MUNGU AKUTENDEE MUUJIZA MKUBWA KABLA YA MWAKA KUISHA, WALE WALE TUNAOOMBA BILA KUCHOKA MUNGU AKUPE HESHIMA NDOA AFYA NJEMA MAFANIKO KATIKA KILA UMUOMBALO 😭🤗🙏🏼 TYPE AMEN
Hakika wako tops...kutoka the MD Elisha Korg, chitete Andrew,hagai makuzo, John wagala,James Godfrey,Gloire kwenye Bass and Frank kwenye percussion...heheeee Love them Soo much huku Kenya 🇰🇪 more loveb
Ni hivi kila ukiangalia tunavyoimba duniani na hivi vyombo vyetu vya kawaida imagine kwa Baba yetu aliyetuandalia makao,kwenye vyombo haswaa ilakuaje jmn alafu milele uwiiii🙆♀️. Tukazane tusimuache Mungu tukutane ile siku wapendwa okoka hii raha ya milele. Acha nicheze zangu SEBENE💃💃
Nafikir kila mara hata mungu atakua anaona moyo wangu nasema tena dada bella umebarikiwa umebarikiwa umebarikiwa Aki ya kwel mungu alijua kama utakua miongoni mwa watu wanaoniopa furaha,hata elimu pia mana kwako najifunza vitu ving sana kuanzia unavyoimba hata actions zako katika kuimba dancing zako pia zinanipaga kitu flan hv,hata najikuta naota niko nawe mara kwa mara nasema mungu si unikutanishe tu na huyu dada moyo uache kuugua,naamini kuna siku nitakuwa pembeni yako kwaajil ya kujifunza meng kuhusu uimbaj,,,,,, ❤Nakupenda sana dada Bella Mung azid kukulinda uwe na afya njema mileleeee
MUNGU AKUTENDEE MUUJIZA MKUBWA KABLA YA MWAKA KUISHA, WALE WALE TUNAOOMBA BILA KUCHOKA MUNGU AKUPE HESHIMA NDOA AFYA NJEMA MAFANIKO KATIKA KILA UMUOMBALO 😭🤗🙏🏼
TYPE AMEN
Amen 🙏🙏🙏
Na iwe ivyo 🙏❤️🙏
Amen Amen Amen
Amen
Amen
This lady is a blessing
Such a nice song
Sauti nayo ulibarikiwa kweli❤️🇰🇪
OMBA.....AMINA❤❤❤❤.... WA KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 TUKO🙌🏿🙌🏿 WAPI LIKE🎶🎶
Instrumentalists walienda group of schools.
Hakika wako tops...kutoka the MD Elisha Korg, chitete Andrew,hagai makuzo, John wagala,James Godfrey,Gloire kwenye Bass and Frank kwenye percussion...heheeee Love them Soo much huku Kenya 🇰🇪 more loveb
😅😅😅😅😊😊😂😂𝑻𝒉𝒆𝒚 𝒓 𝒏𝒐𝒕 𝒋𝒐𝒌𝒊𝒏𝒈😅
Very unique music.Not many Christian singers have come up with such melodies.
Great piece!!
Soo beautiful and a great blessing!!!
Am soo blessed!
Glory to Jesus thank you
Amen woman of God,,,what a great message the song has,,,be blessed❤❤🎉🎉🎉
Ni hivi kila ukiangalia tunavyoimba duniani na hivi vyombo vyetu vya kawaida imagine kwa Baba yetu aliyetuandalia makao,kwenye vyombo haswaa ilakuaje jmn alafu milele uwiiii🙆♀️. Tukazane tusimuache Mungu tukutane ile siku wapendwa okoka hii raha ya milele. Acha nicheze zangu SEBENE💃💃
🔥🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Umenena vema sana... Wacha tuendelee kufanya mazoezi hapa... Show kamili yaja huko mbinguni in Jesus Mighty name 👏👏👏 @brendachibura
Ameen Mtumishi 🙏🙏
Nimetoa machozi! Nimefikiri itakavyo kua halafu nikasikia hofu
bassist,Drummist,instrumentalist did it again..everything was well arranged
Ozazi ozaziiiiiiii heeeee jamani Gloire kwenye Bass hatarii sana ❤ Kenya 🇰🇪 more love
Hii sebene imepikwa mbinguni Bella ameamua kuipakua 👏
Glory to Jesus 🔥
Praying for you Bella... Continue to be a vessel of honor for every good work in the kingdom!!
Barikiwa sanaah dada Bella, unanibariki sana I wish nikutane na wewe live
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🎉🎉🎉🔥🔥🔥. Iko motoo
Omba Omba kweli kuomba kunaleta ushindi sana kabisa ubalikiwe Bella.
I can't get enough of this song! Everything is on point.. You a just a gem in the body of christ.. Keep up the good work..be blessed!
Bella 🎉❤ Omba Omba . Maombi ,yeye anasikia ,Mungu anasikia,tukimwomba ana kuja Na anatenda. Huyu Yesu simwachi kamwe .
Neema Bella ❤
Kenyans let's show love🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Very powerful ❤❤🇰🇪🇰🇪
Indeed this song is a testimony on it's own. Whatever's you ask for, through prayer is already achieve
Watching from Ndola Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Your annointing is on another level
Uwezi omba samaki aka kupa nyoka,uwezi omba mkate akakupa jiwe,amen
Bella kama Bella omba tafadhali 😜...sio mimi ni bwana yesu... 🇰🇪
Some touch of taarab♥
the introoo😍😍😍😍
Bella you have the Best producer ever ,,,ELISHA KORGY,,,,,You were ment for each other😂😂😂😂.msalimie sana
🔥🔥🔥🔥
Ozah zii😂😂 🔥🔥🔥
Wow! Moto kama pasi 🔥
The melody❤❤
There's something about the songs derived from scriptures.
Byvthe grace of God 🙏🏼
Ozazii ozazii 💃💃🔥🔥💃. Barikiwa sana mtumishi kazi yako njema
Blessed beyond limits sister
Mugu azindi kuwainuwa nakupenda sana bera ❤
Instrumentalists weeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nafikir kila mara hata mungu atakua anaona moyo wangu nasema tena dada bella umebarikiwa umebarikiwa umebarikiwa Aki ya kwel mungu alijua kama utakua miongoni mwa watu wanaoniopa furaha,hata elimu pia mana kwako najifunza vitu ving sana kuanzia unavyoimba hata actions zako katika kuimba dancing zako pia zinanipaga kitu flan hv,hata najikuta naota niko nawe mara kwa mara nasema mungu si unikutanishe tu na huyu dada moyo uache kuugua,naamini kuna siku nitakuwa pembeni yako kwaajil ya kujifunza meng kuhusu uimbaj,,,,,,
❤Nakupenda sana dada Bella Mung azid kukulinda uwe na afya njema mileleeee
Amen mpendwa wangu ❤ nakupenda utuzwe na YESU
@@bellakombo Amen siku nitakutana na wewe sijui itakuwaje aaaah😥 nahisi nitakukumbatia kwa uzito sanaaa
Wonderful💯🔥🙏
Wajua navyo kukubali dada jmni wewe unajua kumfrahisha Mungu na Jo hapa haa😂😂❤
You are the Queen of live Gospel
Mungu na akubariki sana BellaKombo
LEAVING THIS COMMENT SO THAT EVERY TIME SOMEONE LIKES IT I WILL LISTEN TO THIS SONG AGAIN❤❤
Wapi maestri...hii ingemfaa saaaanaaaaaa
We're here👏👏
Mimi ni shahidi .... anaweza Yesu...🙏
this is the type of song that is birthed in prayers
Ameen
Nice one nice one. Beautiful. Jesus Christ The Reigns.
Good job
amen 🙏
Bella kombo you are anointed Please can i be part of your band am from Kenya
Instruments ❤
Fireeee
Bella kombo big mind
Kenyans woyee🎉🎉🎉
Mimi nataka mke kutoka kwa hii backup 😂,,,❤❤❤❤,,,,,,❤❤❤❤,,,❤❤❤❤
❤❤❤
Wow❤
Eeeeeeiiish wozaaa🎉🎉🎉🎉😂
Amen
AMEEEN
Omba eeh ombaaa
Am happy with you my sister
OZAZI PRAISE 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉. GLORY BE TO GOD
Mungu akuzidishie na akupe haja ya moyo wako
ayayaya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ndugu zangu Wakenya tuombe bila kuchoka Mungu wetu si mchoyo tuombe jamani
Naomba naomba milango ya gereza funguka .....kama unaamini nope like
Melod kali sana hio ndio gospel inapaswa kupigwa live band ,,,video kali
❤❤
Ozazi ozazi ozazi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂
Ndio nini😂
Meaning ya ozaziv🙏
Ata mimi nimetaka ozazi means what... ndio niimbe with understanding.
Bassist ni kamà yupo pekee yake yupo vizuri sanaaaaa
Gloribase 🔥🙏🏼
OZAZI...👏
🇰🇪 NAOMBA LEO MILANGO YA GEREZA....
AMEN AMEN 🙏🏾
This is deep
1:37 I see you becky
Amen 🙏🙏🙏
Ozazi dance 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
I love the song....wapi my brother wa agape anaitwa victor
Hata kwangu milango itafunguka🎉
Ozaziiiii
Ayayaya🔥
❤😊😊
Nimetoka kwa Maestro na Clement sasa niko hapa, hii wiki ni Sebene tu tunacheza hadi kieleweke😂
Amen JESUS!❤🎉🙏🙏
❤❤❤❤😊
SASA MBONA MDA HAUFIKI JAMANI
Amen🎉
Amina
Niceeee
Mungu akutunze
kama vile jacob sitoki hapa hadi atende Mungu.
This song is giving a Debra LUKAlu's vibe
Hii nyimbo ungemshirikisha Victor maestro ila kwasababu ya kusudi la hii nyimbo na ufunuo uliopewa haina jinsi ila umenibariki Sana
Mmetuamulia🎉❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
What happened to the video frame
Ozazi ozazi,,
Huyu ni mkenya.......ni kuuliza tu???
What is Wozazi?😮
Mmefika mbali MUNGU Gani huyo hayo ni machako wapendwa
Una maana gani? Sijakuelewa
😍🔥🔥🔥🙌