Mimi na Mme wangu tulishinda DV Lottery MARA MBILI MFULULIZO (mwaka 2020 na 2021). Nipo Kansas, USA
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Mme wa Glory alishinda Green Card Lottery. Wiki 4 kabla ya interview, Tanzania ikawa kwenye Travel Ban iliyotolewa na President Trump. Hivyo hawakuweza kufanyiwa interview, hawakuweza kuja USA. Kwakuwa waliomba tena Green Card Lottery, awamu iliyofuata yeye na mme wake wote wakashinda Green Card Lottery.
#DVLOTTERY #EBMSCHOLARS #ebmswahili
Kama ukishinda na unataka full service ya EBM SCHOLARS kuanza kuangalia qualification zako, ku review documents zako, kukujazia visa form DS260 Wewe na familia yako, na pia kukupa mentorship ya jinsi ya kuanza maisha na hadi kufanikiwa ukiwa kama new immigrant USA 🇺🇸 ni dola 250 tu. Na ukifika USA utaendelea kupata ushauri bila kulipia tena.
Ukishinda Tuma email
EBM@EBMSCHOLARS.COM
Au nenda kwenye website yetu
WWW.EBMSCHOLARS.COM
soma services offered by EBM
Na washindi wote toka Tanzania 🇹🇿 nimeandaa WhatsApp group maalum. Utanitumia email na mimi nitakuweka kwenye kundi. again hili ni kundi la WASHINDI TU. Lengo ni kuwa tunapeana support na network na wengine kabla na baada ya kuja USA
EBM SCHOLARS
www.ebmscholars.com
ebm@ebmscholars.com
Missouri, USA 🇺🇸
Asante Sana kaka lazima utujazie fom ya viza kaka
Sawa Kaka. Nauliza Wanandoa Mmoja Mwenye Elim ya Form 6 Akishinda Mwenzake Kama hana iyo elim unaweza Kuondoka nae?
Asante sana huu mwaka lazima na mm ni join hio grp 🙏🏿
EBM tunakushukuru Sana 🙏 kwakutuletea iyi interview Mimi namwaangu tunaamini mungu kwamba iyimwaka tutashinda green card lottery in Jesus name amen
Hongera Glory frend of mine, it's me Cecy Arusha
Mi ni mmoja wapo nasubiria majibu tar6 Mungu atatushangaza wa tz safari hii🎉
I join the faith
Ww muha mbona mshamba sana marekani kuna hela na maisha mazuri kweli au unawadangaya watu maisha mazuri yaka africa kama umesoma vizuri au una hela wabongo kibao wanakwenda nje na kurudi
Thanks to God. I was selected. From Kenya
Kind hearted man. God may grant you many years
Kaka Tunakushuru sana kwa malezi japo kuna mengine hatukujajua mapema ila ndo kujifunze na kujua zaidi
Kama huja download EBM SCHOLARS APP, nenda kwenye Android Google Play Store na search EBM SCHOLARS. Malipo kwa sasa ni kwa visa au mastercard. Unaweza kutumia Tigo Pesa visa au mastercard ya MPESA na kulipia.
Vipi huusu wanao tumia Appstore(Iphone)?
kama natumia iphone naipataje app ya EBM?
Nafurahi sana kukuskiza ebm kutoka Kenya
EBM tunakusubili kwa ham sana Utupe Dalasa Ubungo Mwenyezimungu Akufikishe salama Tarehe hiyo Mwezi wa Tano
Habari Ebm kunifanyia prosesing ya Visa ya USA ni Bei Gani kaka Nina pesa.nipo DSM.tz.nakusubiri mlimani tarehe 21.nipe jobu mkuu
EBM hongereni kwa kazi nzuri.
Wajina uko Safi san
Asante sana kka Ebm nakufatiliyaga nikiwa Congo RDC 🇨🇩
Mungu awone iyi usaidizi yako inafanyia Afrika akubalike Ebm
Umekumbua cha. Uzunguni Arusha wewe , kweli kitamu
Mungu akubariki Ndugu EBM
Kaka nakufatiria sana kaka
Mimi pia mojaaaaa wapo nasubili majibu mwizi 6
Nasubiri matokeo bwana EBM nikijaliwa kupata nitakutafuta coz nime apply na mke na watoto watatu
❤❤❤🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Asante kaka
I paid a nearest cyber by the time we were Applying for a Green card lottery...but guess what??...Ian among those eagerly waiting that Great 6th!
Tunaomba namna ya kuomba tafadhali na usaidizi wowote waweza kutupatia kuomba na kutafutafuta fursa zingine
Ebm my mentor... Missouri there I come
Asante ❤
Kaka Mkubwa nakufuatilia sana kutoka Arusha-Tz endelea kudondosha nondo kali maana naamini hizi ni kama jiwe la gizani litakayempata utasikia kilio chake siku akishinda DV, for my first time nangojea mwaka huu nifanye application mimi na mke wangu, Nimejifunza mengi sana kutoka kwako, naombeni commentators na viewers
tuendelee kusambaza videos hizi kwa watu wengine tusiwe kama wale wa Kamati ya RM
Huyu binti nampongeza sana halafu namjua nitamkuta huko tufahamishane
Sauti yake iko chini sana
Binafsi sioni sababu ya kuhama nchi zetu za Kiafrika na kwenda ugaibuni!.
Hata kwetu maisha mazuri yapo!.Akili yako tu!.
...sababu za kuhama zipo na sababu za kubaki Afrika zipo. Ni uamuzi binafsi na familia yako. Kupanga ni kuchagua.
😂
Hello 👋
Mko vzr kk
Mungu awone iyi usaidizi yako inafanyia Afrika akubalike Ebm