Ubilia watu waokoke cyo kuzungumzia wenzio unanikera sana kiroporopo ww tuu unafiki ww tuu roho baya ni ww tuu uzalilishaji ni ww tuu mungu akupe hekina ya kimungu ili uweze kunene yaliyo mema
Mtumishi wa Mungu tunakuamini sana kufutwa au kutofutwa SI msingi wa utumishi Imani unayo itetea SI Imani Bali ni uovu usipoteze muda nyakati hizi za uovu tuwssaidie tutashindaje nyakati hizi za uovu
Waacha Hao ni Majembe ya Mungu wambinguni Mwaposa Suguye Acha kuchokoza vita na Mungu wewe hubili unacho kuweza Habali za mafunue ya Watumishi wezio Hayakusu Mwachie Mungu Aliye wapa hayo mafunuo Kikubwa Tu watu tunapona kutumia Maji ya upako mafuta ya mpenyo Maji ya ubavuni mwa Yesu Kristo Bac wewe Piga kelele weee Hatukomi Kwenda Hadi Yesu Kristo nimerudi
Baba yetu Mbarikiwaaa na jina lako! Mungu akubariki sana Kaka yangu. Uko sawa sanaa Dogo wetu wanamuoneaaa sana. Wapo wanaomuonea wivu kisa anajaza Waumini. Lazima ajaze wanamkubali anhekuwa mmbaya hakuna mtu angekaa kanisani
Ubarikiwe sana baba, mbarikiwa wewe uwa na kupenda sana kwa sababu ndani yako uwangi mnafiki, ila watanzania wote wengi wao ni wana fiki. walimfungiya kwa sababu ni mcongo kwa sababu wako wengi wachungaji Tanzania ni matapeli tena majambazi sugu lakini mpaka sasa wako a makanisa yaho awaja fungiwa. Poleni sana kwa wa Tanzania kwa izoroho zenu za ukaidi na ubaguzi
Mungu tusaidie huko duniani wanapeana sumu kanisan wachungaji wanatoa sumu kywani mwao twende wapi sasa ili tupate pumnziko? Ya watu wanapoona haya mnawachangaya hawajui wafiate yupi? Tazama hata waganga wa kienyeji wewashimda ninyi watu wa mungu? Wako kimya na shetan wao, kwakelele hizo mungu hapendi, na kwa sasa hakuna hekima ya mungu bali ni wivu wa sadaka
Sura mbaya et nabii hendsam boy. Unajiamin usipake mkorogo wala siyo uongo hujasingiziwa na yule wazir jee manabii wote wapiga ramli alafu wanapiga vita waganga nakubali simliz ya mchungaji filipo
Sasa Mtumishi unapataje ujasiri ya Unaunga uharamu huo ya Kuhubiri Kuzimu mkono,badala yake kushukuru serikali kwa walichofanya,je kama wapo wengine ambao wapo kama huyo Si ungetoa hoja kwamba serikali chunguzeni na huyu ,duuuu Watumishi Mungu Anawaona😢😢😢
Mbarikiwa funga kalomo huon haya unamtetea mtu ambaye anavaa glops mkonon kaungua na mkorogo anahubir pumba neno gan linaruhusu kuharibiu ngoz shenz kabisaa😅
Serekali haina dini ,je imejuaje kwamba yuko kinyume na dini ya kikristo ,pili inaingilia je mambo ya dini ,wamuache maana sasa ni kuchagua ,maana injili ya kweli inahubiliwa lakini watu hawaitakii ,mbali wanashangilia mazingaombwe ,uwafanyeje waachwe ,watakutana na mwokozi ndipo watakapojuta na kushangaa .
Serikali nimekubalu sana kuona jicho la pili asirud kabisa na majitapo yake kaz kupiga vijembe watumish wa mung yy ndy zaid umeona kutozahad milon tano wenye magar ndy fahar yako acha tamaa mbaya acha tamaa mbaya
Acha unafiki hubiri neno la Mungu,unatutia aibu wakristo loo,mwili wa kristo ni mmoja,acha kelele km kichaa,kasome biblia mbaguzi mkubwa wee una wivu na roho mbaya,acha fitina,mnatutia aibu sana wakristo,acha ushetaniiii
Jodevi, mwamposa, kuhani Musa, suguye, gwajima, kakobe, mallisa, Joakim kimanza, mzee wa upako wote hawa ni matapeli hakuna mungu hapo. Ni wafanyaniashara waliojificha kwenye kanisa kutapeli na kuibia watu.
MIMI NI MUUNI WAKWE MUNGU NITUMAINI LANGU. KIUKWELI WA MUNGU HUYU MBARIKIWA NILIKUWA NAMUELEWA SANA LAKINI SASA ANABADILIKA SANA ROHO WA MUNGU AMEMTOKA SIKU HIZI AMEKUWA MNAFIKI SANA.
Kwa hiyo mwamposa awe anakojoa kwenye chupa ili atoe Bure? Mbarikiwa unazengua, Unaongea TU umefatilia kwa kina sababu za kufungiwa kiboko ya wachawi? Issues sio maji Wala mafuta, We una wivu, Wtz hatuna Ubaguzi Kiboko ya wachawi Kuna Mambo kidogo arekebishe.
Kiboko wachaw anashilikiana na serikali Sana kawapa polis gar kagawa madawat kajenga barabara buza kagawa majiko ges mamablishe wajane kawapa mitaji hio sio connection
Wewe Bado ni mchanga wa Imani , kuhani Musa hafananishi na mtumishi yeyote , mafuta na mji yapo husomi. Biblia ndio maana , kuhani Musa ni mwonaji, natoa watu kwenye uchawi wewe mbona usifanye kazi anayofanya yeye tujue na wewe ni bingwa kama kuhani Musa!
Ahsante Mbarikiwa. Huyu mgeni angeitwa aelekezwe kwa sababu ni dhahiri hajui details.
Kihaki kuna mtu kupewa onyo hata mara mbili.
Ubilia watu waokoke cyo kuzungumzia wenzio unanikera sana kiroporopo ww tuu unafiki ww tuu roho baya ni ww tuu uzalilishaji ni ww tuu mungu akupe hekina ya kimungu ili uweze kunene yaliyo mema
Mtumishi wa Mungu tunakuamini sana kufutwa au kutofutwa SI msingi wa utumishi Imani unayo itetea SI Imani Bali ni uovu usipoteze muda nyakati hizi za uovu tuwssaidie tutashindaje nyakati hizi za uovu
Amina
Huyu pasta.namwelewa sana.anajilipua sana.na ukweli unamgharimu sana.ila ukweli utabaki ukweli tu.Ubarikiwe Baba.Meseji Senti.Mungu na akulinde.umeanzisha vita kubwa sana.
Unafiki utakumaliza wewe falisayo omba Mungu akupe upako watu wataka injili yenye. Udhihirisho siyo harakati
We achana na Mwamposa kwani Mwamposa analazimisha?? si unanunuwa mwenyewe tu!!! mnafiki tu.mwamposa Oyeeeeeee na Hakuna wa kutufungia Arise and Shine.
Subiri yesu anakuja
Lkn pia kila jambo lina mwisho huwezi jua chini ya kapeti kulikua na nn
We mtu acha usumbufu bhana usituchoshe na porojo zako! Hongera serikali Kwa uamuzi mzuri
Waacha Hao ni Majembe ya Mungu wambinguni Mwaposa Suguye Acha kuchokoza vita na Mungu wewe hubili unacho kuweza Habali za mafunue ya Watumishi wezio Hayakusu Mwachie Mungu Aliye wapa hayo mafunuo Kikubwa Tu watu tunapona kutumia Maji ya upako mafuta ya mpenyo Maji ya ubavuni mwa Yesu Kristo Bac wewe Piga kelele weee Hatukomi Kwenda Hadi Yesu Kristo nimerudi
Kaka mhubiri Yesu acha kupambana na huduma za watu
Jamani imeandikwa njia Ile ni nyemba mba Bali Ile ya uzima ni ya uzimani,
Serikali msiwapevibali wanamaneno ya kutisha mara humaliz siku tisa asante
Namshangaa sana mbarikuwa u gejua asili yako ungenyamaza din biashara upagani nao din usimguse buldoza anajesh kubwa litakumeza utajuta
Baba yetu Mbarikiwaaa na jina lako! Mungu akubariki sana Kaka yangu. Uko sawa sanaa Dogo wetu wanamuoneaaa sana. Wapo wanaomuonea wivu kisa anajaza Waumini. Lazima ajaze wanamkubali anhekuwa mmbaya hakuna mtu angekaa kanisani
Ubarikiwe sana baba, mbarikiwa wewe uwa na kupenda sana kwa sababu ndani yako uwangi mnafiki, ila watanzania wote wengi wao ni wana fiki. walimfungiya kwa sababu ni mcongo kwa sababu wako wengi wachungaji Tanzania ni matapeli tena majambazi sugu lakini mpaka sasa wako a makanisa yaho awaja fungiwa. Poleni sana kwa wa Tanzania kwa izoroho zenu za ukaidi na ubaguzi
We mchungaj sasa unahubiri nini kwa watu wako mbona sikuelewi kichwa cha somo hapo ni nini?
Anatafuta ugali
Mungu tusaidie huko duniani wanapeana sumu kanisan wachungaji wanatoa sumu kywani mwao twende wapi sasa ili tupate pumnziko? Ya watu wanapoona haya mnawachangaya hawajui wafiate yupi? Tazama hata waganga wa kienyeji wewashimda ninyi watu wa mungu?
Wako kimya na shetan wao, kwakelele hizo mungu hapendi, na kwa sasa hakuna hekima ya mungu bali ni wivu wa sadaka
anahoji shanga ushoga
Mbele ya kadamnas kiboko umejisau
Sura mbaya et nabii hendsam boy. Unajiamin usipake mkorogo wala siyo uongo hujasingiziwa na yule wazir jee manabii wote wapiga ramli alafu wanapiga vita waganga nakubali simliz ya mchungaji filipo
Mbarikiwa hubir neno la Mungu acha mengine yakupite kila ck wewe nikuwasema hawa watu mm naona uache fanya yako hiz kaz tuwaachie wanasiasa
Tangu nimfahamu mbarikiwa mdomoni mwake jina la mwamposa ni kubwa kuliko kulitaja jina la Yesu
Sasa Mtumishi unapataje ujasiri ya Unaunga uharamu huo ya Kuhubiri Kuzimu mkono,badala yake kushukuru serikali kwa walichofanya,je kama wapo wengine ambao wapo kama huyo Si ungetoa hoja kwamba serikali chunguzeni na huyu ,duuuu Watumishi Mungu Anawaona😢😢😢
Mbarikiwa funga kalomo huon haya unamtetea mtu ambaye anavaa glops mkonon kaungua na mkorogo anahubir pumba neno gan linaruhusu kuharibiu ngoz shenz kabisaa😅
Hilo Nikweli kabisaa wamemuonea kaka wa watu
Anatafunwa na dhulma ya jasho la wanyonge
Kweli wamemuona
Serekali haina dini ,je imejuaje kwamba yuko kinyume na dini ya kikristo ,pili inaingilia je mambo ya dini ,wamuache maana sasa ni kuchagua ,maana injili ya kweli inahubiliwa lakini watu hawaitakii ,mbali wanashangilia mazingaombwe ,uwafanyeje waachwe ,watakutana na mwokozi ndipo watakapojuta na kushangaa .
Ukwel mtu unenayoo japo wengi wetu Ni viziwi na vichwa vigumu
Nikweli. Mfungie nahao wegine
Me naweza nikasema wew ni mvivu wa kumtafta Mungu na ndo maaana umekaa kuwasema wenzio na wanao kukusikiliza ndo maana na wao wamekaalia majungu tu
Biblia ni biashara kama zingine watu wanapiga hela.
Huyu Kama hatumii gongo,labda anakula UNGA,hayuko sawa kabisa.
Serikali yamwamposa kampontya mwanangu kupitia redio kaharisha shanga bure usiogope amini tena mtoe mwamposa mdomoni
❤
Aisee Kutetea Kiboko ya wachawi hatukatai lla usiongelee na wengine Mbona Watumishi Mmejawa na chuki na wivu hivyo
Siku zote baya moja hufunika maxuri yote
Mbona wenzako hawakusemi muache mwamposa wivuhuo
Wewe na hao wengine moto unawahusu
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢sisi tunalia tu sana
Serikali nimekubalu sana kuona jicho la pili asirud kabisa na majitapo yake kaz kupiga vijembe watumish wa mung yy ndy zaid umeona kutozahad milon tano wenye magar ndy fahar yako acha tamaa mbaya acha tamaa mbaya
Kuliko kwenda kuchanjwa chale bora upako buku laklo la mafuta na maj sbb ya. Urofa
Hubirini injili umbeya hauna sit kwenye safar ya mbngum
Acha unafiki hubiri neno la Mungu,unatutia aibu wakristo loo,mwili wa kristo ni mmoja,acha kelele km kichaa,kasome biblia mbaguzi mkubwa wee una wivu na roho mbaya,acha fitina,mnatutia aibu sana wakristo,acha ushetaniiii
Acha unFiki wwbaba mwamposa hana hayo kiboko anadhalilisha manabii wote wa mchongo ni waganga wa kienyeji
Ww baba umepewa rushwa na kibokoo acha ukuda
Basi itakuwa na Mbarikiwa nae ni rafiki wa yule Mchawi
Nasema hubiri injili achana na watu
Mbona wakristo mnapigana vita wenyewe.duu acheni haya mambo
Unadhani ingekuwa mranzania ndy kafanya hayo kongo waas wangemmaliza arud kwa wako gowanaijeria matapeli tz tu amke bigapserikali
Nabii gan anahasira mama samia usikubali mke wake amfuate kongo k
Chokoza vita kwa mtume mwamposa na suguye nadhan umerogwa injili imevamiwa
Kazi ipo sio kw mgongano huu mmh
Duh! Mbarikiwa sasa sikuelewi
Tusiogope amini tena mwamposa msimguse kabisa
Mmh
Jodevi, mwamposa, kuhani Musa, suguye, gwajima, kakobe, mallisa, Joakim kimanza, mzee wa upako wote hawa ni matapeli hakuna mungu hapo. Ni wafanyaniashara waliojificha kwenye kanisa kutapeli na kuibia watu.
Nao wafungiwe pia niwalewale tu
Makenge nyie, someni maandiko wapumbavu nyie mnaongea msichokielewa
Wotehao niwachawi wote wafungiw
W
Mweee mwakipesile haeleweki amesimamaje na Mungu anaemtumikia Jamani nyeee
Tuna muomba rais Samia suluu amfungulie nabii kiboko ya wachawi
Wivu utakuua mchana kweupeeeee.
Hubiria watu Neno la Mungu Mchungaji
Wiz mtupu
Wivu atamfikia mwamposa ,suguye kuhan musa ni madharau ya kiboko hana siri ww mwehu et
Tuachie baba yetu kuhani musa baba lao
MIMI NI MUUNI WAKWE MUNGU NITUMAINI LANGU. KIUKWELI WA MUNGU HUYU MBARIKIWA NILIKUWA NAMUELEWA SANA LAKINI SASA ANABADILIKA SANA ROHO WA MUNGU AMEMTOKA SIKU HIZI AMEKUWA MNAFIKI SANA.
uyu kwanini asirudi jera manake mdomo wake umezid ulivomzidi kumsema mwamposa umenikela kuhani musa nae afungiwe mwamposa hana mambo hy
Uko sawa.
Kama kumuona pesa mnaona ni kubwa hajalazimishwa mtu kwenda ! jamani!
Pambana na ari yako unapenda kufatilia yawenzako
Wakristo tupendane ili tumuone mungu
Nawewe ni MTU wa kuzimu,ndio maana wachawi wenzako wakikamatwa unapiga kelele,Freemason we we,koma kuchafua watu,shoga wewe😊wewe
Kwa hiyo mwamposa awe anakojoa kwenye chupa ili atoe Bure? Mbarikiwa unazengua, Unaongea TU umefatilia kwa kina sababu za kufungiwa kiboko ya wachawi? Issues sio maji Wala mafuta, We una wivu, Wtz hatuna Ubaguzi Kiboko ya wachawi Kuna Mambo kidogo arekebishe.
Wewe mtumishi wamungu mda gani unaponya watu mda mwingi unabishana tuu vipi mtumishi mwamposa babalao mponyaji wa.kweli anamaneno bali anaonyesha vitendo tuu
@@MwanaidhMary njoo uone alivyotuponya zaidi ya nyie mnao piga lamli chonganishi
Hawauzi ushahidi unayo?
Huyu anahangaika na makanisa ya wenzake alafu anajita mchungaji fata yako acha kuwasema watu roho mbaya tu
Acha na kuhani Musa! Wewe ingia kwenye kumi na nane zake kama hujatolewa nje dk 90 mchezo unaisha
Mwambie ni huyo anacheza na Ngomeni afanye yake
Yani huyu.mchungaji ana tatizo fyuuuu ila mwamposa hua anakunyima usingizi sana na bado atakunyima hadi kunya😅😅😅
Mbarikiwa acha mawenge kama nguvu ya Mungu huna kauze makatapera tukuyu.😂😂😂😂
Mwanzo alikwenda sawa kajisahau na ulinz bod gad mh nenda kongo uwe rais
Mwamposa anakunyimaga usingizi sana mr kigeugeu!😄😄😂
Huyu jamaa haelewekagi kabisa
😂😂😂😂😂 mm simwelewag anahubirigi nn hyu.
Mchochezi mkubwa huyu baba.. Moyo wake umejaa chuki... Uchonganishi serikali na watumishi wa mungu......
Uyu bwana ni wivu unamsumbua
Kiboko afunguliwe acheni uonevu tanzania
Farisayo mwenyewe inawezekana huna hata dini ni Mpagani. Unachofurahia Injili kufungwa umepata nini kama sio ushetani yu na giza la moyo
Unapepo ww
Hilo ndo somo la leo
@@majaliwamsigwa6206 we unaonaje?
We nimlaaniwa sio mbarikiwa
Matapeli waakubwaaa nyie
Mwakipasile ana genge kubwa la watu wasio jielewa maboya kabisa
Wanaojielewa huji kuwakuta wakihangaika kwa kucoment kwa watu wasiojielewa
@@zawadimwaibako4065 nyny ni mazimwi ya mwakipasile tena mko kama misukule maana jamaa linawaendesha kama mbwa
Sasa wewe hizo namba zanini hapo kama sio walewale
Nyinyi mshaumia na dini yenu ya mchongo
Nawewe ufungiwe
Kiboko wachaw anashilikiana na serikali Sana kawapa polis gar kagawa madawat kajenga barabara buza kagawa majiko ges mamablishe wajane kawapa mitaji hio sio connection
Wakristo wapendane bana
Pumbavuuuu
Looooohhhhhh
Wewe Bado ni mchanga wa Imani , kuhani Musa hafananishi na mtumishi yeyote , mafuta na mji yapo husomi. Biblia ndio maana , kuhani Musa ni mwonaji, natoa watu kwenye uchawi wewe mbona usifanye kazi anayofanya yeye tujue na wewe ni bingwa kama kuhani Musa!
Hajui anachokisema
WEYE MWAKIPE SILE MIMI MIMU GANGA APA CONGO LUBUMBASHI MUTOTO WAKO ANA SEMA KAMA KIBOKO YAWA CHAWI DOMINIQUE APELEKE AMANI CONGO KWENYE KUNA VITA