Kambi 14 za kitalii zafurika Maasai Mara

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 кві 2024
  • Kambi 14 za kitalii zimefurika Maasai Mara
    Juhudi za uokoaji zimesaidia kuwaokoa watalii 40
    Mto Talek ulivunja kingo zake Maasai Mara
    Watu 179 wamefariki kutokana na mafuriko nchini
    Uopoaji wa miili ya waliofariki Tana River unaendelea
    Barabara ya Kedong-Suswa imefungwa kufuatia mafuriko

КОМЕНТАРІ • 5

  • @SomoIya-qh7jz
    @SomoIya-qh7jz Місяць тому

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @joseO12326
    @joseO12326 Місяць тому +2

    Wageni mnaokoa na ndege😂 wenyeji kula ngumu😢

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Місяць тому

    🏃‍♀️‍➡️

  • @MaaDii-iz3ur
    @MaaDii-iz3ur Місяць тому

    Watalii ndio wenye pesa 😢ndio mana wanaokolewa wenyeji kuleni chuma icho Kenya kumbe bado iko chini ya utawala wa uingereza 😮

  • @junemuchiri609
    @junemuchiri609 Місяць тому

    Watalii wanaokolewa na helicopters
    Wakenya wa kawaifa wanaokolewa na mungu😮😂