RASILIMALI YENYE THAMANI KUBWA ZAIDI DUNIANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 87

  • @gospelthusiast
    @gospelthusiast 4 роки тому +5

    Yes MUDA SHARKER ZULU.... Nimeielewa sana hii... Kwa mnaosoma; kuna kitu wanaita OPT Other Peoples Time; Kwamba kutokana na muda kuwa scarce unanunua muda wa wengine wakufanyie mara dufu ya talents zao... Yaani kama anafikiri kuuza nguo basi anaajiri wauzaji wengi kadri wawezavyo... Asante sana Shaka shaka ZULU kwa Nondoz

  • @rashid8310
    @rashid8310 4 роки тому +26

    Katika Quran kuna sura nzima inazungumzia thamani ya muda (Surat Asri) Mwenyezi Mungu anasema
    1.Naapa kwa wakati
    2. Hakika mwanadamu yupo katika hasara
    3. Isipokuwa kwa yule aliye amini , akafafanya yaliyokuwa mema na na mwenye subira(patience)
    : Wakati ni kila kitu

  • @premierktg4323
    @premierktg4323 Рік тому

    Jeff Needs To start doing More of these Videos .
    Absolutely This Is A well Explained Video every Tanzanian youth especially the ones In the university needs to listen.
    #Madini

  • @sarafinamaneth3236
    @sarafinamaneth3236 4 роки тому +5

    Sure Dennis uzidi kubarikiwa kwa kutoa madini mazuri,as I told you one day I will take u to my projects ambazo ni matokeo ya mafundisho yako

  • @kenworthrugambwa
    @kenworthrugambwa 4 роки тому +2

    Mkuu wewe ni Genius. Tuko blessed sana kupata vitu hivi bure.

  • @almasibashir5557
    @almasibashir5557 4 роки тому +3

    Sirjeff Shka Zulu....eeh bwana umenkumbusha mbali sana🤣🤣🤣
    Anyway, tukirudi kwenye mada, dizain kama kwa maono yangu naona "The Human Brain" is the Big 🦈 here, not 'Time'. Unaongeleaje hilo?
    Salute kwako mzazi. One love.

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 Рік тому

    The reality of tanzanian education ,bushit😂😂😂

  • @lutagatejumanne6254
    @lutagatejumanne6254 4 роки тому +1

    Ahsanteh kwa kutukumbusha iko poa sana

  • @kaizapascal7361
    @kaizapascal7361 4 роки тому +4

    haha apo kwenye kiwanda cha Nyati cha unga dah umenikumbusha nilifanya field apo baada yakuona sina pa kwenda haha... much love bro keep it up!!

  • @lazaroletion
    @lazaroletion Рік тому

    Very inspiring 🔥🔥🔥🔥

  • @markboaz5722
    @markboaz5722 4 роки тому +1

    Good work. Your inspiring

  • @godfreybaraka1532
    @godfreybaraka1532 4 роки тому +7

    Sir jeff am iko poa lakini the background music ni kubwa sana sauti inakuwa haisikiki vizuri #IKOPOASANA

    • @eddycheune6547
      @eddycheune6547 4 роки тому

      Simu yako mbovu

    • @ibrajames6288
      @ibrajames6288 3 роки тому

      Mbn anasikika vzr isitoshe ye ni expert mpk kuupload video ameiangalia vzr

  • @damaka_
    @damaka_ 8 місяців тому

    Nilivofika six tu akili yangu iliwaza pesa hata mkopo wa chuo sikuomba na nilisoma pcm though malengo hayakuenda vile nlivopanga.

  • @christianyouthinbusiness
    @christianyouthinbusiness 4 роки тому +4

    Extra~~Ordinary

  • @allysaid165
    @allysaid165 3 роки тому

    Umetishaaa mkal wangu

  • @MaxEmpire13
    @MaxEmpire13 Рік тому

    Interecture

  • @money.geeked
    @money.geeked 4 роки тому +4

    Play well with time SHAKA🔥🔥

  • @derrickarnold150
    @derrickarnold150 4 роки тому

    Kuna watu humu vichwa ngumu🤣....muda ndo kila kitu mazee..Jeff yuko on point

  • @growrich2332
    @growrich2332 4 роки тому

    Hipo vzur sana hii bro

  • @leonardemmanuel6376
    @leonardemmanuel6376 2 роки тому

    Japo too late but thanks bro

  • @emiirseyyid652
    @emiirseyyid652 2 роки тому

    Kabisa

  • @bibianathadeus6217
    @bibianathadeus6217 4 роки тому +1

    Iko powa sana

  • @lameckdavid7033
    @lameckdavid7033 4 роки тому

    Kama umeniona kipind nachopitia na niliyonayo kichwani , pamoja sana shaka zulu

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 4 роки тому

    That's good bro.

  • @danilombwambo127
    @danilombwambo127 4 роки тому

    Nakubal xn maana napenda mamb hayoo xna Broo angu

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 3 роки тому

    We jamaa ni msomi mwenye faida

  • @mr.cryptotab632
    @mr.cryptotab632 4 роки тому +1

    SASA HIVI , SIO KESHO, NI SASA HIVI🙏🤝

  • @mrunboxing8886
    @mrunboxing8886 4 роки тому +3

    Thanks man,kila siku tunajifunza kupitia wewe shaka.......
    OKAY KAMA UNAPENDA KUJIFUNZA MAMBO MBALI MBALI KUHUSU COMPUTER KARIBU USUBSCRIBE KWENYE CHANNEL YETU @Laptopbae

  • @medinakichere6114
    @medinakichere6114 4 роки тому

    Samahani jeff naweza pata no zako naomaba yanikutoka niameanza kungalia video zako nimejifunza mambo mengi sana mapaka natamani2 kuongea na wew

  • @tripletalcantara6531
    @tripletalcantara6531 4 роки тому +2

    Napokeaga lecture la muda sana ila ya leo nimeielewa vibaya mno

  • @simuspot
    @simuspot 4 роки тому +1

    God bless u

  • @Royal_official67
    @Royal_official67 3 місяці тому

    ❤❤

  • @charity3978
    @charity3978 3 роки тому

    Sirjeff dennis

  • @revocutusmayengo714
    @revocutusmayengo714 4 роки тому +1

    SirjeffOnDemand🔥

  • @SWIFT-EMPIRE
    @SWIFT-EMPIRE 4 роки тому +1

    iko poa sana

  • @nicholausmnzava3101
    @nicholausmnzava3101 3 роки тому

    Ua blessed bro,unapatikana wapi now bro

  • @nassirali4472
    @nassirali4472 4 роки тому +2

    My plan is failed Huend nikaw nachez na muda negative ? ( picha broo , karibu Zanzibar)

  • @kingcopper_tz
    @kingcopper_tz 4 роки тому

    Next topic tafadhali, tajiri ni nani? Sifa au vitu vya kuashiria utajiri, networth ipi inaku verify kuwa tajiri Tz

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 4 роки тому

    Kaka no yako tafadhari

  • @nolaskomulokozi23
    @nolaskomulokozi23 4 роки тому +1

    Asante kaka

  • @janeangatia803
    @janeangatia803 4 роки тому +1

    How does one contact you?
    Fun from kenya

  • @samyjohn2389
    @samyjohn2389 4 роки тому +2

    Shark shaka zulu on demands

  • @oraoraa6460
    @oraoraa6460 2 роки тому

    sasa kakaa tunaomba basi utupe practical yani utuoneshe forex sasa kwenye simu au computer tuelewe zaid

  • @rubberbandman1213
    @rubberbandman1213 4 роки тому +1

    Professor

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 4 роки тому

    Kizazi sana

  • @eliudcopy1185
    @eliudcopy1185 4 роки тому

    Good

  • @innocentlyary9804
    @innocentlyary9804 4 роки тому +1

    respect

  • @piusmbita4051
    @piusmbita4051 4 роки тому +1

    Power

  • @renatuskiiza5199
    @renatuskiiza5199 4 роки тому

    Shaka shaka zulu 🔥🔥🔥

  • @allysalumchau1580
    @allysalumchau1580 4 роки тому

    👊🏾bravo !

  • @nassoromohamed9279
    @nassoromohamed9279 2 роки тому

    King SHAKA

  • @amanmgisha1000
    @amanmgisha1000 4 роки тому

    Iko poa sanaa

  • @samyjohn2389
    @samyjohn2389 4 роки тому

    Powerfull

  • @mrmangetown4323
    @mrmangetown4323 4 роки тому

    Broo umeniuzi umepoteza muda wangu kwa story zako za mafuta na gesi

  • @SunsetHunter4526
    @SunsetHunter4526 4 роки тому +1

    True Story Man 👍👍👍

  • @boazysanga6320
    @boazysanga6320 4 роки тому

    Exactily

  • @zajosjohn2232
    @zajosjohn2232 4 роки тому

    Fact

  • @mariamayoob8734
    @mariamayoob8734 3 роки тому

    😂😅😆😆😆😆😀😁😂😂😂😂

  • @kingofwithdrawals
    @kingofwithdrawals 4 роки тому +9

    RASILIMALI YENYE THAMANI KUBWA:
    JE, MAFUTA NI RASILIMALI YENYE THAMANI KUBWA? HAPANA. JE, DHAHABU NI RASILIMALI YENYE THAMANI KUBWA? HAPANA.
    MUDA HAUWEZI KUNUNULIWA KWA GHARAMA YOYOTE ILE, DHAHABU, MAFUTA, ARDI INANUNULIWA. MUDA UNA THAMANI KUBWA ZAIDI YA BIDHAA YOYOTE.
    MAFANIKIO YA MTU YAPO KATIKA VITU ANAVYOVIWEKEA MUDA MWINGI.

  • @nuhubalandya9164
    @nuhubalandya9164 4 роки тому

    Hahàaa! Kiwanda cha unga??

  • @babusanto9766
    @babusanto9766 4 роки тому

    Muda ni mali

  • @humphreypaul9735
    @humphreypaul9735 4 роки тому

    Time for changes

  • @freethoughts94
    @freethoughts94 4 роки тому

    Agree

  • @AndyLaughs1998
    @AndyLaughs1998 4 роки тому

    Uwepo wako unatuinspire baadhi ya vijana hapa Bongo

  • @KaziDepartment
    @KaziDepartment 4 роки тому

    Ni yeyee

  • @nozgeniuz1812
    @nozgeniuz1812 4 роки тому

    MKUU UKO VZUR LKN MUDA SIO NATURAL.RESOURCE KAKA

    • @charlesfidelis9428
      @charlesfidelis9428 4 роки тому

      HahAaa mtu anaumwa mguu anachomwa sindano ya kichwa ama kweli bingo

  • @marinyasaxistv8121
    @marinyasaxistv8121 4 роки тому

    KILO moja ya Dhahabu ni mil 80 aiseee

  • @njololoilashikon4978
    @njololoilashikon4978 4 роки тому

    👍🏿

  • @carlospeter2626
    @carlospeter2626 4 роки тому

    Iko poa sana 😂😂

  • @danielmakoi971
    @danielmakoi971 4 роки тому

    Shark shaka shaka shaka zulu

  • @edsoneliud6869
    @edsoneliud6869 4 роки тому

    Iko poa

  • @judithgwera3482
    @judithgwera3482 4 роки тому

    🙏🏾

  • @swimcoachabel1105
    @swimcoachabel1105 4 роки тому

    🤣🤣🤣🤣👌

  • @owlbig
    @owlbig 4 роки тому

    Thnku

  • @matatiabisaya3443
    @matatiabisaya3443 4 роки тому

    Can you buy a BMW with a half past five

  • @abuukhaytham1696
    @abuukhaytham1696 4 роки тому +1

    Shaka Shaka Laka Zulu

    • @charlesfidelis9428
      @charlesfidelis9428 4 роки тому +1

      Kiongoz na nataka kujifunz nianza kuweka isa hata sielewi nianzeje

    • @abuukhaytham1696
      @abuukhaytham1696 4 роки тому +1

      @@charlesfidelis9428 dm "sharkciti" on instagram utapata info kiasi cha kuelewa.

  • @jacobwilliam9615
    @jacobwilliam9615 2 роки тому

    Broo can I get link to your WhatsApp group

  • @mariamayoob8734
    @mariamayoob8734 3 роки тому

    Asante kaka

  • @johnmmbine2916
    @johnmmbine2916 4 роки тому

    Good