Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Jaman Leo sku YANGU ya kwanza ku_comment nimeipenda Sana naombeni ata like mbili tuuu
Mamb
@@robetihnyo17 pw
@@robetihnyo17 pe
@@florarenister4352 mzma
Chukua iyo usijali
clam we kweli noma unajua kuigiza ongera mnooo mungu azidi kukuonyesha njia
Ila uyo kaka bwana wake vai nimependa saaana anavyoigizaaa Masha allah
Kwa kweli mnajua mnajua mnajua tenaaa 🔥🔥🔥🔥🇹🇿
Daah maisha yetu kbsa unakuta demu anakuektia anakupenda kumbe daah
hata mimi namkubali sana huyu mdada anajua sana kuigiza sana yani tena zaidi ya sana
Clam ww na uyu baba wa shat ya blue msiachanage mna vibe yakutosha🤣🤣🤣🤣
MALAYA NDOIGE UMETIXHA, ONGERA XANA KWA KUVAA HUUXIKA VIZURY 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jmn w dada nimependa sana uigizaji wako umetisha sana dada khaaaa jmn ww
Ndo ivo ilivyo. Mke Malaya anakuwa mnafki kuliko wanafiki wote duniani analia machozi ya mamba ili kuonyesha yeye hana hatia. Ao Mungu anawaona.
Ukwel usiopingika ndani ya maisha ytu nimependa saana huyo sister jins anavojitetea kwa jamaa yke
umoja ndo nguvu ndugu yng 💪👏👏😍😘😂😂😂
Mapenzi inauwa but kufanyia mume wako mpango wa kando siyo mzuri, Ee. Mwenyezi mungu Utuhurumie ss na dunia nzima Amina 🙏
Clam ni king 👑 wa comedy na huyu dada ni queen 👑 wa comedy 👑
Uyo demu namkubal anajuwa sana kuigiza then mzur
Nampendaa sana anajuqaaqq kinomaa
Duuuu mumeweza Sanaa hasa huyo binty malaya nafasi yake kaicheza vizuri saana hongereni sana washiriki tunasubiri muendelezo
Uy Malaya kachez kama pele
@anethchalres8575 6666666666666666666666666666666666666666666666666
CH
Clam uyu dada anajua salute kwake
Iko sawa Kenya tuna wakubali
Mmetukosha 🎉 balaa maua yen mnasitail jaman
Daaaaah uyo dada nomah analia kbxa
Dada nmelipenda hiyo muv umeuwa
wewe dada hongera sana unajua kuigiza na big up sasa uyo dada akiegiza malaya
Jorje. Joao
Wahusika Wamecheza Vizuri sana Nafasi Zao Big Up Clam
Inafundisha sana, congratulations 👏
Jamaa kauwa sana javaa uhusika
Munajua vizuri sana make me smile
Ndugu yangu hapa kazi ip yaani ukisikia maraya ndoige Ndo huyo yaan ukipita kushoto yupo kulia yupoKama umesikia hiyo like kwa mmbwa ww
Haha... kuenda kuchapa mzigo
na wewe belihamu hongera sana utafika mbali xana
Daaaaaaa huyu demu ni 🔥 🔥 🔥🔥🔥
Hongera xana mnaweza Ila naomba kujua jina la huo wimbo bora nibaki mwenyew 🔥🔥🔥
Bd huja pat jina la wimbo
Nimeipenda pia wimbo ni nsani gani? From🇲🇿
Kafanana na Lulu Kwa mbaaali
Mi pia mwanzo kabla sijafungua nilijua lulu
Mambo
Nimecheka kisenge naendaaa nyumbaniiii🤣🤣🤣🤣🔨
Huyo mr kofia yupovizuri kbs
😂😂😂😂pole kijana tafuta ela
Jamani mpo vzr kama mtuuu akitaka kujiunga na nyinyi nafanyaje mm nata kujiunga na nyinyi
Clam msenge sana hyu jamaa ety mpwa pwa😀😀😀😀😀
VaI unajua jaman😘😘😘❤
Vai nae Kwa kuigiza analia ni noma sana 😂😂😂😂😂😂❤️❤️❤️🚶🚶
Much love frm Burundi 🇧🇮❤
Aisee hii kali
Wanawake wabaya saana
😆😆😆😆Clam is 🔥 ety naenda nyumbn...
Napendaga sana akisema ivyo....jamaa anajua sana
Unamuona huyo da@@mohamedmashaka4680
🤣🤣🤣🤣Huyu dada ni balaaa aiseee,,, bora wew clam nenda nyumbn
🤣🤣kbs
Hakika sijawah coment UA-cam mm zaid ya kuangaliatu nakusoma coment za wadau ila kwa mara ya kwanza nimejikuta uzarendo umenishinda ,,hii Dunia ina mambo hakika🤣🤣🤣
Hee Huyu dada malaya ndo type ya wanawake weng bairam still man of the match
Uyuu mwanamke anaweza akakuhua kabisa kabisa kweli ni kuigiza lakini mmh
À santé kwama shaùri yenu mimi mukongomani🎉
Hapo kwenye mchanganyo😂😂😂
daaaah huyu Binti anajua kuigiza kwa hisia😂😂😂😂 nampenda jamn naomba namba yake nitafika dau,ila Yuko vzr kabsa Kwa kuigiza
🤣 🤣 🤣 🤣
@@phelixokeyo3522 kNmj.
Kazi njema
😀😀😀😀huyu mwanamke hata uso wa firauni hauoni mwongo mwongo tena huyo shetani akae pembeni😀😀ila hapa mnafundisha tusiaminike wanawake😀😀😀
Heeeeee huyu mwanamke kiboko nyie😂🙌
Eee kafanana na lulu kwambali🎉
mko vzr sana kwakweli
Huyu dada anajua zaidi sanaaaaaaaaaaaa mpaka ana boa
Akii clam bwana wew ety mpira mumoja tunapiga wote kicheche bwana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Cheki clam
Duuuuuh kweli malaya 😮😮😮
Oyy part 2 musichelewesh
Part 2 isichelewe wazee hii imekaa poa sana!
Brother aliyeigiza ana dem malaya amevaa uhusika aslimia 100. Bravo kwake na kwenu wote .. Mko vzur sana
Clam na bairah mumebaki midomo wazi🤣🤣🤣🤣clam kabaki eeeh eeeh eeh😂🤣Malaya konk
Nimeipenda ile eeh eeh!naenda nyumbani!
@@zabibukayunga1912 🤣😂🤣😂🤣clam hunimalizaga sana na iyo naenda nyumbani yake😂🤣🤣
@@munirajackson2695 haswaaaa
Vai nakupenda mm pumbafu zangu 😅much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Àkh uyu binti anajua kuigiza Kwli 😂 tena kwa hisia zake,,,,, Afuu Clam nae, 😂 Ety naenda nyumbani.......😂😂😂😂😂😂
Kaz nzur xna
Duuuuu nimeikubali sana hyoooo
Aki uko juu mrembo
Clam clam clam😂😂😂😂😂😂nmekuita mara ngapi bwana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uyo dada anajua kuigiza sana Hadi analia na ametoka kudanga...much love from KENYA
Ahhahahaha balaa
Wow hii Ni kali Dada umeweza naomba comment jamani
Ila vai chombooooo
Hahahahahh nimecheka sana kama mazuri vile, kweli NDOIGE
Bailam sio pow duuuh unajua
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣👏 brother umestisha Sana
Nyinyi acheni ushoga toeni movies bana huwa mnanibamba..walai mkojani hawawezi kabisa mko juu
Aseeeeeeee 🤣🤣🤣🤣 ndo maana awa madada wazuri wazuri nawaogopa kinyama
Ukiwaona Kimbia bro. Ni ma lucifer
Jamn part 2 isichekewe daah uyo dada noma ameweza
first born here more like needs
Kazi nzuri
Hayari😂😂😂🔥🔥🔥Na wa kumbali toka🇨🇩
malaya ndoige waah. mtakuja tutoa roho na hizi comedy zenu jameni
Namkubali sana aclam
Bigap san
Yaani huyu Dada jaman anajua kuigiza 👐
Asee mnaigiza uhalisia hadi machozi huku.Waiting for part two.
Kiukwel nimeipenda sana uyu demu kauwa sana kafanya nimkumbuke demu wangu alikuwa Malaya sana aiseee
🤣🤣unasema demu wako alikua nini?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahahahahaha acha utani dem wako ni wale wale kasoro tarehe 🤣🤣
Nimecheka wewe kaka😂😂😂😂
Hahahaha nimecheka
Mko wasa you are on top big up guys
Mashallah tabaraqllah nawapenda sana tiktok 😍😍🥰🥰💃💃❤❤❤❤UA-cam 😍🥰🥰🥰🥰🙏🏾
Clam hii ni moto 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🤣🤣🤣🤣🤣essa senhora sabe fingir
Madem mapretender mbya chunga Sana awa watu
😁😁😁😁😁😁😁😁😁dada mkavu uyu
🤣🤣
Uko p sana mrembo mm n noty abdhallah nikiwa kenya
Haki muko vizuri sana wabongo, 😙big up 254.
😂😂😂 Daaah huyu clam anajua jamani
Cheki Dada anavyo lia
Mmmmmh hapo hatar kweli huyo ndoige ameplay part vizuri sana
Kweli nimeipanda sana dada anajua sana🤣🤣🤣🤣🤙🤙🤙
Alaf huyo dada anamfanana Lulu Michael 100%
Nilijua nimm tu ndo nmeona ivo
@@jacklinejoseph2729 nina macho kama yako eti?
@@abdulazizsharif2984 kama ivo
@@jacklinejoseph2729 😂 sssa inabidi tue couple
@@abdulazizsharif2984 hahahaaaaaaaaa
Mmmmmhhh,huyu mkali,anajua kuigiza kinoma!bravoo.
Clam 🤣🤣🤣🤣 naenda nyumbani ii🤣🤣🤣
Hapo mwishoniiii hapo....et naenda nyumbaaaniiii🤣🤣🤣🤣🤣 bro shikamoooooooo
Hata me nilikua na Mt Kama uyo sasa bas iri kujua utumie Sana akili maana wanakuaga wakavi Sana wanalalamika San kumbe mbwaaaa
Malaya kawapiga za macho hawaoni dah
Jaman Leo sku YANGU ya kwanza ku_comment nimeipenda Sana naombeni ata like mbili tuuu
Mamb
@@robetihnyo17 pw
@@robetihnyo17 pe
@@florarenister4352 mzma
Chukua iyo usijali
clam we kweli noma unajua kuigiza ongera mnooo mungu azidi kukuonyesha njia
Ila uyo kaka bwana wake vai nimependa saaana anavyoigizaaa Masha allah
Kwa kweli mnajua mnajua mnajua tenaaa 🔥🔥🔥🔥🇹🇿
Daah maisha yetu kbsa unakuta demu anakuektia anakupenda kumbe daah
hata mimi namkubali sana huyu mdada anajua sana kuigiza sana yani tena zaidi ya sana
Clam ww na uyu baba wa shat ya blue msiachanage mna vibe yakutosha🤣🤣🤣🤣
MALAYA NDOIGE UMETIXHA, ONGERA XANA KWA KUVAA HUUXIKA VIZURY 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jmn w dada nimependa sana uigizaji wako umetisha sana dada khaaaa jmn ww
Ndo ivo ilivyo. Mke Malaya anakuwa mnafki kuliko wanafiki wote duniani analia machozi ya mamba ili kuonyesha yeye hana hatia. Ao Mungu anawaona.
Ukwel usiopingika ndani ya maisha ytu nimependa saana huyo sister jins anavojitetea kwa jamaa yke
umoja ndo nguvu ndugu yng 💪👏👏😍😘😂😂😂
Mapenzi inauwa but kufanyia mume wako mpango wa kando siyo mzuri, Ee. Mwenyezi mungu Utuhurumie ss na dunia nzima Amina 🙏
Clam ni king 👑 wa comedy na huyu dada ni queen 👑 wa comedy 👑
Uyo demu namkubal anajuwa sana kuigiza then mzur
Nampendaa sana anajuqaaqq kinomaa
Duuuu mumeweza Sanaa hasa huyo binty malaya nafasi yake kaicheza vizuri saana hongereni sana washiriki tunasubiri muendelezo
Uy Malaya kachez kama pele
@anethchalres8575 6666666666666666666666666666666666666666666666666
CH
Clam uyu dada anajua salute kwake
Iko sawa Kenya tuna wakubali
Mmetukosha 🎉 balaa maua yen mnasitail jaman
Daaaaah uyo dada nomah analia kbxa
Dada nmelipenda hiyo muv umeuwa
wewe dada hongera sana unajua kuigiza na big up sasa uyo dada akiegiza malaya
Jorje. Joao
Wahusika Wamecheza Vizuri sana Nafasi Zao Big Up Clam
Inafundisha sana, congratulations 👏
Jamaa kauwa sana javaa uhusika
Munajua vizuri sana make me smile
Ndugu yangu hapa kazi ip yaani ukisikia maraya ndoige Ndo huyo yaan ukipita kushoto yupo kulia yupo
Kama umesikia hiyo like kwa mmbwa ww
Haha... kuenda kuchapa mzigo
na wewe belihamu hongera sana utafika mbali xana
Daaaaaaa huyu demu ni 🔥 🔥 🔥🔥🔥
Hongera xana mnaweza Ila naomba kujua jina la huo wimbo bora nibaki mwenyew 🔥🔥🔥
Bd huja pat jina la wimbo
Nimeipenda pia wimbo ni nsani gani? From🇲🇿
Kafanana na Lulu Kwa mbaaali
Mi pia mwanzo kabla sijafungua nilijua lulu
Mambo
Nimecheka kisenge naendaaa nyumbaniiii🤣🤣🤣🤣🔨
Huyo mr kofia yupovizuri kbs
😂😂😂😂pole kijana tafuta ela
Jamani mpo vzr kama mtuuu akitaka kujiunga na nyinyi nafanyaje mm nata kujiunga na nyinyi
Clam msenge sana hyu jamaa ety mpwa pwa😀😀😀😀😀
VaI unajua jaman😘😘😘❤
Vai nae Kwa kuigiza analia ni noma sana 😂😂😂😂😂😂❤️❤️❤️🚶🚶
Much love frm Burundi 🇧🇮❤
Aisee hii kali
Wanawake wabaya saana
😆😆😆😆
Clam is 🔥 ety naenda nyumbn...
Napendaga sana akisema ivyo....jamaa anajua sana
Unamuona huyo da@@mohamedmashaka4680
🤣🤣🤣🤣Huyu dada ni balaaa aiseee,,, bora wew clam nenda nyumbn
🤣🤣kbs
Hakika sijawah coment UA-cam mm zaid ya kuangaliatu nakusoma coment za wadau ila kwa mara ya kwanza nimejikuta uzarendo umenishinda ,,hii Dunia ina mambo hakika🤣🤣🤣
Hee Huyu dada malaya ndo type ya wanawake weng bairam still man of the match
Uyuu mwanamke anaweza akakuhua kabisa kabisa kweli ni kuigiza lakini mmh
À santé kwama shaùri yenu mimi mukongomani🎉
Hapo kwenye mchanganyo😂😂😂
daaaah huyu Binti anajua kuigiza kwa hisia😂😂😂😂 nampenda jamn naomba namba yake nitafika dau,ila Yuko vzr kabsa Kwa kuigiza
🤣 🤣 🤣 🤣
@@phelixokeyo3522 k
Nmj.
Kazi njema
😀😀😀😀huyu mwanamke hata uso wa firauni hauoni mwongo mwongo tena huyo shetani akae pembeni😀😀ila hapa mnafundisha tusiaminike wanawake😀😀😀
Heeeeee huyu mwanamke kiboko nyie😂🙌
Eee kafanana na lulu kwambali🎉
mko vzr sana kwakweli
Huyu dada anajua zaidi sanaaaaaaaaaaaa mpaka ana boa
Akii clam bwana wew ety mpira mumoja tunapiga wote kicheche bwana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Cheki clam
Duuuuuh kweli malaya 😮😮😮
Oyy part 2 musichelewesh
Part 2 isichelewe wazee hii imekaa poa sana!
Brother aliyeigiza ana dem malaya amevaa uhusika aslimia 100. Bravo kwake na kwenu wote .. Mko vzur sana
Clam na bairah mumebaki midomo wazi🤣🤣🤣🤣clam kabaki eeeh eeeh eeh😂🤣Malaya konk
Nimeipenda ile eeh eeh!naenda nyumbani!
@@zabibukayunga1912 🤣😂🤣😂🤣clam hunimalizaga sana na iyo naenda nyumbani yake😂🤣🤣
@@munirajackson2695 haswaaaa
Vai nakupenda mm pumbafu zangu 😅much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Àkh uyu binti anajua kuigiza Kwli 😂 tena kwa hisia zake,,,,, Afuu Clam nae, 😂 Ety naenda nyumbani.......😂😂😂😂😂😂
Kaz nzur xna
Duuuuu nimeikubali sana hyoooo
Aki uko juu mrembo
Clam clam clam😂😂😂😂😂😂nmekuita mara ngapi bwana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uyo dada anajua kuigiza sana Hadi analia na ametoka kudanga...much love from KENYA
Ahhahahaha balaa
Wow hii Ni kali Dada umeweza naomba comment jamani
Ila vai chombooooo
Hahahahahh nimecheka sana kama mazuri vile, kweli NDOIGE
Bailam sio pow duuuh unajua
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣👏 brother umestisha Sana
Nyinyi acheni ushoga toeni movies bana huwa mnanibamba..walai mkojani hawawezi kabisa mko juu
Aseeeeeeee 🤣🤣🤣🤣 ndo maana awa madada wazuri wazuri nawaogopa kinyama
Ukiwaona Kimbia bro. Ni ma lucifer
Jamn part 2 isichekewe daah uyo dada noma ameweza
first born here more like needs
Kazi nzuri
Hayari😂😂😂🔥🔥🔥Na wa kumbali toka🇨🇩
malaya ndoige waah. mtakuja tutoa roho na hizi comedy zenu jameni
Namkubali sana aclam
Bigap san
Yaani huyu Dada jaman anajua kuigiza 👐
Asee mnaigiza uhalisia hadi machozi huku.
Waiting for part two.
Kiukwel nimeipenda sana uyu demu kauwa sana kafanya nimkumbuke demu wangu alikuwa Malaya sana aiseee
🤣🤣unasema demu wako alikua nini?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahahahahaha acha utani dem wako ni wale wale kasoro tarehe 🤣🤣
Nimecheka wewe kaka😂😂😂😂
Hahahaha nimecheka
Mko wasa you are on top big up guys
Mashallah tabaraqllah nawapenda sana tiktok 😍😍🥰🥰💃💃❤❤❤❤UA-cam 😍🥰🥰🥰🥰🙏🏾
Clam hii ni moto 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🤣🤣🤣🤣🤣essa senhora sabe fingir
Madem mapretender mbya chunga Sana awa watu
😁😁😁😁😁😁😁😁😁dada mkavu uyu
🤣🤣
Uko p sana mrembo mm n noty abdhallah nikiwa kenya
Haki muko vizuri sana wabongo, 😙big up 254.
😂😂😂 Daaah huyu clam anajua jamani
Cheki Dada anavyo lia
Mmmmmh hapo hatar kweli huyo ndoige ameplay part vizuri sana
Kweli nimeipanda sana dada anajua sana🤣🤣🤣🤣🤙🤙🤙
Alaf huyo dada anamfanana Lulu Michael 100%
Nilijua nimm tu ndo nmeona ivo
@@jacklinejoseph2729 nina macho kama yako eti?
@@abdulazizsharif2984 kama ivo
@@jacklinejoseph2729 😂 sssa inabidi tue couple
@@abdulazizsharif2984 hahahaaaaaaaaa
Mmmmmhhh,huyu mkali,anajua kuigiza kinoma!bravoo.
Clam 🤣🤣🤣🤣 naenda nyumbani ii🤣🤣🤣
Hapo mwishoniiii hapo....et naenda nyumbaaaniiii🤣🤣🤣🤣🤣 bro shikamoooooooo
Hata me nilikua na Mt Kama uyo sasa bas iri kujua utumie Sana akili maana wanakuaga wakavi Sana wanalalamika San kumbe mbwaaaa
Malaya kawapiga za macho hawaoni dah