Huyuu mtu mnamuona anachekesha ila yupo sahihi Sanaa, mie nashangaa mpka leo watu wanasomeswa vita vya kwanza vya dunia, chifu mkwawa, vita vya pili ujinga mtupu, watu wanafundiswa utaalam wa maisha yanowakabili sie tunapumbazwa tu akilii mpka unamaliza chuo unakaa miaka kumi Huna ajira wala mawazo ya kufanya coz hatukupewa mafunzo ya maisha baada ya hapoo tumefundishwa mambo yasiyoo tuhusu kabisaa
Kumuelewa huyu mzee hadi uwe umeishi maisha ya hali ya chini na kwenye kusomesha uwe umeshapata changamoto,,wanaojifanya wazungu hawawezi kumuelewa huyu mzee
Kaongea facts kwenye uasili wa maisha ya kiafrica! Asili, tamaduni zikiwa hazizingatiwi na wahusika wenyewe kwa kuacha asili yao na kuziendea asili nyingine maisha yao yanakuwa na uharibifu mkubwa sana! Mataifa yaliyofanikiwa yote huwa yanaishi kwa kuzingatia tamaduni na asili zake!
Mzee kaeleweka ila tatizo lipo kwa hawa wajanjawajanja upo umuhimu sana watoto kupata chakula shule uwezekano upo ila ila hoja ikiwekwa wazi kama ivo inapotezewa nchi hii.
Mmmh kazi kwelikweli. Mbona hamjadili kama je ni sahihi kumlipa posho mbunge posho ya siku laki 3 sawa na kima cha chini cha mshahara wa mtumishi? Mjadili na maslahi ya watumishi na nyie. Ukiwa mbunge form 4= unalipwa 10M ila mwalimu huyohuyo analipwa 300K, ufala mtupu
Hiki ni kichwa hasa , mawazo yake na tafakari zake ni nyepesi kuelewa kwa mtu yeyote. Ni mwalimu hasa. Tumpe maua yake Kishimba. Mawazo yake yakitekelezwa kwa vitendo bila shaka maendeleo yangeonekana dhahiri shahiri.
Hivi mnakiona wanachokifanya Chalinze Modern primary school?!! Kuna haja ya viongozi kujifunza kwenye hii shule,,,,, na inawezekana kumjenga mtoto tangu awali
Yupo sahihi mzee wangu muhimu tuwekeze watoto wetu katika mazingira yanayo wazunguka kilimo ufugaji nk. Huko ndipo wanaweza kuwa matajiri baadae. Lazima tutambae kwanza ndio usimame. Tusitake kukimbia kwanza kama wachina na wao walitambaa ndio sasa tunawaona wanakimbia.
Hawawezi kuwafundisha somo la kutafuta pesa sababu miitaala ya elimu bado ni wakoloni na watawala wetu leo hii ni wakoloni weusi,na wakoloni elimu yao ilikuwa ni kwa ajili ya kuwapata watu wa kuwasaidiana nao kuwaswaga punda wao,.
Mimi nafikili mitaara itatoa hii kitu kumbe wapi bado tupo pale pale kuna masomo unafundishwa lakini hayatusaidii maishani mwetu na huku umetumia muda mwingi mwingi kujifunza
Afrika, tumeshindwa kuwa na mifumo mizuri ya elimu ambayo ingetupa maendeleo ya nchi zetu,, na tumechelewa sana na tupo nyuma ya muda lakini ni vyema tujadiri jinsi ya kujikwamua kimaendeleo kama nchi kwa sababu viongozi wetu wameshindwa kuwa wabunifu
Naona watu wengi sana wamecheka kwenye hoja alizotoa mheshimiwa ila ... kusema ukweli ili tuweze piga hatua mfumo wetu wa elimu unatakiwa kubadilika ... tunatakiwa kusoma mambo ambayo yanaambatana na hali yetu halisi lakini pia katika vile vidogo ambavyo kwetu vinatuingizia kipato kwa namna fulani basi tuvifahamu vizuri na vizazi vinavyofuata vifundishwe pia ili waweze kuja na maboresho na mwisho wa siku vidogo tulivyonavyo vinaweza vikatufikisha mbali kiuchumi
Du! Huyu mzee Kishimba ni genius sana. Nimefika kwenye hifadhi zetu nyumba zimeezeka kwa nyasi.
Huyu mzee haongei bila facts
Huyuu mtu mnamuona anachekesha ila yupo sahihi Sanaa, mie nashangaa mpka leo watu wanasomeswa vita vya kwanza vya dunia, chifu mkwawa, vita vya pili ujinga mtupu, watu wanafundiswa utaalam wa maisha yanowakabili sie tunapumbazwa tu akilii mpka unamaliza chuo unakaa miaka kumi Huna ajira wala mawazo ya kufanya coz hatukupewa mafunzo ya maisha baada ya hapoo tumefundishwa mambo yasiyoo tuhusu kabisaa
Haya maelimu useless wanashadadia sijui kwann yaan wanaficha elimu ya msingi wanaleta madudu ya hovyo kabisa inauma sana
kweli mkuu chief kila sehemu chief mkwawa
Kumuelewa huyu mzee hadi uwe umeishi maisha ya hali ya chini na kwenye kusomesha uwe umeshapata changamoto,,wanaojifanya wazungu hawawezi kumuelewa huyu mzee
Sana yaani anagusa kwenye uhalisia, angekua raisi Tanzanie ingekua bora sana.
Fact blaza sisi tunaoishi this time tomorrow tunamuelewa sana
Free thinkers are rare in African politics. Huyu Kishimba ana akili sana. Shida ni kuwa hajui kuwa Serikali inaendeshwa na wafanyabiashara wa Kiyahudi
Ndiyo
Sahihi
Anaujua xana kua wafanyabiashara wa kiyahudi ndo wanaoparat ila anakazia tu
Mnacheka lakini kiongozi anaongea kitu sahihi kabisa👏🏼👏🏼
Mjinga2 huyu paka pori
Kishimba kichwani yuko vizuri kuliko hao vilaza wote.
Hao wwngne hawajitambui kazi kupiga meza na kusubir posho na kupokea madudu kutoka kwa wazungu ndio kazi yaooo
@@digital-d2t wewe akili yako mgando.
Yan huyu Mzee yuko njema sana, ila kumuelewa lazima uwe umetulia sana
Yes
Mwenyez mungu akubariki mh kishimba tatizo la elim yetu ya kukariri kuaminishwa wazungu ndio kila kitu
Mh kishimba ni genius tumuelewe tuu
akili kubwa baba mungu akutunze
Mkimpa huyu mzee wizara ya elimu atafuta vitu vingi sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Hakika😂
Kishimba ajawai kuchangia pumba
Ahsante Sana mh.kishimba yaan wewe na king msukuma 🙏🙏🙏🙏
Daaaah huyu Mzee akili sanaaa
Mashimba mungu ambariki sana hakika kahama wakizingua njooo update Jimbo sengerema
Uko vizuri sana,
Nilikuwa namkubar sanaa ila hatoboi tena
Kaongea facts kwenye uasili wa maisha ya kiafrica! Asili, tamaduni zikiwa hazizingatiwi na wahusika wenyewe kwa kuacha asili yao na kuziendea asili nyingine maisha yao yanakuwa na uharibifu mkubwa sana! Mataifa yaliyofanikiwa yote huwa yanaishi kwa kuzingatia tamaduni na asili zake!
mzee kishimba, moja ya watu muhimu sana bungeni
Duh! Kishimbaa! Wew ni professor wa mambo yote!! Kishimba ooyee! Kishimba ooyee!!😂😂😂
Mzee kaeleweka ila tatizo lipo kwa hawa wajanjawajanja upo umuhimu sana watoto kupata chakula shule uwezekano upo ila ila hoja ikiwekwa wazi kama ivo inapotezewa nchi hii.
Kama huna #D mjo huwezi muelewa😂😂💪💪
Naam mbunge hongera sana KWA kuongelea MAISHA halisi wengi wanataka aige MAISHA ya watu na watu wanaishi MAISHA SIO Yao kabisa
Hatari sana aisee
Akili kubwa!💪🏻🌹
Mmmh kazi kwelikweli.
Mbona hamjadili kama je ni sahihi kumlipa posho mbunge posho ya siku laki 3 sawa na kima cha chini cha mshahara wa mtumishi?
Mjadili na maslahi ya watumishi na nyie. Ukiwa mbunge form 4= unalipwa 10M ila mwalimu huyohuyo analipwa 300K, ufala mtupu
Hiki ni kichwa hasa , mawazo yake na tafakari zake ni nyepesi kuelewa kwa mtu yeyote. Ni mwalimu hasa. Tumpe maua yake Kishimba. Mawazo yake yakitekelezwa kwa vitendo bila shaka maendeleo yangeonekana dhahiri shahiri.
He is talking sense
Huyu jamaa akisikilizwa mawazo yake na kufanyiwa utekelezaji yanaweza kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi....
Tatizo wanaongea yanaishia hapo tu
Hivi mnakiona wanachokifanya Chalinze Modern primary school?!!
Kuna haja ya viongozi kujifunza kwenye hii shule,,,,, na inawezekana kumjenga mtoto tangu awali
Wanafanyaje?
uyuu mzeee ni ana akili sana naomba BUNGE limpe mda wakutosha kumskiliza TZ itasogea mbelee
Hoja zote za huyu mzee zichukuliwe zinafaa kwa matumizi ya nchi
Good point
Kishimba anaelezea uhalisia,yaani halisi kabisa,sio ile ya kufikirika😂😂😂safi sana mh mbunge
BIG UP👏👏👏
Big point Masha Allah
Kweli kabisa
Tatizo la bunge letu lipo kusikiliza tu sio kutekeleza, SIASA za kikoloni ndio zina tuludisha nyuma
Kweli vitabu vyetu vya syllabus no hopeless kabisa
Yupo sahihi mzee wangu muhimu tuwekeze watoto wetu katika mazingira yanayo wazunguka kilimo ufugaji nk. Huko ndipo wanaweza kuwa matajiri baadae. Lazima tutambae kwanza ndio usimame. Tusitake kukimbia kwanza kama wachina na wao walitambaa ndio sasa tunawaona wanakimbia.
Pragmatism philosophy! GreAt
Yani Mzee nakubali,
Fact sanaaa🔥🔥🔥🔥
Mh,ameongea vzr sana
GOD be with you forever
Akili kubwa sana hii!!
Hawawezi kuwafundisha somo la kutafuta pesa sababu miitaala ya elimu bado ni wakoloni na watawala wetu leo hii ni wakoloni weusi,na wakoloni elimu yao ilikuwa ni kwa ajili ya kuwapata watu wa kuwasaidiana nao kuwaswaga punda wao,.
Mbunge Genius pekee Tanzania 🎉🎉
Yuko sawa huyu mzee
Asante sn bb ukovizr
Mimi nafikili mitaara itatoa hii kitu kumbe wapi bado tupo pale pale kuna masomo unafundishwa lakini hayatusaidii maishani mwetu na huku umetumia muda mwingi mwingi kujifunza
Kishimba Oyeeeeee😅😅😅😅 huwa unato vitu vitamu sana Mhe mbunge
Hongera Sana 😂
Nusu degree
Big brain, out of the box
Laiti wangemuelewa chishimba ingekuwa sawa kabisa yeye ni profesa OG
👏👏👏👏👏Brilliant ❤
📌 📌 📌
Huy mtu jamani hapew ata President. Jaman nn shida hii ichi wasukum na wat wa mara hawa ni viongoz bora sana katika nchi hii
Hatari sana aisee
He is hero but we ar not use him one day we wil remember the most ,our life not Western lofe
Uyu mzee yupo mbele ya muda sana sikupi maua nakupa na mti wake kabisa
Kishimba inatakiwa UWE mtu mkubwa san. Unajua hali ya umasikin ULIKO Tz Kwa watoto wetu.
Huyu jamaa anafaaa kuongoza Africa
Tatizo izo point zina achwa hapo hapo bungeni 😢 azifanyiwi kazi
Huyu ni profesa kabisa
Nawezaje kumpata huyu mbunge nipige naye story?
👏👏👏
Huyu mhe namkubali sana sana
Big brain
Wabunge wote wangekuwa kama huyu mzee haya madudu ya wazungu tusingepokea na tungeendelea sana kwakweli.
Hii nchi bwana kufika mbali kimaendeleo so leo tunasera za kisenge sana
Professor Kishimba
Kuna watu wana degree unashindwa Kuelewa hii degree kapataje ukikosa ubunge huko njoo tutakupa kura
Genius
baba wa mawazo positive ❤
Hakuna mtu anapenda nyumba ya nyasi ispokuwa analazimika kuishi hoja yako mweshimiwa inaeleweka lakin sio smart
Pesa ni siri professor 😂
❤moja❤kati❤ya❤zote❤
Afrika, tumeshindwa kuwa na mifumo mizuri ya elimu ambayo ingetupa maendeleo ya nchi zetu,, na tumechelewa sana na tupo nyuma ya muda lakini ni vyema tujadiri jinsi ya kujikwamua kimaendeleo kama nchi kwa sababu viongozi wetu wameshindwa kuwa wabunifu
Huyu mzee ana akili Sana Mungu uiongezee miaka mingi.
Hahahahahahahaahahahhaahahah duuuh wabunge wamevurugwa
Wabunge wa Kanda ya ziwa wanaupiga mwingi wapewe maua yaoo🎉🎉🎉🎉🎉
Angalizo, akili ya huyu mtu ni zaidi ya kina Vasco da gama, serikali na watu wenu tafadhali yafanyieni kazi haya mawazo yake.
Duh jamaa anaakili sana
Mpak uwe na D 2 ndo utaweza kuelewa
❤❤❤❤❤🎉🎉
Hawawezi kuingiza pesa kwenye mtaala wanajua watu wote watakuwa matajiri na wao matajiri watapata wanyonge wao wapi
Mbona hamtuambiagi Hadi kishimba aseme
bila bangi hoja zake ngumu kuelewa
😂😂😂😂😂😂yaani.weww😂😂
🔥
Naona watu wengi sana wamecheka kwenye hoja alizotoa mheshimiwa ila ... kusema ukweli ili tuweze piga hatua mfumo wetu wa elimu unatakiwa kubadilika ... tunatakiwa kusoma mambo ambayo yanaambatana na hali yetu halisi lakini pia katika vile vidogo ambavyo kwetu vinatuingizia kipato kwa namna fulani basi tuvifahamu vizuri na vizazi vinavyofuata vifundishwe pia ili waweze kuja na maboresho na mwisho wa siku vidogo tulivyonavyo vinaweza vikatufikisha mbali kiuchumi
Mbona kwenye mtaala mpya Kuna somo jipya linaitwa Elimu ya biashara ambako huko ndani Kuna mambo ya ujasiriamali na jinsi ya kutunza fedha
Shida litakavofundishwa
Uliza walio apply kama wameliona kwenye machaguo
Huyu kishimba kwanini asiende kuongeza elimu.anaongea maneno ya maana sana
Bila D 2 huwezi kumuelewa
Seriously that’s not practical approach. You have to upgrade your life.
Watalamu wetu hawatusaidii chochote wanashikilia elimu ya nzi ana miguu mingapi ujinga mtup
Mbunge mwenye akili kubwa
Fact
Yan mijitu inacheka lkn uyu baba hakuna sku kaongea upuuz na makelele hua kila akisimama unamuelewa anaongea nn lkn ss
WAMEKALIA KUVUNJANA MBAVU TUU , BADALA YA KUJADILI MAMBO YA MUHIMU YA KUENDELEZA NCHI.
huyu jamaa yupo sahihi
Hoja kalu na zenye akili
Ww ndio mbunge mwenye akili kubwa