KIBONDE Alijua ATAKUFA Akaacha WOSIA, Baba, Mtoto Wasimulia
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- KIBONDE Alijua ATAKUFA Akaacha WOSIA, Baba, Mtoto Wasimulia
Global TV imefika nyumbani kwa Aliyekuwa mtangazaji wa kipindi cha Jahazi cha Clouds FM, Marehemu Ephraim Kibonde, maeneo ya Mbezi Beach jijini Dar na kuzungumza na Baba mzazi na mtoto wa kwanza wa marehemu Kibonde....
Baba mzazi wa Kibonde amesema ni kama mwanae alikiona kifo chake kwani mara ya mwisho alizungumza nae akiwa hospitali muda mfupi kabla ya mauti kumkuta na akamsisitiza sana Baba yake kuwaangalia wajukuu zake yaani watoto wake watatu ambao amewaacha...
Aidha Mtoto wa kwanza wa Kibonde anayeitwa Ephraim naye ameongeza kuwa hatomsahau baba yake kwa jinsi ambavyo alikuwa mchapakazi na mara ya mwisho alipowasiliana nae alimwambia kuwa anajiandaa kurudi Dar...
Mwili wa Kibonde umeingia Dar es Salaam jana ukitokea mkoani Mwanza ambapo ndipomauti yalipomkuta...
Kibonde anatarajia kuzikwa keshi Jumamosi Machi 08, katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar...
#RIPKIBONDE
www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
SUBHAANALLAH inasikitisha, inahuzunisha, inatisha WALLAH🤔🤔🤔 INSHALLAH MUNGU awakuze vyema watoto, babu yao na familia kwa ujumla awape nguvu. INNAALILLAH WAINNAILAYHI RAAJIUN 🙏🙏🙏🙏
pole babangu MUNGU awape nguvu familia kwa wakati huu mgumu
Mungu awatie nguvu katika majozi
Mtoto wa kibonde ana kifua ni mvumilivu na jasiri , pia ni mwerevu.
Jitahidi sana kuwaangalia wadogo zako na angalia focus kama alivyokuasa mzee wako.
Gundua hazina yako na itumie hiyo kujikwamua kimaisha. Kile alichokiacha Baba kitumie kwa manufaa yako na wadogo zako kwakuwa hazina yako ilipo ndipo na moyo wako ulipo. Pole sana mdogo wangu
Uink
Mwanaume ni mwanaume tu itabaki Kuwa hivyo💪 Mungu azidi kukupa nguvu mwanangu na akubariki wewe na wadogo zako Amiin🙏
Mwanajuma O Mahundumla bora anaelia kuliko aliopo ivo maumivu hapo ni makubwa ndo manaa unasikia mtu presha yn mtu unaamia unashindwaa kutoa chozi maumivu ya ndan mabaya snaaaa
Junior wewe ni mwanaume wa kipekee katika familia just be strong and set a role model to your younger sisters na mungu akupe uwezo na hasa katika kipindi hiki kigumu xana rip kibonde
Ephraim Junior una sauti kama baba yako Ephraim Senior! Be strong and take care of you Siblings and Grandparents. God give strength to the children.
Junior......ur super strong brother.....mungu huyu wa mbinguni tunayemuamini akupiganie siku zote katika maisha yako.......Nakupenda 😍
Pole sana dogo mungu akupe ujasiri ktk kipindi hiki
Poleni sana familia ya E. KIBONDE. Mwenyezi Mungu awape nguvu, imani, na tumaini. Naomba msimuache MUNGU.
Amen baba Mungu ndio kilakitu katika maisha yetu
My brother junior your very strong.God bless you in your life bro..Nakupenda😍😍
Baba pole sana maneno yako yanabusara sana baba yangu kweli inauma sana ila yote nimipango ya Mungu tupo pamoja nawe baba katika musiba huu
Ephraim aunt yangu!! Ulitaman aamke alipolala umwambie sasa nimekuelewa baba!! Pole aunt Mungu yupo mpo salama
Pole sana mwanangu mwenyezi mungu awape moyo wa subra na wadogo zako mwanaume ni mwanaume mwenyezi mungu awakuze salama Inshallah
Pole baba ni mapenzi ya mungu na mungu akutie nguvu na umwamini mungu
Mtangazaji ovyooo,Pole mdogo wangu,Mungu awatie nguvu.R I P Kibonde.
Pole sana Ephraim, kijana mwenzangu umenionesha ujasiri wa hali ya juu!
Pole baba sisi wote ni wa Mungu na kwake tutarejea,,ila mtangazaji unaboa sana na maswali,Baba nimejifunza kwako
poleni sana wana familia,hakika Baba umeongea Neno la msingi kabisa,duniani tunapita tu tunahitji kufanya tathimin ya Maisha kati yetu na Mungu maana hatujui siku wala saa tutakapotwaliwa.Mungu atusaidie tuwe na hofu sana na Mungu
Pole sana baba yangu poleni
Pole sana baba
polen wafiwa mungu awajalie hekima ma upendo wapumzike kwa amani.
Babu ana maneno mazuri nadhani atakuwa mmoja wa mashahidi wa Yehovah: Mungu azidi kuwafariji
Pole mdogo wangu Mungu akupe nguvu na faraja
Pole familia Mungu awatie nguvu kipindi hiki kigumu
Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu, poleni sana tuko pamoja, tumuombee ndg Kibonde Mungu ampumzishe kwa amani.
Poleni sana aiseeee inaumaa kifo chake kinafanana na chababa angu ivyooo ivyooo yaniiii mtu anaenda msibani ukouko nae anaumwa nakupotezaa maishaaa 😷😷 😷kifo chake kimeniuma sanaa kimetonesha kidonda kilichokua kinapoa
evajoy manyama .
Pole, ndo maisha yetu tena!
Pole kwa family ya kibonde na kwahuyu mtangazaji wa global
mungu aendelee kuwa faraja yenu poleni sana na msichoke kuwaombea wazazi wenu dua kwa mwenyz mungu
Junior ameniliza kwa kweli Daaa, halafu unanjuwa kujieleza nikikuangalia nalia tu. be strong boy.
Amina Babu Mungu atawapa nguvu
Poleni sana watoto wa kibonde na familia kiujumla
Pole ephraim baba angu mungu akupe nguvu inshaalah
Ni pengo kubwa sana katika jamii poleni sana wana familia wa kibonde
Pole sana kijana Mungu awatie nguvu
Pole junior efrahim mungu awatie nguvu wewe na wadogo zako
polee sana babaangu Mungu awatie nguvu
Pole Baba
Pole sana
Poleni sana baba na watoto mungu awape nguvu kwenye kipindi hichi amiin.
BABA JASIRI UMEJIKAZA KIUME MASHAA ALLAH
Poleni familia kwa hii stuation inauma sana kwakwel
Mtangazaji nafikir huna taaluma vizuri ww, haiwezekani mfiwa una mhoji zaidi ya dakika kumi halafu maswali ya hovyo tu
Yani anaboaaaaa huyu mtangazaji
Huyu mtangazaji uchwara kumbe umeliona
@@jackiejackie1272 yaani wanatafuta viewers tu
@@lushilemmanuel768 ingekuwa ni kwetu wangenikoma hawa unawafurumsha na mawe
Watu hawana taaluma na pia huruma hawana, mtoto anajikaza tu, Lakin ana maumivu makali.
Mungu awatie nguvu
Dah polen sana Mungu awape nguvu
Dogo yiko powa sana pole kwa kupoteza mzazi wako Mungu awatiye nguvu kwahici kipindi kigumu
Pole mdogo WANGU Mungu atawapa nguvu
Pole sana mtangazaji taaluma imekuacha mbali mno mkuu ikimbize tena labda utaifikia. R. I.P Kibonde.
innaillah wainnailayh rajiun Poleni sana familia inasikitisha sana
Daaaah......mtangazaji rudi shule yaani hujui mpka umepitiliza
poleni sana watoto wangu Mmungu atawalinda na kuwakuza pole sana baba Mmungu kapenda
Mungu akusaidie mtt uongoze ndugu zako Maana umeshakuwa sasa
Pole sana mdogoangu mungu akuongoze katika mtiani huo mzito
Poleni sana mola ailaze roho yake pema peponi na awape nguvu kipindi hiki kigumu;mungu alitoa na ametwaa 🙏
Mtangazaji rudi shule kasome tena umenikera sana...
kabisaaaaaaa my dear anauliza maswali ya ajabuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
poleni sana familia ya kibonde
Yupo strong Kama baba yake jamani ila anaumia ndani ya moyo pole brother mungu awatie nguvu kwakweli 😭😭😭😭
Jamn ata Kama Ni utandawaz now days Bt this is too much..mtangazaj unaulizaje wafiwa maswal kma Haya tena wakat msiba bado kbsa jmn Daaah... That's not good 😡😡
Duuuuuuh kwelii huyu ni Ephraim kibonde Jr
Pole sana bro,naamini baadaye unaweza kuwa kioo cha jamii baada ya kupitia magumu yaliyokupata.MUNGU atakusaidia
Kadogoo Inn Mungu hatakuacha amini Kila saaKila siku Mungu ni mwaminifu.
Swali nisilo lipenda linaulizwa na mtangazaji et mumeupokeaji msiba hilo swali watangazaji muliache Jaman msiba unauma
Asante kwa kulisikia swali la kukeraaaa na la kijingaaaa kuliko maswali yooote niliyowahi kusikia mtu aliyesomea utangazaji anamuuliza mfiwa
Yan inaboa kwakwel,hv wanadhan watasema tumepokea kwa kicheko?waandishi uchwara
jamani wamemcndikiza ruge kwa ndege na yeye anarudishwa na ndege akiwa haongei inaumiza kweli kifo hakina huruma
Wanaonekana walikuwa wanapendana Sana na Ruge
Poleni wafiwa....
Polesana kijana jikaze mungu mungu atakubariki
Poleni sana ndugu zetu wa Tz. Allah awarehemu waja wake
Ni kumshukuru mungu kwa kila jambo napenda sana ulivyo strong maan najua wewe ndo wa kuwakumbatia wadogo zako mungu akupe nguvu zaidi ya kustahimili Mapito yote may he rest in peace amen
Mungu aendelee kukupa ujasiri
Inallilah wainaillah rajiur poleni sana wafiwa
Pole Sana mdogo Wangu take heart and take care to your young sisters
Mungu awatie nguvu wafiwa
Pole sn man Mungu akutie nguvu
pole sana mdogo wangu
maahallah kijana una moyo wakiume mungu akupe nguvu ulee wadogo zako inshallah
Hivi hawa watangazaji wa global tv wanakili kweli?
Salim Maulid kwanini???
Mungu awape nguvu kipindi hiki na milele
Poleni sana na msiba
mungu awatie nguvu katika majonzi mlio nayo
Kwa kweli mungu alituficha siku na saa,poleni sana wanafamilia
Mwenyezi mungu awatie ngv ya kuweza kulibeba Hili, na ampe pumziko la milele Kaka yt ameeeen
Uyu chali nimafya kinoma ase, pole sana msela angu.
Jamaniii MUNGU awape nguvu sana,Mungu awafariji Hakika,awafute machozi
Mungu ailaze roho yake mahala pema pepon
Daah 😭 😭 😭 Allah awatie nguvu katika kipindi hichi kigum mlichokipitia watoto
Mungu wape nguvu kwenye wakati ngumu n.a. pia mungu ailaze roho yake mahala pema peponi nasi tuko nyuma yake asamehewe makosa yake
Pole baba mungu akupe nguvu
Pole sana kijana, You have to be strong men.
Mtangazaji bora ukalime maswali gn ayo?
🤔Duuuh So Sad Wallah 😭😭😭Allah Awape Nguvu Kwa Wakati Huu Mgumu Inshaallaah
poleni xana wana family
Pole cn brother mungu akukumbuke
Allah akufanyien wepesi......inshaallah
Pole sana junior
Pole kijana.
Mtangazaji jamani.
Eti utamkumbuka baba ako kwa lipi?, Ulijisikiaje?Maswali gani haya. Waacheni wafiwa watulie, subirini kutangaza ratiba ya msiba n.k.
pore kaka mungu nimwema akupe nguvu waree wandogoxako
Presenter,Ungefanikiwa kuona walau japo Demo version yangu Moja hyo ya mwaka 2010 wakati nasotea Chance ya hicho unachokifanya,naamini unge tupa Mic chini kwa kishindo kisha ukarudi KujiSearch upya.yaani Kifupi nakupa 13% meaning ¡,kuwafuata wafiwa na Kuwahoji 7%¡¡: Kwenda Kuwafariji Wafiwa (kama alivyosema Mzee Sam) 5%¡¡¡, Kuwasha Camera 1%. Wenda shule ipo lakini Talanta ni No!
hiii familiaaa mungu ariiumbaa wanamaumiv makrii lakin huwez kuyatambua kwa kuwatazam usonii maumivu yaoo
Pole sana jamani
Kijana upo strong sana ,mtangazaji boyaa sana mtu amefiwa unamhoji mda mrefu tena maswali yakijinga😏
najua unapitia wkt mgumu japokuwa umejikaza ,,,daaah polen sana atimaye mmebaki yatima jmni kifo hichi,,,,
Pole Sana efraim be strong
Baba pole sana, ila kuna mchungaji yupo hapo anasema anaweza kumrudisha hajafa, mwombe amrudishe
Mungu awape nguvu wafiwa, haswa watoto.
Mungu awe nanyi wanangu mungu akupe ujasiri huo huo na nguvu uweze kutunza dadazako
Dogo una akili sana unajua kuzungumza licha ya matatizo,ila Mungu mwema
Aisee watangazaji ,,,wa siku izi mpoje hv hamjui question za kuulza kuendana na tukio ,, mrud mkachukue kozi tena jaman& punguzen maswal yasiyo na msng
Pole sana ephraimu, safari ni yetu sote mwache apumzike kwa amani.
Tena hasa hawa wa online TV yan wana maswali ya ajabu ajabu
Swadacta wanaboa