Inashangaza sana Dr. Kigwangala unatoa comment ya hovyo namna hii. Yaani huoni hilo tatizo. Wanaume tunanyanyasika anatokea mwanamke anatetea wewe unampinga. Mungu si mjinga kumfanya mwanaume awe kichwa cha familia. Sasa hivi watoto wa kiume hawana mtetezi wanageuzwa kuwa mashoga kila kona. Wanawake wanakuwa ma single mother wanalea watoto bila baba zao matokeo ni ongezeko la mashoga.
Huyu tumwekee kwenye kundi like la wababa wanaolawiti na kubaka watoto wao mwamke kaona hatari yee kaona sawa MUNGU mfungue ufahamu, hii haki sawa hapana
Agenda ya kuwadogolesha wanaume ilianza Beijin. Huu si mpango wa Mungu. Shetani anataka kuua taasisi ya familia. Sasa hivi kuna wanaume wanaolewa na wanaume mabasha. Huu ni ufidhuli mkubwa unapaswa kupiga vita.
Wewe ndie mama mwenyemaono, naumelelewa, nakweli mwanamke ukimgusa kidogo tayari unawekwa ndan nahilo kweli limewachosha wanaume matokeo yake kutelekeza familia
Tukiongea ukweli bila kupepesa macho, hiyo WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO, ilipaswa kuitwa WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, WANAWAKE, WAZEE NA WATOTO. Hamna kitu wanafanya Kwa ajili ya WANAUME aisee.
Wanafanyiwa lakin awana pakujitetea kabc jmn yaan nihuruma sana wanawake wamewekwa mbele sanaa na ndo maan utaskia mwanamme kamuuwa mke kwasababu anauchungu mwingi na mambo mengi anashindwa pakuyasemea
Kwakwel nashindwa cha kukoment mama umeongea mno ila hawa kuna muda huwaga naifikiria sana serikal hii ina nin jaman afadhali umeongea mama ang vitoto vyetu mtaan vinabakwa mno tuu huku na mibaba 😢😢
Kila siku woman empower halaf bado wanalalamika vijana hawataki kuoa stupid kabisaaa....mama kaongea fact sana ..wazungu wametuletea vita ya kifikra tuamke sana na viongoz wajitathimin sana
Mama mungu akupe miaka mingi duniani na ikibidi mwakan gombea uraisi maana una mtazamo chanya juu ya wanaume,kuna muda tuulizane ,kama wanaamini wanawake wanaweza mbona kwenye harakat za ukombozi wa bara letu pendwa la africa hakutokea mwanamke rais kwahyo tukae chini tujitafakari
Wewe kweli ni mama, Asante kwa kumsemea mtoto wa kiume
Asante muheshimiwa natamani niku hug from 🇴🇲
Huyu tunatakiwa kutoa Sadaka ya Shukrani kwa ajili yake!! 🙏
Kichwa chako wewe😂😂😂🙌🙌
Huyu mama alindwe kwa galama yeyote ile nahayo ndio maagizo ya mwenyezi mungu ubarikiwe sana mama
HEKO sana kwako Mama … quite a point!
Safi Sana usawa wa kijinsia mlango wa mapepo
Sio wewe mama ni mungu anakuongoza dada yangu barikiwa sana
Shukrani sana kwa kututetea mama yetu wanaume sasa hivi tunaonewa sana
Huyu Mama nimempenda bure kwa kweli👏👏
Asanteee mama Bora hata umeongea
KUMBE KUNA WABUNGE WENYE AKILI❤❤❤❤DUHHHH!!!??
Bora mama umetutetea sisi wanaume mwenyez mungu akubariki
Mungu/MUNGU sio mungu
Mwanaume mwenzio akili kisado alafu eti ni doctor 😢😢😢😢😢 ningepata nafasi ngemkata pua😢😢😢😢😢😢😢 baba atabaki kwenye nafasi yake kama kiongozi wa family
Mama wewe ni 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
U.esema kweli kabisa kuna wanaume wananyanyasika sana hawasemi tu wanaugulia miyoni barikiwe
Nashukuru mama kwa kuongea point.ila nakuhurumia kwasababu nchi zetu zinapangiwa na mataifa yaliyoendelea kwasababu ya utegemezi na woga
Mama yangu Msambatavangu Shikamoo, Asante sana Mama, Hiyo Motion yako imeshiba.
Da mama Mungu akusaidie
Hii ndiyo kuongea,unaongea points tena kwa HERUFI KUBWA,safi sana mama Tanzania🎉🎉🎉🎉🎉
ASANTE MAMA ❤
Huyu ni MAMA NA NUSU 🔥🔥🔥
Ndio maana mashoga wanaongezeka na single mother wanaongezeka
Huyu kigwangala ni shoga 😂😂😂😂 anatutia aibu yani mwanamke anatutetea kigwangala anatoa hoja za hovyo. Sijapenda mungu amuweke huyu mama. Aisee
Wasikuache kukuchaguwa kwenye Jimbo lako.
Unahakili sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Inashangaza sana Dr. Kigwangala unatoa comment ya hovyo namna hii. Yaani huoni hilo tatizo. Wanaume tunanyanyasika anatokea mwanamke anatetea wewe unampinga. Mungu si mjinga kumfanya mwanaume awe kichwa cha familia. Sasa hivi watoto wa kiume hawana mtetezi wanageuzwa kuwa mashoga kila kona. Wanawake wanakuwa ma single mother wanalea watoto bila baba zao matokeo ni ongezeko la mashoga.
Huyu tumwekee kwenye kundi like la wababa wanaolawiti na kubaka watoto wao mwamke kaona hatari yee kaona sawa MUNGU mfungue ufahamu, hii haki sawa hapana
kigwangala dishi limeyumba😂😂😂
Alaniwe kabisa pamoja na watoto wake
Limejifunika kabisa 😂😂😂😂😂
Mama uko vzr
Dah tumepata mtetezi
Huyu mama anafikiria tofauti sana ,program zote za kijamii zimebeba agenda ya mwanamke,
Agenda ya kuwadogolesha wanaume ilianza Beijin. Huu si mpango wa Mungu. Shetani anataka kuua taasisi ya familia. Sasa hivi kuna wanaume wanaolewa na wanaume mabasha. Huu ni ufidhuli mkubwa unapaswa kupiga vita.
Hii ndo lugha inayotakiwaa kutoka sasa kwa mama zetu.
Asante sana mama mwenyez mungu akusaidie sana
Ukiwa Dr halafu ukaongea point less aibu sana. Kwa hii Dr ni Huyu Mama, big up mama
Nampendaga sana mh Jesca udumu mama
Wewe ndie mama mwenyemaono, naumelelewa, nakweli mwanamke ukimgusa kidogo tayari unawekwa ndan nahilo kweli limewachosha wanaume matokeo yake kutelekeza familia
Huyu mama wa Iringa hatakagi michongo ya usingle mother ni ushetani huo, Tungekuwa na mama kama hawa hakungekuwa na ushoga wala usagaji TZ
Sema mama, Mungu akubariki tuku pamoja nawe
Mungu akutie nguvu ubarkiwe
Asantee mama
Hakika Waume tumechanganyikiwa keli leo mwanaume anatukana tunatetewa na mwanamke eeee mungu tuvushe tuko hatarini sisi waja wako
Hongera sana!
Asante mama
Safiiiii saaana Mama pongezi kwako 🙏🙏🙏
Kigwangala bhana , hilo si ndilo analosema lirekebishweeeeee? Huu uchawa bhana umekuharibu sana, utabaki kubebea wanawake mabegi tuu weweeee
Asante Sana Mama Kwa kututetea sisi wanaume
Bora hata umeongea naona watu sasa akili zimefunguka
Asante sana ni uwepo wa mungu umetuonekania kwa huyu mama no ushoga tanzania tamaduni zetu haziruhusu kabisa
Safi Sana.
Well said Mama...
Safi Sana Bora hata umewatetea hao wanawake bila kujijua Ka wametetewa maana siku zijazo zitakuwa mbaya sana.staeleweka na wengi ila wachache tu
BIG UP MAMA🤣 👏👏👏
Apewe uprofesa
Ikiwezekana ajengewe Sanamu
Mama Yangu Jeska Mungu aendelee Kukupaq Sauti Ili Kuteteaaa
Asante mama umesema yaliyokweli
Taifa linaangamia tulud kwenye njia maana tumepotea kwa kumwinua mwanamke na kumshusha mwanamme
Mama hongera ila nashauli (thyroidectomy ) ni nzuri kwa afya kwa wenye thyroid hyperplasia
Well said mama.
Tatizo hizi haki za wanawake inashachukua kila kona
Kuna raisi kila sherehe zamashoga yupo hao kinaharmonaiz dimond nawengine ndio maajent wakubwa
Safi mh jesca umetuwkilisha vzur
Waooo awa ndo wabunge tunao wataka
Wanaume siku hizi ni kama mabinti, tusemee mama achana na hao wanaoleta taarifa za hovyo .
Mbunge ustaili hongera sana
Fact mama bora
Yani akili kubwa kama hii inapatikana Tanzania,eeh MUNGU ibariki Tanzania
Kwa kweli
MAMA, MUNGU AKUBARIKI SANA.
Huyo Daktari aliyetoa hiyo taarifa apimwe akili..
Asante mama yetu
❤❤❤❤ 👍
Uyo mwishimiwa mbunge wakiume alieomba muongozo tunamashaka naee
Asante mama yangu,mpaka nimelia
Dah Mitano tena kwa Mama Msambatavangu
Tukiongea ukweli bila kupepesa macho, hiyo WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO, ilipaswa kuitwa WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, WANAWAKE, WAZEE NA WATOTO. Hamna kitu wanafanya Kwa ajili ya WANAUME aisee.
Hii sauti ya mama imetoka Kwa mamlaka ya mwenyezi Mungu sauti haipingwi hiyo imeenda
Umeongea vitu vya point sana nakuombea sana uwe ww waziri
Wanafanyiwa lakin awana pakujitetea kabc jmn yaan nihuruma sana wanawake wamewekwa mbele sanaa na ndo maan utaskia mwanamme kamuuwa mke kwasababu anauchungu mwingi na mambo mengi anashindwa pakuyasemea
Dah uyu mbunge anaakili sana
Aaah we mama unajua umuhimu wa kijana wa kiume sana
Alikua mgeni rasmi wakati namalza Form 6 mwaka 2012 ni hatar kabisa
Ningekuwa Rais ningekupa uwaziri wa jinsia maana umeupiga mwingi sana mpaka shoga kigwangara aumbuka
Huyo kigwangala hana akili huyo,huyo huenda anatumiwa na wazungu kuongeza mashoga
Kweli huyu mama kweli
Yeees
🙏🙏🙏
Hakika uzao wa kiume uko kwenye moto mkali jamani... wanaume wamechoka sana jamani...mifumo umeua wanaume imemaliza watoto wetu wa kiume...uuuuwiiiii
🎉🎉
Fact ✊
Kwakwel nashindwa cha kukoment mama umeongea mno ila hawa kuna muda huwaga naifikiria sana serikal hii ina nin jaman afadhali umeongea mama ang vitoto vyetu mtaan vinabakwa mno tuu huku na mibaba 😢😢
Kila siku woman empower halaf bado wanalalamika vijana hawataki kuoa stupid kabisaaa....mama kaongea fact sana ..wazungu wametuletea vita ya kifikra tuamke sana na viongoz wajitathimin sana
Fact
Huyu ndo mama wa kazi" sio yule dhaifu toka kizmkazi"
DAAAAAAAA ❤❤❤❤
Mungu azidi kukupa kibali
Na mkiendelea na sera za kiboya hizo mtajaza masingle mother nchi nzima endeleeni kukandamiza wanaume
Yaani huyu mbunge, kwa neno Hilo, hata kama una dhambi, Mungu akusemehe, yaani Leo umenena vema.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hiyo kigwangala mwanaume mwenzetu au?? Acha ujinga wewe, tutetee na ss mama
Mama mungu akupe miaka mingi duniani na ikibidi mwakan gombea uraisi maana una mtazamo chanya juu ya wanaume,kuna muda tuulizane ,kama wanaamini wanawake wanaweza mbona kwenye harakat za ukombozi wa bara letu pendwa la africa hakutokea mwanamke rais kwahyo tukae chini tujitafakari
maisha malefu mheshimiwa nakutakia
Kigwangala hovyo sana aise
Tena akil zake chache sana yaani mwanaume unatetew bado yy anaona haki kwa wanawake au shoga nn😂😂😂
Kigangwala kweli kazi ipo kashapotea huyu mzee
MAMA KUMBE MPO MAJEMBE. TOBOA MAMA, SIASA ZA KUJIKOMBA KWA MATAIFA NA MILA ZAO NI USHETANI.
Kigwangala huna jipya 5:44
Mama ana maono makubwa