TOP 10 YA WASANII WENYE MAGARI YA KIFAHARI NA BEI KALI TANZANIA 🇹🇿

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Mdau wetu Hii ni orodha inayojuimuisha mastaa wa Bongo Fleva Pekee sio kiwanda chote cha mastaa ikiwemo wale wa Bongo Movie hapo ni muziki tu.
    Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
    #diamondplatnumz #alikiba #tanzania #live #simbasc #yangasc #harmonize #wasaniiwenyemagarimakalibongo #wasaniiwenyenyumbakalitanzania #mastaawenyemagarimakalitanzania #wasaniimatajiritanzania

КОМЕНТАРІ • 218

  • @PascoalPiusZuber
    @PascoalPiusZuber 11 місяців тому +1

    Konde gang ni chama cha masupasta na nimeipenda sana sana sana

  • @benjaminaltilalila6144
    @benjaminaltilalila6144 11 місяців тому +4

    Siku ambayo diamond atakufa mtamkumbuka mengi sana

  • @Saidi-ti8vk
    @Saidi-ti8vk Рік тому +3

    Nakubali smba

  • @ThomasTemba-u6z
    @ThomasTemba-u6z Рік тому +8

    Namuona harmonize mbali sanaaa few years to come ndo atakua namna moja Tanzania kwa kumiliki pesa,magari na nyumba Kali zaidi.

    • @DanieliBaharia
      @DanieliBaharia 5 місяців тому

      ua-cam.com/video/jd6f-KeSQ70/v-deo.htmlsi=HmzdFNw-J68rv7tj

  • @zazalareine257
    @zazalareine257 Рік тому +5

    Nakubali tjr simbaaa

  • @PimentDenella
    @PimentDenella Рік тому +5

    Harmoniz baba

  • @RepdcObama
    @RepdcObama Рік тому +1

    Big up sana kwa Diamond

  • @MudrikiJuma-e1j
    @MudrikiJuma-e1j Рік тому +4

    Big up

  • @SamsonMakanyaga
    @SamsonMakanyaga Рік тому +1

    King namber one

  • @manuchodesimba
    @manuchodesimba 4 місяці тому +1

    nakubali hiyo gari ya mondy ni kali kwanzo hiyo gari inaitwa rolls royce eeh ni noma sana

  • @Williamalikando
    @Williamalikando Рік тому +1

    mimi navyoona ni simba🦁🦁🦁🦁

  • @wizzjeifo
    @wizzjeifo Рік тому +3

    Alikiba nimtu mkubwa sana bha

  • @Antyshirima
    @Antyshirima Рік тому +4

    Tunawapa hongera kwani watakufa wayaache kwanza diamondi aache ubinafsi hayo ndo yangu bhana sinameng from 🇰🇪

  • @saumusulaiman4742
    @saumusulaiman4742 Рік тому +4

    Team kiba gongeni like hapa ❤🎉🎉🎉

    • @saumumtoi1997
      @saumumtoi1997 3 місяці тому

      ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @GikaroCharles
    @GikaroCharles 9 місяців тому

    Hongera mond

  • @EVERLINENGELELA
    @EVERLINENGELELA 2 місяці тому

    Simba juu

  • @celtawakwila
    @celtawakwila Рік тому +5

    Simba number 1

  • @raphaeysavely
    @raphaeysavely 3 місяці тому

    M noma sasn

  • @SaadaomaryHussein
    @SaadaomaryHussein Місяць тому

    Amin kwamba

  • @rosemarynyahiri9192
    @rosemarynyahiri9192 Рік тому +2

    Diamond bebe

  • @mpawenimanagerard9177
    @mpawenimanagerard9177 Рік тому +1

    Nakubal san

  • @JonathanMrmoney
    @JonathanMrmoney 6 місяців тому

    Nakubali simba

  • @AnthonyKuchaba
    @AnthonyKuchaba Рік тому +1

    😮 tembo kikohozi mwamba simiyu ndani

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr Рік тому

    Big up❤❤

  • @carlosroomd
    @carlosroomd Рік тому +2

    Nakubali sana babu

  • @RaphaelAdorwa
    @RaphaelAdorwa 5 місяців тому

    Konde boy harmonize

  • @EddaExavery
    @EddaExavery 4 місяці тому

    We nandi atavunja rekodi ya simba❤❤❤

  • @FiriJeshiøgsmith
    @FiriJeshiøgsmith Рік тому +1

    Akuna zaidi kond boy 1
    Namukubali sana
    From burundi

  • @SylvanneFanny-ci6rp
    @SylvanneFanny-ci6rp Рік тому +5

    Diamondi mukari

  • @Bawazirmohamed
    @Bawazirmohamed Рік тому +7

    Wabongo acheni unafkii kiba Ako top na sio nambar saba

  • @NaaMakanu
    @NaaMakanu 10 місяців тому

    Saw vzl

  • @AnordChengula
    @AnordChengula 9 місяців тому

    Nawakubalii xaxa mm nataka kaziii

  • @NawazShaaban-x2k
    @NawazShaaban-x2k Рік тому +6

    Kiba number one

  • @JeradJairos
    @JeradJairos Рік тому +8

    Namkubali. Kingi. Kiba. Mnyama

  • @AbedyDady-e5h
    @AbedyDady-e5h Рік тому +5

    Konde gang ndo habar ya mjini

  • @ojumaFreddie
    @ojumaFreddie 4 місяці тому

    Konde sawa ila apo kwa King kiba mnatuonea

  • @WilsonLuvinga
    @WilsonLuvinga 8 місяців тому

    Kaka njoo chunya kaka

  • @MARIAMSHOMARIMWATANDA
    @MARIAMSHOMARIMWATANDA Рік тому +1

    Kiba oyeee

  • @YanickWiliam-kv7pm
    @YanickWiliam-kv7pm 6 місяців тому

    Kazi wanayo

  • @BahatiKakuru-v6w
    @BahatiKakuru-v6w 3 місяці тому

    Tetezitu hizo kazi ata sizawo

  • @MalimiMarko-vs3gc
    @MalimiMarko-vs3gc 5 місяців тому

    Namkubari mond😂

  • @Omrankasiga
    @Omrankasiga 6 місяців тому +1

    Habali za wakinga

  • @TizoKapita
    @TizoKapita Рік тому +1

    Iyo nimeikubali

  • @MasudiNyiliza
    @MasudiNyiliza Рік тому +2

    Hakuna zaidi ya alikiba😅😅😅😅

  • @AmaniwilisonVincent
    @AmaniwilisonVincent 6 місяців тому

    Simba wew nimukali

  • @AbdillahissaRamadhni
    @AbdillahissaRamadhni 9 місяців тому

    Namkubali juma jux

  • @HalfanRamadhani-t7v
    @HalfanRamadhani-t7v Рік тому +5

    kumiliki range si rahisi Kama unavyo fikiria

  • @justinemasuke
    @justinemasuke 9 місяців тому

    Wasaidie wasojiweza

  • @Gilbertshadiri-rm7jf
    @Gilbertshadiri-rm7jf 6 місяців тому

    Sawa wabongo

  • @BahatiDaniel-w2g
    @BahatiDaniel-w2g 11 місяців тому

    Ntawaomba kaz

  • @FreditambweAndre
    @FreditambweAndre 8 місяців тому +1

    King

  • @YusuphMsangazi
    @YusuphMsangazi 6 місяців тому

    Sijailewa top ten

  • @Babyrichmondking
    @Babyrichmondking Рік тому +2

    Hizo gari naskia sijui 80 million 40 milllion my friend ukikuja kenya hizo range Rover ni 3 million kuendelea alafu hapo kwa rolls Royce rank na watanzania wenzako usijumulishe East Africa wasanii wako na ma Lamborghini huku Kenya na hawajisho up

    • @joshuakosovo5525
      @joshuakosovo5525 9 місяців тому

      Rolls Royce ni gari ya 40m hadi 70m pesa ya kenya but ka ni Lamborghini pia ni 40m hadi hapo

  • @AdmiringDriftwood-dl6cx
    @AdmiringDriftwood-dl6cx 9 місяців тому

    Mtu wa kwanz ni harmonize

  • @mweniztv
    @mweniztv Рік тому +2

    Konde boy ndiye ataivunja hio record

  • @emmanuelsanga-ow4zz
    @emmanuelsanga-ow4zz 8 місяців тому

    Harmonize amaeza kulipa hyoo

  • @yaunde17yaund17
    @yaunde17yaund17 11 місяців тому

    nyey kweli hamuna vichwa sawa

  • @WilliamArila-qt6bj
    @WilliamArila-qt6bj 8 місяців тому

    Kweli pongezi kwenyu wasanii wetu

  • @PendoHakiba
    @PendoHakiba 7 місяців тому

    Ahh mondi we Atari

  • @InnocentMalisa-g7w
    @InnocentMalisa-g7w Місяць тому

    Diamond kaua

  • @arnoldmatee883
    @arnoldmatee883 Рік тому

    You are most being on wasafi side

  • @SaidiJumunneSaidi
    @SaidiJumunneSaidi 6 місяців тому

    Mnajua kwa rickross ni ujinga mno umaskin mtupu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉😢😢😢😢😊😊😊

  • @SultanMadawa
    @SultanMadawa 7 місяців тому

    Hatari

  • @AriseniJackisoni
    @AriseniJackisoni 7 місяців тому

    Juma marco

  • @MurtalaMohamed-n1g
    @MurtalaMohamed-n1g 5 місяців тому

    jux atvunja record ya diamond

  • @ImerdaMtalemwa-by4uw
    @ImerdaMtalemwa-by4uw Рік тому +4

    Harmonize akijibanabana anaweza akamfikia , ila mpaka yesu arudi duniani

  • @raisphdtz
    @raisphdtz 8 місяців тому

    Wee jamaangu muongo sana du

  • @SalsonBabingwa
    @SalsonBabingwa 11 місяців тому +1

    King kiba

  • @SirageMansadesirage
    @SirageMansadesirage 5 місяців тому

    Akuna mwengine kama simba

  • @ChengshanSuzha-t9h
    @ChengshanSuzha-t9h 4 місяці тому

    Kenya kizungu ya walevi na range Rover ni gari la hustler wa chini

  • @RamaShija-q5d
    @RamaShija-q5d 2 місяці тому

    Amna ni diamrond

  • @DJAJAX-bs1xi
    @DJAJAX-bs1xi Рік тому +3

    Uyo sasa ndo the giant from africa

  • @DannyLuka
    @DannyLuka Рік тому

    😅😅😅 apo kwa simba sas

  • @ElisantePaulo
    @ElisantePaulo Рік тому

    Mario ndo Baba lao lakn kiba anakwama kuingia katika timu ya makolor TABU LELE ⁵ nakupendaa mario unakuja vizuri 😂😂😂 kibaa unakwama

  • @SaidiMussa-zk8tp
    @SaidiMussa-zk8tp Рік тому +1

    Saruti kwakondee

  • @eddytabenkiponda4287
    @eddytabenkiponda4287 Рік тому +13

    Kiukweli napenda sana tanzania.lkn kuna shida moja ambayo hawawezi kuachana nayo nayo ni uninafsi.mana maisha ya alikiba .ni makubwa kuliko ya harmonize na van boy.lkn hapa amewekwa mbali kabisa..yani wataka kumfananisha alikiba na mbosso. Pamoja na zuchu kweli.huu ni unafki....lkn kiukweli wa maisha alikiba yuko juu kisha sana
    .wala sio mtu wakutaja vitu visivyo kuwa vyake..ile siku mtabadilika na kuwa wa kweli bac tz itakuwa na nguvu nzuri sana.kwa hawa wasanii
    Mana hakuna msanii aliye wahi kuhesabu pesa zake mbele ya waandishi wa habari.hivi haya yote muliyatoa wapi kama sio kuhongwa uli mumwage sifa za kiongo..

  • @elizakiwory1311
    @elizakiwory1311 Рік тому +1

    Tumechoka range

  • @SongaIsaac-p2o
    @SongaIsaac-p2o 2 місяці тому

    Nikweli

  • @PiusSpiridion
    @PiusSpiridion 8 місяців тому

    Konde ndo bas tena

  • @williamkaponda-jk5ii
    @williamkaponda-jk5ii 2 місяці тому

    izo nizashambani

  • @FestoMkata
    @FestoMkata 7 місяців тому

    Acheni zarau watanzania penden chenu

  • @sinasudisaid4613
    @sinasudisaid4613 Рік тому +2

    Simba mkali

  • @DorcasMujakazi
    @DorcasMujakazi Місяць тому

    Dunia ipo nguvu

  • @RamadhaniallyAlly-ht6ey
    @RamadhaniallyAlly-ht6ey Рік тому +2

    Ajapangilia

  • @widebrainclassic
    @widebrainclassic 8 місяців тому

    Range rover kenya 🇰🇪 zimezagaa kila mahali . Ni gari ya kawaida sana

  • @EdghaMoses-js8lj
    @EdghaMoses-js8lj Рік тому

    Kumbe kumiliki range kibongo bongo unakuwa umetoboa.

  • @AllyJuma-s2k
    @AllyJuma-s2k 6 місяців тому +1

    Harmnz apo anashk nafas a ya one

  • @SammySlaves
    @SammySlaves 9 місяців тому

    Jeshii atamyoa

  • @NeemaMkwemba-ws9du
    @NeemaMkwemba-ws9du 8 місяців тому

    Tunataka wanunue ndege sasa

  • @AbdillahissaRamadhni
    @AbdillahissaRamadhni 9 місяців тому

    Rayvanny kumbe yupo na yeye at

  • @MARIAMUNJOJO-fk1yo
    @MARIAMUNJOJO-fk1yo Рік тому +2

    Hakuna Zaid ya simba

  • @pauloegbert515
    @pauloegbert515 Рік тому +2

    Wakigua wanataka wasaidiwe

  • @frankmahenge5943
    @frankmahenge5943 Рік тому +1

    Cha ajabu masanja mkandamizaji hayupo

  • @teddyKenga
    @teddyKenga Місяць тому

    Range Rover huko Tanzania mwaiona ya Bei sana huku kenya hizo n gari za wa mamah sokoni

  • @PetroMghamba
    @PetroMghamba 8 місяців тому

    Wew muongosana kadanganye washamba

  • @hilarymatheka5048
    @hilarymatheka5048 2 місяці тому

    80 milion ni kama 4 million nne za Kenya ,hakuna rage Rover ya hizo pesa kidogo

  • @mfaumelikongwa9947
    @mfaumelikongwa9947 Рік тому +4

    Nikweri kabisa uku tz msanii nasie msanii akimiliki gali izi anaonekana tajiri mkubwa sana, uko kenya 🇰🇪 mjomba angu godlack ana endea shambani kuchukua chakula ya nguluwe 🤫🤫🤫🤫

    • @zaynd5366
      @zaynd5366 Рік тому

      😁😁KRG THE DON wa wap

    • @JamesMake-m2q
      @JamesMake-m2q Рік тому +1

      Ndy mjomb wako ww unay nakam unay njoo tz tukuon tajir🤒

  • @benjaminaltilalila6144
    @benjaminaltilalila6144 11 місяців тому +3

    Tanzania range Rover mnaona niya kifahari😂uku Kenya range tunakatia manyasi ya ng'ombe

    • @WinnieCherono-e4q
      @WinnieCherono-e4q 10 місяців тому

      Kweli

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 8 місяців тому

      Erick Omond alikuwa anaandamana juu ya nini?? Njaa zinawaua Majirani acheni ubinafsi saidieni majirani na ndugu zenu mnatupa tabu huku Sirali hasa mkija kwenye misiba ya ndugu zenu mnabeba kila kitu kha

    • @IddyPrince
      @IddyPrince 8 місяців тому

      Achakuongopa ww😂😂

    • @luckyluchano1
      @luckyluchano1 8 місяців тому +1

      Ongeza volume kidogo mzee ni kama hawajaskia vizuri😂

    • @AlfanTumaini
      @AlfanTumaini 7 місяців тому

      Hahahahaaa...! Ongeza sauti wakuckie😅😅

  • @MjengiDukani
    @MjengiDukani Рік тому

    Aliye pewa amepewa mungu kawapa tusubirie na sis zamu zetu mungu akipenda atatupa t tuache wivu wa kijinga pia wamejituma sana washikaji wee endelea kukaa kijiweni na kisubiria upewe jitume Mzee mungu sio boya akupe wewe mwenye majungu kama yote

  • @johnolimiri778
    @johnolimiri778 Рік тому +1

    na wewe mwenyewe