Huyu dada naye anatuaibisha wanawake jaman sasa alpenda mpaka anajisumbua tu Hivi mwanaume atamng'ang'ania mwanamke kwa sababu atamgaramikia kama upande wa mahari so huyu dada anavyo lazimisha upendo Mungu wangu wasaidie watumishi wako maana vita vmezid sasa
my relatives🇰🇪 Naomben like nyingi apa Mana soon to nami ntaendaa Kwenye SNS kuintroduce song yangu naamini ndo yakwanza inaiywa .. .... SMILE.... Pia Nwakubali Sana Hawa SNS Wanajituma,wanajitoa Sana Mungu awabariki mzidi kuwa Na nguvu kill siku Muweze kitupa habary zenye uhakika Amen
@@NUHUONLINETV kuuliza c ujinga pia kukujibu ninavyo feel sio ujing wacha ni keep secrets answer niliyo kuwa nakupatia cz unaweza shindwa kunielewa then ukanona nimekudharau cz I don't know you Even you, you don't know me
wewe dada wee mshamba kweli yaan mwalim gani wee mshenzi naisi umetumwa wewe kumfanya mtumish wa mungu arud nyuma ushindwe kwa jina la yesu na urud kwa huyoo umwambie umemshidwa goodluck
Nipo kama wewe.yaani huyu dada amejuwa kutudhalilisha.kwa mapenzi yake yakipuuzi katuvuwa nguo sote.ujuwe yule dada mcharuko.vepe unamfwata mwanamme usiemjuwa na una mkomand kama mmeo mxiew mpuuzi nazi
Na me nakupenda 😂😂 😂😂😂😂😂😂😂 kweli binadamu kazi awaishiwi maneno jaman loho kaka jaman kupendwa sio matangazo bola ata mgemaliza wote wawili kuliko dunia zima kujuw kiukweli umemuaibisha mwenzako jaman ase kazi kweli
Jamani kiki ikowapi hapo sanasana kakunyooshea kila kitu, Mngindo ndio anatafuta kiki sasa huyu kiki ipi? Huyu anajulikana mpaka kwa mashehe na wapagani
Acha uongo, Mwl Subira amesema mlikuwa mnawasiliana na kupigiana simu video call, na sura yako aliiona , sasa sipati picha unavyo sema alikuwa anawasiliana na tapeli, swali langu nikwamba, hata tapeli anaweza kutumia hata sura yako kwa video call kutapeli watu?
Seriously where is this generation ending to..God have mercy on us🙏🙏Mungu akulinde sana goodluck much love from Kenya
nampenda sana goodluck mtumishi wa mungu i like the wisdom you have mungu akulinde. na huyu dada awache kukuharibia jina
atafute wake.
Kenyans Love you Goodluck! God Bless!
We love you bro,a worshiper. I love all your songs.preach the gospel 🙌❤
Nampenda huyu kaka goodlucky gozbet yuko na hekima ya mungu sana mungu amubariki sana.
Mungu akubariki!usisikilize maneno ya watu keep moving.
Jaman watumishi mbadili minyoo ya nyele msiwe kama wamataifa tunapo mwimbia Mungu na kumsifu tunatakiwa tuwe smart tusiwe kama wamataifa
Pole, Mungu azidi kukupa neema
Love you from Michigan
Huyu dada naye anatuaibisha wanawake jaman sasa alpenda mpaka anajisumbua tu
Hivi mwanaume atamng'ang'ania mwanamke kwa sababu atamgaramikia kama upande wa mahari so huyu dada anavyo lazimisha upendo Mungu wangu wasaidie watumishi wako maana vita vmezid sasa
Pole Sana mdogo wangu hakika mungu atakushindia
Mungu akubariki
Pole Sana Kaka yangu goodlk nimapito tu jipe moyo mkuu.
Mdogo wangu owa umalize shida na pia badilisha style yako ya maisha
Tujuane apa kwenye like 👍 Nikiwa niko o🇺🇸🇺🇸🇺🇸🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Nimepanda umeongea vzr Mungu azidi kukutumia
my relatives🇰🇪
Naomben like nyingi apa
Mana soon to nami ntaendaa
Kwenye SNS kuintroduce song yangu naamini ndo yakwanza inaiywa
.. .... SMILE....
Pia
Nwakubali Sana Hawa SNS
Wanajituma,wanajitoa Sana
Mungu awabariki mzidi kuwa
Na nguvu kill siku
Muweze kitupa habary zenye uhakika
Amen
@@NUHUONLINETV kuuliza c ujinga pia kukujibu ninavyo feel sio ujing wacha ni keep secrets answer niliyo kuwa nakupatia cz unaweza shindwa kunielewa then ukanona nimekudharau cz
I don't know you
Even you, you don't know me
Mungu aendelee kukutia nguvu kwani unayaweza mambo yote ktk yeye akutiaye nguvu mpe tano Mwaitege
Sema Hivi umempa chochote kitu ili akupeleke wimbo wa mgambo mjini
😂
Mshenzi huyu anatuona ss mazwzwa
@@mwannerajabu8688 yaaani itakuwa ivyoivyo yaaani
My brother watu watabaki kuwa watu Mungu ni mungu usjalishwe na na watu " endelea na kazi ya mungu
Muonekano siyo wa Kimungu, wa kimtaani mbona? Badilika ndugu.
Unaweza ukawa na uonekano wa Mungu na ukawa shetani kiroho! Don’t judge the book with out side cover!
@@teychriss3248 kwel Mmy
Muonekano wa kiMungu ukoje huo ebu tuambieni wenzetu mliofanikiwa muina Mungu vile anaonekana
@@brigithadidas5128 atuambie bac
Kwan Mungu ana simu mbona wewe unasimu acheni kujudge watu
Mtumish wa MUNGU barikiwaaa
Amazing ...SnS @Chris na wote at SnS
,,,what does 21x30 meaning behind your Studio@ 🇬🇧
Barikiwa Mtumishi. Creez 👍
Goodlck we love you From Brd🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Wadangaji wanampenda kimapenzi wanashindwa kujua uyu ni mtu wa mungu Hana shida na malaya
Wewe huyo mwenyewe malaya
Haha Malaya wakwanza kajitokeza nilijua kahaba yeyote yule lazima kitamuuma una akili kahaba mchafu
@@mahewamahewa6461 wewe ndio kahaba mbwa wewe
@@sifatiiman umejuaje??
Mchawi yule achana nae usimchekee sio mwalim wara nini mwizi taperi mshamba mjinga
Uko vizuri mwamba wa imani
Wewe ni mti wenye matunda, zoea mawe. Mungu yuko upande wako daima, songa mbele.
Gud uowe mtu awa washenzi waache kujidangisha kwako mtumishi owa wabakig wakisema tu dada anafaid uyu😀😀😀uliempenda ana raha mtumishi
Hahahaha Umenichekesha Mie Kuoa So Shida Mana Watu Wameoa Still Wanapendwa Hata Nipende Vipi Sitoenda Kwa Media Weeee Nitadharirilisha Ndugu Aseeee
Very true
Pole sana brother
wewe dada wee mshamba kweli yaan mwalim gani wee mshenzi naisi umetumwa wewe kumfanya mtumish wa mungu arud nyuma ushindwe kwa jina la yesu na urud kwa huyoo umwambie umemshidwa goodluck
Kupenda watu wote kwa upendo wa Yesu! kweli kabisa Mtumishi! tunakupenda Mtumishi, pokea baraka na neema!
Gvvvvvvvvvvvvvv
Vvvvvvvvvvvv
Vvvv
V
Vvvvvvvvvv
Mungu akubariki sana kaka kazi yako ni njema
Napenda wimbo wake wa SHUKURANI yani naupenda sana sana sana
Mpk vidio call zinapneshaga pic feck naomba kuuliza
Pole usikate tamaa hayo ni majungu
Pia mmi na barikiwa nkiwa Kenya 🇰🇪🇰🇪🙏🙏✈✈
I stand on your side. Wewe ni mtumishi wa MUNGU. Keep soaring
Eti oza huyo mtumishi jamani yuko mwendo kasi.
Good lucky wewe ni mtumishi wa Mungu na unakitu kizuri cha kimungu sasa shetani anataka kukutoa jua hila za shetani barikiwa
Hivi wanawake wenzangu huwaga mnavutiwa na nini had mnachanganikiwa akili? au mi sijui mwanaume mwenye mvuto? mi namuona wa kawaida sana yani
Nipo kama wewe.yaani huyu dada amejuwa kutudhalilisha.kwa mapenzi yake yakipuuzi katuvuwa nguo sote.ujuwe yule dada mcharuko.vepe unamfwata mwanamme usiemjuwa na una mkomand kama mmeo mxiew mpuuzi nazi
Hata angekuwa mwananmme mzuri kama nani siwezi kumpandia basi hiii inaonesha dhahir yule dada anapepo la ngono.
Yaan ni shida jamn kwanza ametuaibisha wanawake
Yaan huyu angekua hana kazi,hata akikusimamisha njian hausimami 🤣
@@bimkubwaali1605 yanii🙌
Doh hawa matapeli Mungu awaone nani wengi sana
mimi naamini kabisa niwewe ndio umemfanyia unyama yule dada sasa namba yako ameitowa wapi na WhatsApp mlikuwa mnaongea inamaana hakujui wew mtumzima yule bhana
Msamehe tu....
Pole sn kaka ni changamoto ya dunia
😀😀😀Subira kapenda jamani😭😭
Mengine mampepo tuu mungu akusimamie Sana kijana Wana wake wengine bwana
Goody Tatizo La Mngindo Limekuzalia Faida Kwa Jina La YESU Kristo Aliye Hai..
Am the #SNS’s Best #MVS, if you disagree with that, comment #SNS’s #MVS on all UA-cam channels you watch....🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺
#Great interview
Songa Mbeleeee GG Tunaoelewa Ufanyalo Hatutatishwa Na Hizoo Mambo Za Wakorofi
Ndugu usijieleze sana Mungu anaujua ukweli atafungua muda ukifika
Hee kumbe Mwalimu Mgindo hakurudi kwao siku ile walivyo onana! Mwalimu anajua kupenda jamani
Jamani mie nkijua wanaigiza na vile Mwijaku hakuwa serious kivile kumbe ni habari ya kweli
Sasa namba yako aliipata wap? Kama sio kuna namna unatudanganya
Kweli namba kapata wapi,
Very Wise
its so ugly. Sorry for all victims including Subira an Goodluck
I trust you kwahyo nlijua hayo ni mapito tu G, you don't have to worry only god can judge you
Yeah
Kua makini usimtanie mungu wakala wamungu unamuweka ndani binadamu mwenzako kusamehe nijambo zuri sana siamini kama wewe nimutumishi wa mungu
Hahaaaaaa. Mtumishi amemuweka dada wa watu ndani
Hv umemuelew vzur!?🤔 Au unaandik tu uschokijua🙄🙄
Ssa angepata wap msaada nahy dada hajaokoka polis ndio panamuhusu hy dada hawez ita wachungaj
Wiseman Goodluck
Nakuunganisha ma madhabahu ya mbingu nakutenganisha na madhabahu ya hibilisi
Hilo nalo litapita good luck. sio wote watakuelewa.songa mbele.
Sns mm simuamini gud hata kidogo kunakitu ana ficha nimefatilia ilijambo toka linaanza ila akae akijua mungu aja lala
Mungu kweli ajalala alali wala asizii yeye yule yule leo kesho hata milele mungu atasimama
Jamani kuna wadada wana matatizo jamani niaibu
Jamani had umepeleke porisi
Roho mbaya
Aaah nimekubali nyimbo
Kingereza kingi kiswahili hujui?
Wa kwanza jomon naombeni like zenu
Na me nakupenda 😂😂 😂😂😂😂😂😂😂 kweli binadamu kazi awaishiwi maneno jaman loho kaka jaman kupendwa sio matangazo bola ata mgemaliza wote wawili kuliko dunia zima kujuw kiukweli umemuaibisha mwenzako jaman ase kazi kweli
Tujuane tunao fuatilia hii habari
Kaka simama katika kusudi la Mungu asikutie majaribuni huyo nyoka songa mbele
Mtumishi mtoto wa mama jamani mwacheni...wahaya mpooooo watani wangu
Wengine ni mapepo tuu na ulivoongea nimeelewa kuwa binti ametumwa kukuharibu utumishi wako
Tukirudi kiundani utakuta katumwa huyo dada kakukosa kiroho kaamua kuja manyual akunase bora umemuwahi angekudidimiza huyo binti analake
Point yako ya Upendo nimeielewa sana kaka
Kama alimtapeli,Alipewa nafsi anahitaji kulipwa garama zake ili a chukue hamsa zake ,akakataa anagangania aolewe kwann Sasa,katumwa huyo labda.
Goodluck ana msimamo anajua anachofanya
Thanks for forgiveness,imeonyesha kuwa wewe Ni mtumishi kweli
Wapo wengi matapeli wanatumia majina ya wasanii
Watu wengine sijui ni mapepo kaka jipe moyo utashinda majaribu mengine bwana daa
Wasichana bana watu wa ajabu sana hapa ni jina ndio linawasumbua
Watu woteroho zetu zinapishana maneno tuya achiyemungu
Gud nimekuelewa ndo changamoto za ustaa
Owa mtumishi unachelewa mno 🤣
Anachelewa wapi?
Pore mtumishi MUNGU azidi kukulinda yote hayo ni shetani anakupima kaza mwendo kufanya kazi ya MUMGU
Hakufanya vizur
Siuliowe sasa unasubiria nin? Kujidhalilisha tu huku
Hadi gospel mnakiki, nilichogundua mnawatapeli watuu alafu mnajifanya sio nyinyi
Haswaaaaa
Unauhakika gani?
wee muongo alipata Je number yako na akwa anawasiliana na wewe mpaka video call?
Umeonaa ehhh huyu anatafuta kiki
@@butturachel1794 haswaaaaaa
Goodluck nikikukuta ktk ndombolo nakushtaki kwa malaika mkuu haki tena. Sa uyo mchumbaako kakupataje pataje mie nilijua hauna izo mambo aaah 😌
Heee kwan yeye sio binadamu
🤣🤣
Kwani yeye hanithi?
Wewe ni mtumishi wamtumikia ktk kumsifu MUNGU. ushauri wangu hizo Kiki hazikufai waachie wahusika
Jamani kiki ikowapi hapo sanasana kakunyooshea kila kitu, Mngindo ndio anatafuta kiki sasa huyu kiki ipi? Huyu anajulikana mpaka kwa mashehe na wapagani
Huo ni uongo mtupu Kama agekuwa taperi agekujuwaje utoporo mtupu huo hakuna lolote mnajifanya watumishi kumbe utoporo
Kha! Mungu akusamehe
Mmmmh huyu Dada
Nampendaga uyu mtangazaj anavyoojigi
Anavyofanya nini?!
Acha uongo, Mwl Subira amesema mlikuwa mnawasiliana na kupigiana simu video call, na sura yako aliiona , sasa sipati picha unavyo sema alikuwa anawasiliana na tapeli, swali langu nikwamba, hata tapeli anaweza kutumia hata sura yako kwa video call kutapeli watu?
naona kama kuna utata hivi ,mungu ndie anaemjua
kwani ni watu wangapi wanatapeliwa huko kwenye mitandao
Sikiliza vizuri utaelewa maana anasema hata smart phone huyu dada hana wala hana account ya insta,wala haelewi maana ya DM
Aaawap subra mwenyw ht smat hana anakiswaswadu hy vdeo call wap nawap
Hata mm nilijua ww ni tapel na nilishangaa sana...asante kwa kusema ukweli
Hata mimi kwa kweli!
Niliambiwa nitume pesa ya mafuta, mbona nlimtoa hadhi huyu kaka!! Kumbe matapel
Huyu anatumia kivuli cha dini kujipatia kipato. Anaimba bongo flover
Very true..alafu kucheza kwakwe kukata mauno hana tofauti na diamond
@@Mazoea kama atakata mauno kwa ajili ya YESU..basi inakubalika,. Daudi alipinda mgongo akakata miuno Hadi Nguo zake zkamwagika....+254
@@KasB254 vizuri
mmmh
Sikupingi
Wakenya tunakupenda bro keepup.
Wangindo bhana🤣🤣😂😂😂🤸🤸🤸🤸🤣😂😂
Mapenzi mpaka upelekwe polisi
Songa mbele Gdlk. Mungu Pekee ndio anayeujua Moyo wako. Mapito yapo tuu hata kama hutaki. Dhahabu ili ing'ae lazima ipite kwenye Moto.
Watching 👀 from 🇳🇦 🇳🇦 🇳🇦 🇳🇦 🇳🇦 🇳🇦 🇳🇦
Try to use English as well #Malawi
Nampendaga huyu kaka jamani
Hata mimi matelin nilikuwa nasemaga hivyo nampendaga
Hapo inausu subila
Bola wamalizie habar ya polis
Yupo kama kaka yetu flan jinsi alivyo au kaka mmoja
Beny yupi kinyaiya au?
Amekaa kiutumishii kabisaa
Matapeli mtandaoni wapo wengine hutumia majina ya viongoz kutapel watu,kuna dada pia aliliwa na mtu aliyejifanya harmonize, wadada hebu tulieni
Kweli kabisa
Tatzo mnahangaika sana kupenda mastaa utafikiri na nyie mna hadhi hiyo. Mnaatuacha sisi ambao ndio type yenu. Washenz sana nyie mademu!
@@rumdeesonsoa1811 hahahahaha duuu
@@salmaalimusa547 mambo