Unayesema jezi mbaya kahamie yanga peleka unafiki huko kwa hiyo msemaji ambaye anaionea wivu jezi letu hata hiyo anayesema sanda hata yeye lazima ataingia kwenye sanda
Hakuna cha tulijua wala tulikusudia wala tulijua..Hilo neno sanda amejichanganya na makoro kuanzia wewe mwenyewe limewakalia vibaya hakuna cha promo wala nini hiyo mijezi ni sanda na mtazikwa nazo msimu huu hakuna ubunifu wowote mnatambulisha mijezi kama gulioni😂😂😂
😂watu wa yanga bwana, wamekosa malezi ya maadili katika familiazao. sasa hilitusi aliloandika hapa hajuwi kwamba anatangaza yaliyopo katika familiayake?
gb 64 wewe ilikua sahihi kutumbuliwa siamini ata hao wanafunzi waliopita kwako kama wanauwezo sahihi akuna maendeleo ya pekee yako duniani hata mataifa makubwa wanajifunza kwa taifa hata dogo vipi nyie simba mnakataa kujifunza kwa wengine na mnakataza wengine wasijifunze kwenu
gb 64 mbumbumbu wewe unavaa mawani umemwiga nani au wewe ndio wa mwanzo acha ushamba uwezi kufanya jambo iwe wengine wasifanye ndio ulitumbuliwa unaakili uliiba cheti
Aliyebuni neno sanda kwenye jezi ni mpumbavu sana hana akili. Hata kama ni Simba mwenzangu hakutakiwa kuandika neno hilo. Sanda inayojulikana ni vazi la maiti. Sasa inakuwaje jezi zetu ziitwe sanda. Mlirogwa na nani kukosa akili kiasi hicho? Tutazodolewa mpaka tukome.
Sanda ni kifupi Cha kampuni ya sandaland iliyotengeneza jezi sasa huyo anapiga kelele na SANDA wakati umevaa nguo imeandikwa FILA upuuzi unakujaga kwenye jezi ya Simba tu?
Michoro iliyopo kwy jezi,ni jezi ya za yanga ya njano ,hiyo nyekundu juu kidogo ina namba moja,na chini kuna tano ni matokeo ya dabi,jezi nyeupe haina tofauti na msimu uliopita tofauti ni juu ya kifua neno m cola aliekuwa nayo mwaka jana mwaka huu tofauti ni m cola
Ndo masharti ya mganga hayoooo😂😂 TEAM YA WAFU
Kilefu cha sanda ni SANDAKALAWE acha ushamba alafu msitulazimishe kuongea point
Daaah aisee Tzd kunawatu waongo wakubwa washamba kupita maelezo kwakweli mola awanusuru aisee
Achana na yanga on gea ya simba mtaka po fungwa na yanga ndio mtajua kwamb a wanawaiga au ha wawaigi hovyooooo
Hawa kweli makolo 😂😂 Sanda!! Hii tarehe 8 mmeisha iandaa
Kwahyo mmeshakufa subirini kuzikwa
Km ni mshabiki wa Simba na unasema huwezi kununua hiyo jezi,we ni msenge na unarudisha nyuma maendeleo ya Simba
Mimi yanga Ila katika watu wa Simba ambao ua nawasikioiza ni GB ata kama ka ushabiki anako Ila ua anasema ukweli
SANDAKALAWE ndo abali ya mjini tena mkome kutulazimisha kuongea point
Sisi hatutaki kuamini kama kifupi cha neno sanda ni sandaland sisi tunachokifahamu sanda ni nguo ya maiti vaeni tu na kina debora wenu
Unayesema jezi mbaya kahamie yanga peleka unafiki huko kwa hiyo msemaji ambaye anaionea wivu jezi letu hata hiyo anayesema sanda hata yeye lazima ataingia kwenye sanda
Hiyo tunaoelewa ni sandarland
UBAYA UBWELA
Wametengeneza mapema hizosanda wanafahamukuwa tare he nane watakufa
Lengo la vilabu hivi ni ubingwa Sio longa longa au uzuri wa jezi.08/08/2024.tusibiri kitachtokea.
Na lile jina la Moo makalioni lina maana gani
Hakuna cha tulijua wala tulikusudia wala tulijua..Hilo neno sanda amejichanganya na makoro kuanzia wewe mwenyewe limewakalia vibaya hakuna cha promo wala nini hiyo mijezi ni sanda na mtazikwa nazo msimu huu hakuna ubunifu wowote mnatambulisha mijezi kama gulioni😂😂😂
Mwalimu nimekusikia umesema who is discover? Kama ni hivyo watoto wetu wangefauluje?
Simba mshaivaa hyo nguo ngumu (sanda) Tar8 tunaenda kuzika tu maana mshajigharamia sanda
Big up?
Ndo hio sanda itakayowazika trh8
Kilio kitaanza kwako
SANDA ! Duuuh
Kitambaa kizuri ,Kiko simple kama sanda.sinunui ng'o sanda hiyo nitavaa ya mwaka jana
Sanda fc
discover??????? kweli hv vTV vina watu.
Sanda Manara
Sanda Ubaya Ubwelaa
🚫
Kumbe huyu .....,🌑
Huyu jamaaa anaharibu soka la bongo mm Nashauri TFF IWAFUNGIE HAWA WAJINGA MAKUMA HAWA
Wewe mwenyewe kwa kauli uliyotumiwa ilibidi ufukuzwe nchini
Nyee makolo maneno ya kuandoka kama yameisha mngeandika jeneza kabisa,
Tutanunuwa tu.duh kinaa
SI Bora wangeandika tu sunder
Hii mimi japo ni simba lkn swz kuvaa
Kwanini usivae
Ubora wa sanda😂
😂watu wa yanga bwana, wamekosa malezi ya maadili katika familiazao. sasa hilitusi aliloandika hapa hajuwi kwamba anatangaza yaliyopo katika familiayake?
Weka arsenal nnje kwenye vijola vyenu😂😂😂
Wekafe2 machawa2shajuwaweweni yang
Sanda tayari, mazishi tarehe 8.tunazika hapahapa😂😂😂
Tutawavisha yanga sanda. Hiyu tarehe 8.ashaushamba msikilize GB 64. Ndio umsome kisawasawa
Tar 8 mnakufa na mmeshajua mkaamua kuandaa sanda mapema😂😂😂.mazishi kwa mkapa
@@SalimAl-mahrooqi
Weee mpumbavu sanda sio Sunderland maksudi gani anawafananisha na Maiti mapoyoyo nyie
gb 64 wewe ilikua sahihi kutumbuliwa siamini ata hao wanafunzi waliopita kwako kama wanauwezo sahihi akuna maendeleo ya pekee yako duniani hata mataifa makubwa wanajifunza kwa taifa hata dogo vipi nyie simba mnakataa kujifunza kwa wengine na mnakataza wengine wasijifunze kwenu
Mm Simba lakini jezi mbaya
Na bdo mtasema tu
gb 64 mbumbumbu wewe unavaa mawani umemwiga nani au wewe ndio wa mwanzo acha ushamba uwezi kufanya jambo iwe wengine wasifanye ndio ulitumbuliwa unaakili uliiba cheti
Kama wewe ni simba unaona jezi ya simba nimbaya basi kavae ya yanga maana ndo timuyako, wewe siyo simba tuachie simbayetu.
kifuanni zimeandikwa sanda😂😂😂😂😂😂😂
Aliyebuni neno sanda kwenye jezi ni mpumbavu sana hana akili. Hata kama ni Simba mwenzangu hakutakiwa kuandika neno hilo. Sanda inayojulikana ni vazi la maiti. Sasa inakuwaje jezi zetu ziitwe sanda. Mlirogwa na nani kukosa akili kiasi hicho? Tutazodolewa mpaka tukome.
Tatizo nn
Sanda ni kifupi Cha kampuni ya sandaland iliyotengeneza jezi sasa huyo anapiga kelele na SANDA wakati umevaa nguo imeandikwa FILA upuuzi unakujaga kwenye jezi ya Simba tu?
Uwezi andika 3:37 Sunderland, ni tim UK, sanda ni tz
Tatizo la uto uelewa hawana
Wajinga wataumia sana na neno SANDA 😂UPUMBAVU Mwingi jamani
Mimi sivai sanda piga ua
Huvai Sanda lkn ukienda Dukani unananunua nguo imeandikwa FILA?
Sanda ni Logo ya Sandaland
Era huna sio kwamba hauvai hacha uongo
Michoro iliyopo kwy jezi,ni jezi ya za yanga ya njano ,hiyo nyekundu juu kidogo ina namba moja,na chini kuna tano ni matokeo ya dabi,jezi nyeupe haina tofauti na msimu uliopita tofauti ni juu ya kifua neno m cola aliekuwa nayo mwaka jana mwaka huu tofauti ni m cola
Sunderland....not SANDALAND