu leveled up...hii ngeli hapana
Gud to c u back lulu mungu akubariki..
It's great seeing you back.movie zake wamba sana.Wikipedia khaki but huku ni wakati wako
Yaani Lulu nimekupenda buuuuree
Zawadi ya shule ilikuwa 1,200,000.
asiefunzwa nawazazi anafunzwa na dunia kweli nimekuwa nikimukomment sana hivyo hata bado hajahonja jela.na asipojituria tulia yatampata mengi zaidi ya hayo.
Hakuna haja ya kumuhukumu lulu juu ya yalopita coz ye ni binadamu hakuomba matatizo yamkute pia ilikuwa ni kipindi cha mpito
rudi chuo shoste lulu uzungu hauna jifunze ngeli za consonants & vowels upo nyuma sana!!!
Lulu, usitake kulazimisha maneno, Swali ni ulikuwa napangilia kuhongea nini ukiwa Kwenye interview fulani. Yaani nijambo ambalo tayari ulisha pangilia, siyo uhanze kufikiria tena ukiwa nawazia that means u didn't have any thing to say.. Lakini hongera!
i love u lulu but i c no reason 4 u 2 try speak 4reign language on yo interviews wakt huwezi umebaki unastak stak, punguza kujipritend kuongea just b yourself & speak lyk ukiwa home.my love i only advise u lyk ma little sista plz never do dat next tym unajiaibisha especially huo msamiati mpya uloupata wa "actually" yani mpk inaboa!!!
but all in all yo ma fans kip it up gal
Lulu jifunze kudanganya vizuri maana ukweli umekushida
aisee,you should go to school my dear.thinking capacity bado ndogo na ya kawaida.u need to match with the world changes.work work work
Jaman lulu kiukweli bana unahitaji kwendashule. Bado mchanga kielim nivizuri kwenda shule
Kwan xafar badondefu
Is English taught in tanzanian schools really..??? cant she express her self in English?
lulu acha ushamba na jifunze kuskiza swali uelewe ndo ujibu swali usitumie kizungu juu hujui kabisa labda uache tabia mbaya urudi shule
❤
wawoo ili kuwa poa sn..nyc lulu!!!
2024
She needs to go back to class#just saying
The host is not asking the questions and Lulu is not answering anything. why is Lulu us talking about herself in the third person.
Kisauke secondary school ilikuwaje cjui
Dieu vous bénisse et vous garde longtemps
huwa hajui kuelezea siku zote kazi kung'atang'ata maneno na kuingizia vineno vya kiingereza utadhani anajifunza kiswahili
maisha yanapita ww ndiye muamuzi pekee jiweka sawa
Nani ako na namba ya Lulu anitumie?
Njoo inbox
@@ppendo3611 wacha masihara bwana
Tanzania should come out of that cocoon and come to the the world."Speak english".
Peter makau mutuku no need for that because Russians , Spanish , Portuguese and the others don't care if you understand them or not
Nice my dear
Uko vzr dogooo
God help her to do wont she wont to do.
huyu mtoto ni muongo sana ila the time will tell,,jumba bovu likidondoka atakuja tena hapa hapa kuomba msamaha
I love you
hope u gonna change 4 de beta.
the show was meant for tanzanians. poor you
unajua hata jamila(sophia)anakushinda kuelezea
Kabadilika huyu mtoto ona hata nguo alovaa kajiheshimu kidogo lakini sijui
Amekua Sasa
shule muhim jamaa ona lulu anajichanganya tuuu
Did she go on trial and get acquitted or what?
very sorry for erything but you have to go to school just to prosper your talent.
U luk nc
GOOD
mhh kwakwel skul muhimu yan hap lulu anajing'ata kuongea English anabak kuongea broken tu hapo
Zama maswali yako bana
Hyo video yamuda
Mambo vipi
hanjui kuongea huyu, thick mind
Anahitaji mwana ume kama marehemu kanumba ili nae ,,,,,,,,,,
Like it
sachu masangu nnnnn
mia
Kwanini haukuna kitu naelewa????????????????lol
ilikua ni lazma kusema
05:30 😂😂😂😂rudi shule lol
Little knowledge
zam your words
i cant here
Mburura.....kilaza kwl!
Not satisfied with the interview..!
hichi kilulu kiongo. hata pale alipokuwa hajapata matatizo. pia kilisema uongo akina bwana.
kiongo kama kanumba
Haaaaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂