QUICK ROCKA AMENIDHULUMU PESA YANGU - NANA DOLLZ
Вставка
- Опубліковано 2 жов 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Kwendra hiyo boom ndo ununue gari ulikua huli wala hufanyi matumiz mengine nheeee!
Kumbe ndo huyu alikua video queen wa natamba niliipenda
Eti boom unanunua gari?? Weweweee! Nitahama bongo kama boom linaweza kununua gari
Nimependa sana ulivyo save pesa mpaka gari dah hongera san i like it
Pisi kali ya bbt 🥰🥰🥰
Wabongo waongo hv pesa y boom kias gani ununuwe gari wewe usituhadae sisi
Anatuona ss hatukusoma kwan
Hahahahahahahah
😂😂😂😂😂
Alikuwa na Kaz nyingine sinza Mori 9t kali asitudanganye!!
🤣🤣🤣 nimechek kw saut kubwa sana jmn mbn muongo huyu
Si umpeleke mahakamani kwani hapo mahakamani,nenda mahakamni ukamshtaki,wabongo sahv kila kitu mnapeleka kwenye media
Ushamba mwingi na kutokusoma ndo kunawafanya wanakuaa wajinga... Alafu washindani sana... Hawa watu ingekuwa wamesoma basi daaah kusingekalika kwa amani kabisa....
Diva wewe Ni matako
Mdogo wangu nakukubali sana usikate tamaaaaa
Duh.,
Bumu laki 5 kwa semister., mtu kannua gali!
Tumepigwa mchana kweupe 😁😁
Hahaha
Very humble young lady
Nchi hii nzito sana aisee... Boom la chuo unanunua gari? 😃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
gari milioni 12 boom na ada miaka mitatu milion 10 hapo hujara hijanunua mihogo wala hujavaa na kulipa kodi, huyu alikuwa anauza huyu
Uongo ununue gari kwa boom 🤣🤣😃gari miilon 12🤣
🤣🤣
Kila sentens so
Nice penda san ww,,,but usikate tamaa
Mh!
Hiyo pesa ya boom umesave vipi..acha uongo....sema mbususu imefukuliwa ukapewa hela
Hahahaaa mbususu imefukuliwa 😅😅😅😅 Nimecheka kwa sauti😅😅😅😅
ashakwambia boyfriend wake kam top up hajadanganya
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣 nimecheka kwa sauti
Toka ww n ka kahaba kadogo
Jamaniii 😅😅😅
Kulikoni
Acha wivu mbwa wewe mfiyyyyy tafuta pesa😂 nyoko wewe😂😂😂😂
Quick amemlahuyu
Hata Mimi nimehisi ivooo
Kamla ndio maana hajampa hela alikuwa demu wake😅
Uliona wapi mtu anamlipa hawara wake
Nice
Hapoo kene booom ni UONGOOOOOOO naruia tena UONGOOOOOO🤣🤣🤣🤣🤣Tpuuuuuuuuuui😪
Yani wanatudanganya sisi eti kisa sisi hatujaenda chuoo🙆
maisha ya chuo sio ya mchezo hyo boom yenyew huaga haijawahi kumtosha hata cku 1🤣🤣🤣🤣
Hawa ndio wale washikaji ,unafanyanao kazi ofis moja mshahara mnalipwa sawa alafu yeye anakuwa namaendeleo ,ukimuuliza anadai ,,,utasikia. ,nimalengotu kumbe Wana madili yao mhuu
Mafanikio ya m2 yana SIRI kubwa sana tena sana...we acha2 😪