Mhe. Waziri mkuu Majaliwa, nakuombea afya njema na uongozi uliotukuka. Ipo siku yes nakuombea uwe kiongozi mkuu wa inchi yangu Tanzani. Unacho kitu kikubwa kwa ajili ya Tanzania.
Daah!! Mh. Waziri mkuu Mungu akupe nguvu uendelee kupata maoni ya makundi mbalimbali nchini!! Naomba pia urudi kwenye kero inaowakabili wafanyakazi nchini
Kusema Kweli mnanyanyasika sana na mtanyanyanyasika zaid ondoweni CCM madarakani hawakujalini kabisa nyie mtapiga kelele usiku na mchana 2025 badilikeni na wapinzani nao wakizinguwa wapakane
Waziri mkuu anatamani kutoa maamuzi magumu kama ya JPM ya papo kwa papo lakini anakumbuka ambaye yupo juu yake kwa sasa siyo sawa Magu,anaamua kukaa kimya na kuumia na kulilia moyoni,😭😭
Wale NI wateule warais hawez kufanya chochote pale wakurugenz wote mawaziri wote niwateule wa rais hawez kuwa mkali ndugu yangu Ila angekuwa rais angewanyoosha vizuri an
Ni kweli tatizo sio sheria ni kanuni zinazotungwa na wahusika kwa faida yao zaidi, hivi risit ya sh 2000 kosa lake ni ml 4 hapo kuna uhalisia, kwa nini isiwe 20% ya hiyo
Mheshimiwa waziri mkuu pole Kwa usumbufu unaopata kupitia uzembe wa watu walioko chini yako.Ila kama mtanzania nachukizwa sana na wizi unaofanywa na viongozi wetu wasiyotutakia mema watanzania wenzao hata siye tunapenda kutembelea hayo magari mazuri.Mtupende watanzania kama mzipendavyo familia zenu Asante baba angu mungu akupe afya njema
Ila majaliwa anapaswa kuwa raisi maana hana uongozi wa picha ila anauongoz uliotukuka, NAMMPNDA SANA SEMA WAPO WANAOMZUIA . NAPENDEKEZA AWE RAIS KTK AWAM IJAYO🥰🥰🥰😘😘😘😘😘😘😘
Mmemsikia jamaa uyo,hana mpango wakumrithisha mwanae biashara tena ila anamsomesha ili aingie T.R.A ili achote izo pesa au kama akijaaliwa akapata cheo kikubwa basi asaidie kubadirisha sheria zenye kuleta kero kwa wafanyabiashara
Hakuna kitu Kibaya Kama kiongozi kucheka ktk mazungumzo muhimu Kama hivi . Waziri mkuu kucheka wakati watu hawatanii anatengeneza mazingira ya kupuuza mambo ya msingi
@@fwc5552 Mataifa yanao wazunguka hawatumii kwahyo inakuwa ngumu ku compit nao matokeo yake wanajikuta wanaforce biashara na pesa zao wanazojaribu kuzivuta wananyang'anywa basi hata wakipokonywa waone cha maana kinafanyika,unakuta wanasikia kabisa pesa nyingi zimepotea na deni la taifa linaongezeka. Unajua sisi binadamu wote ni sawa ktk utashi,elimu ni extra issue tu,hivyo basi hakuna mtu akajua hesabu alafu ukamuibia pesa asijue kama unamuibia wakati wewe unayeiba kakuajiri. Fikiria zaidi acha maswali mama kama hayo...
Hilo tatizo la mgomo wa kaliakoo angekuwepo mwamba JPM hao wote wanalalamikia siku hiyo hiyo wangefikuzwa hasa huyo Mwizi mwigulu na huyo mkuu wa TRA na huyo mama waziri wa biashara yupo hapo kama picha tu ( team Msoga hiyo ndiyo inayowatesa watanzania )
Sio mikosi tabia yake mdomo wake dharau zake ndizo zimefika watu kutompenda niwaziri wa ovyo kabisa MTU anakwambia km hulipi kodi hamia Burundi au mm nimesoma sibishani na waganga wa kienyeji huyo nikiongoz wa serikali kweli hafai
We unadhani atatekeleza hata kimoja hapo basi. Hapo anawapoza akisha wapa kisogo imeisha hyo na watu biashara wataendelea nazo hivyo hivyo we subiria utaona.
Duuh Majaliwa tunategemea utusaidie sisi viumbe wa Mungu. Tumekua km popo ndani ya nchi yetu jmn. Mungu mtie nguvu huyu baba atuhurumie waja wako atufanyie wepesi wa kuacha kufanya kazi bure
Tena kwa huyo anaejiita kajenjere huyo kaka kanifurahisha sana, wanajikuta sijui Nani wakija kudai ela ya takataka ,yani wanataka ulipe ela kubwa wakati huzalishi takataka zinazolingana na ela wanayodai wakati biashara yenyew wakati mwingine huuzi wao wakija wanataka ela kubwa na taka huzalishi mfano mm nauza mitungi ya gesi tu haya hiyo mitungi inazalisha takataka gani
Kama imeelezwa na wananchi wengi muda mreeefu kwamba mwigulu ni miongoni mwa wanaoleta matatizo kiuchumi hasa nyanja ya Pesa, hao waliomuweka amekuwa Mungu kwao? Why don't they do something inorder to in sure happiness for our nation?
Ccm ilishashindwa kazi iyo iko wazi lakini kuitoa madarakani ni ngumu sababu wazee na akina mama ni kama wamelogezeaa hiki chama ata usemee mpompompoo hawaelewi!
Ala kk we salamu kuwagu we nime furahia sana lakini viongozi hawa hawapo maswali ambayo ww unasema enda taratibu usije kuwa anakulaumu iii chama chadema awesekani useme ukweli ukisema lakini nifisuri sana ukisema kwamba sirikali anamana asante sana
Hii nchi watu wanahasira sana na serikali, na sababu kubwa ni viongozi wapiga dili kila kona, tusipoangalia itakuja kulipuka siku moja, na serikali haitaweza kuzuia hasira hii
Hiyo siku unakuja watu wanazidi kuwa majasiri Kama huyo brother hapa...bila shaka wanavyizidi kuwakanfamiza wananchi Basi ipo siku watawasha Moto na hakutakuwa mtu wa kuuzima Mana wakati utakuwa umefika Tena watu hawataigipa kifo tena. Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki viongozi wote, Mungu uwabariki wananchi wote. Amina
TRA HUWA WANAKUWA NA WIVU akiangaria mafanikio yako HUWA hawapendi sababu yeye Hana,
Mwenye sura ya herahera kazi hunayo
MMungu akusaidieni
Mwigulu nchemba Hafai kuwa kiongozi
Ukimuona Mwigulu na Tai yake ya bendera ya Taifa unaweza sema ni mzalendo😂😂
Hahaaa nimecheka kwa sauti bro'
@@TifaWinne 😂
Angekua magu hapo kuna mtu angechomoka
Mwigulu kutunza Heshima yake ajiudhuru. Hata Raia hawamtaki Wabunge wanamsema Sasa ni Heshima kweli?
mandevu umeongea kama Mjomba WA taifa ....
Nilikosaga imani na mama alipomchagua Mwigulu waziri.
Mimi niliwaza mambo mengi sana alipomchagua mwigulu. Hafai kuwa waziri angeenda kuwa balozi huko Zimbabwe Kama kubebana ndo sababu
@@Mobmob2013 au akawe balozi afghanistan ingependeza😅
@@JustineMathias-wj7bd 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Basi huyo kajidhihirisha moja kwa moja hafai akiendelea kuwepo wakati raia hawamtaki itakuwa kuna sehemu inampa jeuri
Na mama hawezi kumtoa sababu anajua siri yng za mama za ubigaji
Kuna watu sio viongoz ila ni vichwaaa
Sana kuna watu mwenyezi Mungu kawapa tu kipawa.
Basi huyo kajidhihirisha moja kwa moja hafai akiendelea kuwepo wakati raia hawamtaki itakuwa kuna sehemu inampa jeuri
Mwiguru avue hio scafu ya Tanzania anajidai ni mzalendo kumbe Hana uzalendo wowote
Mwiguru hafai kabisa hata majibu yake bungeni machafu sana
Anabembelezwa na mamaake ngoja akutakane na vichwa vibovu..Magufuli angekuepo uyo mwingulu angekua keshakosa kaz
si aliondolewa mama kamrudisha hafai hata kuweka bondi
Kwanza alishamtemaga kitambo kwenye uongiz wake
Mwigulu kama muuangwana ajiuzulu
Yaani wananchi wanamawazo mazuri sana
Mam
Mhe. Waziri mkuu Majaliwa, nakuombea afya njema na uongozi uliotukuka.
Ipo siku yes nakuombea uwe kiongozi mkuu wa inchi yangu Tanzani.
Unacho kitu kikubwa kwa ajili ya Tanzania.
Napenda waziri mkuu aje kua Raisi.namuombea kwa Mungu.
Daah!! Mh. Waziri mkuu Mungu akupe nguvu uendelee kupata maoni ya makundi mbalimbali nchini!! Naomba pia urudi kwenye kero inaowakabili wafanyakazi nchini
Hiyo wizara haiwezi bora atafutwe mtu mwenye vision kubwa kuweza kuondoa sheria zinazokandamiza wafanyabiashara.
Kusema Kweli mnanyanyasika sana na mtanyanyanyasika zaid ondoweni CCM madarakani hawakujalini kabisa nyie mtapiga kelele usiku na mchana 2025 badilikeni na wapinzani nao wakizinguwa wapakane
Iv mh rais alitumia kigezo gn kumpa uwazir uyu mwigulu au vibendera vya inch anavyo vaa
madevu akili kubwa sana yani anawachana huku anawaita ndugu mh!na ukweli mtupu wao wakipewa biashara haichukui round!
Waziri mkuu wabane hao majizi wanakula jasho la wanyonge
Safisana kwakuwasilisha hojo hii mausus .huo niukweli mtupu
Hatakiwi kua Waziri huyu Mwigulu kwasabab anaowatumikia hawamtaki yupo hapo kwaajili ya nani?
Wafanya biashara wapo vzr sana waziri kuu wasaidie hawa wafanyabiashara
Ila mwiguli ni shida
Muwambiwe, muwambie
Waziri mkuu anatamani kutoa maamuzi magumu kama ya JPM ya papo kwa papo lakini anakumbuka ambaye yupo juu yake kwa sasa siyo sawa Magu,anaamua kukaa kimya na kuumia na kulilia moyoni,😭😭
Kabisa yaani hadi amebadilika usoni alivyokasirika
Hakika
Aisee Yaani Itafika Muda Hii Nchi Viongozi Watakuja Kupigwa Kama Mbuzi We Subiri tu
Watu wana akili sana wanaamua tu kukaa kimya
Hatuna waziri WA fedha hapo
kama wez wanachomwa moto kumbuken na kuchoma akina mwiguru
😂😂😂kiukwel Banda halina hadhi ya kukaa waziri kabisa jamaa hajakosea
Mbona wakati wa mzee baba hawa TRA, NIDA, MUNICIPAL walikuwa wamenyooka. Waziri mkuu ongeza ukali
Wale NI wateule warais hawez kufanya chochote pale wakurugenz wote mawaziri wote niwateule wa rais hawez kuwa mkali ndugu yangu Ila angekuwa rais angewanyoosha vizuri an
Hongera bro umeongea kaka, mashuka Uganda nafuu kuliko kwenye bahari
Akili kubwa hawa wafanyabiashara
Madevu ana akili sana
Jamaa safi sana
Kinyama
Kajenjere watu wa taka balaa hao jamaa
Huyi ndo mume Sasa 🤣🤣🤣
Madevu kaongea vizurii😂
Wambie brother nikweli
Hii nchi kwa sasa ivi hatuna wabunge matatizo yote hayo ilitakiwa wabunge wafikishe coz kwa sababu hatuna wabunge tufikishe wenyewe
Ni kweli tatizo sio sheria ni kanuni zinazotungwa na wahusika kwa faida yao zaidi, hivi risit ya sh 2000 kosa lake ni ml 4 hapo kuna uhalisia, kwa nini isiwe 20% ya hiyo
Mwigulu mushambatuu huyo
Mwigulu ni kipenz cha wazur hawafi mnampigia kiziwi kengere jamaa hatoki pale mpaka awamu ya mama iishe niko pale mtaniambia
😅😅😅😅
Mheshimiwa waziri mkuu pole Kwa usumbufu unaopata kupitia uzembe wa watu walioko chini yako.Ila kama mtanzania nachukizwa sana na wizi unaofanywa na viongozi wetu wasiyotutakia mema watanzania wenzao hata siye tunapenda kutembelea hayo magari mazuri.Mtupende watanzania kama mzipendavyo familia zenu Asante baba angu mungu akupe afya njema
Majaliwa hana shida . mdomo unaruhusu saut kutoka baada ya ulimi kutamka maneno. 🙏😎
Ila majaliwa anapaswa kuwa raisi maana hana uongozi wa picha ila anauongoz uliotukuka, NAMMPNDA SANA SEMA WAPO WANAOMZUIA . NAPENDEKEZA AWE RAIS KTK AWAM IJAYO🥰🥰🥰😘😘😘😘😘😘😘
Jamaa kavunja 4 hana shida.
ASANTEEE, KAKA KWA KUSEMA UKWELI. MSEMA KWELI NI MENZI WA MINGUU.
Msema kweli ni mpenzi wa mungu kweli kabisa!
Wanajali mifuko yaoo
Brother Bernard kamaliza kila kitu😅😅
Kwa wao ni nan wasiambiwe?
Kuna watu niwafanya biashara na wana akili balaa yani kweli kabisa kaka kila mtu anasema mimi nasomesha mtoto ili awe Tra maana wana kula hela za bule
Mmemsikia jamaa uyo,hana mpango wakumrithisha mwanae biashara tena ila anamsomesha ili aingie T.R.A ili achote izo pesa au kama akijaaliwa akapata cheo kikubwa basi asaidie kubadirisha sheria zenye kuleta kero kwa wafanyabiashara
Hakuna kitu Kibaya Kama kiongozi kucheka ktk mazungumzo muhimu Kama hivi . Waziri mkuu kucheka wakati watu hawatanii anatengeneza mazingira ya kupuuza mambo ya msingi
Wengine usione anacheka ukadhani anafurahia jambo. Ni sawa na mchawi atakuonesha kujali kila tatizo unapopata kumbe ndiye anayekumaliza
Hawa wafanyabiashara kwa nn hawataki kutumia mashine za stakabadhi
@@fwc5552 mashine wanatumia lkn wateja walio wengi hawataki risiti na kama huamini nenda ukashudie vituo vya mafuta ( petrol station) 😂😂😂😂
@@fwc5552 Mataifa yanao wazunguka hawatumii kwahyo inakuwa ngumu ku compit nao matokeo yake wanajikuta wanaforce biashara na pesa zao wanazojaribu kuzivuta wananyang'anywa basi hata wakipokonywa waone cha maana kinafanyika,unakuta wanasikia kabisa pesa nyingi zimepotea na deni la taifa linaongezeka. Unajua sisi binadamu wote ni sawa ktk utashi,elimu ni extra issue tu,hivyo basi hakuna mtu akajua hesabu alafu ukamuibia pesa asijue kama unamuibia wakati wewe unayeiba kakuajiri. Fikiria zaidi acha maswali mama kama hayo...
Njia pekee kwa mwanamme kudhibiti HASIRA ni kucheka!
Acheni kulia lia endeleeni kuja kenya ndio china yenu
Eti kengere 😂 mtangaji jitahidi kujifunza matamshi
Msipo Kua makin opo Siku wa tz 2tachefukwa
Point kubwa
Wajichunguze
Mmetuwakilisha vyema mungu awasaide
Hilo tatizo la mgomo wa kaliakoo angekuwepo mwamba JPM hao wote wanalalamikia siku hiyo hiyo wangefikuzwa hasa huyo Mwizi mwigulu na huyo mkuu wa TRA na huyo mama waziri wa biashara yupo hapo kama picha tu ( team Msoga hiyo ndiyo inayowatesa watanzania )
Jamani. Ivi. Kunawatu. Wanyr. Akili. Hapa. Tz. Kuliko. Hawa. Wafanya. Biashara. ?
Mwambie mwiguru bila kumumunya maneno arisha zoea wizi
asha wenye pesa zao waongeye ukweli bila aho izo sheria zitatungwa wapi??munapo watesa ivyo😈😈😈mashetani
WAZIRI MKUU SAFI SANA VIONGOZI WAKIAMBIWA UKWELI WANACHUKIA.
Safi sana mwambie uyo 😂😂😂😂😂
T.r.a.ifunje.yote.na.isukwe.upya
Mwiguru ni waziri mwenye mikosi hapendwi na watu kabisa
Hahahahahaha.
😂😂😂😂si ndio maaana magu alimtoaga
Kabisa kwanza ana dharau
Sio mikosi tabia yake mdomo wake dharau zake ndizo zimefika watu kutompenda niwaziri wa ovyo kabisa MTU anakwambia km hulipi kodi hamia Burundi au mm nimesoma sibishani na waganga wa kienyeji huyo nikiongoz wa serikali kweli hafai
Nilitarajia leo wazir mwigulu awe kapigwa chini lkn mama kamkumbatia duuuh
Daaaah huyu Kaka kibokooo🙏✋
@Kweli kiongozi ni jalala Mwingulu aspo elewa bc tena
Dahhh. Hapo. Umesema. Ukwelii. Sannaaa. Maaana. Serekali. Hii. Instunana. Sanna
Fact tupu
ua-cam.com/video/zaMVuSgHnIM/v-deo.html WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWA TEKELEZEA MIRADI MPANDA
Uko sahihi biashala ukiimulika Sana nitatizo kitu lisiti umekuwa miladi yawatu
Waziri Mkuu ni kiongozi wa wanyonye na mpenda haki ,
Natamani awe mkuu wa nchi ili maumivu yapungue kwa raia wanyonge
Pointy tupu🤪🤪🤪
Uncle udevu naomba niwe mdogo buree tu kika ulichokiongeaa ni ukweli tupu,, wapeleke hati ya dharula bungenii iondoee ukandamizwaji huu
nataman ingekua enzi za magu ...yan mtu anang'atuka papo kwa papo
Ila Mungu akupe maisha marefu na ikiwezekana uje kuwa raisi wa nchi hii, kwa hekima yako naamini mambo mengi yatakwenda vizuri
We unadhani atatekeleza hata kimoja hapo basi. Hapo anawapoza akisha wapa kisogo imeisha hyo na watu biashara wataendelea nazo hivyo hivyo we subiria utaona.
Watu wajinga kweli wazili mkuu nikiongozi mnashinda munampongeza kwalipi achukuwemamzi ndiyo mpongeze mnapongeza sauti siyo vitendo
Mal ka voice majaliwa yupo serious hasaaaa na mambo ya msingi
Mwigulu hafai kua kiongozi asipoangalia shida itajatokea watu wamechoka mwingulu wewe iko siku utakujakubaki peke yako.pia tumikuchoka
Duuh Majaliwa tunategemea utusaidie sisi viumbe wa Mungu. Tumekua km popo ndani ya nchi yetu jmn. Mungu mtie nguvu huyu baba atuhurumie waja wako atufanyie wepesi wa kuacha kufanya kazi bure
Tena kwa huyo anaejiita kajenjere huyo kaka kanifurahisha sana, wanajikuta sijui Nani wakija kudai ela ya takataka ,yani wanataka ulipe ela kubwa wakati huzalishi takataka zinazolingana na ela wanayodai wakati biashara yenyew wakati mwingine huuzi wao wakija wanataka ela kubwa na taka huzalishi mfano mm nauza mitungi ya gesi tu haya hiyo mitungi inazalisha takataka gani
Kama imeelezwa na wananchi wengi muda mreeefu kwamba mwigulu ni miongoni mwa wanaoleta matatizo kiuchumi hasa nyanja ya Pesa, hao waliomuweka amekuwa Mungu kwao? Why don't they do something inorder to in sure happiness for our nation?
Ccm ilishashindwa kazi iyo iko wazi lakini kuitoa madarakani ni ngumu sababu wazee na akina mama ni kama wamelogezeaa hiki chama ata usemee mpompompoo hawaelewi!
Hapo wakurugenzi wafanyiwe marekebisho haraka,
Ala kk we salamu kuwagu we nime furahia sana lakini viongozi hawa hawapo maswali ambayo ww unasema enda taratibu usije kuwa anakulaumu iii chama chadema awesekani useme ukweli ukisema lakini nifisuri sana ukisema kwamba sirikali anamana asante sana
Eric shigongo awe waziri wa fedha.mwigulu hafai kazi kucheka cheka
Mnapomlaum wazir wa fedha mnakosea sana
Kodi na korokoro nyenqine zote ni mfumo na matakwa ya serikali
Ila kidaqaa tu ndio kinamshukia mchemba
Mwigulu ashatuambia tuhamie Burundi ila metuwakilisha vema
Wabunge watunge sheria na kanuni zake asiachiwe Waziri
Indeed
Mambo nimazur san yanayoongelew lakin akuna ata moja linalofanyiw kazi
kkk
Kwanini TRA tuu jmn...Duuuh wabadilike sisi wote wa TZ
KWENDA SHULE MBALI, NA AKILI YA UNUNIFU MBALI.
Hii nchi watu wanahasira sana na serikali, na sababu kubwa ni viongozi wapiga dili kila kona, tusipoangalia itakuja kulipuka siku moja, na serikali haitaweza kuzuia hasira hii
Hiyo siku unakuja watu wanazidi kuwa majasiri Kama huyo brother hapa...bila shaka wanavyizidi kuwakanfamiza wananchi Basi ipo siku watawasha Moto na hakutakuwa mtu wa kuuzima Mana wakati utakuwa umefika Tena watu hawataigipa kifo tena. Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki viongozi wote, Mungu uwabariki wananchi wote. Amina
waziri anayesikiliza wanyonge...❤️
Mwigulu tumia hekima ondokatu baki na ubunge watu hatuna Imani nawewe hata kidogo,