I remember that Day at CCC Upanga Dar es Salaam, it was very great. Timu hii inastahili maua Yake. Wanaimba Kwa UNYENYEKEVU MKUBWA na Mafuta ya Ajabu. Kama unakubali weka like Yako
Kwa jina naitwa sospeter tibezuka napenda kutuo maon kwenye wimbo huu, kiukweli umenigusa sana hivyo hongoren kwa wimbo mzuri,,,,nawapenda sana, Mungu awabariki
Jesus knew how much it would cost to save us🛐....but he chose do it anyway. Now, nothing can separate us from the love of God that is in Jesus our Lord🙌🙌🙌🙌🙌
Wimbo mzuri ila mavazi wakina dada munawatoa uweponi wakina kaka walio nyuma yenu mbona kwenye bwana nimerudi tena magauni yalikua mapana na marefu nyimbo zenu zilipendwa sana mimi ninapenda nyimbo zenu matamasha yote pale tughimbe hall nimeingia na kucheza muendelee kumsifu mungu❤
I remember that Day at CCC Upanga Dar es Salaam, it was very great. Timu hii inastahili maua Yake. Wanaimba Kwa UNYENYEKEVU MKUBWA na Mafuta ya Ajabu. Kama unakubali weka like Yako
🎉🎉❤
Haaaa team Goshen
Notafute Erick
@@tumainiisrael9378Acha Kabisaa. WATU Hawa wameleta mapinduzi ya SIFA na maabudu kwakweli
@@LoyceAlan Duh 🙄
Nakosa neno kusema, Utukufu ni wake Mungu BABA yetu....Hakika Wimbo huu Yesu wa Nazareth Auvushe na mipaka Kimataifa....!! Wimbo wa Dunia🙏🙌
🙏🙏🙏
There is a difference between God that we encountered and God that we were told about. 🔥🔥🔥This is an anthem of the Kingdom of God. Stay blessed.
Hakika Mungu azidi kuwatumia watu wa Mungu...Kazi nzuri TAG Forest ya kwanza 🙏🏾🙏🏾
Forest ya kwanza shikamooni...mpo vizuri sanaa
Mpo vzuriii na mshukuruu mungu nimewaona live leo.mungu awabarikii Sana nimeuona mkono wa bwana kupitia nyimbo hii...
karibu tena,,,tumefurahi pia kuwa wote
Upendo wa YESU kwetu ni wa thamani sana❤❤ Akaamua kuutoa uhai wake kwaajili yetu🙏🏿🙏🏿sijawahi ona pendo kama alilonipenda BABA🙏🏿❤️
This song bana ni motoo mnajua sana huyu Yesu ni baba yangu❤❤❤
Kuna nyimbo zinagusa aisee. Acha bhana!
Yaan kama jana ulitenda dhambi unajitafakali na kumrudia Mungu kwa kutubu!
ALELLUYA!
Wimbo wangu niupendao hatimaye umetoka
Wow nimeisikiza kwa spotfiiy nikasika utamu ikabidi niitafute u tube aki be blessed 🙌 😇
Mungu awabariki sanaa kwa wimbo mzuri mnooo
Kwa jina naitwa sospeter tibezuka napenda kutuo maon kwenye wimbo huu, kiukweli umenigusa sana hivyo hongoren kwa wimbo mzuri,,,,nawapenda sana, Mungu awabariki
Kweli Hawa wanaimba uimbaji uliyobeba ujumbe halisi wa kazi ya msalaba! Mbarikiwe na Yesu
Wow powerful songs 🙏🙏✨kenyans gather here🇰🇪
Amina
🎉🎉🎉Mungu awabariki mno,,, It's Holyfire Song🔥🔥
Yesu ni baba🔥🔥Mungu awabariki Sana watumishi wa Mungu kwa neema yenye baraka kumtukuza Mungu,ameen🙏
So natural and talented! Hii iko kwa Yesu tuu.
Content 💯
Music 🔥
Melodies 💯
Barikiweni sana watumishi...... my best song of 2024
Mmmh Aisee nimebarikiwa sana MUNGU atukuzwe sana kwaajili yenu Forest. Nawapenda
Mungu aendeleee kuwainua watumishi wa mungu wa forest ya kwanza nafarijika sanaaa nikisikiliza wimbo huuu❤
Kazi ya ustadi 🔥🔥🔥🔥
Muongezeke sana kwa utukufu wa Mungu wetu😊
Nishakubali. The message is rich. The music.sisemi kitu. Love it from kenya
Namna hiyo mmeleta kazi nyingne safi sana mbarikiwe sana sana
Wow good song aisee yani ukisikiliza hadi una tembea njiani unatabasam mwenyewe Mungu awape hatua kubwa.
Mungu awabariki sana kwa ujumbe mzuri wa kututia moyo kweli hakuna mwenye pendo kama hili zaidi ya Mungu
Such a powerful praise to our Dear Father, Our God what an expression of love and gratitude towards our God
This is so amazing
Kazi yenu ni njema mtalipw na babaaaa❤❤
hii nyimbo kwa ninavyo upenda cjui ni express vp ila naupendaa xn 💞❤️❤️ hit us with another one nawapenda xn
Jesus knew how much it would cost to save us🛐....but he chose do it anyway. Now, nothing can separate us from the love of God that is in Jesus our Lord🙌🙌🙌🙌🙌
Sifa na utukufu ni kwako Yesu wangu,, strong message be blessed you people
nimewapenda bure natamani hiyo forest ya kwanza
Wimbo mzuri sana Mungu awainue zaidi na zaidi ya hapo
Hakika yesu ni baba nimerudia huu wimbo hata haiana idadi utukufu kwa Mungu ujumbe mzuri mziki mzuri sauti nzuri mbarikiwe sana watu wa Mungu
A very nice song, God bless you, forest 1
namtukuza Mungu kwaajili yenu @tag forest 1
Mungu ni mwema baada ya kusubr kwa kipindi kirefu sasa umetoka 🔥🔥🔥
Hakika hii ni habari njema kwa ulimwengu wote.YESU NI BABA
Representing Kenyans 🇰🇪
TAG forest One. A center of praise and worship . May the almighty God continue to pour his shower of blessings to this Church .
amen
Aaah so powerful song...Mungu NI Baba
Ayiiiii🔥🔥🔥🔥
Tuanayo mengi ya kumshkuru Mungu,kwa maneno ya vinywa vyetu hayatoshi.Asante Mungu kwaajili ya maji ya kisima cha TAG Forest one Mbeya
Huu wimbo unapigwa sana Top radio Morogoro unanibariki sanasana
Waaao Asante sana Yesu kwa kazi ya msalaba🙏mbarikiwe sana wapendwa
Mungu awabariki Sana .wimbo wangu pendwa ❤
Great , greater, greatest 👏👏👏👏👏👏kwa Yesu kuzuri bwanaaa
Asante sana Yesu kwa kazi yako ya msalabani🙏🏼🙏🏼
Mungu azidi kuwainua kwa viwango vya juuu
Huu wimbo unanibariki Sanaa mbarikiweee daimaa❤
YESU ni BABA ...Forest mko mbali..utukufu kwa MUNGU wetu...
Oooh hallelujah very amized song. Mungu awainue zaidii🎉
Good Job my people I real l appreciate youu..❤❤❤❤
Jmnii tuekeni BOOMPLAY tustream
Mungu awabariki sana hakika naiona milango yenu ikifunguka na kuwa kwaya kubwa afrika mashariki na Duniani kote Kwa ujumla
🙏🙏🙏🙏 Kubaki kama MUNGU akaona haina maana akatoa uhai wake kwaajili yangu 🙏🙏🙏
More 🔥 kwa kweli YESU NI BABA
Mbarikiwe kwa sifa nzuri ajabu....haleluyaaaa
Yaani uu wimbo ni maombi tosha asante Yesu kwa kunichagua
Haki YESU ni baba yangu 🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤❤😊😊😊😊
I was waiting for this song It blessed me alot 🙌🙏 It remind alot about who we are 🔥
Hakika YESU NI BABA....🔥💥
MUNGU azidi kuwainua watumishi kaz nzuri Sana 🙏🙏
Finally 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🔥🔥...... Yesu Utukuzwe Milele
Glory to almighty! Huyu bassist aiseeee😂😂😂😂
WELL DONE SERVANT OF GOD STAY BLESSED ❤
Eeeh ba eee eeba amen ,God loves me.
Barikiwa sana Mungu awaongezee neema ya kuimba ❤❤❤❤❤❤
Mateso yangu alibeba 😢😮
Yesu eee ananipenda sanaa❤❤❤
MUNGU wa mbinguni awabariki sana
Yesu ni baba . Nimebarikiwa na wimbo huu Mungu awainue sanaaaaaaa❤❤❤
Wonderful!! Glory be to God
Hii nyimbo dah sina neno
GOD BLESS YOU❤❤❤
Mungu awabaliki sana
Hii nyimbo inenibariki mno
Hapa Kenya nabarikiwa sana na huu wimbo.
Utukufu kwa Mungu baba..
Be blessed all l love this song
Mungu awabariki kwa wimbo mzuri umenibariki 🎉
You people Never disappoint🙌🔥🔥
What a Song!🔥🔥God bless You all😍
Mungu akubariki sana
The melody,the moves ooh God❤
Da Anna,apo amekosekana dada Miriam tu yaani ..
Ungueni download option 😮😮
So Powerful 💪💪💪
Wooow, so amazing 🔥🥰
This is fireeeeee💯
Ameen.Mungu azidi kuwainua zaidi
Haloooooooo🎉🎉🎉🎉 YESU NI BABA❤
God bless you forest kwa kazi njema
Bwana awape Neema mkubwa mko vzr mno
Praise be given to God
Hatimaye 😊
🙌 Amazing
❤...# yesu ni baba aeeeh! 🔥 🔥 🔥
yesu yesu yesuuuu
Wimbo mzuri ila mavazi wakina dada munawatoa uweponi wakina kaka walio nyuma yenu mbona kwenye bwana nimerudi tena magauni yalikua mapana na marefu nyimbo zenu zilipendwa sana mimi ninapenda nyimbo zenu matamasha yote pale tughimbe hall nimeingia na kucheza muendelee kumsifu mungu❤
Asante kwa ushauri wa mavazi wakivaa nguo ndefu itabariki zaidi jamani barikiwa sana sisi ni nuru ya ulimwengu ❤❤❤
Naomba kufahamu jina la huyo mtumishi aliyeongoza kipande cha kwanza kabisa
Petter
Glory to God
Amazing song 🎉🎉🎉