Askofu Mkuu Damian Dallu ageuza Msiba kuwa Furaha, waamini waangua vicheko kwa maneno yake Msibani

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 кві 2021
  • Tafadhari Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    Mawasiliano:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

КОМЕНТАРІ • 37

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 3 роки тому +5

    Hongera askofu umesema vizuri kulikko wabunge. Umekuwa muwazi kwa kazi nzuri iliyofanywa na hayatie John pombe magufuli. Pia umesema vema kuhusu shirika letu la ndege kumzidi spika wa bunge letu na CAG kwa kukuwa ni wasaka tonge

  • @damianocostantine9042
    @damianocostantine9042 3 роки тому +5

    Askofu wetu wa zaman wa jimbo katoliki la Geita nakupenda sana mungu akupe nguvu uendelee kutoa huduma ya mungu

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 3 роки тому +6

    Safi sana ASKOFU huu ndio UKWELI unaotuweka HURU.......

  • @ponsianamataka4607
    @ponsianamataka4607 3 роки тому +3

    Namuona hapo Baba Askofu Mkuu Nyaisonga wa Jimbo kuu la Mbeya. Alikuwa Baba yetu Dodoma.

  • @vantyger3254
    @vantyger3254 3 роки тому +7

    asante baba waambie wajue aliyo yafanya magu ni yakuigwa

  • @emmaculatemwigune1424
    @emmaculatemwigune1424 3 роки тому +4

    Askofu wetu wa Jimbo la Songea barikiwa baba

  • @enockcharles6835
    @enockcharles6835 3 роки тому +4

    Ahsante sana, Watanzania ni muhimu sana kumuenzi Magufuli kwa aliyoyafanya.

  • @brandinahongerasanabugomba1583
    @brandinahongerasanabugomba1583 3 роки тому +3

    Amina sana asikofu dalu sauti yako tumeisikia

  • @Deonfnyoni
    @Deonfnyoni 3 роки тому +3

    Nakukubali sana baba askofu daru Mungu akubariki

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 3 роки тому +5

    Magufuli Mungu amweke pema . Miundo mbinu hii yeye ni muhusika mkuu.

    • @nardhismhagama6266
      @nardhismhagama6266 3 роки тому

      Umezoea kupokea sadaka ya malombi hatakama wakulima wamekosa kwenye dhuluma ya korosho husemi

    • @mugemainyas5241
      @mugemainyas5241 3 роки тому

      @@nardhismhagama6266 andika kwa kingeleza hiki kiswahili hakieleweki.

  • @starentrepreneurgeneral
    @starentrepreneurgeneral Рік тому +1

    Huyu Askofu anaakili Sana

  • @zegelibilishanga4761
    @zegelibilishanga4761 3 роки тому +5

    Kama tungekuwa na mababa wazalendo kama ww nchi ingeenda mbele

  • @LucasLusian-ik5bc
    @LucasLusian-ik5bc 10 місяців тому

    Hongera baba askofu mwenye masikio asikie na mwenye macho aone

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 3 роки тому +4

    Hahaaa ndege zinapishana Kama kunguru wa dar hahahaha nimefurahi Mungu akubariki Baba kwa kuliona hili,

  • @princepiusmutaihwa9606
    @princepiusmutaihwa9606 3 роки тому +1

    Khasante sana baba Askofu mkuu jimbo katoliki la Songea

  • @josephmgongolwa9496
    @josephmgongolwa9496 3 роки тому +2

    Kwakweli magufuri adumu

  • @elyhillary2000
    @elyhillary2000 Рік тому

    Aminaaa

  • @colmankissima4963
    @colmankissima4963 3 роки тому

    Askofu hana taarifa kuwa huduma ndiyo ilitafuna mashirika au kajisahaulisha makusudi. Cost benefit analysis muhimu kwenye kila biashara

  • @StephanoGwelino-so1cn
    @StephanoGwelino-so1cn Рік тому

    Anatuchanganya waumini kama katumwa na chama atuachie kanisa letuu

  • @antoniambogolo3628
    @antoniambogolo3628 3 роки тому +2

    Asnte baba yet daru

  • @justinashayo3743
    @justinashayo3743 3 роки тому

    Mmmmhh!!! Siasa au???

  • @marryjustine18
    @marryjustine18 3 роки тому

    Amina Baba

  • @mongogwelaanthony6867
    @mongogwelaanthony6867 10 місяців тому

    Baba askofu umenena vyema

  • @ponsianonyangachi6805
    @ponsianonyangachi6805 3 роки тому

    Amina baba

  • @StephanoGwelino-so1cn
    @StephanoGwelino-so1cn Рік тому

    Anapiga siasa

  • @jenipherkyando4822
    @jenipherkyando4822 3 роки тому +4

    Nimejikuta nimefarijika sana baba umeniongezea siku nilikosa tumaini kama mti mbichi unachezewa hivi mti mkavu je?

  • @agustinogalusi1661
    @agustinogalusi1661 2 роки тому

    ,

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 3 роки тому

    CAGE NI JINGA TU. ASANTE ASKOFU. HAPA SIONI MMEVAA BARAKOA SIJUH ASKOF DAR HAKUWEPO MAANA NA BARAKOA NAYO KAMA MAIGIZO.

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 3 роки тому +1

    Huyu askofu alitaka CAG aseme uongo kinyume na taaluma yake?? Ina ogofya linapo semwa na askofu. Yoh 8: 32 Ukweli utawaweka HURU. Kuna ubaya gani wa kusema UKWELI shirika limepata hasara ili kuboresha na kurekebisha???

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 3 роки тому +5

      Wala hujamuelewa mkuu😂😂😂😂, point kubwa ni kwamba badala ya kujadili hasara but tumieni kilichopo tayari kurekebisha yaliyokosewa.

    • @theophilotheodosy5565
      @theophilotheodosy5565 3 роки тому

      @@TM.Sullusi verrryyy gooood

    • @maishayakipepeo7309
      @maishayakipepeo7309 3 роки тому

      @@TM.Sullusi umesema kweli, Naona askofu anasisitiza kutolenga hasaratu; (kutokata tamaa)hasa ukikumbuka baada ya ripoti ya CAG kulikuwa na discussion kama kuongeza ndege inafaa au la.

    • @billgussy6099
      @billgussy6099 3 роки тому

      @@maishayakipepeo7309 discussion ni nzuri cha muhim ripoti ya CAG inapaswa kuchukuliwa kama chamgamoto na kuifanyiwa kazi badala ya kuibeza. Chukulia hiyo ATCL ni kampuni binafsi nadhan wangefurahi sana kujulishwa mapungufu yao ili wajirekebishe. Hili kwakuwa ni la serikali basi linafanywa la kisiasa.

    • @maishayakipepeo7309
      @maishayakipepeo7309 3 роки тому

      @@billgussy6099 nakubaliana na nimekuelewa. Ni kweli kabisa ripoti ya CAG inatakiwa kuwa changamoto. Ndo maana mimi Naona criticism ya askofu haikuwa kwenye ripoti naona inalenga kwenye kauli iliyoanza kuongelewa bungeni iliashiria kana kwamba kuwa na ndege kumeleta hasara zaidi( kitu ambacho ni kweli).Lakini je ni kampuni lipi la ndege halijapata hasara wakati wa korona? Mimi nimeona critic ya askofu ilikuwa ikilenga hapo, kwamba kurudi nyuma na kuanza ku doubt si vema ila ni kuangalia upande wa faida na kuanza kuoverstep hasara. Ni maoni yangu na ndio maana sikuona kuwa mzee alipingana na ripoti.