Utamuonea huruma MARIOO wimbo wake bado haujafikisha views milioni moja,sababu ni KOMASAVA ya DIAMON
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- Please subscribe now on our UA-cam channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#diamomdplatnumz
Marioo tulimwambia Aache kabsa kujinadii kwamba ni msanii wa HIT .Sasa Akiendelea ivo basiii 🎉😮
Mario ameyatimba alikuwa ananusa upepo...huyo ni LUKUGA...tunampa Pole sana mtoto mdogo!!!😂😂😂
Mina kupendaa kwa habari zako. More love from Dr congo 🇨🇩🫡
Omary mdomo umemponza 😂😂😂😂😂
These are small small artists.......Diamond platnumz is on Top.
Wale wanaempenda Simba lukuga a.k.a. wakimataifa namlaiki
Marioo hakusoma Kwa harmonize l made it and mapoz 🤭🤭🤭
Marioo hamwezi SIMBA 🦁🦁
🙏chris mitindo from mlabani🙏gonga apo🔥
Komasava 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🔥🔥🔥🔥🇹🇿
Unezakuta mario alidhani ata mchallenge simba sasa kikamkuta😂😂
Nakubali kaka 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Simba ni mmoja tu 🦁🦁🦁
Middle Simba nakuelewaga sana ,karibu tule mawese
Toto bad kajimix
Kapigwa na balaa zito😂😂😂😂
Marioo aliamini uchawi wa Harmonize utamusaidia...Laana tupu😅😅😅🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kila mbuzi na ale kwa urefu wa kamba yake
Dogo Mario bado sana Kwa lisimba
Marioo kaona harmonize anashindana na diamond akadhani na yeye pia ataweza mapigo lakini hapa kajichagaya aki
Harmonize kaweza?
@@Fantastic.-gm1eosana tena domo
@@Fantastic.-gm1eokawsza nn
Uwa wnadanganyana kuwa mondi kaixhia iyo ndosbida
@@Fantastic.-gm1eo show our evedence don't talk to much bro
Komasava imeshinda albamu 4 za makonde chezea simba weye
Marioo akishikana na kistuli wanamchana mondi sasa wacha mwiba umuingie🤫
Lukuga simba la masimba dangote
TUPO BIZE NA COMASAVA YA DAIMOND PLATINUM ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Yeye siamuombe simba msamaa t
Kwani alimkosea nini? Mbona kama mnakuza vitu vya kijinga sana
Kwa kikubwa kipi 😮😮😮 kwani huyo mondi ndio Mungu 😮😮😮
@@ASHAKHAMISMUSSA inamana ww ujuwi hilo
Wewe ni mshambaa sana middle
Hakuna matata umefika hadi mwinyi huko znz lakin imeishia sandukuni pole sana marioo
MARIOO AJIELEWI ANAJIONA MKUWA WAKATI BADO SANA MARIOO ALIONA AKIFANYA KAZI NA HAMONARZ HATAPATA MAFANIKIO KUMBE NDIO ANAJIARIBIA MWENYEWE 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. TUPO BIZE NA COMASAVA YA DAIMOND PLATINUM ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Simba kweli tindo
Imagine kuoga aaah ( Stive Mweusi) 😜😜😜tamtoa Maji Maji Majieee ( Lava Lava )😅😅
Dah mariooh
Kaka ume sema kweli, Mimi namkubali mondo na pia namkubali malio ila hapo kaji changanya MALIOO
nampenda mtu anaepambana,kujitaidi. nakumpa nguvu,matumaini.
Pole yakee baba amarah angesubuli kwanza 😢
Komassava🔥🔥🔥🔥🔥
Huruma Sana
Simba from mozambique 🇲🇿
Marioo ashajiona mkubwa kumbe bado sana
No one leo
Nipe like zangu leo wa kwanza
Habari sana hanabahati tu
Ameyakoga maji ya batry 😂😂😂
Amna kitu wasanii ni watatu waw wasafi tuu uyo anapoteza mda
Apo simba alivyokua na sifa umeua😅😅😅
Sio sabab KOMASAVAA bahn iyo ngoma yake ya kawaida sana tu haina ishuuu katoa audio kitambo tuu km kuhiti imehit ila vdeo kushoot kwny magar ya mizgo ita hit wp😅
😢😢😢simba nihatali sana
Haaaaujuui 😂😂 ameeingia chachikeee weeeh
Keep it up
Fun base ni tofauti kabisa, hata ukiwachanganya Ali Kiba, RayVan na Harmonize hawawezi kumfikia Diamond, Diamond ni mtu anayefikilia mbali sana, amegusa nchi zenye popolation kubwa, amini usiamini huu wimbo unaweza kufikisha more than 500m views
Hiyo Nyimbo inayo sikika background ,Niyanani Tafadhari
real
Mm kama shabik nimegundua mondi anatoa album na commasava itakua ndan yake hawez acha ipite hiv hv
Harmonize kashondana na nguli kweli,kuhusu nini,kitugani,pesa,magari,manyumba,nininininini😂😂😂😂😂😂
Mario tuliza mzuka simba humuwezii pambana nawakina harmonize na wakina rayvany
Vinyimbo wataimba ila waah kumufikia..bado sana
Kaeni kimya kuna timu ya vitenge itajichanganya pia tarehe nane, tutawakabia kwa juu. Simba hanyatiwi 😂
Alijichanganya dogo😊
Middle simba unazingua
Ilimradi tunaipenda sana nyimbo ya mario haina shido
Iyo era ya video angewapa omba omba
Mansour is too big you can't compare marihooooo pole
Hakuna matat best Mario tupo nawewe
Marioo tumemuacha apambane na Harmonize. Simba wapinzani wake ni abroad bro..
Ngojanikayitizame nikayipushi mario naye namukubali
Mtu pekee anae weza ku kuchuana na daimond ni harmonize peke yake tu Ila alikiba marioo rayvann msiki wa mondi hawauwezi ni harmonize peke ndo anawezaga kumtikisa
Hyo hawez ndio hawez kabxaa kumchallenge Simba
Sasa huyo harmonize ndo kajichanganya kitambo tu akapotea akakimbilia siasa
Anayeweza kumchalange mond ni zuchu tuu
Ata hamo hawezi kabisa ,huyu ni motooo
Hata huyo hamo alikimbia alivyo taka kutoa I made hit na mond akatangaza mapozi au umesahau
Lukuga sio wakushindana naye Hana mpinzani
Marioo kafanyiwa figisu na mwambino
Mario kafanya kivyake tatizo WATU wanapenda weka mawazo yao mbele ndo maana wanashindanisha n'a diamond. Koma sava wanao ifaa ikubwa siyo diamond Wale wasani aliyo washirikisha njo wanaifaa kubwa..natation uyu Simba media nishabiki wa diamond toka zamani
ila marioo motoo wee😂😂
Bdo harmonize sas tuna msubir
Kakutana kimbunga kiamaa😂😂
Marioo pale alipoanza maneno mengi akachezea hisia za mashabiki.amuulize mr pimbi karudi mazima kwa diamond kaona rayvanny wala harmo hawampi chochote
Kayakanyaga ndio wamueahim sasa ote wasanii wa bongo wache zarau Kwa simba❤❤😂😂😂😂Hilo nionyo Kwa wanao taka kushindana nasimba ukisikia diamond platnamz anatoa nyimbo tulia alitaka zishindanishwe😂😂😂😂
Marioo ni mnoma lakini shida yake anapenda kujisindanisha na diamond nikama anapenda kuenda na upepo wa SIMBA
Ndo kaziyako rafiki wowote wa harmonazi huwezi msema vizuri,mbona unaroho mbayasana na Mario ?
Hajamsema vibaya kasema ngoma imezimwa na ngom ya dunia ila ngoma ya marioo na video nikali ila hajasoma alama za nyakati
Ewe middle
mbna unatumia nguvu nyingi Sana kumshusha mariooo we mwandish gani inayepost vya diamond tuuu krisimasi hiii jitenguwe mwenyewe
We umeona wapi anamshisha?? Pungunguza papara,, midle simba anaongeya fact ❤❤
Ndo ajue saizu yake wajue wa kushindana nao simba ni hatari Sana ni level nyengine Tyr kasha chezea za uso
Wote mliocoment hum ni makenge tena makuma niny mario kajitahid xana mtu mmoko ndan track moja
Collabo ina waimbaji 4 😮😮😮😮 yeye jeshi la mtu mmoja hamuoni ht haya
Mwmbino ana Roho mbaya sana ndio maana anachukiwa Hakuna matat best tnzania
😂😂ila wewe
Si roho mbaya dogo kajichanganya🤫
Oyaaaaa uo ni ushoga bro kwan we msani
Shida Yako middle uko na😢😢 wivu...nani amekwambia Mario anashindanaa😂
Mario alikuwa na asilimia 100 kuwa kitu alichokifanya kweny Ile video yake ni kikubwa sana akajipamatumaini kuwa Amna atakae fanya kikubwa kushinda Ile video yake ndio mana Simba alitangaza ataiachia video yke sa 6 usiku alichukulia poa kumbe mwenzake kajipanga na video kali zaidi yake
Huruma gàn sasa unaçhèķesha hauna news
Huyu middle finger ni pimbi Sana msishughulishwe na umbeya wake wa kinafki,,kijana badi anapambana Sana ila tatizo la huyu jamaa ni chawa wa diamond hili halina ubishi,,kunawasanii wengi sana wanaostahili kupewa heshima yao lakini ww content zko nizakusifia mtu mmoja kila uchwao,,hatukatai kuwa diamond ni mkubwa ila kwasasa naye anabebwa kama unabisha hili mwambie atoe ngoma asimshirikishe msanii yoyote alafu uone,, utasahau ya Marioo,.
Nyinyi ndio mnaomkuza ila kiukweli Hana maajabu hili liko waz
Hajafakisha...so what?tupige nduru ama?
Ukweli unauma🫢
Aliekudanganya kutrend ni kuwa na viewers weng ni Nan , unaongea nonsense, Konde boy on the top
Mashoga hamjaisha bado
Bomboclaat
Hii itampa adabu kbs.
Na ajifunze kbs kuwa na adabu. Mjinga kbs.
Mm sipendi mnavyo mfanisha diamond platnumz na vitu vya ajabu