Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
Mwalimu Subira wa Goodluck Gozbert Akutana na Wazee Wambanga Baada ya Kutoka Mahabusu
Вставка
- Опубліковано 7 сер 2024
- Wazee Wambanga Mwijaku Soudy Brown wakaamua kumtembelea Mwalimu Subira "Mngindo" kujua hatma yake baada ya kutiwa ndani baada ya kuvamia nyumbani kwa Goodluck Gozbert.
Kama unamfatilia mwalim subila gonga like
Bamfuatilia Aron wengi tunamfuatilia
Mwalimu kapendeza bado hajaondoka mapenzi haya
Hata mimi nasemaga hivyo hakuna mtu anayependaga, shida
Ya wanasemaga hivyo katika maisha haitakuwi ukate tamaa
Nilisema subira hakati tamaa
Namba alitoa wapi?kuna kitu hakipo sawa hapa huenda goodluck anaficha kitu hapo......pole sana Mwl subira hayo ni mapito wengi wanayapitia na hawana ujasiri km wako big up sana👏👏na hawa watangazaji wanazidi kumtesa dada wa watu jmn😢
Huyu anashida kwenye kichwa siyo kwa upuuzi huwo anawo fanya mkubwa mzima anadhalalika na mikamera du nimesikitika sana mungu wanusuru watoto wetu wakike
Kama umeona lips za mwalimu ni nzurii gonga like
Wenye Lips Mbaya Tukoment Wapi
@@lovenessibrahimu6730 jamn mwaya mbn upo vzr tu
Jamani asipopata mwanasaikolijia huyu anaweza kufa kwa mawazo sababu hapo hata nguvu ya kuomba Hana.Mungu muumbie moyo Safi dada huyu
Nguvu ya kuomba nn kwani ,alafu hajaokoka maana anasema yuko tayar kuwa hata mke wa pili wa goodluck
Pole sana mwanamke mwenzangu ipo cku yataisha
Huyu ma mdogo chizi,hana hats ndugu? duuu.
Dada mzuri mashaallah Mim sikushangai ni mapenz ya dhat Tu aliyo nayo hongera Kwa ujasiri
Wew dada kila kona upo
@@jacklinekiria6452 😂😂😂yaan umenichekesha yaan Mim nikam mzurulaji
@@mtitagirloriginal6890 we acha tu nikienda maximum tv ninakukuta global upo yaani kila kona da umenishinda tabia kabisa
Yesu pekee yake ndo aliyekufa mxalaban kwa ajili yako Dada subiri mkabz yesu maisha yako nautapata Aman naixhan mwako
Subira wangu maskini kapungua saana kwa kweli uhathirika wa mapenzi mbaya Sana,Mungu atakupa tyuuu
Mmh watoto wetu kwa mwalimu huyu somo lake wajitahidi kutembelea maktaba za karibu
Mhhh nyie wakk dahhhh mwenzenu anateseka😀😀😀
Ha ha haa
◉‿◉
Nacheka kama mazuri vilee😁😁😁
Wavutevute siku tu ziende mwaka upite maana madame yupo kwenye majonzi makali
Guy's nawapenda sana.. Kiukweli mnaweza. Mwijaku umenifurahisha. Kweli umbeya munauweza
Duh! Gudluck ulichofanya Cha kumuweka mtu rock up mmh... Mungu atusaidie na pole Sana subira
Omba Mungu yasikukute Godluck yupo sahihi mahali salama kwa subira ilikuwa ni lockup tu
Uyu dada alikatala kutoka kwake njo sababu
Goodlack tuliona umetuliaa lakin umebugii
Wangindo kama wangindo wangindo oyee🙌🙌🙌
Dah pole sana
Pole sana
Very supportive masha Allah mwejaku
Kana unaamini huyu mwijaku anaumwa maradhi furani GONGA like twende sawa
Maradhi gn hy tn
Tuonane wa mbangaa😄😄
Maradhi Gani na Yuko kazini
Pole sana mpenzi daaaaah
Pole sana dada Subira,ila mtumushi wa Mungu good luck huja fanya uungwana kumpeleka uyu dada polisi,hayo mambo yalikuwa yaku malizia nyumbani ,kiukweli ume muaibisha uyu dada ki ukweli
Jamani walimwengu tunamamboo raha sana hongera ticha😂😂😂😂😂💃💃💃
Mamboo?
Pole sana mamy jamni kwa kweli hiyo ni moja ya changamoto kubwa sana tuzidishe maombi sana mbele za mungu umeniuma vibaya mnoooo
Huyu nichizi. Naametumwa kumharibia kijana wawatu
Hauwezi kushindana na mwanadamu mwenye kinywa😂😂😂😂soudy ww
Pole dada jaman kwer mungu anakuona kwer wew goodluck
Mwijaku kwa udaku hahahaha......all in all I love the way you talk
This lady is amazing and quite courageous. May God bless her with a husband of destiny. Goodluck... hmmm polisi jamani? That was not good at all. Anyway God will give her peace.
Apana siyo kosa ya Godluck nikosa ya uyu dada alikataka kutoka kwake sasa agefanyaje njo akaita police
Exactly. Imagine you'r the only one who sees it the same way to me. This lady is deeply in love and that happens to all mankind. I really like her courage towards her feelings! How i wish i was still a bachelor....i would bring her to Kenya and love her back.
Kazi ipo
Grandiosity dilutions
Subira jamanih polee, hata kama unampenda godluck achananae we vumilia, Mungu atakupa mume sahih
Uyu dada anamoyo wa tofauti Sana mungu akupe mumewako atakae kupenda sana
Power of Love
Hii Taaluma imevamiwa. Hii itamtesa hii katika kazi yake.
Huyu ana matatizo mwalimu mzima kujidhalalisha mitandaoni mwijaku nyi wambea sana maneno yaliisha bado mwayafatilia tu mwataka kuwaribu tu jina la goodluck na mchumba wake wewe mwalimu nenda ukakae chini jifanye mtu mkumbwa hata mzazi mwenzio anakudharau saana .
Pole Mwaya maumivu ya mapenzi yanaumiza
Uyu dd mpumbavu na sio mwalimu ivi uwezi ukajifikilia we ni kiooo Cha jamii alafu mwalimu unafanya Mambo ya kijiga kama ayo Yoko we
Ss wanafuzi unawafundisha nn hapo nyau we
Afu xhl zishfunguliw
Sijui atawatamazaje walimu wenzake
@@ashaissa2435 wanafundishw a ukipenda U nakuwa chiz
Abar zenu ndugu zangu naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za maradhi mbali mbali kila Alhamisi saa2:30 usiku karbuun mjifunze ingia UA-cam andika sir Binladen 786
Mmenifurahisha sana
So sad 😘
Nyie n watu wabaya mnakuza Jambo pon juen mnazid kumuumiza na mnavuruga had anakosa mwelekeo mwachen bhana
Yan hawa wa2 siwapend wanamchaganya 2
Jamni mwijak🤣🤣🤣 mungu anakuona et najua maumivu unayopitia mwijakuu mungu akupe maisha maref maana kwenye sect hii upo vixur
Subira ngwandie bushololo gwa kukhaja!!!! Hahahaaa pole sana Mdogo wangu
Ila mwijaku nasudi mungu anawaona mwalimu mnamhoji gizani nyote akilimoja namwalimu wenu
Goodluck umemwona Delila atatumia kila mbinu ili akunase mwanangu usigeuke nyuma nenda mbele mtumikie Mungu usije ukakubali ulaghai wa huyu dada ni Delila na wewe ni Samsoni utatibolewa macho mwangalie Mungu hilo ni jaribu lako tutakuombea cmama kwa miguu yako
Hakiri yake ilishaharibika jamani.huyu angekuwa kwa warungu angepatiwa matibabu na Nina uhakika yule mkaka alimudanganya na kutumia hela yake.Namba ,anayo na ni halisi,waliongea kwa vidéo call,na zaidi walisha kutana uso kwa uso.Na kengine bado anaona ni yy tu!
Hahaaaaa!!!!! Kawa samsoni siyo,!
Mwijako mungu anakuona
Kupend kzi mtu aso kupend nikz sana km hujayapit hy utasem niupumbav anacho ongea lkn nikweli maumivu kayapt pole my ukhuti
Kama ni kweli Basi mapenzi hatari, ila Kama ni Kiki daah😂😂😂
Mwijaku mnafiki kweli
Et najua maumivu unayo pitia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mshakunaku naeana lolote
😂😂yan mwijaku mnafiki
😂😂😂😂
Jamn pole xn dada, mungu atakusaidia
Mamaa Yanguuuu 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️ Police Siku 7,Na Bado Hujakata Tamaa,Jamani, Hata Kama Ni Mapenzi Wa Mpenda.Akapimwe Akili Mwalimu Subra,Aibu.
🤣🤣🤣🤣🤣
@@lovvy854 🤣🤣🤣🤣🤣 Kweli Jamani, Ona Sasa King'ang'anizi Kimemlaza Police.
@@mwanahalimamwachili9679 yaani ata haoni aibu kujipendekeza na mtuashamwanbia ako na wife🤣🤣🤣
@@lovvy854 Yani Mwalimu Subira Huenda Nut ililegea,Kaambiwa Wazi Kila Kitu. Mke Yupo,Sikufahamu, Sikutaki. Mpaka Police Siku 7,Lakini Subiri Hajaamini.
@@mwanahalimamwachili9679 bwanae nut moja imelegeya alafu ati analiyaaa 🤣🤣🤣🤣🤣 hanaata haya wala hajui vibaya yaezekana dryspell nyegeee mingi
Duh yataka moyo
Duh,Muombe Mungu Dada atakusaidia ,kuna roho inakuandama ...
Sure
@@asuminiwajadi15 tena ya kishetani
Kiki
Mmh kazi unayo dada,ivi walim wezako watakuchukuliaje,unajishusha san bna sio kivoo
Pole sana dada
Nipeni namba za huyo dada
Mweshimiwa uyu dada unge tafuta namna yeyote ya kumrudisha kwao sijaona haja ya kumpeleka polici ndugu we ni mtumishi wa Mungu sidhani kama iyo ni busara ulitumia ila sijui ulicho kifikiria kaka ila Mungu akulinde sana ndugu
Alimupeleka polici kwasababu alikatakala kutoka nyumbani kwake njomana fatiliya interview yake utamuelewa sana
Ilikuwa lazima afanye hivyo Goodluck. Dada anang'ang'ania kwake. Kwa usalama wake na ushuhuda wake polisi ilikuwa mahali salama.
Au mna jambo lenu?
Kiukweli kama Goodluck gozzbet kama wewe ndiyo umempeleka police utalipa kwa haya so sad kiukweli bora mngemaliza too yaishe police ya nini tena dada wawatu alikupenda umemtapeli bado umemuweka lock app duh huna utu kabisa 😥😥
Sasa Good lucky atalipa nn kwani alimtuma aje?mwanamke unashindwa kutulia umwombe Mungu akupe Mme unaswampa tu,wala msimlaumu Gozbert
Sasa mwijaku kumsikilizisha nyimbo ili azid kuumia jmn😂😂😂😂😂😂😂😂😂
January hii imekuj na vimbwanga baraaaaa tumetesek na Ada Sasa tunavulugwa na mwl subir na Nyange family
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tanzania simama nishuke
😂😂😂😂
Hahhahahhahaha
Pole ase
Da pole jaman
Yani subira nakupenda the way ulivyo simile yako mungu anakupitisha kwenye majalibu kunakitu kizur anataka kukupa uyo achana nae sio chaguo lako sahihi kama umempenda ye ajakupenda ataakikukubari ata kusumbua
Mwijaku mmbea balaaa
Pole dada
Kama na ww umesikia maneno ya mwijaku Kama kipikipiki posta aanaleta maneno kwa subira haha kuwa Good hatolala ucku gonga like
It's so sad jamn 😭kama mwanamke jua kutafuta pesa na ujipange vizur kimaisha kwanza usitangulize hisia that love shit will live u unfocused and broke 🤷
Well said,,,, I'm sorry for her na cjui ako na roho gani jamani kufuata mtu mwenye asha mkataa 😢😢
Pesa ndio kila k2
Yaaaa! I love that thing wanawake tufanye kazi tujiinue tuache porojo na kupoteza mda kwa wanaume wasio na habari na ss thats stupidity
Duh!! Inaskitisha sana
Aje kwangu
To sad my dear sister I’m very sorry also why he call police 🙇🏿♀️🙇🏿♀️ dada kakupenda sana 😁😁 pole sana ndg angu.
Daah! Ni huzuni kwakweli
Pole mwalim
jaman Dada yangu pole sana dear
We we Dada kweli unamoyo Mimi kwaibu iyo ningetulia
😂😂😂😂😂yani halafu sijui hajaripoti shule au anatumiwa (kiki)
Si yeye mapenzi anauma
Huyu mapenzi yanamtesa walai ila sio chizi wala sio katumwa,,,pole mamy
Hata mimi niliwahi kumpenda mwanaume nikamwambia ila akanikatalia nilijisikia vibaya sana so dada pole sana mapenzi yanaumiza hakuna aso faham ilo
Mapenzi ujinga mbona hatupendwi sisi walala hoi
@@fatyqueen346 kweli
@@mudyfundikilamlawila7373 ata angependwa mlala hoi kama ni wa kumkataa angemkataa tuuu
Mungu amsaidie huyu dada amedhalilika sana kwa kweli, anajitesa mno sijui shida nini wanawake hatuko hivyo jamani
Mgindo kama mgindo..pole mmy
Nimejifunza kutokata Tamaa
Mwijaku: niniii?
Me:🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
🤣😆😅
😂🤣🤣😂😂😂😂
Kichaa wewee😂😂😂
Dada anajidhalilisha jali kazi yako sio wanaume
Hakuna Mwl anayezurura kutafuta mwanaume akaacha vipindi
Siomzima nati zimechomoka afutwe uwalim afai
Jamaani dada wa watu 😅😅😅😅 pole sana una moyo
Mwijaku jamani ati ukaletewa Chips na Goodluck ukasikia raha 🤣🤣
Halaf gudluck mwenyewe wa kawaida Sana kupendwa na huyo dada ndo unajiona bonge la handsome mpaka umuweke nondo cku 7 hovyooo kwa kwel...
Kazingua sana
Umesikiliza mahojiano au unaongea tuu
Ni Wa Kawaida Ila Upendo Weeee Uache Tu
Dada gani uyo mavitambaa Kama mwehu
sasa kwani vitambaa vina shida gani si mwanamke avae kibarakashe au
🙆 kupenda uku...We dada embu jitaidi kujikaza bahna, utawakosesha raha wenzio ktk Mapenzi yao, hususani uyo Mwanamke mwenzio jmn... Good luck kuja kwake apo police kukuangalia ni roho ya kiubinaadamu tu lkn siyo Kimapenzi, Anampenda zaidi Mchumba wake, omba Mungu akufanyie wepesi kwa kipindi ulichonacho now....Kaa pembeni uanze ukurasa mpya na umtegemee Mungu, achana na ayo Mapenzi ya wenzio Kama ipo ipo tu...Uyo mwenzio ni wifi yako🚶
Dada pole jipanga utapa mmeumpendae
Ila mejua kuitunga story na mekiki pia Subira ameuvaa uhusika vzr amejua kuigiza kwa kweli Mwijaku wewe ni mtunzi mzuri sn baada ya hapo kipi kitaendelea tena?? Hongereni kwa kutuvitia mashabiki zenu mko vzr.
Pole Mwalim MTU asikucheke maana uwez jua nn ambacho kipo ndan ya Moyo wako ntakusaidia kumpata uyu unaemtaka.
Nyie wanaume Mungu anawaona!!!! Sio vizuri kumfanyia hivyo Dada wa Watu!!! Mnamfanya kama mdoli kweli!!!!
Mmmh
Ahaaaaa
🥰🥰🥰🥰
Yn awa
Jamani pole sana dada ila mungu atakuletea mume atakaye kupenda kutoka moyoni huna haja ya. Kumung'ang'ania wako atakuja tena mzuri zaidi Godlock na utaishi nae kwa mapenzi ya Mungu.
This is very bad. Huyu binti amekua exploited, used and left. Hivi vitu vinaweza kumcost akapoteza na kazi yake. Hivi akifukuzwa kazi nani alaumiwe? I feel very sorry for her. Mwenye number yake ya simu anitumie. Ninataka kumsaidia hata kimawazo tuu. Amekuwa kichekesho kwa kweli.
Hana kz Hy n maza house t
sidhani kama ni mwalimu huuuuuuuyu noooooooooo hawezi chezea kibarua kwenye tundu la chooo namna hiiiii
Wenzio hapo wanaingiza pesa, wamekufanya mdoli😥😥, nenda kafanye kazi Dada! Focus on your work and your future as well!
Very true arudi shulen jmn
Love is part of future...and it is a force of creation nature that cannot be changed! Have you ever loved somebody?
@@edwinotiatomarwa.6361 🤫😢
@@edwinotiatomarwa.6361 If you love someone who doesn't have feelings on you, your supposed to force the love, is what you mean? Because your looking for the future of yours??
Mwijaku 🙌😃😆 et najua najua
Jaman dada wa watu pole Sana jaman umepitia mengi
Wazeeee wa mbangaaa
Mwijako mmbea Sana aiseee
Aiseeee love is bling
🤣🤣🤣🙆♀️Daaaah kumpenda mtu asokupenda ni Sawa na kusubiri boti airport ndo huyu dd Kaaaah mbona khatarii hii Astaghafirullah
Auja wayi mpenda wey
Ni pepo jamani siajabu pia sio binadamu mwenzetu ka
M namwazia huyo mchumba wa goodkuck akiona hayo 😂😂😂😂,hajatumwa kwel huyu!
Jamani da imeniumiza
Pole dada kupenda huko kwiyoooo
Uyo dada akili yake haipo sawa
Ipo sawa tu labda uwez jua nikwann kafanya ivyooo
Kuna kafyuzi hakako sawa kwakweli
Hujui mapenzi ni nini kama haijakutokea mshukulu Mungu .mimi najua mapenzi anauma sana tena sana.
@@linaemma7535 duh...bas data ivi katayar mlikua ktk mapenz lakn humjui hakujui unamfata tena kwa kupanda bus mwendo mrefu ivo hapana hii kchwa haiko sawa
@@jacklinejacksone1165 Gooluck ndio anashida ya mvuto kwa wanawake lkn hawezi uoa
Jaman huyu dada bado anapenda kwakweli duuuuh
Kuna namba sio sabsbu mm mwenyewe ninayo ,
Pole ulichelewa wapi jamani