FILAMU YA UNYANYAPAA - MAU MPEMBA , KOMBO KICHWA, KITATANGE, DONGO, BENA BENA NA KIGWARU -ZANZIBAR

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 105

  • @mouzaseif1099
    @mouzaseif1099 11 місяців тому

    Mau hiyo ndizi wanitoa rohooo❤

  • @binhafidh8954
    @binhafidh8954 2 роки тому

    Hi mau mpemba

  • @elikanateonest3126
    @elikanateonest3126 Рік тому

    Mau namkubali sana! Dongo nae anatisha

  • @elikanateonest3126
    @elikanateonest3126 Рік тому

    Hawa jamaa ni noma sana😂😂😂

  • @ashurasalum758
    @ashurasalum758 3 роки тому

    Mbona cjamuona kiswabi jaman😴

  • @shabanmohamed1414
    @shabanmohamed1414 4 роки тому

    Vodacom

  • @alihamad7569
    @alihamad7569 4 роки тому

    Igizo zuri sna

  • @bigtena9857
    @bigtena9857 4 роки тому +1

    Sana bhanaà

  • @rizzy_boy7784
    @rizzy_boy7784 4 роки тому +1

    Habarii

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 роки тому

    Mashallah mafundisho mazuri nikweli hayo niyakawaida tuu huku nilipo mie walikuepo waginjwa na wamepona

  • @abdulfirstzanzibar4599
    @abdulfirstzanzibar4599 2 роки тому

    Hayo marathi siku hizi hayatoshi
    Mtu aweza umwa njino
    Akasema mbora aumwe na jicho

  • @hamidjuma6109
    @hamidjuma6109 4 роки тому

    Sasa naibu wa shekha kavaaje barakowa

  • @bintyhamisi8311
    @bintyhamisi8311 4 роки тому

    Masha'Allah nimeipenda

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma5046 4 роки тому +3

    Miaika ishirini sasa sijawahi kulamihongo nduguzagu wa zanzibar salam zagu kutoka USA marekani naipenda. Yumbani pemba

    • @hkk2450
      @hkk2450 4 роки тому

      Jamani si kila kitu kipo uko

    • @ismailjuma3692
      @ismailjuma3692 4 роки тому

      Njooo basi ndugu yangu ila vipi jamani mbona mumetuacha peke yetu huku pemba

    • @khamisjuma5046
      @khamisjuma5046 4 роки тому +1

      Beautiful home zanzibar pemba tuko pamoja

  • @bnalyabdi8106
    @bnalyabdi8106 4 роки тому +15

    Kama unamkubali dongo weka comment yko hapa

  • @wazirikipanga325
    @wazirikipanga325 4 роки тому +5

    Nipo nacheki comment zenu hapa chini kama kuna wabongo wanaicheki hii movie ili kuonesha ushirikiano like yako hapo chini tafadhari.

    • @dennisezakiel3380
      @dennisezakiel3380 Місяць тому

      😂😂😂😂😂😂 mau mpemba tunamfuatilia ila kiswahili chenu kigumu kukielewa

  • @ali_ford
    @ali_ford 4 роки тому

    zanzibar imekwishaaaaaaaaa dah adi nyinyi dah siamini

  • @nahedstationery3851
    @nahedstationery3851 4 роки тому +3

    Filamu ni nzuri na ina mafundisho ndani yake. Ila kuna kosa moja tu ambalo nimeliona, wakati Kitatange alipoenda chafya hakupaswa yeye kunyanyuka na kutaka kukimbia, ilitakiwa abaki amekaa na kuwashangaa wanaokimbia.

    • @amorthaniy6950
      @amorthaniy6950 4 роки тому +3

      Lengo la kuinuka ilikua ni kwenda kutema ugoro. Ndio maana aliinuka ili asiteme mbele y baba...

  • @hamidyakoub6865
    @hamidyakoub6865 4 роки тому

    Kaz nzur

  • @salummkubwa
    @salummkubwa 4 роки тому +4

    Igizo zuri lenye mafunzo. Tunaona ushirikiano wa wasanii wetu, ni jambo jema na pekee kuunganisha nguvu na kuwa na sauti moja katika malengo yenu wasanii👍

  • @adilhabibu7958
    @adilhabibu7958 4 роки тому

    Kombo kichwa bd labisa kwa kuekt

  • @DirectorOne.t
    @DirectorOne.t 4 роки тому

    Ahah asilihaizidi

  • @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
    @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 4 роки тому +1

    Eti akisimama nlimani chamanangwe kijiji chote akipindua kwa kukohowa hee dongo weee kazi nzuri shukran zimoshen

  • @rizzy_boy7784
    @rizzy_boy7784 4 роки тому

    Hongerenii mmejua sana kua pamojaa

  • @ruhyseif8478
    @ruhyseif8478 9 місяців тому

    Tuekeee no zako za simuuu

  • @mohdsalim3250
    @mohdsalim3250 4 роки тому +1

    Mau umerudi nakukubali broo

  • @jifunzemapishinalaylat3212
    @jifunzemapishinalaylat3212 4 роки тому +1

    Hongereni na wapenda Sana nipo Omani ila nikimuona kombo kichwa najisikiya kama nipo kode mungu awabariki

    • @saidmohd2575
      @saidmohd2575 2 роки тому

      Haliyako mzima mmi pia nipo omani wwe upo wapi omani

  • @alirashid3239
    @alirashid3239 4 роки тому +3

    jamaa siwafichi huyu kombo anahazina moja safisana nihilo bichwa maana hizi comed zake nahilo bichwa wallahi niraha tupu ninampenda mno huyu jamaa kwaajili ya Allah.

  • @mustafahunter5364
    @mustafahunter5364 4 роки тому +3

    😂😂😂😂nimecheka kwa sauti wallah kitatange alipopiga chafya
    Kazi nzuri ina mafunzo ndani yake

  • @ukwelinauwazitv2615
    @ukwelinauwazitv2615 4 роки тому

    Itrust island being

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma3692 4 роки тому

    Jamani nyumbani hasa kuzuri yaani mawili unanisisimk nikiona mazingira ya nyumbani penda sana pemba japo nipo mbali.

  • @harithichu2574
    @harithichu2574 4 роки тому

    Tunataka kiswabi arudi

  • @eddimalon6051
    @eddimalon6051 4 роки тому +2

    Mau kachukue fomu ya uraisi tunakupenda uwe raisi wetu wa zanzibar.

    • @saidhamad7504
      @saidhamad7504 4 роки тому

      Hko ikulu ataenda kucheka tu

    • @eddimalon6051
      @eddimalon6051 4 роки тому

      @@saidhamad7504 Ikishakuwa tunampenda anafaa uraisi. Wazanzibari hatutaki makuu, sie tukicheka tu Alhamullilah. Tunashida na tunacheka kama kawaida. Mataifa mengine wakiwa na shida wanakamata bunduki.

    • @zafnatyally1440
      @zafnatyally1440 4 роки тому

      Umempendaa peke yako awe Rais wako

  • @hemedyussuf8176
    @hemedyussuf8176 4 роки тому +4

    Kombo jichwa acha nicheke

  • @saumuhasanhasn1388
    @saumuhasanhasn1388 4 роки тому +1

    Niko omani ila nikiangalia filamu hizi nacheka sana natamani kurudi kwetu mchanga mdogo

  • @anwarally1106
    @anwarally1106 4 роки тому +1

    Home sweet home ❤❤❤💯

  • @saeedqaseem7423
    @saeedqaseem7423 4 роки тому

    Kazi nzuri mashallah...... hongereni sana

  • @salwasuleiman3525
    @salwasuleiman3525 4 роки тому

    Maa shaa Allah nzur

  • @fifo262
    @fifo262 4 роки тому

    Dongo bhana umetuona watazania kwa maraz ya ukaidi

  • @abdulrahmanrajab1278
    @abdulrahmanrajab1278 4 роки тому +7

    Nawapata kutoka Saudi Arabia 🤣🤣🤣Hongerenii sana watu wangu

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 4 роки тому +1

    Naona yumo jichwa au mpori pori

  • @salumrashid4009
    @salumrashid4009 4 роки тому

    Skondi

  • @salumseif1005
    @salumseif1005 4 роки тому

    Dongo mm nakushauri ugombee udiwani 2020

  • @maryoum7019
    @maryoum7019 3 роки тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @zanzibarone-tzonlinetv9934
    @zanzibarone-tzonlinetv9934 4 роки тому

    @VuaE
    Playlist:
    01. Ya Maulana
    02. Deen Assalam
    03. Ya Jamalu
    04. Ya Asyiqol
    05. Ya Habibal Qolbi
    06. Ahmad Ya Habibi
    07. Rohman Ya Rohman
    LIKE, COMMENT, SHARE & SUBSCRIBE.
    Video Original by @ Sabyan Gambus

  • @michaelmichael2139
    @michaelmichael2139 4 роки тому +1

    maalim wangu Amour salum

    • @amorthaniy6950
      @amorthaniy6950 4 роки тому +1

      Nambie mkuu

    • @michaelmichael2139
      @michaelmichael2139 4 роки тому +1

      @@amorthaniy6950 safi tu sheh .... jusk keep moving.... art pays the best interest.

  • @khasamkonde
    @khasamkonde 4 роки тому

    Sawa nimekumbali kazi

  • @aliarkam9548
    @aliarkam9548 4 роки тому +1

    Kombo kichwa

  • @hajikhamis2539
    @hajikhamis2539 4 роки тому

    Eti myaka 100 halafu hii timu yote naikubali %90

  • @abuuirfan9523
    @abuuirfan9523 4 роки тому

    big up kwenu

  • @abuufauzaanmohd447
    @abuufauzaanmohd447 4 роки тому

    Iko poa

  • @dastaniguni5599
    @dastaniguni5599 4 роки тому +1

    Jamani hili Bichwa la Kombo hahahahaha

  • @salimrashid7484
    @salimrashid7484 4 роки тому

    Namuona kombo kichwa hapo n upara wake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁🙏

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 роки тому

    😁😀😂

  • @aliissa6632
    @aliissa6632 4 роки тому

    Mashaallah

  • @sherrympemba7106
    @sherrympemba7106 4 роки тому

    Anapindua Gombe ume😂😂😂😂

  • @sultannassor9756
    @sultannassor9756 4 роки тому

    mau unaweza yniukopoa

  • @akhisule8236
    @akhisule8236 4 роки тому

    Mau fazila ndo mkewako ?

  • @mbaroukmuhamed2156
    @mbaroukmuhamed2156 4 роки тому +2

    Mjomba mau mm nataka mkono wa tembo

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336
    @abdullaabdullahmpakanjia2336 4 роки тому

    Mau hujawah kuniangusha

  • @hafidhshebo8078
    @hafidhshebo8078 4 роки тому

    Mau wew skuzote izo ulikuwepo wapi

  • @muryd6999
    @muryd6999 4 роки тому

    Nimeutia ugoro tu ,Sina corona😄😄😄

  • @ahmedabry3508
    @ahmedabry3508 4 роки тому

    😀 😀

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 роки тому

    Hahaha haha

  • @murtalla6290
    @murtalla6290 4 роки тому +1

    😆😀😀😀

  • @mubaarakothman5912
    @mubaarakothman5912 4 роки тому

    😅😅😅 kitatange katika ugoro2

  • @nassoralinassor1698
    @nassoralinassor1698 4 роки тому

    Muko powa

  • @nadhrakhalfan8463
    @nadhrakhalfan8463 4 роки тому

    Barakoa mfukoni duh😆😆

  • @sniper93999
    @sniper93999 4 роки тому

    😂😂😂😂mm siaminiiii

  • @fabbykhan255
    @fabbykhan255 4 роки тому

    Kake mau wanteng ila nzr

  • @mohammedomar7280
    @mohammedomar7280 4 роки тому +1

    ivi vihogo nataka nivigawe kabisa😆😆

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 4 роки тому +1

    Shekha kajifunika n domo puwa iwazi jamaa hivi nsawa?

  • @maryamjuma9816
    @maryamjuma9816 4 роки тому

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @zakomone7672
    @zakomone7672 4 роки тому

    🤣

  • @zahorrashid5459
    @zahorrashid5459 4 роки тому

    Hahahahaha

  • @zanzibarone-tzonlinetv9934
    @zanzibarone-tzonlinetv9934 4 роки тому

    @VuaE
    Playlist:
    01. Ya Maulana
    02. Deen Assalam
    03. Ya Jamalu
    04. Ya Asyiqol
    05. Ya Habibal Qolbi
    06. Ahmad Ya Habibi
    07. Rohman Ya Rohman
    LIKE, COMMENT, SHARE & SUBSCRIBE.
    Video Original by @ Sabyan Gambus

  • @تاتا-ن6ن
    @تاتا-ن6ن 4 роки тому

    Kombo kichwa

  • @zanzibarone-tzonlinetv9934
    @zanzibarone-tzonlinetv9934 4 роки тому

    @VuaE
    Playlist:
    01. Ya Maulana
    02. Deen Assalam
    03. Ya Jamalu
    04. Ya Asyiqol
    05. Ya Habibal Qolbi
    06. Ahmad Ya Habibi
    07. Rohman Ya Rohman
    LIKE, COMMENT, SHARE & SUBSCRIBE.
    Video Original by @ Sabyan Gambus