Wanaweza kaa watumishi, wafanyakazi, mafundi, askari. Fire, watu wa kutoa huduma mbalibali kwa ajili ya services inahitaji watumishi wa Aina mbalimbali
Ni kweli. Mara nyingine serikali inatoa kambi kama hizo kwa taasisi za serikali, kama vile Chuo cha Waalimu, Chuo cha Wauguzi, Kitivo Kishiriki cha Chuo Kikuu, au hata nyumba za watumishi wa serikali wa Wilaya.
Hongera Sana mama na serekali yako ama kweli kazi iendelee
Furaha yangu ni kuona njozi zikitimizwa Mungu ibariki Tanzania
Asante for bringing this. Kweli kazi inaendelea. Hongera TRC
Big up TRC. Big up Raisi wetu mpendwa Mama Samia. KAZI IENDELEEE
Magufuli alisaini mkataba wa RELI hii huko Chato Akiwa na waziri wa mambo ya nje wa China. Huyo mama anatoka wapi hapo?!
Pole sana Mimi raia. Jambo usilolijua litakusumbua sana. Anayejenga hiyo reli sass ni Magufuli?
@@NDEWARA Roho inamuuma mama anapiga kazi💪
@@NDEWARA hahaha anajenga uko uko aliko
Safi speed ni nzuri na msimuliaji yuko vizuri kiswahili chake, muendelee hivyohivyo
Hongera mama Samia suluhu na hongereni TRC kwa usimamizi mzuri.
Hongera ajira ipo
Helloo
Kwa hiyo ben mwanantala mlimfukuza? Mbona slikuwa anatangaza reli vizuri sana
Weka video tuonekisha sauti iwe kama background!
Nimeanza kumpenda Samia wacha tuone
Na utazid kumpenda maana uyo mama ana msimamo sana tna Sana mtamuelewa 2
Anafaa kwenye siasa huyu ana kipaji
Hivi mradi ukiisha hizo nyumba watakaa akina nani, maana mkandarasi na wafanyakazi watakuwa washamaliza nakuondoka?
Wanaweza kaa watumishi, wafanyakazi, mafundi, askari. Fire, watu wa kutoa huduma mbalibali kwa ajili ya services inahitaji watumishi wa Aina mbalimbali
Ni kweli. Mara nyingine serikali inatoa kambi kama hizo kwa taasisi za serikali, kama vile Chuo cha Waalimu, Chuo cha Wauguzi, Kitivo Kishiriki cha Chuo Kikuu, au hata nyumba za watumishi wa serikali wa Wilaya.
Ujinga ni pale unazungumzia kipande cha 5 alafu unaonyesha na video za kipande cha 2.