Balaa la RUBY Kwenye Tuzo, Malkia wa Nguvu 2019
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- LIVE: Balaa la RUBY Kwenye Tuzo Malkia wa Nguvu 2019
NI katika kilele cha Tuzo za malkia wa nguvu zinzofanyika katika ukumbi wa Julius Nyerere ambapo wanawake mbalimbali watapokea tuzo kulingana na vitengo vilivyoandaliwa ambapo mapema katika tuzo hizo tayari aliyekuwa miss Tanzania 2004 Faraja Nyalandu Kota amepewa tuzo ya mwanamke ambaye ni mwamasishaji.
naye mwadada anayefanya vizuri kwenye mziki wa bongo fleva RUBBY amekuwa miongoni mwa wasanii walitumbuiza katika TUZO Hizo za malkia wa nguvu.
#MALKIAWANGUVU
www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyh
Duh,Rubby kweli una kipaji, hiyo sauti si mchezo. Tatizo la Tanzania wanapenda kusuport watu wa hovyo wanawaacha kina Rubby. Rubby ww ni fundi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hakuna mwimbaji yyt wa like tz mwenye vocal ruby
Hakuna msaniii yeyote Tz mwenye vocal kama ww you are the best wengine warudi shule wakasome
Hakuna mwingine Kama ruby
Husaidiwi na chombo chochote ni sauti yako mwenyewe ww kiboko mungu akujaalie mama
Singer,
Performer,
Artist,
Vocalist,
Everything,
This is what we call MUSIC, Keep it up Rubby
Beyonse wa bongo😘😘😘😘😘much love mzki mzuriiiii🥰🥰🥰🥰🥰
My no 1 vocalist
Ruby Ruby Ruby Mamaa u're da best my girl unajua hadi unaboa 🙌🙌🙌💪
Daaaah lord thanks for the gift u gave thiis lady its a blessing
Ruby anabalaa katika live band saut motoooo
Cjui hata nisemeje ila nakuelewe sana
ni balaa
Love u sana uko juuu kileleni akuna kama ww ruby
Has anyone noticed Frida Amani so proud of the fellow woman❤
Ruby ni namba nyingine jaman 😍
Hanaga kaz mbovuuu ruby mziki wake ni htr
Mtulivu
Unaweza Ruby
Maashaallah ongera saana muzazi unasauti yagipekeee
Wow ma favourite luv u xana
Dah no one like you Ruby 😘😘
The best female singer of all time in tz.
Ruby number one kweli hongera sana my sister from another mother
nakupenda ruby 😍😘
mungu akugungulie njia
Rub ana vocal Sana huyu dada
Nampenda sana ruby aisee
Kabisaaaaaa wakasome Ruby the nambar one❤️❤️❤️❤️
Yaa ana Kipaji sana
Ruby bongo bahati mbaya 😭😭😭🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌
Kabisa
Huyu Ni level za kina Beyonce
uko vizur mama
It's really lovely. Ur my best into music 😍💞💞💞💞👆👐
Nakulove tu
She z cute
Wooow jomooooun saut nzuuur
Huyuu Ruby huyu daaaaah...
Mohammed Makongoro noma sanaaaa huyu Ruby
Ruby namba nyinginee huwezi kuchuja miaka mia
Uko vizuri
Bongo bahati mbaya uyu mtoto
Saf nakukubali
beyonce wa tz shikamooooo
Marihabaaa
Exactly
Uyu noma
Unajua csta
%100ila bahati tu au ndio hio heshima wanayosema watu ila hnaka ruby voko
😍😍😍😍
Duh we ndo khabari Yaoo ruby mpnz
Hakuna wakushinda naww
🔥🔥🔥🤗🤗
Ruby kama Whitney Houston
Mh
Huu wimbo alioimba Ruby wa kiingereza unaitwaje na kaimba nani?
She z.just.the best
Aseee
Nakupendaga bure
Ruby n mkali lakini n mvivu, that's no were she is supposed to be
Mmh
Pendan sana
Mchukuen nandy aembe live Kam rubby atakunyaaa rubby anajua kuimba au mmchukue zuchu Kam hata wanmbia maiki mbovu🤣🤣 rubby anasaut mnashndwa kusapot watuu km kina rubby maangaik na kina hamisa wenyw sautii za kukuu
ww kiboko yn
Nakupa salute Rubby lakini unipe siri tu ya uzazi maana hivo viuno na umezaa juzi tu
Mazoezi tu husna John
ndo mxiki tunaoutak sio w piga keleleee unajua ruby
Siku tanzania ikipona ugonjwa itaelewa thamani ya huyu dada
@@enockwilliamkulwa9345 umeona