Nimesoma nae mzumbe masters, na pia kaka ake pia , nimesoma nae Wana akili balaa Na baba Yao ni mfanya biashara wa zamani Kwahiyo hii bness issue kwao ipo kwenye damu
We are completely done no country in this world has ever developed through excessive imports over exports. We are all fighting to sell cheap imports at the expense of an export lead economy. 60 years after independence we are almost importing everything into our country? Who would come to invest and build manufacturing industries in a country obsessed with cheap imports, inakuwa nchi wachuzi na walaji wa vitu na huduma wasizozalisha, utatokemeza tatizo la ajira kwa kuuza bukta zilizitoka china badala ya kuzalisha wenyewe kupitia viwanda vyenu nchini lkn kama nchi tutakua through industrialisation policies? Kodi ya forodha sio reliable and sustainable mithili ya PAYE, akifa mtumishi na yenyewe inakoma, covid19 ikipiga Asia/China au europe na importation inakoma na customs duties na taxes zinakoma. Kodi na uchumi ni chanda na pete. Tunahitaji formation na mpango mzima wa fedha yetu je tunahitaji kujenga uchumi wa namna gani? Kodi na fedha yetu iweje ili kwenda sambamba na aina ya uchumi tunaotaka kuujenga ktk digital age hii? Sisi tunaenda kama kishada tu na kodi yetu iko rigid haiko flexible ili wkt wa hali mbaya au nzuri ya uchumi ibadilike kulingana na mahitaji ya wakati ya uchumi husika. The recent crisis at kariakoo is just a tip of an iceberg. Tanzanian macroeconomic policies and our taxation system has more deeply entrenched problems than meets our eye. Inequity wafanyabiashara wakubwa sana nchini hawalipi kodi wanayopaswa kulipa na makampuni ya kigeni because of their political connections, wahanga wa kodi ni watumishi wa serikali, wafanyabiashara wa chini na wa kati. Uwanja wa kuchezea mpira hauko sawa, ndio tambo na vurugu zinapoanzia kama wafanyabiashara wakubwa wanalindwa hawalipi kodi inavyostahili, linakuja swali why should we pay taxes if others are not paying. Window bricking of shops at kariakoo was in part a clear sign of dissatisfaction and protests against importers inequity treatment by TRA, higher headline tax rates, imprecise laws etc Lack of political integrity,na ukosefu wa maadili wa baadhi ya viongozi wetu was killing our country softly, kuua jumla azimio la arusha haukuwa uamuzi sahihi baadhi ya mazuri ilitakiwa yabaki biashara kubwa nchini zinafanywa na viongozi moja kwa moja au kupitia ndugu, jamaa na marafiki hii inaleta conflict of interest kwenye kodi. Hatujachelewa, tujisahihishe na tuamue sasa kufikiri sana na kufanya mambo tofauti na yatupasa kutambua migogoro mapema na kuchukua hatua stahiki. Prevention is better than cure, knee jerk reaction haifai na ni hatari kusimamisha uchumi kwa siku hata moja kariakoo. Ni maoni na ushauri tu, God blesd TZ
Ulimi ni uchawi. Ume- summarize matatizo mengi kwa muda mfupi. In short TRA inawachukulia wafanyabiashara biashara kama "mabuzi" badala partner in business.
Yan walitakiwa watu kama nyinyi mule TRA wenye uzoefu ili ata wakitunga sheria inakuja sheria ambazo azita leta mzozo kwa wafanyabiasha , ebu tuige kwenye inchi za wezet wafanya biashar ndio wanapewa kipaupend kweny mambo ya maendele na kuiongoza nchi kiujumla
Kwa pesa ambayo anayo huyu jamaa alikua na uwezo wa kufunga duka hata mwezi kisha anakaa home akacheki kwenye TV tu ila kaamua kwenda kufight na wenzake sababu hata yeye alianzia chini, huo ndo utu. 👏🏾👏🏾
hawa ndio wanatakiwa kupewa uwaziri wakina muigulu nchembaa sio wanakaa kuvaa tai yenye nembo yataifa kujifanya niwazalendo nahakuna kitu wanakwamnia kama huwezi kulipa tozo nenda rwanda kweli alie shiba jamjui mwenye njaaaa
Umeongea point sana na umeongea kwa kujiamini sana Huo ni ujasili wa kiwango cha juu sana maana kuongea mbele ya viongozi wakubwa na mbele ya hidadi kubwa ya watu wengi kama hao sio mchezo . respect sana broo
Nina ndoto ya kufungua biashara ila nikisikia haya nguvu inaniishia. Namuona mamaangu anavosumbuliwa na biashara yake. Ila acha nijichange zaidi tutapambana nao.
Mama anampa ubunge sasa ivi yani fred umetumia nguvu nyingi na pesa kwenye siasa Mungu anaenda kukupa kibali chakuingia bungeni kwa hii speach mm niko mtakuja kunimbia @fredvunjabei
Uyu jamaa nimemuelewa balaa,na animejifunza kitu hapa,,kumbe million 100 kwa marigin ya 12percent per year =12millions, divide by 12months equal to one million,na hiyo one million ndo uanze kuigawa,daaah inakuwa ni pesa ndogo kusema kwel😢
Vunja bei big up Sana kiukweli hawa tra Wana nini sijui huku mikoani tunajuta saijui tuljmage Tu emagine Una mtaji wa milion mbili, unakadiliwa Kodi lak 4 na point huendi hata dar kufunga mzigo unaokota okota mitaan tra nyie imekua Kero sana
Wapeni wafanyakazi wa TRA fremu hapo kariakoo wafungue biashara waone cha mtema kuni TRA hawajui faida wala hasara wao wanawaza maokoto na Makusanyo tu. ifike mahali hata kwenye teuzi za mawaziri na watendaji wa sekta kama hizi za biashara chague wenye experience na biashara sio wahitimu ambao hata karanga hawajawahi kuuza wao wanajua kuongeza kodi tu ambazo hazina uhalisia
Naimani ukipewa kipaumbele utawasilisha kero nyingi zinazo wakumba wafanya biashara ya kuburuzwa na watumishi wasio waadlifu kwenye majukum TRA, mimi walinitiya hasara dukani kwangu kibaha niliumiya sana siwezi kusahau kbs .
Mimi nashauri kila miez 3 au sita 6 angalaw wafanya biashara wawe na kikao na waziri mkuu kutoa malalamiko na maendeleo ya bishara zetu tanzania ikiwezekana hivo. Yani tusisikilize bunge au serekali sheria zinabadilika vp na kodi za biashara wakat wahusika niwafanya biashara wenyewe bado hutujazijua changamoto zao
Kwa anaeijua siasa ataelewa vunja bei kaja na point kubwa kaja na ushauri na mwisho wa sk amekuwa moja ya kamati ya kuchunguza kero za wafanyabiashara na kutatua Vunjabei huyo huyo n kiongoz wa uvccm lakin mwisho wa kila mtu anainterest zake anaposimama soon vunjabei atateuliwa au laah atakuja kugombea na atapata Akili kichwani
Asante sana wafanyabiashara wa Karikoo.nimefuatilia sana hotuba hii.Kwanza nampe hongera Waziri mkuu Mheshimiwa Majaliwa.Niona comment ya jamaa anasema Majaliwa apewe nchi ni kweli.Mheshimiwa majaliwa walinde wananchi wako ambao ni wafanya biashara.Natoa comment zangu toka Malawi.
❤❤❤ Umeongea fact broo....wewe una uwezo wa kufunga duka ata miezi miwili na ukaishi lakini umeamka kuungana na wafanyabiashara wadogo kwa msukumo huu wa ukandamizaji❤❤❤❤hongera sanaa
Ukisikia watu wenye high intellectual quotient (IQ) ni hawa sasa, huyu jamaa pamoja na kwamba UWABATA hatumkubali kwa kauri zake za kutuhamasisha kuhonga lakini anaakili kubwa sanaa
Nchi hii ina shida sana....viongozi wa biashara ni mbumbumbu wa biashara.....unaandaa mswaada wa biashara bila kuhusisha top brain za biashara ....unatumia maprofessors,ma dr na wanasheria....ndugu biashara sio sheria biashara ni mazingira ....yaaani biashara ni kama mmea mdogo unaohitaji....mbolea ,maji yafaayo,palizi na baraka za Mwenyezi Mungu katika ukuaji.....Ukitumia wahuni kama vijana wa TRA na mabosi wao kusimamia biashara....Umeua kila kitu!
Nimesoma nae mzumbe masters, na pia kaka ake pia , nimesoma nae Wana akili balaa
Na baba Yao ni mfanya biashara wa zamani
Kwahiyo hii bness issue kwao ipo kwenye damu
We are completely done no country in this world has ever developed through excessive imports over exports. We are all fighting to sell cheap imports at the expense of an export lead economy. 60 years after independence we are almost importing everything into our country?
Who would come to invest and build manufacturing industries in a country obsessed with cheap imports, inakuwa nchi wachuzi na walaji wa vitu na huduma wasizozalisha, utatokemeza tatizo la ajira kwa kuuza bukta zilizitoka china badala ya kuzalisha wenyewe kupitia viwanda vyenu nchini lkn kama nchi tutakua through industrialisation policies?
Kodi ya forodha sio reliable and sustainable mithili ya PAYE, akifa mtumishi na yenyewe inakoma, covid19 ikipiga Asia/China au europe na importation inakoma na customs duties na taxes zinakoma. Kodi na uchumi ni chanda na pete. Tunahitaji formation na mpango mzima wa fedha yetu je tunahitaji kujenga uchumi wa namna gani? Kodi na fedha yetu iweje ili kwenda sambamba na aina ya uchumi tunaotaka kuujenga ktk digital age hii? Sisi tunaenda kama kishada tu na kodi yetu iko rigid haiko flexible ili wkt wa hali mbaya au nzuri ya uchumi ibadilike kulingana na mahitaji ya wakati ya uchumi husika. The recent crisis at kariakoo is just a tip of an iceberg.
Tanzanian macroeconomic policies and our taxation system has more deeply entrenched problems than meets our eye.
Inequity wafanyabiashara wakubwa sana nchini hawalipi kodi wanayopaswa kulipa na makampuni ya kigeni because of their political connections, wahanga wa kodi ni watumishi wa serikali, wafanyabiashara wa chini na wa kati.
Uwanja wa kuchezea mpira hauko sawa, ndio tambo na vurugu zinapoanzia kama wafanyabiashara wakubwa wanalindwa hawalipi kodi inavyostahili, linakuja swali why should we pay taxes if others are not paying. Window bricking of shops at kariakoo was in part a clear sign of dissatisfaction and protests against importers inequity treatment by TRA, higher headline tax rates, imprecise laws etc
Lack of political integrity,na ukosefu wa maadili wa baadhi ya viongozi wetu was killing our country softly, kuua jumla azimio la arusha haukuwa uamuzi sahihi baadhi ya mazuri ilitakiwa yabaki biashara kubwa nchini zinafanywa na viongozi moja kwa moja au kupitia ndugu, jamaa na marafiki hii inaleta conflict of interest kwenye kodi.
Hatujachelewa, tujisahihishe na tuamue sasa kufikiri sana na kufanya mambo tofauti na yatupasa kutambua migogoro mapema na kuchukua hatua stahiki. Prevention is better than cure, knee jerk reaction haifai na ni hatari kusimamisha uchumi kwa siku hata moja kariakoo.
Ni maoni na ushauri tu, God blesd TZ
Hey...this is nice
✅✅✅
Upo sahihi aisee
Hatuwezi kuwa na export nchi hii kwa hivi vichwa panzi....😅😅😅
Logical👏🏻
Nimefurahishwa namna wafanyabiashara walivyofunguka juu ya kero zinazo wakera ,hongera kwa waziri mkuu kwa kutatua Hilo tatizo
Nimempenda bure hajajiongerea yeye tuu mwenye mtaji mkubw bali na sisi weny mitaji mdogo jamn 🤝
Ana hekima na ameongea vizuri big up
Weeeeeuuuuweeeee ongea fred...umewakilisha vizuri
Ulimi ni uchawi.
Ume- summarize matatizo mengi kwa muda mfupi.
In short TRA inawachukulia wafanyabiashara biashara kama "mabuzi" badala partner in business.
Sanaaaa👍
Well said Fred ume ongea short and clear kwa muda mchache sanaaa copied point.Well done
Very true sijui hawanaga biashara ni kuajiriwa tu sijaelewa.
Kaka anafaa kuwa waziri wa viwanda na biashara mpeni kitengo hizo data siyo mchezo salute kwake
Kitendo cha kusimama na kuzungumza kero pamoja na wafanyabiashara wenzako imeongeza credit na respect kubwa kwako....Umeongea vizuri sana...Big Up
Bigiup fred
👏👏👏
Hakika kabisa
Yan walitakiwa watu kama nyinyi mule TRA wenye uzoefu ili ata wakitunga sheria inakuja sheria ambazo azita leta mzozo kwa wafanyabiasha , ebu tuige kwenye inchi za wezet wafanya biashar ndio wanapewa kipaupend kweny mambo ya maendele na kuiongoza nchi kiujumla
Hakuna ulipajikodi yaserikali kiholela hivyo karunehii yatekinolojia lila my anakusanyahelakiholela hivyo .helanyingi inspires bure naikokwenye mikonoyahaowatumishi.
Kwa pesa ambayo anayo huyu jamaa alikua na uwezo wa kufunga duka hata mwezi kisha anakaa home akacheki kwenye TV tu ila kaamua kwenda kufight na wenzake sababu hata yeye alianzia chini, huo ndo utu. 👏🏾👏🏾
L
0p
Jamaa kawa humble sana !
Respect
Uzalendo ukiwa ndani ya mtu si rahisi kuwaacha wenzie iwe jua iwe mvua. Vunja ni mzalendo na anafaa kuwa kiongozi.
Hakika kafanya jambo la uugwana sana
Yaan huyu vunja Bei alitakiwa kuwa mbunge na mtetezi wa wafanya biashara nchini Yuko vzr kuliko kina Nani...
Tatzo wakifika huko😂
@@reshinebakery2846 wanaanza kunenepesha vitambi na hoja za kuringania marekani
Anagombea kula za maoni anakosa kwa figisu
Vunjabei interview zake zote anaongeaga point Aisee anajua anajua tena
Yaani ukisoma elimu ipo ukiwa na pesa pia biashara raha sana Kesho akiteuliwa mkuu wa wilaya au mkoa au mkurugenzi TPA msishangae
Yaani ukiwa na hela na Elimu naona kama unakua binadamu uliebalikiwa saana. Yaani nasikia Elimu yenye hela inavyo flow vzr facts.
Ndio raha ya kuwa mfanyabiashara alafu umeenda shule
hawa ndio wanatakiwa kupewa uwaziri wakina muigulu nchembaa sio wanakaa kuvaa tai yenye nembo yataifa kujifanya niwazalendo nahakuna kitu wanakwamnia kama huwezi kulipa tozo nenda rwanda kweli alie shiba jamjui mwenye njaaaa
utajiri ni akili siyo uchawi, hakunaga tajiri ambaye siyo genius
ni kweli kabisa
Sio kweli
Vunja bei kavunja kila kitu apewe usemaji wa wafanya biashara
Huyu jamaaaa ana akili nyingi
Umeongea point sana na umeongea kwa kujiamini sana
Huo ni ujasili wa kiwango cha juu sana maana kuongea mbele ya viongozi wakubwa na mbele ya hidadi kubwa ya watu wengi kama hao sio mchezo . respect sana broo
Hongera sana kaka
Nina ndoto ya kufungua biashara ila nikisikia haya nguvu inaniishia. Namuona mamaangu anavosumbuliwa na biashara yake. Ila acha nijichange zaidi tutapambana nao.
Usiogope pambana utaweza.
Asante kwa kunipa moyo
Vunjabei pamoja na pesa zote ! Kaamua kujumuika na wafanyabiashara kupinga unypnyaji wa TRA ! ✅
Hongera vunja bei hakika unakitu kikubwa Sana naona uongozi ndani yako🤲
Safi sana Fred Vunja,umeongea point sana 🙏🙏
Vunja bei yuko vizuri katika hoja
Kainda shule
Mfanya biashala msomi
Sehemu kibwa ya risit ni feki na tra wAnakula rushwa na samia aliangalie
Mama anampa ubunge sasa ivi yani fred umetumia nguvu nyingi na pesa kwenye siasa Mungu anaenda kukupa kibali chakuingia bungeni kwa hii speach mm niko mtakuja kunimbia @fredvunjabei
Anapewa ukuu wa MKOA
Vunja bei shikamoo kwakweli ukojuu sana umetusemea vizuri sana mungu akulinde .hongera kwa kusoma .
Huu sio ule alisema mwanamke apewe pesa za kurusha 😅😅😅😅😅 Achana na hivo viume hata Smason alipotea😅😅😅
Uyu jamaa nimemuelewa balaa,na animejifunza kitu hapa,,kumbe million 100 kwa marigin ya 12percent per year =12millions, divide by 12months equal to one million,na hiyo one million ndo uanze kuigawa,daaah inakuwa ni pesa ndogo kusema kwel😢
Elimu haijifichi!
Very niiice Fred, umeongea point kaka, God Bless U
Huyu vunja Bei maongezi yake no dhahiri amesoma biashara Yuko vzr Sana.
Yeah huyo ni graduate ....ndio mana ni vizuri kuwa na shule hata usipopata kazi ukajiajiri unafanya biashara yako kisomi
Jamani tusomeshe, shule nzuri sana
Nikimsikiliza jamaa nasikia shule tu.. Ni aki afanikiwe
Yaan kuanzia Leo huyu jamaa namuheshimu.. Ukaongea bila kutoka jasho
hakuna kitu muhimu kama shule na kuwa naimani yamungu moyoni ukivipata hivi umemaliza
@@nareensaleh4957 kweli kabisa nakuunga mkono💯💯💯🙏🙏.
Akili kubwa. Kamuumiza wazili mkuu atamuita chemba
Onzovile mbaha tolevongosu tukhekha mu biasara...ongolove atotange
Vunja bei big up Sana kiukweli hawa tra Wana nini sijui huku mikoani tunajuta saijui tuljmage Tu emagine Una mtaji wa milion mbili, unakadiliwa Kodi lak 4 na point huendi hata dar kufunga mzigo unaokota okota mitaan tra nyie imekua Kero sana
Kwahyo Uyo Waziri wa Fedha na biashara alikuwepo au?
Wapeni wafanyakazi wa TRA fremu hapo kariakoo wafungue biashara waone cha mtema kuni TRA hawajui faida wala hasara wao wanawaza maokoto na Makusanyo tu. ifike mahali hata kwenye teuzi za mawaziri na watendaji wa sekta kama hizi za biashara chague wenye experience na biashara sio wahitimu ambao hata karanga hawajawahi kuuza wao wanajua kuongeza kodi tu ambazo hazina uhalisia
Naimani ukipewa kipaumbele utawasilisha kero nyingi zinazo wakumba wafanya biashara ya kuburuzwa na watumishi wasio waadlifu kwenye majukum TRA, mimi walinitiya hasara dukani kwangu kibaha niliumiya sana siwezi kusahau kbs .
Mwanamke sio mpka akuombe hela we mpe tu Fred Ila Kodi usilipe
Mimi nashauri kila miez 3 au sita 6 angalaw wafanya biashara wawe na kikao na waziri mkuu kutoa malalamiko na maendeleo ya bishara zetu tanzania ikiwezekana hivo. Yani tusisikilize bunge au serekali sheria zinabadilika vp na kodi za biashara wakat wahusika niwafanya biashara wenyewe bado hutujazijua changamoto zao
nikweli
Vunja bei katema cheche, safi sana, nimezidi kukuelewa brother 👍 umeonyesha uzalendo mkubwa mno.
Kumbe Fred vunja bei unavitu,ifutwe hiyo km inawaumiza
Waziri mukuu apewe inchi huyu njo anaweza kujitaidi kufanya kazi kama Magufuri 😭
More than 100%
VUNJA BEI UPO SAWA
Akili kubwa👏
vipi wewe mbona unajichanganya sasa
Kichwa kama iki kipo tuu kinauza nguo afuu bungeni sasa kuna wale wazee wa kusinzia wakiamka ni kugonga tuu meza😌
Akiri kubwa sana hii
safi cha.bro
Safi sana Kaka, Umeongea vizuri saana
Kwa anaeijua siasa ataelewa vunja bei kaja na point kubwa kaja na ushauri na mwisho wa sk amekuwa moja ya kamati ya kuchunguza kero za wafanyabiashara na kutatua
Vunjabei huyo huyo n kiongoz wa uvccm lakin mwisho wa kila mtu anainterest zake anaposimama soon vunjabei atateuliwa au laah atakuja kugombea na atapata
Akili kichwani
Kila uloliongea nipoint ndg heshima kwako vunja bei kila mfanyabiashara nijiniaz ila umetia fola
Bonyeza hapa kutazama filamu mpya za bongo movie
Yupo vizuri, akili kubwa....
Asante sana wafanyabiashara wa Karikoo.nimefuatilia sana hotuba hii.Kwanza nampe hongera Waziri mkuu Mheshimiwa Majaliwa.Niona comment ya jamaa anasema Majaliwa apewe nchi ni kweli.Mheshimiwa majaliwa walinde wananchi wako ambao ni wafanya biashara.Natoa comment zangu toka Malawi.
Genius 4real🙏🕊️
Ameongea kitaalmu sana unajua mtaani kuna madini sana @vunjabei kama elimu ndogo kumuelewa jamaa kazi sana
Nakuonaga tu ka mpolee kumbe una akili sana safi👏
Kariakoo ilihamia Uganda zamani , TRA wanajua kunyonya tu .
Hongera vunja bei! Ila next time huhitaji kuongea kama unachana mistari just cool tuliza mikono! Ongea coz point unazotema ni ushawishi tosha
Jamaa ni smart mikono ni unique yake tu
We nawe,
😂😂😂😂Aaaah jamn... mikono ni ili kiziwi aelewe kwa vitendo
Vunja Bei💪💪💪💪💪💪
Point haswa
Watu kawewe ni wachache sana bro
Yaani hii.sheria ni Kama kikokotoo kwa watumishi was Uma serikali iangalie sn ítatuletea vifo vingi kwa wastaafu
Vunja bei ana akili kuliko mwigulu
Vunja bei🙌👏👏👏
Lakini si wote wapo waliosoma kama wewe
Kweli maana yy kaongea tofauti na weziwe kaongea kisomi sana
Kodi TRA isisumbue raia. Kumbe raia ndo hawajui wanasiasa
GOOOOD AND FACTS
WELL DONE FRED
Safi sana kaka,Nakuelewa Brilliant Businessman
Maa sha allah huyu atakuwa mbali sana
consolidation ndio nzuri tutawatolea mizigo yenu kwa haraka sana
Kaah🙌🙌
❤❤❤ Umeongea fact broo....wewe una uwezo wa kufunga duka ata miezi miwili na ukaishi lakini umeamka kuungana na wafanyabiashara wadogo kwa msukumo huu wa ukandamizaji❤❤❤❤hongera sanaa
Sahihi kabisa
Yoyo vunja vunja
🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯freeeeeeed wavunje babaa🙏
Yah umeongea point, kiukweli umejua kutuwakilisha wafanya biashara, tusubili majibu sasa!!!
msomi ni msomi tu
Asante Kwa kuwa wa kweli.
Ukisikia watu wenye high intellectual quotient (IQ) ni hawa sasa, huyu jamaa pamoja na kwamba UWABATA hatumkubali kwa kauri zake za kutuhamasisha kuhonga lakini anaakili kubwa sanaa
Makofi na like kwa fred 🙌
Jamaaaa ni noma sana
Msomi
Fanya maamzi lakini chunguza na rushwa nchi inavilio jamani mnataka nini uku tarime rushwa pote watu hawapumui fanya uchunguzi sekari
Kaka nmekupenda sana mimi nmechoka na selikari hiii jaman
Asee huyu jamaa kaongea jambo ambalo hata proffersor zaidi
Bonge la speech fred 👏 🙌
Safi sana
Nchi hii ina shida sana....viongozi wa biashara ni mbumbumbu wa biashara.....unaandaa mswaada wa biashara bila kuhusisha top brain za biashara ....unatumia maprofessors,ma dr na wanasheria....ndugu biashara sio sheria biashara ni mazingira ....yaaani biashara ni kama mmea mdogo unaohitaji....mbolea ,maji yafaayo,palizi na baraka za Mwenyezi Mungu katika ukuaji.....Ukitumia wahuni kama vijana wa TRA na mabosi wao kusimamia biashara....Umeua kila kitu!
Mungu akufanyie wepesi umetutetea wanyoge
wakinga hoyeeeee
Hoyee mkinga mwenzangu
Oyeeeeeeeeeeeeereeeeee
Vunja anatakiwa awe na uongozi serikalini atasaidia wafanyabishara
Walipe forodha,walipe TRA,walipe halmashauli vingine vitolewe hapo sawa yaani mzigo unaotoka nje makadilio tra na leseni
Huyu mkinga ana akili nyingi sana wachaga jifunzen Kwa huyu mwamba
Unataka kusema hiki ni kikao cha makabila au .. Embu acha ujinga wewe .
Boya ingine hii
Ata kenge nao wapo.kwenye msafara
Ahahahaaa mchaga ndo kiboko
Light bro,mr vunja bei
Nice
Haongei Pumba yupo vizuri sana
Well done!@Fred
watZ wenzangu tumecheleweshwa sana nawatawala majambazi wanchihii kutuwekea sheria nakanuni zadhuluma, lazima tuchukuwe hatua mapema tubadrishe mfumo wautoaji haki, ndipo tutapata unafuu,