Muda HUU GB 64 avujinsha SIRI nzito TAARIFA Njema SIMBA AZIZI KI AMESAIN SIMBA | USAJILI WA KISASI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лип 2024
  • #usajiliwasimbaleo #usajiliwasimba #simbaleo #aziziki #modewj
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 35

  • @MrishoMindu-zq7mz
    @MrishoMindu-zq7mz 16 днів тому +6

    Hapo umeongea GB 64 kikubwa uwezo wa wachezaji kama mnajua mnajua tu National Team zina kutana 14 days wanaingia kwenye mashindano. Wanakipiga.

  • @LovelyBird-sf5fn
    @LovelyBird-sf5fn 16 днів тому

    Bro uko sawa hapo

  • @user-vk5dj7st3p
    @user-vk5dj7st3p 16 днів тому

    Vizur, kaka, iyo, Simba, mpya

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 16 днів тому

    Tunafurahiiiiiiiiiiiii kama kweli tunapata Azizo k. Bado feitotoooooooo❤❤❤🎉🎉🎉🎉moira wa vijana mwaka huu.

  • @Aman-vx6xb
    @Aman-vx6xb 17 днів тому +3

    Sa10 ninan me naona kikos tayar cha msingi tupen usajil mmoja wa kuwakera tuu

  • @eddiemwangaraba9289
    @eddiemwangaraba9289 16 днів тому +1

    Sasa hivi hawana la kuongea Tena maana wakati ule simba ikisajili ooh wamesajili wa wazee Leo kimya

  • @user-bo5ee2tp9p
    @user-bo5ee2tp9p 16 днів тому

    Hapo umeongea point saaanaa

  • @levocatuspjohn8638
    @levocatuspjohn8638 16 днів тому

    Ndugu zangu wanasimba me moyo umeshaanza kudunda kwa hofu duh Mungu saidia tuwafunge yanga goli nyingi 😢😢😢😢

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 16 днів тому +2

    Utopolo mpira wa sasa ni wa vijana Mo big up kazi umeimaliza

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 16 днів тому

      Mo ataoa timu nzima na wanachama kwakweli. Sijaona washabiki wenye vichwa panzi kama Simba. Kuwadanganya ni rahisi sana😅😅😅

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc 16 днів тому

    Aziz ki😂😂😂 , haya rudi hapa utupe taarifa imekuwaje Aziz ki na Yanga😅😅😅😅😅

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 16 днів тому

    Wewe waota!!

  • @flaxbeatman
    @flaxbeatman 16 днів тому

    nakubali 😂😂😂😂 vijana na wazeeee tareh 8

  • @RashidKaoneka-bj8mm
    @RashidKaoneka-bj8mm 16 днів тому

    Walimfanya kitu kibaya huko centro

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 16 днів тому

    BILA YA KISOMO NA ALBADIRI YA KINGA KWA WACHEZAJI WATAROGWA NA WATAONEKANA WABOVU HAWAFAI ANZENI KUTOKA LEO

  • @eddiemwangaraba9289
    @eddiemwangaraba9289 16 днів тому

    mwaka huu jitu linakufa nakuua nyongo za watu ndipo watajuta kwa Nini wamechukua chama

  • @MolotoniMalisela
    @MolotoniMalisela 17 днів тому

    Nakubali kaka

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 16 днів тому

      Huyu mgonjwa wa akili huyu. Bado namsubiri ahamie Azam kama alivyosema

  • @KhamisHamadi-gd3eb
    @KhamisHamadi-gd3eb 16 днів тому

    Hajielewi

  • @AbdallahShekhan-qx3kp
    @AbdallahShekhan-qx3kp 16 днів тому

    Gb 000000 tunakuja kukuvalisha shanga Aziz yupo Yanha tajiri ni GSM tu wengine pesa za urithi.

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 16 днів тому

    Mtawakataa!!jamaa zangu

  • @bmkaskazinib4363
    @bmkaskazinib4363 16 днів тому

    Bingwa wa kihistoria miaka 30 Yanga,Bender's ya jihadi rangi kijani wekundu no moto tu njano no matunda,ngoja tuone eachezaji hawana afya mnasingizia madawa,hao TFF no simba kwa mini wasigundue hili we gala tu hukijui unachosema

  • @RashidKaoneka-bj8mm
    @RashidKaoneka-bj8mm 16 днів тому

    Bangi inakusumbua unahamia lini azam?

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 16 днів тому

    Wapumbavu kama Hawa wako wengine upande huu, kiongozi wao alishawaambia!!!

  • @Hope-ok9dy
    @Hope-ok9dy 16 днів тому

    Mshindwe kumpakiza chama azizi mtamuweza azizi tayari miaka miwili fakolo wewe

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j 16 днів тому

    Wewe ni mropokaji wa kawaidaa

  • @Hope-ok9dy
    @Hope-ok9dy 16 днів тому

    Subirini tarehe nane paka nyie

  • @raulencomarkesh5848
    @raulencomarkesh5848 16 днів тому

    Mtambo huo

  • @KhamisHamadi-gd3eb
    @KhamisHamadi-gd3eb 16 днів тому

    Hata ishu ya chama ulisema mo ameshamsainisha miaka miwili,nikama haujielewi vile

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 16 днів тому

      Huyu ni mwezi mchanga kama Simba wenzake

  • @peterrobertkabate239
    @peterrobertkabate239 17 днів тому

    Gb kila interview unarudia maneno yale yale

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 16 днів тому

      Jiongeze hawa sanga Tv wame iedit matapeli hawataki kumpoza Gb 64.

    • @revocatusmalimi4525
      @revocatusmalimi4525 16 днів тому

      Hilo nalo neno,umesema kweli na umetolea mfano mzuri wa timu za Taifa.

  • @DenisMalima-cq9hp
    @DenisMalima-cq9hp 16 днів тому

    Hivi huyu jamaa uko Centro walimfanya nini

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 16 днів тому

    MATOPOLO MACHOGO FC WANATOWA RUSHWA NA WANATUPIGA MISUMARI HATA TUKICHEZA MECHI ZINGINE WA LAANA WALA MIHOGO HAO