GB 64 Awaka CHECHE Nzito UTATA NENO SANDA KWENYE JEZI MPYA YA SIMBA/ MAONI YAKE JEZI NZURI AU MBAYA?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 жов 2024
  • #gb64 #jezimpyazasimba #jeziyasimba2024 #sanda #simbasc

КОМЕНТАРІ • 70

  • @hassankarume5058
    @hassankarume5058 2 місяці тому +2

    Ndo masharti ya mganga hayoooo😂😂 TEAM YA WAFU

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni 2 місяці тому +2

    Kilefu cha sanda ni SANDAKALAWE acha ushamba alafu msitulazimishe kuongea point

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 2 місяці тому +1

    Daaah aisee Tzd kunawatu waongo wakubwa washamba kupita maelezo kwakweli mola awanusuru aisee

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 2 місяці тому

    Achana na yanga on gea ya simba mtaka po fungwa na yanga ndio mtajua kwamb a wanawaiga au ha wawaigi hovyooooo

  • @philiminamlosa
    @philiminamlosa 2 місяці тому +1

    Hawa kweli makolo 😂😂 Sanda!! Hii tarehe 8 mmeisha iandaa

  • @Zuwenamachela
    @Zuwenamachela 2 місяці тому +1

    Kwahyo mmeshakufa subirini kuzikwa

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 2 місяці тому

    Km ni mshabiki wa Simba na unasema huwezi kununua hiyo jezi,we ni msenge na unarudisha nyuma maendeleo ya Simba

  • @gastonmbarila9458
    @gastonmbarila9458 2 місяці тому

    Mimi yanga Ila katika watu wa Simba ambao ua nawasikioiza ni GB ata kama ka ushabiki anako Ila ua anasema ukweli

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni 2 місяці тому +1

    SANDAKALAWE ndo abali ya mjini tena mkome kutulazimisha kuongea point

  • @SIDEBOYTV1990
    @SIDEBOYTV1990 2 місяці тому

    Sisi hatutaki kuamini kama kifupi cha neno sanda ni sandaland sisi tunachokifahamu sanda ni nguo ya maiti vaeni tu na kina debora wenu

  • @AnthonySarwatt
    @AnthonySarwatt 2 місяці тому

    Unayesema jezi mbaya kahamie yanga peleka unafiki huko kwa hiyo msemaji ambaye anaionea wivu jezi letu hata hiyo anayesema sanda hata yeye lazima ataingia kwenye sanda

  • @wazirimajani4476
    @wazirimajani4476 2 місяці тому +1

    Hiyo tunaoelewa ni sandarland

  • @PaulSengo
    @PaulSengo 2 місяці тому +3

    UBAYA UBWELA

  • @WadhifHajji
    @WadhifHajji 2 місяці тому +1

    Wametengeneza mapema hizosanda wanafahamukuwa tare he nane watakufa

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 2 місяці тому

    Lengo la vilabu hivi ni ubingwa Sio longa longa au uzuri wa jezi.08/08/2024.tusibiri kitachtokea.

  • @AbdallahShekhan-qx3kp
    @AbdallahShekhan-qx3kp 2 місяці тому

    Na lile jina la Moo makalioni lina maana gani

  • @Mhabeshi.Madayi
    @Mhabeshi.Madayi 2 місяці тому

    Hakuna cha tulijua wala tulikusudia wala tulijua..Hilo neno sanda amejichanganya na makoro kuanzia wewe mwenyewe limewakalia vibaya hakuna cha promo wala nini hiyo mijezi ni sanda na mtazikwa nazo msimu huu hakuna ubunifu wowote mnatambulisha mijezi kama gulioni😂😂😂

  • @ladislausriwa7768
    @ladislausriwa7768 2 місяці тому

    Mwalimu nimekusikia umesema who is discover? Kama ni hivyo watoto wetu wangefauluje?

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 2 місяці тому

    Simba mshaivaa hyo nguo ngumu (sanda) Tar8 tunaenda kuzika tu maana mshajigharamia sanda

  • @NatressMwaskonya
    @NatressMwaskonya 2 місяці тому

    Big up?

  • @EstherMulinga
    @EstherMulinga 2 місяці тому

    Ndo hio sanda itakayowazika trh8

  • @PlanetLeo721
    @PlanetLeo721 2 місяці тому

    SANDA ! Duuuh

  • @salmahemed5840
    @salmahemed5840 2 місяці тому

    Kitambaa kizuri ,Kiko simple kama sanda.sinunui ng'o sanda hiyo nitavaa ya mwaka jana

  • @JumaBagelle
    @JumaBagelle 2 місяці тому

    Sanda fc

  • @frankiemissingo1925
    @frankiemissingo1925 2 місяці тому

    discover??????? kweli hv vTV vina watu.

  • @benjamimantoniomangoni6765
    @benjamimantoniomangoni6765 2 місяці тому

    Sanda Manara

  • @JumaBagelle
    @JumaBagelle 2 місяці тому

    Sanda Ubaya Ubwelaa

  • @FucianeBulemo-nd4wc
    @FucianeBulemo-nd4wc 2 місяці тому +1

    🚫

  • @raulencomarkesh5848
    @raulencomarkesh5848 2 місяці тому

    Kumbe huyu .....,🌑

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 2 місяці тому

    Huyu jamaaa anaharibu soka la bongo mm Nashauri TFF IWAFUNGIE HAWA WAJINGA MAKUMA HAWA

    • @erasmusleonidas6729
      @erasmusleonidas6729 2 місяці тому +1

      Wewe mwenyewe kwa kauli uliyotumiwa ilibidi ufukuzwe nchini

  • @LohayDaniel
    @LohayDaniel 2 місяці тому

    Nyee makolo maneno ya kuandoka kama yameisha mngeandika jeneza kabisa,

  • @wazirimajani4476
    @wazirimajani4476 2 місяці тому

    Tutanunuwa tu.duh kinaa

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 2 місяці тому

    SI Bora wangeandika tu sunder

  • @IddyMawenge
    @IddyMawenge 2 місяці тому

    Hii mimi japo ni simba lkn swz kuvaa

  • @bisejulius4100
    @bisejulius4100 2 місяці тому

    Ubora wa sanda😂

  • @yusufsalimu-j4w
    @yusufsalimu-j4w 2 місяці тому

    😂watu wa yanga bwana, wamekosa malezi ya maadili katika familiazao. sasa hilitusi aliloandika hapa hajuwi kwamba anatangaza yaliyopo katika familiayake?

  • @ZuberySheketo
    @ZuberySheketo 2 місяці тому

    Weka arsenal nnje kwenye vijola vyenu😂😂😂

  • @NathanielKayuni
    @NathanielKayuni 2 місяці тому

    Wekafe2 machawa2shajuwaweweni yang

  • @Seven-x7q
    @Seven-x7q 2 місяці тому

    Sanda tayari, mazishi tarehe 8.tunazika hapahapa😂😂😂

    • @SalimAl-mahrooqi
      @SalimAl-mahrooqi 2 місяці тому

      Tutawavisha yanga sanda. Hiyu tarehe 8.ashaushamba msikilize GB 64. Ndio umsome kisawasawa

    • @Seven-x7q
      @Seven-x7q 2 місяці тому

      Tar 8 mnakufa na mmeshajua mkaamua kuandaa sanda mapema😂😂😂.mazishi kwa mkapa
      ​@@SalimAl-mahrooqi

  • @AbdallahShekhan-qx3kp
    @AbdallahShekhan-qx3kp 2 місяці тому

    Weee mpumbavu sanda sio Sunderland maksudi gani anawafananisha na Maiti mapoyoyo nyie

  • @SaidOmar-d3m
    @SaidOmar-d3m 2 місяці тому

    gb 64 wewe ilikua sahihi kutumbuliwa siamini ata hao wanafunzi waliopita kwako kama wanauwezo sahihi akuna maendeleo ya pekee yako duniani hata mataifa makubwa wanajifunza kwa taifa hata dogo vipi nyie simba mnakataa kujifunza kwa wengine na mnakataza wengine wasijifunze kwenu

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 2 місяці тому

    Mm Simba lakini jezi mbaya

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 2 місяці тому

    Na bdo mtasema tu

  • @SaidOmar-d3m
    @SaidOmar-d3m 2 місяці тому

    gb 64 mbumbumbu wewe unavaa mawani umemwiga nani au wewe ndio wa mwanzo acha ushamba uwezi kufanya jambo iwe wengine wasifanye ndio ulitumbuliwa unaakili uliiba cheti

  • @yusufsalimu-j4w
    @yusufsalimu-j4w 2 місяці тому

    Kama wewe ni simba unaona jezi ya simba nimbaya basi kavae ya yanga maana ndo timuyako, wewe siyo simba tuachie simbayetu.

  • @silivianjonh6851
    @silivianjonh6851 2 місяці тому +1

    kifuanni zimeandikwa sanda😂😂😂😂😂😂😂

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 2 місяці тому +3

    Aliyebuni neno sanda kwenye jezi ni mpumbavu sana hana akili. Hata kama ni Simba mwenzangu hakutakiwa kuandika neno hilo. Sanda inayojulikana ni vazi la maiti. Sasa inakuwaje jezi zetu ziitwe sanda. Mlirogwa na nani kukosa akili kiasi hicho? Tutazodolewa mpaka tukome.

    • @NasibuAlban
      @NasibuAlban 2 місяці тому +1

      Tatizo nn

    • @lonesomekabora5547
      @lonesomekabora5547 2 місяці тому +1

      Sanda ni kifupi Cha kampuni ya sandaland iliyotengeneza jezi sasa huyo anapiga kelele na SANDA wakati umevaa nguo imeandikwa FILA upuuzi unakujaga kwenye jezi ya Simba tu?

    • @saidseleman2973
      @saidseleman2973 2 місяці тому

      Uwezi andika 3:37 Sunderland, ni tim UK, sanda ni tz

    • @emmanuelraphaelmalangahe456
      @emmanuelraphaelmalangahe456 2 місяці тому

      Tatizo la uto uelewa hawana

    • @sangaelly8548
      @sangaelly8548 2 місяці тому

      Wajinga wataumia sana na neno SANDA 😂UPUMBAVU Mwingi jamani

  • @bishopmgambomwenyecheo4610
    @bishopmgambomwenyecheo4610 2 місяці тому

    Mimi sivai sanda piga ua

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 2 місяці тому

    Michoro iliyopo kwy jezi,ni jezi ya za yanga ya njano ,hiyo nyekundu juu kidogo ina namba moja,na chini kuna tano ni matokeo ya dabi,jezi nyeupe haina tofauti na msimu uliopita tofauti ni juu ya kifua neno m cola aliekuwa nayo mwaka jana mwaka huu tofauti ni m cola

  • @MartinWekesa-c2x
    @MartinWekesa-c2x 2 місяці тому

    Sunderland....not SANDALAND