Filamu ni nzuri na ina mafundisho ndani yake. Ila kuna kosa moja tu ambalo nimeliona, wakati Kitatange alipoenda chafya hakupaswa yeye kunyanyuka na kutaka kukimbia, ilitakiwa abaki amekaa na kuwashangaa wanaokimbia.
Igizo zuri lenye mafunzo. Tunaona ushirikiano wa wasanii wetu, ni jambo jema na pekee kuunganisha nguvu na kuwa na sauti moja katika malengo yenu wasanii👍
jamaa siwafichi huyu kombo anahazina moja safisana nihilo bichwa maana hizi comed zake nahilo bichwa wallahi niraha tupu ninampenda mno huyu jamaa kwaajili ya Allah.
@@saidhamad7504 Ikishakuwa tunampenda anafaa uraisi. Wazanzibari hatutaki makuu, sie tukicheka tu Alhamullilah. Tunashida na tunacheka kama kawaida. Mataifa mengine wakiwa na shida wanakamata bunduki.
@VuaE Playlist: 01. Ya Maulana 02. Deen Assalam 03. Ya Jamalu 04. Ya Asyiqol 05. Ya Habibal Qolbi 06. Ahmad Ya Habibi 07. Rohman Ya Rohman LIKE, COMMENT, SHARE & SUBSCRIBE. Video Original by @ Sabyan Gambus
@VuaE Playlist: 01. Ya Maulana 02. Deen Assalam 03. Ya Jamalu 04. Ya Asyiqol 05. Ya Habibal Qolbi 06. Ahmad Ya Habibi 07. Rohman Ya Rohman LIKE, COMMENT, SHARE & SUBSCRIBE. Video Original by @ Sabyan Gambus
@VuaE Playlist: 01. Ya Maulana 02. Deen Assalam 03. Ya Jamalu 04. Ya Asyiqol 05. Ya Habibal Qolbi 06. Ahmad Ya Habibi 07. Rohman Ya Rohman LIKE, COMMENT, SHARE & SUBSCRIBE. Video Original by @ Sabyan Gambus
Mau hiyo ndizi wanitoa rohooo❤
"p
Hi mau mpemba
Mau namkubali sana! Dongo nae anatisha
Hawa jamaa ni noma sana😂😂😂
Mbona cjamuona kiswabi jaman😴
Vodacom
Igizo zuri sna
Sana bhanaà
Habarii
Mashallah mafundisho mazuri nikweli hayo niyakawaida tuu huku nilipo mie walikuepo waginjwa na wamepona
Hayo marathi siku hizi hayatoshi
Mtu aweza umwa njino
Akasema mbora aumwe na jicho
Sasa naibu wa shekha kavaaje barakowa
Masha'Allah nimeipenda
Miaika ishirini sasa sijawahi kulamihongo nduguzagu wa zanzibar salam zagu kutoka USA marekani naipenda. Yumbani pemba
Jamani si kila kitu kipo uko
Njooo basi ndugu yangu ila vipi jamani mbona mumetuacha peke yetu huku pemba
Beautiful home zanzibar pemba tuko pamoja
Kama unamkubali dongo weka comment yko hapa
Dongo yuk sw
Nipo nacheki comment zenu hapa chini kama kuna wabongo wanaicheki hii movie ili kuonesha ushirikiano like yako hapo chini tafadhari.
😂😂😂😂😂😂 mau mpemba tunamfuatilia ila kiswahili chenu kigumu kukielewa
zanzibar imekwishaaaaaaaaa dah adi nyinyi dah siamini
Filamu ni nzuri na ina mafundisho ndani yake. Ila kuna kosa moja tu ambalo nimeliona, wakati Kitatange alipoenda chafya hakupaswa yeye kunyanyuka na kutaka kukimbia, ilitakiwa abaki amekaa na kuwashangaa wanaokimbia.
Lengo la kuinuka ilikua ni kwenda kutema ugoro. Ndio maana aliinuka ili asiteme mbele y baba...
Kaz nzur
Igizo zuri lenye mafunzo. Tunaona ushirikiano wa wasanii wetu, ni jambo jema na pekee kuunganisha nguvu na kuwa na sauti moja katika malengo yenu wasanii👍
Mh nice
Amin
Kombo kichwa bd labisa kwa kuekt
Ahah asilihaizidi
Eti akisimama nlimani chamanangwe kijiji chote akipindua kwa kukohowa hee dongo weee kazi nzuri shukran zimoshen
Hhhhhh wanavtuko sna
Hongerenii mmejua sana kua pamojaa
Tuekeee no zako za simuuu
Mau umerudi nakukubali broo
Nawapenda sana wazanzibar wenzangu
Munguyupo nasi
Aliowa uharus ulimficha
Hongereni na wapenda Sana nipo Omani ila nikimuona kombo kichwa najisikiya kama nipo kode mungu awabariki
Haliyako mzima mmi pia nipo omani wwe upo wapi omani
jamaa siwafichi huyu kombo anahazina moja safisana nihilo bichwa maana hizi comed zake nahilo bichwa wallahi niraha tupu ninampenda mno huyu jamaa kwaajili ya Allah.
Hahahaha
😂😂😂😂nimecheka kwa sauti wallah kitatange alipopiga chafya
Kazi nzuri ina mafunzo ndani yake
Itrust island being
Jamani nyumbani hasa kuzuri yaani mawili unanisisimk nikiona mazingira ya nyumbani penda sana pemba japo nipo mbali.
💯💯💯💯
me too . home sweet home .
Tunataka kiswabi arudi
Mau kachukue fomu ya uraisi tunakupenda uwe raisi wetu wa zanzibar.
Hko ikulu ataenda kucheka tu
@@saidhamad7504 Ikishakuwa tunampenda anafaa uraisi. Wazanzibari hatutaki makuu, sie tukicheka tu Alhamullilah. Tunashida na tunacheka kama kawaida. Mataifa mengine wakiwa na shida wanakamata bunduki.
Umempendaa peke yako awe Rais wako
Kombo jichwa acha nicheke
Niko omani ila nikiangalia filamu hizi nacheka sana natamani kurudi kwetu mchanga mdogo
karbu
Home sweet home ❤❤❤💯
Kazi nzuri mashallah...... hongereni sana
Maa shaa Allah nzur
Dongo bhana umetuona watazania kwa maraz ya ukaidi
Nawapata kutoka Saudi Arabia 🤣🤣🤣Hongerenii sana watu wangu
Naona yumo jichwa au mpori pori
Skondi
Dongo mm nakushauri ugombee udiwani 2020
😂😂😂😂😂😂😂😂
@VuaE
Playlist:
01. Ya Maulana
02. Deen Assalam
03. Ya Jamalu
04. Ya Asyiqol
05. Ya Habibal Qolbi
06. Ahmad Ya Habibi
07. Rohman Ya Rohman
LIKE, COMMENT, SHARE & SUBSCRIBE.
Video Original by @ Sabyan Gambus
maalim wangu Amour salum
Nambie mkuu
@@amorthaniy6950 safi tu sheh .... jusk keep moving.... art pays the best interest.
Sawa nimekumbali kazi
Kombo kichwa
Eti myaka 100 halafu hii timu yote naikubali %90
big up kwenu
Iko poa
Jamani hili Bichwa la Kombo hahahahaha
😂😂😂
Namuona kombo kichwa hapo n upara wake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁🙏
😁😀😂
Mashaallah
Anapindua Gombe ume😂😂😂😂
mau unaweza yniukopoa
Mau fazila ndo mkewako ?
Mjomba mau mm nataka mkono wa tembo
😅
Mau hujawah kuniangusha
Mau wew skuzote izo ulikuwepo wapi
Nimeutia ugoro tu ,Sina corona😄😄😄
😀 😀
Hahaha haha
😆😀😀😀
Allah akubarikin
😅😅😅 kitatange katika ugoro2
Muko powa
Barakoa mfukoni duh😆😆
😂😂😂😂mm siaminiiii
Kake mau wanteng ila nzr
ivi vihogo nataka nivigawe kabisa😆😆
Shekha kajifunika n domo puwa iwazi jamaa hivi nsawa?
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣
Hahahahaha
@VuaE
Playlist:
01. Ya Maulana
02. Deen Assalam
03. Ya Jamalu
04. Ya Asyiqol
05. Ya Habibal Qolbi
06. Ahmad Ya Habibi
07. Rohman Ya Rohman
LIKE, COMMENT, SHARE & SUBSCRIBE.
Video Original by @ Sabyan Gambus
Kombo kichwa
@VuaE
Playlist:
01. Ya Maulana
02. Deen Assalam
03. Ya Jamalu
04. Ya Asyiqol
05. Ya Habibal Qolbi
06. Ahmad Ya Habibi
07. Rohman Ya Rohman
LIKE, COMMENT, SHARE & SUBSCRIBE.
Video Original by @ Sabyan Gambus