Magoli yote Simba ikiiporomoshea mvua ya mabao (4-0) Platinum - CAFCL 06/01/2021
Вставка
- Опубліковано 5 січ 2021
- Tazama magoli yote wakati Simba ikiiporomoshea dhahma ya mabao FC Platinum kwenye mechi ya mkondo wa pili wa Ligi ya Mabingwa dimbani Benjamin Mkapa.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - Спорт
Kama umerud 2023 kuangalia hii game gonga like tujuane
Mimi siichokagi kila mwezi naishi nayo
😅😅😅😅😅 umejuaje atarii
hadi 2025 ntaangalia 😂😂
❤❤❤❤❤❤
Naangalia mda huu
Tujuane wale wanaoendelea kuangalia mechi hii kwa mwaka huu 2023 huku tukiitakia Simba mematupu kimataifa mwaka huu
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu ibariki Simba sc
AMEN
🔥🔥🔥
Tupo hapa
Tunao endelea kuangalia hii kam mm gonga like
🤣🤣🤣🤣👍
Kama umerudia kuangalia 2024 nipe like hapa
Kama Kuna mtu anaiangalia hii mwezi wa pili 2022 tujuane Kwa like 💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
💪💪💪💪💪💪💪💪 huwa nasiky raha kutizama mechi za simba
Manyara atakua anaangalia🤣
Kama umelud 2023 gonga like hapa
Nani anaangalia leo gonga like
Mnaocheki leo gonga like tujuane hapa 😀😀
Unaeangalia baada ya chama kurudi naomba like😥
Nani amerudi tena 2022 kutazama hii? 😢 simba yangu hii nimeimiss sana
Mimi apaaaah
Kama unaiangalia hii video kwa Mara nyingine 2022 mwezi januari like hapa😁♥️
Kma umerudia hapa 2023 gongalike
Kama umeludia kuitazama hii mechi 2023 gonga like kisha weka #nguvu moja
My simba❤❤❤....karibia kila mwezi naangalia hadi natamani kulia....what a team,,,chama kafanya mengi
kama umerud tena mwaka huu 2022 kuangalia hii mechi...plz weka neno simba nguvu moja💗❤️❤️
Nguvu moja
Nguvu moja💪
🔥🔥🔥
Simba nguvu moja
Simba nguvu moja
Kama unaangalia hii game 2023 gonga like hapa🤣🤣😂
Hii gem kma unailudia 2023 gong like
Kama unangalia hii video siku zote like
Kama umeangalia kwa mara ingine gonga like
Mm ndo namalizia Mwaka Leo kwa kuangalia hii Mechi by by 2022
At mm naangali
mm nafungua mwaka kwa kuangalia hii mech
Nani anaangalia kabla ya kwenda robo j2 na usg🙏
waliopo hapa 2023, kurudia hii mechi tujuane, 🦁
Tunao angalia hii mechi 2024 tujuane kwa like
Wakwanza mie hapa
2023 kama unaangalia gonga like
Ivi simba ni ya kushika nafasi ya tatu kweli?😭😭😭 Tujuane jamn mwaka2024
Kama unataman miqson arud gonga like
Kama Kuna mtu anaangalia hii mechi leo 26/02/2022 agonge like
Mimi apaaaah
👌👌👌
Nammi nimeona mirud leo 2024 kutazama hii Enzi zetu 🙄🙄🙄
21 on trending....duuh...napenda sana kuirudia hiii kama na ww unapenda kama mm tujuane😍🤞
Kwani trending mnaangalia kwa wap hebu nielekeze
@@raybakar6433 hahaha ukisha play hiyo video ule mstari unaowakilisha video ule mwekundu hapo hapo tu pameandikwa au zimewekwa....
21.3.2023 after the win of Simba vs horoya(7-0). I love yoh simba 🦁
Kama umerud tena mwaka 2023 sema neno kwa Simba sc👺👺
Kama umeangalia tena match hii mwaka 2023 weka like yako haoo🤗🤗🤗
Asubuhi naangaria na jion hii game nilitoa choz nasijui nikwann
Fc Bandari kenya mombasa fan simba baba yao 🇰🇪🎉🎉much love
Nan anaangalia video baada ya kumsajir okraaaa
Nko apaa January 2023 Mnyamaa 🦁🦁💪💪💪
Nani anaangalia 2022
jamani sijawai pata like youtube gonga twenzetu #WIDA
Simba
Kama umeingalia mwk huu 2023tujuan
2023.january 7 naangalia tena.gonga like km tupo wote
I'll come back in 2030 InshaAllah to watch this highlights
🤩
Hongera sana Simba kutoka Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬
amihn!
Good
naomba tulio angalia video hii zaid y mara moja tujuane hapa
Nimekuja tena leo 2024 kucheki hii baada ya yanga jana kurudia tukio letu
Leo trh 15/2/2024 naangalia hii mechi
Simba rahaaaaaa SANAAAAAAA KAMA NAWE SIMBA TUJUANE HAPA MAAANA UPANDE WA PILI WANATESEKA
Sanaaaaa
Naaam simba baba Lao simba kawapa mimba utupolo FC wa Zimbabwe 🤣🤣😂😂😂🤣😂😂
Sio kuteseka,,tu bali Kuna nvua ya machoz patam hapo wataerewa tu ,mnyama yuko moto
Nani anaangalia Tena 2023
Wapo wengi san
Hii mechi uwa nairudia Rudia mara nyingi....WIDA on FIRE🥰🥰🥰🥰
Hiv kuna yupo anaeirudiarudia kuingalia hii gem kama mim kwel
Nipoooo
Nipo na SS nilikuwa naangalia ,mechi ilinoga sana ,kwa Simba hii kaambali na watoto cmchezo.
Si ndio
Tupo tuuu😅😅
Yaap
Tarehe 28June 2022 naingalia hi game ilipigwa sana Simba ilikuwa ya moto mnoo
Tutarudi vizuri next time
Hii game inatukumbusha Rally Bwalya aliwaka sana hii game 🎯
Leo trh 28 September 2022 naicheki tena hii game Simba nguvu moja🔥🔥🔥🔥
Hii kitu bado ipo nafasi za juu ontrending 😂😂😂 safii sana ww kama mwanasimba mwenzangu kindaki ndaki hulali bila kuangalia naomba like zako hapa plz
I'm here brother 😌💪💪
Together one love 2 Simba bro💪💪💪💪
Aa
Nilijua Niko peke yangu nimekuj kuichk ...daah raha san nimekuj kumchk hii no17
Tupo
Tupo wengi 😂😂😂😂
Trending no 1 Nani kaona alike hapa
nani anarudia rudia ngonga like hapa twenze zetu.usisau afya ni mtaji pata elimu ya afya na bidhaa bora kutoka tunuagriproducts.co.tz
Y
Hii mechi ilinpa furaha ya ajab
U YU in zkkn
2nge Fanya HIV yanga
Mpenja anakuambia sio vita ya makombora. Ni Football. Mpenja ana vibe sana. Asante Simba Sport kwa hizi moments
Baraka mpenja atafika mbali sana kama hakutoa na machozi apa
Congrats simba sc tanzania one love from kenya
4dd
Pa1 sana
wanasema dar joto bila Shaka watoe leso wajipepee.......kapombe anachukuaaa anaweka waaah dah like Kwa mpenja asee
26.08.2023
Hizi movements za CHAMA na BWALYA zilikuwa za thamani kubwa sana🔥
Kwangu mm hii ndo the best game ever ya Bwalya kwa Simba.. alikua on fire sana
Namimi nacheki 2024
Mmh..huu mpira wa Simba ni next level..siyo level za Tanzania hii.....chama na bwalya ni vipaji halisi toka kwa mwenyezi mungu 🙏🙏
tujitazame tena kwanini twashindwa tengeneza ama totoa vipaji kama hivyo kina luis
Sichoki kutazama video hii. Simba 🦁🦁🦁🦁🦁🦁 Timu yangu pendwa SIMBA SC ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Jamani Simba hii utarudi Tena lini ,?? 💪💪
Azam media wanafaidika Sana na mechi za Simba views Kama wote 🔥🔥🔥🔥
Hongereni sana Simba mmeiwakilisha vyema Tanzania tunazidi kuwaombea mwendelee kung'ara zaidi mpaka tuchukue kombe la CAF
duu
Rpriorrrrtiotrorrorrrrrr
@@mnzavachris5423 rfrorrrryrrryrrrrrrrorrrr
@@mnzavachris5423 rrrrrrrrrrrr
Roooroorro
Tunaorudia burudani hii ya mnyama February tujuane hapa kwa like
Mpk leo nimeangalia
Mech nzur
Next Week Mungu Ibariki Simba Sc Tufuzu Tena Dhidi Ya De Agosto I love Simba The Mighty 😋❤
Kilichonivutia sana ni palee alitajwa John Boko baada ya kufunga aiseee baraka mpenja ni mtangazaji#simbaNguvuMoja sichoki kuangalia hii mechi Leo 16 January 2024
Kutoka 254🇰🇪 hongera waTanzania. Mnajua kushabikia timu yenu Kiwango kiko juu Simba.. hapo hakuna ubishi
Gor mahia iko juu pia tatzo pesa
gd
Tunaishamgilia kwa sababu kuna mashabiki wa yanga tunawakomoa 😂😂😂
Siwezi kutumia bando langu you tube, bila kuangalia hii Game ❤️❤️❤️🧨
Hapa thadeo lwanga,hapa bwalya, hapa chama,pale Miqson, ogopa sana, best midfielders of all time in tanzania premier league
24-2-2024 naludia Tena kuangalia Simba hii ndiyo ilikuwa Simba ❤
Jamani mbona tunamsahau joash Onyango AKA Father,,, amefanya kazi kubwa sna, angezingua Kaz ingekuwa ngumu sana
January ishakuwa rahisi kwngu 😊😊WarInDar 🦁🦁 mashabiki wasimba tujuane 🔥🔥🔥
uelekeo wapi kwanza hapo badae? na tuamke x ngp ?
@@mnzavachris5423 kuamka saa Saba mchana
Khadijah Ali daadeki..usingizi wote umekata
@@mnzavachris5423 😁😁😁
Pila lilipigwa mamaee nililia hiyo siku 😭🙌 naitaka simba hii irudi 🔥🔥
Mi mwenyewe nimerudia hii mechi 2023 hii jamani
Jamaa unajua kutangaza mpira hadi narudia kuangalia 254❤
Anajua had anakeraaaaaa
@@christinamsuya8857 kwakweli mpaka nasikia kuliaaa yaani anajua kusimanga na kusifisaa 🤣🤣🤣🤣🤣 hahahaha
bad0 on #01 trending gonga like hapaa twende sawa wana simbaa
Tunafungua mwaka mpya kwa video hii ya hatari 2021👇🏻 Bonyeza👇🏻
ua-cam.com/video/ARsRHzc_0DM/v-deo.html
2023 tujuane please
04/03/2022 still watching...this magical team😀
Hongera Simba 🥰🥰 hapa kenya mwakilishi wa taifa Gor Mahia kalimwa 2-1 yaani Aggregate ya 8-1 😂😂😂 lakini simba akitamba EAC inatamba🥳🥳
8 alifungwa Nani tena hadi iwe 8 kwa moja
Polen
Amina Tanzanya yaani mchezo wa jana pale kasarani wamefungwa 2-1 na mchezo wa awali ule kule algeria walifungwa 6-0
Gor mahia nayo timu
Nouma mnyama
Ndo ivo namba 1 you tube
Nimerudi tena kuicheki hii mpaka nafurahi! I miss this simba 😢 gomez, miqsone, na wale makocha wawili majina nimesahau
Jamaniiii bado on trending tyu anayeshudia gonga like , SIMBA SC Ni raha sana
#1 ON TRENDING youtube kama umeona gonga like hapa
Kutoka Rome, Italy, nawapa Hi Simba... Hongereni saana!
Simba sports club hii ilkuwa Moto 🔥 Sanaaa viongoz wa Simba wanyeni usajil wa maana msimu wa 2022/2023
Jamani mimi hii 2023 nimerudi tena kwenye hii mechi
I wished Kenyan fans and clubs had the same passion and dedication the way Simba has. #VivaSimba
Daah ... Acha kudanganya walimwengu ... Kwani Gor Mahia na AFC hawana mashabiki?
ASANTE BOSS
@@kenyandamu where are the fans bro? Can you compare the Fans of Yanga And Simba and of those of Gor and Leopards just be realistic bro. When was the last time Kasarani or even Nyayo was at full capacity?
@@massachussets4582 Kenya is closed due to Covid ... How did you expect fans to fill the stadiums?
Gor Mahia and AFC games are always full ... Stop lying to people unless you are a Shabana, Sofapaka, Thika United fan ...
Plus Gor Mahia is the only team in East and Central Africa to win the Africa Cup Winners Cup ... Aibu iliyoje mshikaji.
@@kenyandamu Even before Covid Stadiums hazijai y would you lie? Zamani huko the passion was there but not anymore. Just accept it as a true football fun that in TZ watu wanapenda club zao na wanahudhuria mechi. I rest my case.
Wasafii tunawapa pongezi
We sio wasafi buana wasafi sio ya kishamba kama hivyo
Mwezi 5 2023 nairudia. Simba ilikuwa moto
Miss sana simba hii
Bado ipo on trending #1 takataka zote tumziweka pemben😀😀Simba Nguvu moja👊
Wote tunaipenda Simba ila kocha wetu wa viungo, anaipenda Simba kuliko mtu yeyote kwenye benchi pale uwanjani
Wallah
Kocha wa viungo ashukuriwe sana..huyo mwamba ningeomba hata awe kocha mkuu
Twarq Maridadi sa hayo maombi yako blazab
Kwel aisee, jamaa anaipenda Tim
Hii hua nailudia pindi tu nikijikuta nnamawazo yan inanifariji sana 🔥🔥💤
Kama mm
kocha wa viungo ni man of the all match
Ana mizuka sana jamaa 😂😂😂
balaaa namkubari sana
War in dar WIDA platinum hawakuamini
Jamani uu utamu uu kaa 😁😁😁 ivi nani kaludia i video mara nyingi kama mimi? Heheheeee u utamu acha kabisaa
for the first time Azam TV show Simba now on number one trending.... this is next level
Walikosea sana kumuuza Bwallya Magician na kumleta Okwa Daaaaaah, Bwallya Magician anajua sana huyo Okwa akasome
The commentator really loves Simba FC.Enjoying the Swahili...from Zim
He loves Simba more than he love homself ❤️❤️