KUMBUKIZI: SIMBA WAKIWA PUNGUFU WALIVYOICHAPA YANGA 2 KWA 1 HUKU YANGA WAKITANGULIA KUPATA GOLI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 296

  • @fredyjoackimu-bk1tf
    @fredyjoackimu-bk1tf 11 місяців тому +12

    Yes, I ❤ simba kwa sababu ndio team pekee yenye mafanikio.

  • @khalidfesto8518
    @khalidfesto8518 11 місяців тому +25

    HII KITU INANIFANYAGA NIMKUBALI KICHUYAAAA POPOTE ALIPO MPKA LEO HIII🙌🙌🙌 ameacha alama kwenye maisha ya wana simba🙌🙌🙌💯💯

  • @salimusemkuya3086
    @salimusemkuya3086 11 місяців тому +135

    ambao umaiangalia hii had mwaka huu 2024 gonga likes

  • @jordanbarweta3429
    @jordanbarweta3429 6 місяців тому +7

    Daaah Simba Yetu..Naipenda hii Club ♥
    Still watching July/2024❤❤❤

  • @philipomakongoro2084
    @philipomakongoro2084 5 місяців тому +4

    kweri simba tumetokanayo mbali sana Mungu ibariki simba yetu

  • @hansmswagara2789
    @hansmswagara2789 3 роки тому +16

    Simba baba laoooo

  • @MariamuYusuphu
    @MariamuYusuphu Рік тому +14

    I love ❤ simba🦁🦁🦁

  • @SalumuOmary-h7z
    @SalumuOmary-h7z 3 місяці тому +1

    simba ndio timu bora barani africa naipenda sana simba❤❤

  • @Zuubaby-lp9uj
    @Zuubaby-lp9uj 6 місяців тому +33

    Tunaonrudia Leo 2024 mwezi WA 7 th 26 tujuane❤❤❤❤❤❤

    • @NeemaSesa
      @NeemaSesa 3 місяці тому

      Yan inauma hiyo

    • @NeemaSesa
      @NeemaSesa 3 місяці тому

      Nailundia Mal kwa mal

    • @NeemaSesa
      @NeemaSesa 3 місяці тому

      😂unaniuma kwel

    • @NeemaSesa
      @NeemaSesa 3 місяці тому

      Naipenda simba kuzindua na mme wangu

    • @lovelove-k4t
      @lovelove-k4t 3 місяці тому

      Mamb

  • @gyeong5972
    @gyeong5972 Рік тому +7

    Alieskia Sauti ya Salim Kikeke Kama mimi like plz

    • @yorammmasa
      @yorammmasa Рік тому +2

      Sio kikeke ni baruani muhuza

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 2 місяці тому +3

    Mnyamaaa 4rever 🦁🎉

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 2 місяці тому +1

    Simba nguvu moja naangalia leo tar 16.11.2024

  • @MaimunaSaidi-tu2hs
    @MaimunaSaidi-tu2hs 5 місяців тому +4

    Kichua bonge la mchezaji naanaipenda sana simba

  • @magembekisabo9632
    @magembekisabo9632 Рік тому +1

    Dah Mo Ibrahim

  • @AsiaMkama
    @AsiaMkama 3 місяці тому +1

    Yaani kwenye kuuzaja uwanja tu Simba tupo vzr toka zamani

  • @nuranzubail8134
    @nuranzubail8134 5 місяців тому +2

    Simba ilikuwa na wazawa mult talented players

  • @MajaliwaBugota
    @MajaliwaBugota 6 місяців тому +4

    hii mechi kiukwel huwaga nailudiaga Hadi mwili unanisisimkaga aise ❤💪💪

  • @MaryPumpuni
    @MaryPumpuni 2 місяці тому

    2024 naiangalia SIMBA yangu huku mwili unanisisimka🥰🥰

  • @simonmeneyi1418
    @simonmeneyi1418 4 місяці тому +4

    Kweli kabisa kichuya arudi simba

  • @Isackmanyonyi
    @Isackmanyonyi Рік тому +4

    Daah simba tulitoka nayo mbali❤❤❤❤❤❤❤

    • @Zowazowa-xu1gk
      @Zowazowa-xu1gk Рік тому

      Utopolo fc waliyatimba wallah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @humphrelemaa7630
      @humphrelemaa7630 6 місяців тому

      Sanaaaa

  • @YahayaZuberi-t2z
    @YahayaZuberi-t2z 3 місяці тому +1

    Nitakufa na Simba yangu hatatungwe 1000

  • @SarahCharls
    @SarahCharls 3 місяці тому +1

    Ubaya ubwelaa sis tunapiga mtu tukiwa pungufu sio sia tupigwe tukiwa pungufu huo ndo wanaume❤❤❤❤❤

  • @ImmaZakaria
    @ImmaZakaria 2 місяці тому

    I love you simba ❤❤❤

  • @petrosamike420
    @petrosamike420 11 місяців тому +8

    Ambao leo mnaangalia hii 19/2/2024 tujuane mapema.

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 10 місяців тому +10

    Simba walipaswa kuwa naye kichuya hata km kiwango chake kimeshuka kwani bado umri unamruhusu.Hy ni damu ya Simba,na ndio mana sichoki kuiangalia hii mechi

    • @athumanidilunga7770
      @athumanidilunga7770 3 місяці тому

      Hapana kiwango kikishuka basi apewe jukumu lingine lkn siyo kubwa.mchezaji

    • @NeemaSesa
      @NeemaSesa 3 місяці тому

      Hat mm nailundia hadi naogop

    • @NeemaSesa
      @NeemaSesa 3 місяці тому

      Kwa NN huwa tuna wakiwa kuwafunga yanga wachawi au VP mbona mupika unalenga lango halafu hauingii kwenye nyavu

  • @shanmlawa
    @shanmlawa Рік тому +13

    Jamani shiza alikua mtu😘🥳🦁

  • @zunguofficial610
    @zunguofficial610 10 місяців тому +21

    Tunae iangalia ihii gem 15 .3 .2024 tujuane

  • @CharlesBaina
    @CharlesBaina 2 місяці тому

    Kichuyaaaaaa mnyama sana 2024. Nipo nachek marudio November 22

  • @JACOBOMGODE
    @JACOBOMGODE 4 місяці тому +4

    Ubaya ubwela ❤❤❤❤ mwaka huu makombe ni yetuu umu 2

  • @sigwamkinga6236
    @sigwamkinga6236 Рік тому +5

    Simba wa nyika ❤

  • @papaahussein5263
    @papaahussein5263 9 місяців тому +1

    Mm mpaka sasa ni mchezaji mzuri sana ujinga tu wa viongozi wa simba

  • @rajabuwazirishekigenda5924
    @rajabuwazirishekigenda5924 11 місяців тому +2

    yanga Hana historiya ya kumfunga Simba akiwa pungufu. hakika hii ni record ya kipekee kwa hao Simba..

  • @SichaliJr10
    @SichaliJr10 Рік тому +120

    Hiyo siku naikumbka sanaa katika family yangu tupo watoto4 ukijumulisha nawazazi watu6 pekeangu ni simba hiyo siku nilinyimwa chakula😅😅😅😅😢

  • @NOVATISIYAME-c3s
    @NOVATISIYAME-c3s Рік тому +1

    Well done lion

  • @zalhathasaid2060
    @zalhathasaid2060 3 роки тому +13

    Wakumbushe baba utopolo wepesi wa kusahau

  • @MohammedMango
    @MohammedMango 11 місяців тому

    Nice moment by kichuya

  • @AmaniChatila68
    @AmaniChatila68 Рік тому +6

    yanga kwa simba ni wadogo sana basi tu ni timu ya waswahili hawaishiwi maneno

  • @NasibuChobanga
    @NasibuChobanga Рік тому +7

    huwezi amini hiyo siku ndio nilinza kuishangilia simba mpaka kesho simba sihami

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Рік тому +20

    Hakika kichuya nitaendelea kumpenda naiomba simba impatient heshima ya uongozi pale atakapo staafu

  • @AbelWales
    @AbelWales 7 місяців тому +2

    Naitw Edgar Toka mwanza Simba dam

  • @AzizahKhamisazizah
    @AzizahKhamisazizah 18 годин тому

    Wana simbaaaaa

  • @KhadijaPanga
    @KhadijaPanga 2 місяці тому

    ❤😅n ilifurahi sana

  • @geofreysolomon3728
    @geofreysolomon3728 Рік тому +16

    Kochuya ana nafasi yake ndani ya mashabiki wa Simba😂😂😂

  • @sillassadiki
    @sillassadiki 6 місяців тому +1

    Mnaoangalia hiii kitu tar 10,7,2025 tujuane😂😂😂😂

  • @mariamshibanda3358
    @mariamshibanda3358 9 місяців тому +1

    Ilikua tam sana🦁💪

  • @Shantxhanta
    @Shantxhanta 6 місяців тому +3

    Alf hapo tulikua tunavijana wengi kuliko hao vyura na wazee wao

  • @ZUHURA-s6m
    @ZUHURA-s6m 10 місяців тому

    Hakuna kama simba🎉❤🥴👹

  • @mustaphahamza6262
    @mustaphahamza6262 4 місяці тому +1

    Leo 21/09/2024 Gonga like hapa

  • @MaliamHassan-b2o
    @MaliamHassan-b2o 8 днів тому

    Simba nguvu moja trh 26/01/2025

  • @yohanayohanaadamu6483
    @yohanayohanaadamu6483 3 роки тому +19

    Utopolo walishasau tuvyowagonga tukiwa pungufu

  • @MKETOUKEBA
    @MKETOUKEBA Рік тому +4

    KichuyaBado anaitajika simba

  • @AlliMohamed-q2y
    @AlliMohamed-q2y 2 місяці тому

    Mnyama mkali sana

  • @mashakahelman7109
    @mashakahelman7109 2 місяці тому

    Simba moto

  • @amedeuspeter-n4l
    @amedeuspeter-n4l 5 місяців тому

    Daaaha😢😢 Simba yetuuu wewe

  • @sabatoager
    @sabatoager 27 днів тому

    huu game iliniuma fast 1 half but second half nilifurahia sana

  • @wabiisabella8696
    @wabiisabella8696 3 місяці тому

    Hatareeeee popote ulipo mwanang andrewizzy makubi unaikumbuk sku hii

  • @JeremiaSenyagwa-y8t
    @JeremiaSenyagwa-y8t Рік тому +1

    Mimi ni simba damu

  • @SadockJoel
    @SadockJoel 3 місяці тому

    Iko good vibes za kutosha Daaah

  • @YunusHuseni
    @YunusHuseni 4 місяці тому

    Hii game ilikua Kali sana kupindua meza kibabe

  • @DavidDamas-n4d
    @DavidDamas-n4d 3 місяці тому +1

    Tunao angalia mwez wa 10 tujuane 2024

  • @Tamimsaid-xq2ct
    @Tamimsaid-xq2ct 10 місяців тому

    Goooal

  • @AyubuStaily
    @AyubuStaily 23 дні тому

    Wale WA 2025 tujuane apa

  • @mbeyamedia8692
    @mbeyamedia8692 5 місяців тому

    uhakika bro

  • @oswardkapesa7095
    @oswardkapesa7095 4 місяці тому

    Tupo❤❤❤

  • @ivonobedy6732
    @ivonobedy6732 6 місяців тому

    Daah inasisimua

  • @jerryxeventeen5345
    @jerryxeventeen5345 Рік тому

    TBT la kibabeee🎉

  • @babajay3445
    @babajay3445 3 місяці тому

    Kipindi hiko simba ni nguvu moja sio hii leo wamejaa wanafiki pale mnapanga hili kesho mapema lishafika jangwani

  • @SaadaAlly-x6d
    @SaadaAlly-x6d 5 місяців тому

    Sana tena

  • @syliviamurondoro4690
    @syliviamurondoro4690 4 місяці тому

    Yani msim huo mpira ulikuwa mtamu jamani❤❤❤❤

  • @GozberthOnesmo
    @GozberthOnesmo 6 місяців тому

    Hiii ilikuwa noma

  • @WaryobaMangira
    @WaryobaMangira Рік тому +1

    kichuya noma xana

  • @shabanipande5379
    @shabanipande5379 4 години тому

    Hiii Mechi ilikuwa Taaam

  • @frankabel7403
    @frankabel7403 25 днів тому

    Hii mchi simba walipeleka moto wamana

  • @barakajulius5938
    @barakajulius5938 4 місяці тому

    Mo Ibrahim Mo, kipaji

  • @oman6219
    @oman6219 4 місяці тому

    Hii lini.

  • @MunduSamson-vz1ue
    @MunduSamson-vz1ue 4 місяці тому

    ubaya ubwela mundu boy dam ya Mara napenda Sana Simba

  • @LaurentKarugura
    @LaurentKarugura 6 місяців тому

    Daah mbal san nakmbuka kichuya mwamba kwel kwel

  • @baegtcomedia6798
    @baegtcomedia6798 3 місяці тому +1

    BAE GTCO MEDIA 🇹🇿

  • @emmanuelngesi5429
    @emmanuelngesi5429 5 місяців тому

    Hi ilikuwa jumamosi tarehe 17 mwez february 2017..💪

  • @oscarmtocar7681
    @oscarmtocar7681 6 місяців тому

    Simba sasa inapaswa kurudi

  • @AjhidKakuru-hg7gw
    @AjhidKakuru-hg7gw Рік тому

    Jaman kichuy Mmmhhh

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 5 місяців тому

    ♥️♥️♥️♥️♥️🦁🦁🦁♥️♥️♥️🔥🔥

    • @Matayoabduly
      @Matayoabduly 5 місяців тому

      Maana yasanda iliyopo jezi ya simba

  • @JohnMagic-i5v
    @JohnMagic-i5v 3 місяці тому

    Leo siyo pungufu watataga

  • @MusaHamad-m2b
    @MusaHamad-m2b Рік тому

    Mechi ilikuwaga safi sana

  • @SalumKalindajr
    @SalumKalindajr 6 місяців тому

    Wehu Hao na wasbili trh 8

  • @EmilianPaul-i2h
    @EmilianPaul-i2h 4 місяці тому

    Mtasema Sana yanga n baba len

    • @Samwel-y4d
      @Samwel-y4d 2 місяці тому

      Baba wa mavi lbda syo kwa simba mmeshidwa kumfunga mtu yuko pungufu hmn timu nyiy muwe na nizamu na simba

  • @MethewNyirenda-y5b
    @MethewNyirenda-y5b 4 місяці тому

    Nipo hapa

  • @GraceMhoja-bu3ce
    @GraceMhoja-bu3ce 5 місяців тому

    simba hii ipo wap jamn

  • @ezrakenyanya7399
    @ezrakenyanya7399 3 роки тому +3

    Wape salam utopolo

  • @mrgujarat8391
    @mrgujarat8391 7 місяців тому

    Hapo kabla hawajaijua pesa

  • @abdulisiwa4118
    @abdulisiwa4118 Рік тому +1

    Wasema tu

  • @flova7022
    @flova7022 Рік тому +1

    Nomaaa

  • @MatemuAmani
    @MatemuAmani Рік тому

    mmH au bas

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887 7 місяців тому +1

    Hii penati ilkw ya mchongo ila Mungu akalipa palepale uwanjani,malipo ni duniani

  • @CharzzzKijanga
    @CharzzzKijanga 3 місяці тому

    Tupo wengii kaka

  • @franktazuba
    @franktazuba Рік тому

    Simba

  • @gaudencehaule7398
    @gaudencehaule7398 Рік тому +1

    Viongoz wa Simba huwa wana kiburi ssna.
    Lufunga hakuwa na hadhi hata ya kukaa benchi Simba. Binafs nlishukuru sana alivoondoka na nafas yake kuchukuliwa na Salim Mbonde

  • @StevenHinjo
    @StevenHinjo 5 місяців тому

    Good

  • @YahayaMkohola
    @YahayaMkohola 3 місяці тому

    duuh naumia xana kwa simba hii duuuh

  • @alfayomcharo9473
    @alfayomcharo9473 5 місяців тому +1

    Je wananga wanakumbuka hii?