TOP 10 YA WASANII WENYE MAGARI YA KIFAHARI NA BEI KALI TANZANIA 🇹🇿
Вставка
- Опубліковано 6 кві 2023
- Mdau wetu Hii ni orodha inayojuimuisha mastaa wa Bongo Fleva Pekee sio kiwanda chote cha mastaa ikiwemo wale wa Bongo Movie hapo ni muziki tu.
Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
#diamondplatnumz #alikiba #tanzania #live #simbasc #yangasc #harmonize #wasaniiwenyemagarimakalibongo #wasaniiwenyenyumbakalitanzania #mastaawenyemagarimakalitanzania #wasaniimatajiritanzania
Wasanii wabongo kumiliki range Rover wanakua tajiri uku Kenya range Rover Niya Mama mboga
Tanzania range Rover mnaona niya kifahari😂uku Kenya range tunakatia manyasi ya ng'ombe
Tunawapa hongera kwani watakufa wayaache kwanza diamondi aache ubinafsi hayo ndo yangu bhana sinameng from 🇰🇪
Wabongo acheni unafkii kiba Ako top na sio nambar saba
Siku ambayo diamond atakufa mtamkumbuka mengi sana
Nikweri kabisa uku tz msanii nasie msanii akimiliki gali izi anaonekana tajiri mkubwa sana, uko kenya 🇰🇪 mjomba angu godlack ana endea shambani kuchukua chakula ya nguluwe 🤫🤫🤫🤫
Konde gang ndo habar ya mjini
Harmonize akijibanabana anaweza akamfikia , ila mpaka yesu arudi duniani
kumiliki range si rahisi Kama unavyo fikiria
Namuona harmonize mbali sanaaa few years to come ndo atakua namna moja Tanzania kwa kumiliki pesa,magari na nyumba Kali zaidi.
Big up sana kwa Diamond
Nakubali simba
Nakubali tjr simbaaa
Namkubali. Kingi. Kiba. Mnyama
Habali za wakinga
Nakubali smba
Harmoniz baba
mimi navyoona ni simba🦁🦁🦁🦁
Diamondi mukari
Sawa wabongo