KUAMURU KUTOLEWA NJE YA BUNGE KIONGOZI WA UPINZANI KWAIBUA TAFRANI BUNGENI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 57

  • @ramadhanmohamed8851
    @ramadhanmohamed8851 5 років тому

    Makuma kweli hawa makelele mnatufundisha nini tuliowachagua fuck of

  • @kibasiwakibasi5070
    @kibasiwakibasi5070 7 років тому

    Haiseee kama bungeni kupo hivyo ,mtaani je kupoje? wabunge badilikeni bwana aaah.

  • @rajabukashsf3157
    @rajabukashsf3157 5 років тому

    hatar

  • @fmdmtewele1697
    @fmdmtewele1697 9 років тому +1

    wabunge Wa upinzani si sehemu ya kutetea maslahi ya vyama vyao km walivo wabunge Wa chama tawala ,ni Lazima wasimame imala kuikosoa serikari pale inapokosea hilo wrote tunalijua.so wakati Wa kusema Ndio kwa kila kitu.

  • @fadhilikyandofadhilikyando5666

    Ndugai hajuii kuongoza bunge

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 28 днів тому

    Watalipa ghalama naubabe wao

  • @tiktoktdmdynamo3100
    @tiktoktdmdynamo3100 4 роки тому

    Nimeona anasoma kitu kwenye simu kwa kuibia ibia ... kuna nn apo..... tutumie maji tiririka tu

  • @aidannzowa5502
    @aidannzowa5502 6 років тому +1

    Mfumo w chama kimoja kwa kivuli!

  • @ramsobeca9578
    @ramsobeca9578 7 років тому +1

    speak nimamlukiii katumwaaaaa

  • @dicksonmrema7584
    @dicksonmrema7584 5 років тому

    Ubabe unatawala lazima hoja zisikilizwe watu sio wapumbavu kupinga kitu

  • @shahibuswalehe5101
    @shahibuswalehe5101 6 років тому

    kiukweli wapinzani mnakela utafikiri watoto bhnaaaa mnafanya mambo ya ajabu,tatizo mnakosea kitu kimoja madaraka hayaji kwa makelele

  • @aishadevid5463
    @aishadevid5463 6 років тому

    Wanalipwa hela nyingi sana bila sababu za msingi na huku hawasaidii hata ombaomba wilayani kwao, me napendekeza Wawe wanalipwa laki tatu kwa mwezi zinzwatosha

  • @dainesszuberyguii6040
    @dainesszuberyguii6040 7 років тому

    mhuuu!!!!khaaaaa kazi ipooooo mbona mambo yanakuwaaaaa hiviiii mnatufundisha nini wananchi wenuuuu....

  • @twilumbakabelege3426
    @twilumbakabelege3426 6 років тому

    hivi jamani mie napenda kujua, bunge LA nyerere mkapa na mwinyi lilikuwaje labda litanifariji Mimi mbona mtandaoni kama siyaoni

  • @charoharrison2077
    @charoharrison2077 5 років тому

    Unaletaje mambo ya hijab kwenye tafrani ,aibu zako

  • @merryjonasani3452
    @merryjonasani3452 6 років тому +1

    Uwiiiiiiiiiiiii dunia simama nishukeeeee

  • @rajabseleman1708
    @rajabseleman1708 6 років тому

    wabunge hawa hawafai kabisa nini mana yakupelekwa bungeni sioni mana ya upinzani

  • @antonyvallerian1718
    @antonyvallerian1718 7 років тому

    muandishi jipange uyu sio naibu spika........swaini

  • @florencemgoyo9273
    @florencemgoyo9273 5 років тому

    injiniaaa somaaaa hiyooooo nasema webinjinia somaaaaa

  • @agatherlusepo1627
    @agatherlusepo1627 6 років тому

    😀😀😀😀bunge l tz sawa n maigzo ya itv 😁😁😁😁

  • @marychacha825
    @marychacha825 7 років тому

    waongee ccm tu haaaa nchii hii itabadlika upinzani wakiongoza

  • @Msonjo
    @Msonjo 7 років тому

    sijui kiswahili Na sitaki kujifunza

  • @bujiiclassic1964
    @bujiiclassic1964 5 років тому

    Wapinzan mtakaaaa hvo hvo tyuuuu hamuwez kupata nje

  • @rafaelighambi2605
    @rafaelighambi2605 5 років тому

    No longer at is

  • @xmjengi4838
    @xmjengi4838 5 років тому

    Wanaofanya hv hawatakii mema familia zao wajiheshimu tu

  • @norbertluanda351
    @norbertluanda351 5 років тому

    Mnatupeleka wapi sasa mnakua kama drs la kwanza

  • @hafidhisuleiman2177
    @hafidhisuleiman2177 7 років тому +1

    msiba

  • @agneserasto9806
    @agneserasto9806 5 років тому

    Toka hapo amemvua nani asheni mambo yenu ya hupuhuzi

  • @simonkilonzi2575
    @simonkilonzi2575 6 років тому

    watz kwn hko mumekwa kama huku kenya

  • @allyngogomi8611
    @allyngogomi8611 5 років тому

    huyo nikukwanyua nahakokaguu kengine

  • @hamisichuma3270
    @hamisichuma3270 6 років тому

    hili bunge au uwanja wa fujo

  • @mariamhadija7236
    @mariamhadija7236 7 років тому +1

    sasa mmenda kufanya fujo jamani mbona mnatia aibu watu wazima ovyo

  • @noelsanga6853
    @noelsanga6853 7 років тому

    wa uongooo huyo

  • @fanuelotto7031
    @fanuelotto7031 11 років тому

    wabunge wa upinzani wanashindwa kutumia nafasi kujitetea na kuionyesha nchi ni namna gani wanavyoweza kuisaidia. Badale yake wanatetea ugomvi. Bunge is not a War ground.Wabunge Jipangeni

    • @حسامالراشدي-د9ن
      @حسامالراشدي-د9ن 7 років тому

      Sasa wee unae sema wanao tetea ccm wanakurudisha nyuma unataka upae au fanya Kazi acha mambo weye

  • @alphoncegeorge7382
    @alphoncegeorge7382 7 років тому +1

    avuliwe tu kama nyie ndo watetezi wa majimbo na maendeleo yake hafu mnabisha hivi si bora tusiwe na bunge au mkapige ....... yuotube

  • @mrsmrshassan7473
    @mrsmrshassan7473 7 років тому

    Aibuuu Waheshimiwa hivyooo

  • @mathiaseckon6581
    @mathiaseckon6581 8 років тому

    Bunge 2016

  • @namanhurumael1806
    @namanhurumael1806 8 років тому +2

    wanaoishabkia ccm wanaturdisha kwenye utumwa

  • @jacksondaudi853
    @jacksondaudi853 7 років тому +1

    Tz hakuna bunge kuna waigizaji tu hawo sio wabunge buana

  • @patrickjeremiah8905
    @patrickjeremiah8905 9 років тому

    Balaaaaaaaaa

  • @tukeimalinga1548
    @tukeimalinga1548 7 років тому

    wapiga jani kuingia bungeni ndo madhara yake