KIVUMBI! POLISI WATINGA NA BUNDUKI KUZUIA NDOA YA MWANAFUNZI ALIYEKUWA AKIOZESHWA KWA LAZIMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 268

  • @nassirali7499
    @nassirali7499 Рік тому +10

    Na wanaomaliza masomo muwafate kama hivyo muwape ajira, sio kuzuia ndoa tu

  • @pennykiruka9314
    @pennykiruka9314 Рік тому +7

    I respect this governor i salute u yoooo u do ur job no favours .am kenyan n am proud of this tanzanian government ,good good step for girl child no more child marriage 👏 😅 😄

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Рік тому +14

    Mtt gani miaka 20 acheni ujinga mbona mtt anaonekana na furaha zake mna acha kufanya mambo ya maana mnalazimisha ujinga tu acheni kuingilia uhuru wa mtu kila mtu na uhuru wake,

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 Рік тому +1

      Kama bi harusi ana miaka 18 ana haki ya kuolewa,kwani akiolewa akaendelea na masomo,huu ujinga,hii ni kinyume na haki za binadamu,kusoma ni maamuzi yake mwenyewe,huyu DC hafai,

    • @leoniaathuman1038
      @leoniaathuman1038 Рік тому +1

      Binti mwenyewe kabla ya harusi alikuwa analalamika kwa majilan kuwa kalazimishwa ,
      Kwa mazingira ya kawaida tu hata kwa picha hyo familia inaonekana wanamaisha ya kawaida tu ko hakuna kiongoz yeyote angejua kama bint asingesema

  • @joliapantaleo349
    @joliapantaleo349 Рік тому +5

    Safi sana jeshi la police nawote mliomsaidia Mungu awabariki

  • @aydamohamed4508
    @aydamohamed4508 Рік тому +7

    Ndoto gani kakatishwaa asomee weee mwisho wa siku ajira hakuna,..au huko atalipiwa adaa?? Hyo mikopo chuo mtihanii

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Рік тому +9

    Askari na mabunduki yenu mara akapimwe akuwe na mimba 😂😂

  • @beatricelivigha4959
    @beatricelivigha4959 Рік тому +5

    Safi Sana tia Ndani wote hao washenzi

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili Рік тому +4

    noma sana

  • @jumafundi3133
    @jumafundi3133 Рік тому +9

    Basi musiwe wepesi kuingilia harusit mlipieni na gharama za kuendelea na masomo maana hamjui kaolewa kwa maanagani

    • @rereshap9416
      @rereshap9416 Рік тому

      Hovyoooo , hamnazo kwelikweli wewe !!

    • @jumafundi3133
      @jumafundi3133 Рік тому

      @@rereshap9416 haya ukiwanazo wewe inatosha ila pia zikiwa nyingi tuuzie nasisi wajinga.

    • @jumafundi3133
      @jumafundi3133 Рік тому

      @@rereshap9416 mana nchihii mukisharisisha hivyo via jira au mtu akimiliki milioni 1t basi wasonakaz wala pesa wot niwajinga

  • @bushimpinatv
    @bushimpinatv Рік тому +5

    Dj bado anapiga ngoma tu huku harusi ishaingia mdudu 🤣🤣

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Рік тому +2

    Kwann hamkuja kabila yakufungwa ndoa acheni ujinga mnataka tu kiki hiyo ndoa ya kiiristo uwa inatangazwa kabla ya kufungwa mnataka wazin

  • @gracemacha9357
    @gracemacha9357 Рік тому +7

    Safii sana acheni kunyanyasa watoto

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Рік тому +1

    Sasa hapo ada atalipa nani

  • @user-ui1qs9yl1n
    @user-ui1qs9yl1n Місяць тому

    vizuri polisi sukuma ndani

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 Рік тому

    Hongera mkuu wa mkoa Mungu akubariki

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Рік тому +2

    Jamani mtu ana miaka 20 mnamzuia asiolewe, Kama bi harusi ana miaka 18 ana haki ya kuolewa,kwani akiolewa akaendelea na masomo,huu ujinga,hii ni kinyume na haki za binadamu,kusoma ni maamuzi yake mwenyewe,huyu DC hafai,

    • @Dantaata
      @Dantaata Рік тому

      tunajua wewe uliolewa na miaka 11 Sasa hili halikuumi kabisa

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 Рік тому

      @@Dantaata mimi nimeolewa miaka 18

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 Рік тому

      Na Nina virembwe sasa,umri wangu sasa ni miaka 65

    • @Dantaata
      @Dantaata Рік тому +1

      @@sabraham5308 pole sana ndio mana bado upo mitandaoni Hadi umri huu,, Kuna maisha yalikupita km uliolewa 18

  • @odalomary5446
    @odalomary5446 Рік тому +1

    Safi sana..pelekwni wote whusika ndani pumbavuu...mana wazazi wanaona wakiwa na mtoto wa kike..kitega uchumi ..ya mahali

  • @PiliKhamis-mb6ty
    @PiliKhamis-mb6ty 7 місяців тому

    Safi sana

  • @jacobshao1260
    @jacobshao1260 Рік тому +2

    Hiyo sufuria mbona kama ugali au naona vibaya😂😂😂

  • @marierobert42
    @marierobert42 Рік тому +1

    Hata mkimchukua kikubwa wamefunga ndoa kanisan Tyr,

  • @leoniaathuman1038
    @leoniaathuman1038 Рік тому

    Safi sana hongeren kwa kaz nzuriiiii

  • @judithmkiramweni4137
    @judithmkiramweni4137 Рік тому

    Wazazi tamaaaa za mahali. Watoto wana ndoto zao unamuoza binti baada ya mwaka mgogoro wa ndoa. Sheria ichukue mkondo wake kwa wazazi mnnnhhhh! Siwezi gawa mtoto wangu akaolewe kirahisi hivyo

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah6669 Рік тому +6

    Mmemuaribia maisha mtoto wa watu Sasa mumuoe nyinyi

    • @Ramadhan-to2ie
      @Ramadhan-to2ie Рік тому +2

      Acha ujinga inamaan uko anakoenda kuolewa unajua kama ndo anaenda kuwin maisha acha ujinga

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 Рік тому

      ​@@Ramadhan-to2ie Sasa si wafungie Kwanza hivyo vyombo vinavyohamasisha uovu , na Bora aolewe kuliko kwenda kuziniwa

    • @user-ws6ho3bi9q
      @user-ws6ho3bi9q 9 місяців тому

      Hakika

  • @CatherineMmbaga-qe4zf
    @CatherineMmbaga-qe4zf Рік тому +2

    Ninachoamini ndoa Ni tayari hapo,ilikuwa Bado ubwabwa tuuu 🤣

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Рік тому

      😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Рік тому +5

    Jitahidin kutoa ajira kwa sababu wasomi wapo tele mitaani na vyeti vyao wanauza mapera, lkn sisi vichwa maji tupo nje tunasugua gaga za warabu tukitunza familia zetu 🇹🇿🇴🇲

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194 Рік тому

    mngepima kama ana mimba tayari. maana kama anayo mliomkataza kuolewa mtakua mmemuharibia maisha

  • @KijukuuTz-in6of
    @KijukuuTz-in6of Рік тому +2

    Bora waolewe wakisoma ajira Haman

  • @user-gu2qn2vg7h
    @user-gu2qn2vg7h Рік тому

    Jesh mko saw komesha Tania mbaya

  • @user-vb2pu2gh3n
    @user-vb2pu2gh3n Рік тому

    Tupa ndani kabisa hao pumbavu zao washenzi

  • @Amos-c3f
    @Amos-c3f Рік тому +1

    Daaah

  • @dogomojatz3492
    @dogomojatz3492 Рік тому +1

    Kasome tu mdogo wangu kwa moyo ♥️ mmoja kama bahati yako ipo ipo tu.! Naimani hiyo miaka miwili ukisoma kwa bidii utafaulu tu.! Shem kama anathubira akusubili tu.! Usomee miaka miwili sio mingi Sana serikali imesema usomee soma tu.! Dada angu hakuna ujanja.....By dogo moja conk ze don..

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Рік тому +2

    Dj nimempentaa huyoooooo chaguo lakooooooo😂😂😂😂😅

    • @rukiauwonde7062
      @rukiauwonde7062 Рік тому

      😂😂😂hana habar na waja🤣🤣chezea mchele wew🤣

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 Рік тому +1

    Duh! Hatari kweli kweli

  • @chepkirui-vn1bu
    @chepkirui-vn1bu Рік тому +4

    Aki Tanzania nimewapea muhuri kabisa hapo lazima mulale ndani😮🇹🇿wakenya wameongozwa na hongo bure kabisa

    • @Aisha-zi1be
      @Aisha-zi1be Рік тому

      Wawekwe nadni alfu huyo stakuja awasaidie naitakuwa walikuwa wasukuma hao wanapenda mali sana

  • @joyce55727
    @joyce55727 Рік тому +3

    Nikatoka na mtt wangu saiz namaisha yangu mazul tu namshukuru Mungu lkn wazaz achen tamaa ya kutaka mali haraka achen binti asomen mim ilifika mda wazaz wangu walianza kujuta kwa nin waliniozesha

  • @johnjilala415
    @johnjilala415 7 місяців тому

    tatizo nchi yetu inilisha uzwa elim yeyewe ya kuunga unga sasa nini kitatokea baada ya hapo?

  • @user-is4nz8bo8d
    @user-is4nz8bo8d 11 місяців тому

    Kuolewa napo nibahati jamani wengi madunga embe humu wana angaika😂😂😂

  • @sarahtaste2876
    @sarahtaste2876 Рік тому +1

    Uyo binti asipoolewa tena atailaani serikali 😂😂😂😂

  • @lucymtui8680
    @lucymtui8680 Рік тому +1

    Jamani ubwabwaa😛😄😄😄

    • @user-is4nz8bo8d
      @user-is4nz8bo8d 11 місяців тому

      Uleniungabroo wanyewe wanajilia Donalao😂😂😂

  • @moseskillagane4848
    @moseskillagane4848 Рік тому

    Huyooooo,.nichaguo lakoooo😅😅😅

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Рік тому +1

    Tatizo wa tz wenzangu tunazarau erimu mtto kashafauru

  • @jacobshao1260
    @jacobshao1260 Рік тому +1

    Waache wale kwanza bufee, nakeki yao 😂😂😂😂

  • @salumahmadasalum1556
    @salumahmadasalum1556 Рік тому

    DAA HUO WALI ULIKUA TAYARI KULIWA

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Рік тому +7

    Mkuu wa mkoa kichwa kitupu,
    Kama bi harusi ana miaka 18 ana haki ya kuolewa,kwani akiolewa akaendelea na masomo,huu ujinga,hii ni kinyume na haki za binadamu,kusoma ni maamuzi yake mwenyewe,huyu DC hafai,

    • @mayrose9772
      @mayrose9772 Рік тому +1

      We akishaolewa kule haendi Tena shule zaid ya kuzalishwa na mwisho wa cku manyanyaso

    • @hamadsuleiman5177
      @hamadsuleiman5177 Рік тому

      Wamemkatisha shule hao....Khatari hii...wangemuwacha akamaliza hata diploma au degreee

  • @doreenfelician1241
    @doreenfelician1241 Рік тому

    Dhuuuuuuu safsaan

  • @haikatheo6362
    @haikatheo6362 Рік тому +1

    tuanze na mchungaji kwanza

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Рік тому

    Safi sana muheshimiwa asome tu kwakweli

  • @geraldmakeremo3578
    @geraldmakeremo3578 Рік тому +1

    Jamani someni kuoelewa mtaolewa tu

  • @luciafabiannjuu1988
    @luciafabiannjuu1988 Рік тому

    Sukuma ndani mpk waliokula ubwabwa

  • @DessyTT
    @DessyTT Рік тому

    Very good job.Keep it up

  • @saidsalum9587
    @saidsalum9587 Рік тому

    Kwanini ndoa iwe ki kwaxo kwa wao kuendelea kusoma?
    Wakati huyo anayezuia kuolewa tauar ni mzoefu wa tendo la ndoa.
    Nahis sheria inahitaji mabadiliko

  • @homesaickofficial7407
    @homesaickofficial7407 Рік тому

    Wanashindwa kumzui alie uza bandali ya dar wanaenda kuzuia ndoa ivi wanajielewa kweli

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 Рік тому

    Safi sana.. kuna wazazi wengine hovyo kabisa..

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 7 місяців тому

    😂😂😂nimeona masufuria ya pilau

  • @nurumwenkale7278
    @nurumwenkale7278 Рік тому

    Weka ndani wazazi wa bint pamoja na bwana harusi

  • @DevidsLema
    @DevidsLema 8 місяців тому

    amna lofoten kwa hapa dar wanganui wamesoma
    na awana ajira pia

  • @iddimwamtemi-ow7kn
    @iddimwamtemi-ow7kn Рік тому +9

    Elimu yenyewe tulonayo ni yahovyo watu wamewafikisha vyuo watoto wao wanamadigrii na hakuna ajira wanaishia kwenye msongo wamawazo nakunywa pombe,,muacheni huyo binti aolewe 4m4 keshafuta ujinga..

  • @lucasmasumbuko2098
    @lucasmasumbuko2098 Рік тому

    Kwan huyo DC hajaoelewaa

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Рік тому

    Waxaxi badala mshukuru mwanenu kafaulu mnatia uchafu,matajiri mitoto yao haina akili,ww Mungu kakupendelea.

  • @user-pq4or5yd7l
    @user-pq4or5yd7l Рік тому

    Wapuuuz sana hao wazaz

  • @christinanjombi1830
    @christinanjombi1830 Рік тому

    Hii Kali 👌

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Рік тому +1

    Kama sheria za Tanzania ni hivi,ni mambo ya ajabu.mtu ana miaka 20 anazuiliwa kuolewa,ni ujinga wa mwisho,hizi ni Kiki za mkuu wa mkoa na wenzake,Rais alifuatiliye hili,huenda haki za kibidaamu,zikawa zimevunjwa,aibu.

    • @user-is4nz8bo8d
      @user-is4nz8bo8d 11 місяців тому

      Shida nisifa ilituonekane mitandaoni sasahivi😂😂😂

  • @allymoe7689
    @allymoe7689 Рік тому

    Jamaa kapokonywa tonge kizembe kabisa ukute alikuwa hajawahi ipiga kabisa hiyo pisi

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 Рік тому

    Saaaafi sana good job

  • @danielhazard8375
    @danielhazard8375 Рік тому

    Jeshi la wananchi wa tz

  • @edithajonh2970
    @edithajonh2970 Рік тому +1

    Kama mzazi Hana uwezo wa kumusomesha inakuaje et

  • @yustamushashu-jh9vr
    @yustamushashu-jh9vr 10 місяців тому

    Wasafi to be closed this time

  • @lama6310
    @lama6310 Рік тому +1

    Kwan Si Katimia Miaka Kumi na nane

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Рік тому

    Umri unaruhusu au bado ? Wanafunzi wangapi ni Mrs na wanasoma !? Familia hiyo itagawanyika tu !!! Mazingira ya zoezi hilo yangelenga ustawi wa familia. Hakuna kitu hapo.

  • @AshaMaida-xp6nx
    @AshaMaida-xp6nx Рік тому

    Makubwa hayo

  • @nelsonjonathan7660
    @nelsonjonathan7660 Рік тому

    Hatuelewi mpaka hatuelewani😂😂

  • @yustamushashu-jh9vr
    @yustamushashu-jh9vr 10 місяців тому

    If you educate the woman who doesn't know God is embrassed

  • @rachelsolomon6974
    @rachelsolomon6974 Рік тому

    Mngeacha watu wale

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Рік тому

    Umefanya vizuri mama mndeme wasukuma wamezidi kisa kutaka ngombe

  • @solangebagal149
    @solangebagal149 Рік тому

    Muna kosa heshima sana

  • @thegchannel7528
    @thegchannel7528 Рік тому +2

    Kuna Wazazi Hawathamani Ndoto za watoto Wao

  • @ZIADANYAGAWA-vw2xj
    @ZIADANYAGAWA-vw2xj Рік тому

    Wakamatwe kbs

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Рік тому

    binti kasome mkwe nae sasa asubili akimaliza masomo mtaishi tu usikate tamaa msubili mwezako asome

  • @alonchobasamiye6844
    @alonchobasamiye6844 Рік тому +1

    Da ila demu kifaa sana

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Рік тому +2

    Polisi acheni ujinga kama ametaka mwenyewe kwann wazuie ndoa Kwan polisi mlimlipia ada nyie kama hataki shule una

    • @captenndunga6745
      @captenndunga6745 Рік тому +2

      Kichwa chako ni kizito kuelewa umeishia la ngapi kwani maelezo yanasema binti amelazimishwa we unasema kama ametaka mwenyewe.... Kingine unatakiwa kijua kua sheria haiangalii alitaka mwenyewe au alilazimishwa ndio mana mimba ni ya kwako lakini ukiitoa na ikibainika umeitoa una kesi ya kujibu ukitaka kujinyonga ukaokolewa pia una kesi ya kujibu... Jifunze kuzijua sheria siku usije ukaingia kwenye mtego.

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 Рік тому

      @@captenndunga6745 hapa kuna utata,mkuu wa mkoa kachemsha

    • @captenndunga6745
      @captenndunga6745 Рік тому

      @@sabraham5308 mi na wewe kwa sababu hatukuwepo kwenye eneo la tukio inabidi tuanini tulichokisikia.

  • @user-go8cc4qm4b
    @user-go8cc4qm4b Рік тому

    Umh mavi kweli ani uyo mbwa anatafuta umaaluf tu hana lolote kama atabeba majukumu ya kumsomesha yeye no ploblem

  • @thabitdeco1575
    @thabitdeco1575 Рік тому +3

    MWACHE AJE KWENYE DINI YETU YA UWISLAM 😂 NDOA INASIHI KISHERIA AKIBALEHE TU YAFAA HUKO MPAKA AMALIZE SKULI NDO AOLEWE DUH ILA CHA KUCHANGAZA HYO AKIWA ANASOMA LAKINI ANA BOY FREND NA WANAZINI INGEKUWA HAINA NENO KWELI KUSOMA SIO KUELIMIKA

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 Рік тому

      Ni kweli lakin kuwa na boyfriend wenyewe wanajiiba hata wazazi hawahusiki ila ndoa mpaka wazaz wanajua na kusoma ndo bas tena hapo sasa kuna sheria ya dini na sheria ya nchi

  • @franciscakija1702
    @franciscakija1702 Рік тому +1

    Tuko tulofeli na kumeolewa mwatusaidiaje😢😢

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Рік тому

      Ww endelea kufel huko mana ulishafel cku nyng 😆😆😆😆😆

    • @franciscakija1702
      @franciscakija1702 Рік тому

      @@salamasaidi6620 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jescalutegonsombnambyakoda6719

    Mm ningechalaza bakoraaa wazaz na hao wasimamiz

  • @CatherineMmbaga-qe4zf
    @CatherineMmbaga-qe4zf Рік тому +1

    Ubwabwa jee🤓

  • @user-is4nz8bo8d
    @user-is4nz8bo8d 11 місяців тому

    Unakuta jilani kachoma kwasababu wakehajaolewa wapo sanasana mitaani hawa

  • @Yunis-hn9hn
    @Yunis-hn9hn Рік тому +1

    Huyu ni chaguo la serikali

  • @EliatoshaLema-rw5hm
    @EliatoshaLema-rw5hm Рік тому

    Safi sana mkuu wa mkoa

  • @julianadaudi4921
    @julianadaudi4921 Рік тому

    Mi sijaona noma hapo

  • @jacklinemsechu221
    @jacklinemsechu221 Рік тому

    Noma

  • @kapondazenaida-nq5hk
    @kapondazenaida-nq5hk Рік тому +1

    TANZANIA 😭😭😭😭😭😭

  • @WizmanTiger-kp3pp
    @WizmanTiger-kp3pp Рік тому +1

    Kumamazenu tatizo hamtoi ajira mtatombwa nyinyi sasa

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 Рік тому

    😮😮MUNGU mkuu jamani😊

  • @user-xj5vm7ig2d
    @user-xj5vm7ig2d Рік тому

    Duh

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 Рік тому

    Ndoto gani sasa ndoto za kutafuta ajira bila mafanikio

  • @ashamaneno9819
    @ashamaneno9819 Рік тому +1

    Hamna lolote uyo kashaonja hata kama akienda shule hakuna kitu hapo. N ndoa z kanisan nasikia wanaaza kutangaza haya nyie matangazo mulikua amuyasikii mungewah hapo kabla ajaaza kubadilishwa stahil z ulalaji sasa hapo leo anaelew nn tena ukute hapo anaona kuchelew watu wamwagike wakaaze kutiana

  • @user-nn5sq8ol4g
    @user-nn5sq8ol4g Рік тому +1

    Kee

  • @shaphiasabani5760
    @shaphiasabani5760 Рік тому

    Hakuna sheria izo mtto kafika 20 ruksa kulewa

  • @sakinahamis6443
    @sakinahamis6443 Рік тому

    Wasukuma hawafai

  • @abigaelmgabe3417
    @abigaelmgabe3417 Рік тому +1

    nilisoma kwa bidii sana sana ila nikipewa nafasi ningeishia form 4 tu nipige mishe nyingine tu yaan.. Vyeti vinaozaaa havinisaidii navichukiaaa...Nimelazimika tumia akili nyingine kusurvive kitaa. Ila wazaz msiwakatishe watoto wenu kisa kuolewa though shule kibongobongo sikuiz kubwa nikujua kusoma na kuandika na kuhesabu. si mimi wala wazazi wangu walonipambania sana aliyejua nitakuwa muuza dagaa. Ukinikuta mwaloni ukaambia nina bachelor ushuz huamini huku aloishia la pili anamtaji mkubwa ujuzi mkubwa na connection kubwa ya biashara kuliko mimi nguchiro mwenye shahada uchwara. Si bora ningeolewa mapema?

    • @michaelkitebo9305
      @michaelkitebo9305 Рік тому

      Njoo nikufundishe mishe za MADIN,Mimi nilistuka mapema.nakaa na watu wenye madgrii kupiga story dakika ya mwisho wananiomba elf kumi nashangaaaa!!!

    • @abigaelmgabe3417
      @abigaelmgabe3417 Рік тому

      @@michaelkitebo9305 ndo madegree yaloyopo mtaani et elim itamkomboa my foot kusema kweli ni upotezaji muda tu nachokiona. Kuhusu madini noo broo sijawai ata waza