"MWIGULU UNAJIITA DOKTA! DOKTA wa WAPI WEWE" - MFANYABIASHARA BILA UWOGA AONGEA MBELE WA WAZIRI MKUU
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2024
- "MWIGULU UNAJIITA DOKTA! DOKTA wa WAPI WEWE" - MFANYABIASHARA BILA UWOGA AONGEA MBELE WA WAZIRI MKUU
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Jamaa kaongea point sana uyu paka kapewa cheo leo hii amekuwa mjumbe wa kamati iliyo undwa na waziri KAMA UNAUNGA MKONO UTEUZI WAKE GONGA LIKE HAPA CHINI
Mwigulu na Makamba hii inchi wanaifaidi sana, nahao ndiyo umwambii kitu Mama akuelewe
Wazulumu watu ila wakumbuke kuna kufa na kuacha kila kitu
Mungu aingilie kati atuondolee mawaziri pm mungu akubariki
Kweli rushwa ningimno hata Jiji maduka mengi huwa wanatoa rushwa wasikate leseni ambao leseni tunazo tunaindwa kuza tumefilsika ha sa ilemela mwanza
@@rehema971pole my
Asante kutusemea ndugu
This man is prudent. Take heed.
JAMAA ANAAKILI ZAIDI YA TUNDU LISSU... ZITTO KABWE, NA WAPINZANI WOTE MAANA WOTE HAWAKUZUNGUMZA POINT ZAKE ZAIDI YA KUITWA IKULU.. HONGERA MZEE
Eti wapinzani...!! We babako nae mbona hajawah kuzizungumzia??
❤❤❤mungu akulinde Kaka maana mwigilu anataka kukurukia
Mimi kama mfanyabiashara Mdogo Nimepiga Makofi japo sikuwa kwenye Eneo Husika Huyu Jamaa Ni Balaa..!! 🔥🔥🔥🔥
Mimi si mfanyabiashara Ila nimepiga makofi
kwel wabunge hawan kaz....wabunge wako mtaani
Nimependa utulivu wa PM kwani umemsaidia kufahamu mengi toka kwa msemaji. Big up PM Kassim Majaliwa Majaliwa
Kama jpm vile 😊
💪💪
Enzi zile akitajwa tu mtu mzungumzaji anastopishwa kwanza na mtajwa anashughulikiwa titifotati kiweredi huku mazungumzo yanaendelea. Huyu jamaa Mungu amtunze, ameongea kwa uchungu sana. Tunahitaji Power, only.
Umeonaaa
Nimemiss sana hizo moments. Service Levy hii Hapana aisee.
matatizo yalitatuliwa moja kwa moja
Ilikuwa raha sana aseee 🤗🤗🤗
Kuna faida na hasara ya maamuzi ya hapohapo,pia kuna mambo marahisi kutolea majibu hapohapo kama hayo ya kuhamisha mapolisi,wafanyakazi wa tra n.k lakini mambo mengine ni ya kisera zaidi ambapo ni lazima kuwe na utulivu ktk kuyatatua. Pia sometimes kutoa majibu ya hapohapo unaweza kuvunja katiba na sheria tena ikawa mbaya au ukaonea watu,subira inahitajika kwa baadhi ya mambo.
Huyu mzee wangu sina chakusema nimwanaume sana yani nidamu ya Jpm hii kabsa.wachane usiache tonelaukweli
Ukimtaja huyo Mzee "JPM" nahic joto, alale salama Mzee.
Tafadhali sana serikali ya Tanzania huyu jamaa kaongea zote facts, hakuna alichoacha.
What a beautiful speech. Hawa ndo watu wanaostahili kuwa viongozi kwenye nchi hii
Huyu ni raia lakini mwenye elimu ya master's na elimu ya biashara ila waliopewa kazi ni vizibo hawajitambui wala impact inayokuja hawajui nawala athati hawazijui mafuta tuu ulaya yameshuka ila huku bado tumepigiliwa
Hii serikal ijue tu sa hv watu wameamka na huyu mwigulu anapendwa na aliyemchagua tu Ila ss nop.,...
Natamani Mwamba moja hivi aamke alipolala JPM ❤
Yan kak umesema kwel mwamba angekuuwepo hapo hata asingeshirik hapo hila cm ingepigwa na mwingulu angetenguliwa
Huyu ajengewe sanamu na ulinzi apewe kawakilisha vizuri sana👌👏👏
Akifika huko anapewa bakuli la keki anashiba anawasaidia kumega😂😂😂
Apewe maua yake kabisa?
@@sadamissa5687 🤣
Yaaaani anamaumivu sana ana uchungu
Yaani wafanyabiashara wadogo twafa
HUU JAMAA NIMESKILIZA VIZUR ANATEMA MADINI MATUPU
Watanzania wengi wanajiuliza kilicho mfanya huyu anayeteua mawaziri kilicho mfanya amrudishe mwingulu kwenye wizara nini jipm alimfukuza kama mbwa Leo hii amerudishwa tena matatizo yamerudi tena akuna mtu mbaya au kiongozi mbaya kama mwingulu mchemba
Mwiguru ni mwiziiii kwani jpm si alikuwa anamjua?
HI NI KAZI YA BUNGE BUNGE KIMYA
Kupitia haya nadhan viongozi wajue namna watanzania wamechoka na maisha haya na huu uchumi, Iwe wake up call aseeeee
Kabisa Amina, it's a red flag
Katika maisha ni vizuri sana watu kutengenezewa Breathing space kama hii watu wapumue.
Point
Unaakili sana ww, Ni tiba kubwa sana hiyo watu tunabeba hasira kwenye mioyo yetu hatuna kwa kuitua.
Jamani wafanya biashara mko vizuri bila shaka Serikali yetu sikivu itayafanyia Kazi...
Daahhh huyu baba nimemkubali sana kichwa chake kinafanya kazi vizuri mno
Dah huyu baba sijui km hajaumwa leo maana ameongea kwa hasira sana masikini hd huruma 😢
Huyu ana hasira ya kuwekwa ndani siku kumi...aisee! ....aisee...alionewa ..kumbe watu Wana machungu mengi moyoni...
🤣🤣🤣🤣gari limebadilishwa maumbileeee😂🏃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nime cheka kwa sauti
Jamani nilishasema huyo mnyiramba hafai.ana dharau sana.lakini Mungu yupo.atamshughulikia tu maana haya machozi ya watu hayatakuwa Bure.
Gilliana lema SI shemeji yako lakini huyo,mabasi YOTE mazuri kawletea Moshi,Leo HUMTAKI? HAHAHA 🤣🤣🤣
@@IsraelKisaila hafai kabisaaaa
Tanzania kumbe kuna watu..??
Hawajajua tu hasira za watu wanazoteseka nazo..,,,Big up kwa huyo jomba
Hivi Huyu Mwigulu Mbona Ni Kero Kila Sehemu? Hivi Kweli Mama Haoni Mbadala Wake Wasomi Tumejaa, Si Amtoe Jamani?
Very true wafanyabiashara tunatengenezewa mazingira magumu
Huyu jamaa anaakili Sanaa amejipanga kuongea 👌👏👏👏
Sio kujpanga tu yan maumiv unayoyaptia kila sku ndio yanayo umiza
Shoo ilikuwa TAMUUU Sana Leo iludiwe😊
😂😂😂☑️
😂😂
Hapo kwa mwigulu nimepapenda safi sana
Kweli kabisa tunavisukali hatarrrr baba ongea ongea point tupo safi
Kuna raia walitakiwa wawe viongozi lakini wapo mtaani waliotakiwa kuwa mtaani ndio wanaongoza
Kweli kabisa
Just imagine that pain guys watu wawe na utu...
Mheshimiwa Waziri mkuu siku zote wasemaukweli wanatengeneza uhasama please hao watu wote waliowasilisha maoni kwa niaba ya wengi wanahitaji ulinzi wasidhurike ni watu wa muhimu mno kwa Taifa letu...
Mfano halisi hyu mwasilisha mada aliwahi kutoa maoni akaishia kufungwa jela kwa Siku 10 huo ni uonevu..
Kidonge kichungu💪🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Mtanga afunika Dar
Big up bro
Mawazo mazuri ni zaidi ya bunge
Yaan leseni mi hata sijui Ina umuhim gan kiukweli, yan leseni, TRA, Sasa sijajua hapa imekaaje ni wizi tu... Kwakwel leseni ifutwe
Mwigulu out, out.🏃♂️😂
Hii tufanye kampeni wallah
Huyu baba apewe ulinzi jamani kaongea ukweli mchungu 😂😂😂 hongera san baba
Hongera kwake huyu baba wamezidi dah
Mzee umeongea had namachoz yamenitoka hapo kwenye hela tnakusanya ss haf inaibiwa na mtu mmoja nimgogolo kwel
Msambaa kachachamaa,cjui mbwai😂😂
Mwigulu Wizara ya fedha imemshinda, aondolewe kwa maslahi mapana ya taifa. Anaweza kuwa mchapa kazi lkn anakuwa perceived kama incompetent and perception is "reality" !
haya yote mbona sijawahi kusikia wapinzani wakiyasema , wapo na hoja ya ubabaishaji ya katiba mpya
Me katika viongozi ninaowachukia mwigulu ni wakwanza yani anakela na sijui kwanini hawamtoi
@@raybby9291 uongoz wa sasa upo kwa ajili ya watu wachache matajir sio kwa ajili ya walio wengi ambao ni maskin au wenye kipato cha kawaida, kama hujagundua hilo utaumiza akili yako bure tu. Ndo maana huyo mwigulu na makamba wanajibu kwa nyodo tu
@@raybby9291 haahaaaa
@@whatisthetruth.8793 kwanini hta familia yako haijawahi kuyasema?? Mkuki kwa nguruwe!!
Nimefurahi sana Tanzania tumeamka
CAG REPORT IMEWAANIKA.
MNAGAWQNA PESA KWA ONGEZEKO LA UINGO.
TUNATAKA UFAFANUZI.
HIVI TANZANIA KWA BAHATI HII NZURI TULIOJAALIWA TUNASHUNDWA KUWA NCHI YENYE WATU WANAOISHI KWA AMANI NA FURAHA.
Watu qqnahasira saana mioyoni ila hawana pakuzitoleaaaa ..hiii mama asipokuwa makini inaweza ikampa wakati mgumu saaana 2025😂😂😂 Yani mawazili wako hapo hapo lkn wananyoshewa vidole na kuambiwa hawafaiii...😅😅saiv tumefikia point ya hakuna Cha kuheshimiana , tunakoelekea huwa heshima ikisha poteaaa watu wanaanza kuchapanaa ..naomba tuaifike hukooo...Hawa akina mwigu Hawa ndio wanatutia zaidi hasiria kujifanya wasomi afu kumbe hakuna kitu , kazi kuongea kauli zao za hovyooo tu 😅
Huyu baba anaakili nyingi sana.... Mpeni kitengo Huko serikalin awasaidie
uongozi siohio kuongea2 mzee
@@msekoali kumbe kufanyaje
Kabisa
@@msekoali na hao wanaocheza bungeni wana faida gani. Wangekuwa wana ubongo wa kufanya kazi hawa watu wangetoa kero hizo
Bora anaeongea watu wapone sasa ukiwa na akili nyingi halafu umekaa tu kimya una faida gani
,kodi kibao, matozo ni kibao,kikwete fukuza mawaziri wako,Rip JPM
Asieee ni balaaa watu wana hasira sana😢😢😢😢
Jamani hii nchi ina mambo ya hovyo sana viongozi wawajibike Watanzania wanauchungu sana Rushwa imekuwa ni kawaida Hapo hali ni mbaya mbayaaaa
Huyu Jamaal amesoma na ana overconfidence sijui anatokea Kanda ya ziwa
Well said huyu ni akili nyingi achaguliwe atetee wafanyabiashara
Ngoja alambe asali
Magufuli pumzika kwa Amani
Hii inshu Magufuli angekuwepo hapa, aise watu wengi wangefukuzwa kazi leo leo
Hii ishu ya matatizo ya wanyabiashara nchi nzima imeanza leo?
Wakati yeye ndie chanzo
Duuh kumbe Tz kuna watu wanaakili nying hivi hongra sana Baba
Mwamba Huyu Hapaa 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿👏🏿👏🏿
Tumemuona mwamba hata akizurika ukweli keshasema
kivumbi leo 😂😂🤣🤣 alubadili tanga ukiekula ela ujiandae wenye ela zao washaamua
Kujiamini na kusema ukweli ni jambo ambalo Mungu anafanya upaee kwenda hatua nyingine barikiwa sana mzee wetu kuongea ukweli big up father 🙏🙏👏👏🎤🎤
Mzee kaongea kwa uchungu sana Tanzania haijawahi kuwa fear toka magufuli aondoke mambo ni vululuvululu yani , R.I.P magufuli😭
nikweli kabia nchi imerudi kua shama la bibi
Ilove you Waziri mkuu Mwigulu watakumaliza kama Mungu aishivyo nakuambia Badilika
Mwigulu hafai kabisa sijui kwann mama bado amenwacha tuu.
Mama anaupiga mwing ndo mtamkumbuka baba magufuli
Usha mwingine kwanini hizi ofisi za tra zisiwekwe kwenye ofisi zetu za kata yaani hapo kuwe na ofisi ya TRA na Ofisi ya kukatiwa leseni
Kwanini basi naamini hizi huduma zikiwekwa karibu na wananchi itakuwa ni rahisi kujua walipa Kodi wako ktk eneo hilo na itakuwa rahisi kuwafuatilia kiurahisi nakiurafiki .tena bila msongamano mkubwa tunakwenda kushinda TRA mpaka wiki unafuatilia kupata clearence form.ili upate leseni
Serikali isichukulie poa haya mambo.nchi itachafuka
Hali ikizid kuwa ngumu crime rate itazid😭
kitambi kimekubali Mr Orange
Natamani kama Baba magufuli angekuwepo ayasikie haya 😢RIP BABA
Angefanya nini wakati ndiye aliacha hawa watu wakaonea watu hasa wafanya biashara hii ni kasumba yake tunakukumbusha labda ushauri TRA watumishi wawajibishwe habari ya Magufuli ifutiliwe mbali katika nchi hii
@@marcokaroje8980 JPM HAJAACHA HAWA WATU, ALIWAKUTA. MTU SAHIHI ALIKUA JPM SIO WALIOMZUNGUKA, WALIOMZUNGUKA NDIO WALIOBAKI NDIO HAO WENGINEO NDUGU ZENU NA BABA ZENU LAKINI WALIMTUSI JPM AKIWANYOOSHA HAO WATU.. MLISEMA NI DICTATOR HAWA WATU JPM ANGEKUWANYOOSHA.
@@marcokaroje8980unajisahaulisha au unajitoa fahamu? Magufuli si ndo aliweka vitambulisho vya wamachinga ya shiling 20 Kwa mwaka au? Alijua TRA watawasumbua na wataweka mianya ya rushwa. Kwa taarifa yako kuna wafanyakazi WA TRA ninaowajua waliaacha kazi wenyewe Kwa kumuogopa Magu
@@richardboaz-mashagospel2346wengine wanajitoa fahamu Tu!
@@marcokaroje8980 hivi yule baba aliefirisiwa na tra na Mpira akatupiwa huyuhuyu majaliwa lilfikia wapi maana alianza kuwekewa mitego ya kutaka kuuwawa
Safi sana mzee kuongea kutoka moyoni
Nchi hii ina laana wafanyaniashara wamaumia
Kweli kabisa kodi imezidi kupita maelezo so much wageni wakija wasemewe na mzalendo wafisiwe kwa kwe unyojaji
Nitoe pongezi kubwa sana kwa mama Samia kwa mpango huu nchi itaendelea. Hizi sumu zingeleta mlipuko ambao kuzimika kwake ingekuwa mbinde
Watu tumechoka na Serikali ya 6 mama ameweka viongozi wala rushwa
Tena sasa hivi wanajidai kweli hadi kero
Mwenyew w rushw atawawek maana kweli
I love you Tanzania people they have freedom to express their feeling without worry…
Hii uja baada ya watu kuchoka saaaaana
While now you start hiding because they hunt you badly
May the truth bring peace in Jesus name.@@edwinbayona7395
Watanzania ni watu pekee wanaoipenda sana nchi yao na wanavumilia mengi. Hii nationalism ilijengwa makusudi na JKN ili kuwafanya wawe na uchungu na nchi yao ila mfumo wa chama kimoja wanatumia udhaifu huu kujilimbikizia mali na kunyanyasa wengine, a fair warning to them ni kwamba watz ni wamoja sana kwasababu walishaamishwa ni ndugu na ukimya wao umebeba maumivu mengi...
Huyu mwamba ni magufuli mtupi
Singida kuna tozo inaitwa ushuru wa kushusha na kupakia mzigo ya viwandani, huu nao ni wizi tunaomba utitiri huu wa tozo umulikwe, haya ni mateso
Kaka,uko,vizuri, Sana,ili,useme,ukweli,kwa,Ajili,ya,kuwatetea,wafanyabiashara, Tanzania,,njoo,upinzani, CCM,hakuna, ukweli,kila, kitu, ndio,ukileta, mdomo,
Utasikia,tulikupa,ubunge,unataka,uendelee,au,
Unafyata, mdomo
Hongera, Sana,kwa,kweli,mwigulu, Ni,mfanyabiara,,
Watanzania wa sasa, siyo watanzania was zamani. Watumishi wa umma mnapaswa kubadilika sanjali na generation unavyo badilika. Generation ya sasa Ni ya ukweli, ndiyo maendeleo yadunia.
The people who have power have no idea and the people who have idea have no power.
like president we have a clawn 🤡;
Lumumba my papa said that
Definately
Unaakili sana
I disagree, the people who have power employ people who have ideas. if you have money and power it means you are smart, therefore hire or buy ideas from someone with ideas who cannot move or use his or her ideas.
Mzee kapiga utosini jumla jumla 😂😂😂😂😂😂😂 konzi kweee konzi ,
Maumivu yakizidi lazma ujasiri uongezeke
Mwigulu anajiita dokta 😂🇹🇿
Ndio maana tunataka KATIBA MPYA .Suluhisho la.kudumu , migogoro yote.
Pongezi kubwa wa waziri mkuu msikivu na amemwacha aseme sumu yote, lakini pia hongera ww baba umeongea point sana tunaamini selikari itasikiliza na kufanyia kazi.
Magufuli angekuepo wotehao kazi wangekua hawana
RIP MAGUFULI ungekuwepo haya yote yasingetokea
Kama angekuepo chuma JPM kunamtu hapo hapo angerudi na uber
Kwani huyo mwigulu si ajiuzulu tu ?wananchi hawamtaki
KATIBA IKIREKEBISHWA IKAWAPA WATU UHURU wananchi huwa wanamengi kwenye vifua vyao.Ipatikane KATIBA tuone watu watakavyo kuwa wanafunguka.
Kama RAIS TUNAYE TZ ajipime kwa nini alikataa mabango? Na haya matatizo siyatazarisha hatari
Wasambaa Shikamooni 😂😂😂😂
Hapo munajisumbua bule.tatizo ni Rais.kwasababu kila mswada kabla ya kupeleka bungeni lazima upie ikulu .sasa embu jiulize anaesaini hiyo miswada ninani.lazima jibu litakuwa Rais.
Kweli tatizo ni Raisi kwani yeye ndie anafuga viongozi wasiofaa na kuwa Recycling tu utadhani wao tu ndio wasomi Tanzania nzima
Kaka umeongea vizuri sana . Naomba ukienda kwenye hiyo tume naomba uwashauri kuwa. Hili suala la kukadiliana Kodi halina afya
Kwani unaweza kukuta watu mpo eneo moja hata mtaji unafanana lakini kila moja akienda kukadiriwa Kodi inatofautiana maadamu ajue kujieleza au anayekukadiria Kodi umpe Hela ya chai ili kutengeneza urafiki ndiyo utakadiriwa Kodi ndogo ndogo
I call you all non-muslims in this chat to accept Islam and admit that :
لَا إِلَٰهَ إِلَّا ٱللَّٰهُ مُحَمَّدٌ رَسُولُ ٱللَّٰهِ
this encompasses two concepts:
1.There is no deity but Allah.
2.Prophet Muhammad (ﷺ) is his messenger.
ALLAH s.w says in quran chapter 3 verse 85
وَمَنْ يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَنْ يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْ خَاسِرِينَ
translation ; if anyone desires a religion other than Islam (submission to ALLAH), never will it be accepted of him; and in the hereafter he will be in the ranks of those who have lost.
Also in chapter 3 Imran in verse 19 ALLAH swt said
“Indeed, the religion in the sight of Allah is Islam.”
يَا أَهْلَ الْكِتَابِ لَا تَغْلُوا فِي دِينِكُمْ وَلَا تَقُولُوا عَلَى اللَّهِ إِلَّا الْحَقَّ ۚ إِنَّمَا الْمَسِيحُ عِيسَى ابْنُ مَرْيَمَ رَسُولُ اللَّهِ وَكَلِمَتُهُ أَلْقَاهَا إِلَىٰ مَرْيَمَ وَرُوحٌ مِنْهُ ۖ فَآمِنُوا بِاللَّهِ وَرُسُلِهِ ۖ وَلَا تَقُولُوا ثَلَاثَةٌ ۚ انْتَهُوا خَيْرًا لَكُمْ ۚ إِنَّمَا اللَّهُ إِلَٰهٌ وَاحِدٌ ۖ سُبْحَانَهُ أَنْ يَكُونَ لَهُ وَلَدٌ ۘ لَهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۗ وَكَفَىٰ بِاللَّهِ وَكِيلًا
Chapter 3 verse 116
O people of the book! Commit no excesses in your religion: Nor Say of ALLAH (God) aught but the truth.
Christ Jesus the son of mary was (no more than) a messenger of ALLAH (God), His word, which He bestowed on Mary, and a spirit proceeding from Him: So believe in ALLAH (God) and His messengers.
Say not "trinity" ; desist: it will be better for you:
For ALLAH (God) is One ALLAH (God): Glory be to Him:
(Far exalted is He) above having a son.
To Him belong all things in the heaven s and on earth. And enough is ALLAH (God) as a disposer of affairs.
لَنْ يَسْتَنْكِفَ الْمَسِيحُ أَنْ يَكُونَ عَبْدًا لِلَّهِ وَلَا الْمَلَائِكَةُ الْمُقَرَّبُونَ ۚ وَمَنْ يَسْتَنْكِفْ عَنْ عِبَادَتِهِ وَيَسْتَكْبِرْ فَسَيَحْشُرُهُمْ إِلَيْهِ جَمِيعًا
Chapter 4 verse 172
Christ disdaineth nor to serve and worship ALLAH (God), nor do the angels, those nearest (to ALLAH): those who disdain His worship and are arrogant,- He will gather them all together unto Himself to answer.
وَإِذْ قَالَ اللَّهُ يَا عِيسَى ابْنَ
مَرْيَمَ أَأَنْتَ قُلْتَ لِلنَّاسِ اتَّخِذُونِي وَأُمِّيَ إِلَٰهَيْنِ مِنْ دُونِ اللَّهِ ۖ قَالَ سُبْحَانَكَ مَا يَكُونُ لِي أَنْ أَقُولَ مَا لَيْسَ لِي بِحَقٍّ ۚ إِنْ كُنْتُ قُلْتُهُ فَقَدْ عَلِمْتَهُ ۚ تَعْلَمُ مَا فِي نَفْسِي وَلَا أَعْلَمُ مَا فِي نَفْسِكَ ۚ إِنَّكَ أَنْتَ عَلَّامُ الْغُيُوبِ
Chapter 5 verse 116
And behold! ALLAH(God) will say : " O Jesus the son of mary Didst thou say unto men , worship me and my mother as gods in derogation of ALLAH (God)?" He will say: Glory to thee! never could I say what I had no right (to say) .
Had I said such a thing, thou wouldst indeed have known it.
Thou knowest what is in my heart, thou I know not what is in thine. For thou knowest in full all that is hidden
مَا قُلْتُ لَهُمْ إِلَّا مَا أَمَرْتَنِي بِهِ أَنِ اعْبُدُوا اللَّهَ رَبِّي وَرَبَّكُمْ ۚ وَكُنْتُ عَلَيْهِمْ شَهِيدًا مَا دُمْتُ فِيهِمْ ۖ فَلَمَّا تَوَفَّيْتَنِي كُنْتَ أَنْتَ الرَّقِيبَ عَلَيْهِمْ ۚ وَأَنْتَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ شَهِيدٌ
Chapter 5 verse 117
Never said I to them aught except what thou didst command me to say , to wit, worship ALLAH (God) , my Lord and your Lord'; and I was a witness over them whilst I dwelt amongst them; when thou didst take me up thou wast the watcher over them , and thou art a witness to all things.
إِنْ تُعَذِّبْهُمْ فَإِنَّهُمْ عِبَادُكَ ۖ وَإِنْ تَغْفِرْ لَهُمْ فَإِنَّكَ أَنْتَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ
Chapter 5 verse 118
"If thou dost punish them, They are they servant: if thou dost forgive them, thou art the exalted in power the Wise .
مَا كَانَ مُحَمَّدٌ أَبَا أَحَدٍ مِنْ رِجَالِكُمْ وَلَٰكِنْ رَسُولَ اللَّهِ وَخَاتَمَ النَّبِيِّينَ ۗ وَكَانَ اللَّهُ بِكُلِّ شَيْءٍ عَلِيمًا
Chapter 33 verse 40
Muhammad is not the father of any of your men, but (he is) the messenger of ALLAH (God ), and the Seal of the Prophets: and ALLAH (God) Has full knowledge of all things.
وَإِذْ قَالَ عِيسَى ابْنُ مَرْيَمَ يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ إِنِّي رَسُولُ اللَّهِ إِلَيْكُمْ مُصَدِّقًا لِمَا بَيْنَ يَدَيَّ مِنَ التَّوْرَاةِ وَمُبَشِّرًا بِرَسُولٍ يَأْتِي مِنْ بَعْدِي اسْمُهُ أَحْمَدُ ۖ فَلَمَّا جَاءَهُمْ بِالْبَيِّنَاتِ قَالُوا هَٰذَا سِحْرٌ مُبِينٌ
Chapter 61 verse 6
And remember, Jesus the son of mary, said " O children of Israel! Iam the messenger of ALLAH (sent) to you, confirming the law (which came) before me(taurah), and giving Glad tidings of a messenger to come after me, whose name shall be Ahmed. " But when he came to them with clear Signs, they said , "this is evident sorcery!"
Look for koran translated in to English or to language read the translation of the following chapters 3,4,5 and 19 after that you can read the whole of the koran thanks.
Talking with passion, pain, heartbreak nzuri sana hii na katoa na mawazo kabisa ya nini cha kufanya thats good.
Huyo ndio mwanaume
MAGUFULI angekuwepo nyie wakina mwigulu nyie
Kasome albadili , na MUNGU AKUFUNIKE MAAMA HAWAKOSI KUKUWINDA
Daah tulimis sana hivi vikao vya familia kuweka nidhamu sawa,RIP JPM
Akili kubwa inaposema mambo makubwa
Wabunge mnawasikia wananchi pigeni meza tu nyie
Hayo ni machache tu kwenye taifa hili madudu ni mengi sana, kuna majamaa yamepewa uongozi yanajiona mamwamba kweli, yanajiona kama ndiyo mamiliki ya nchi hii, acheni ubabe enyi kundi dogo ninyi ni watu wadogo sana kwenye taifa hili jilekebisheni, kila siku mnawaza kuibia taifa hamtazikwa na hizo noti wezi wakubwa nyiee.
Bado kwenye umeme ....majenereta hatutaki akinamakamba hawawezi kwepa hilo...
Muheshimu kila mtu, usikutane na mtu mahali ukamdharau...elimu ana taarifa inayopatikana kupitia hizi hoja ni kubwa mno
Mwenye elimu yake amekosa nidhamu kwa wananchi wake wewe km umeridhia kuna wenzako wanalalamikia kidogo wanacho kitafuta kwa jasho lao pia ukiamua kuwa kiongozi lazima ukubaliane na kila jambo 😢😢😢
Hongeraa sana kaka yangu MWENYEZi MUNGU akulindeeeeeee