❤ watanzania kwa ujinga tunaongoza kweli kama hilo suala baada ya kumsuport diamond anavotuwakilisha kimataifa tunaanza kumsema vibaya jamani tuache unafiki huo Simba atabaki kuwa Simba long life🎉🎉
Majizzo anawapotosha sana watangazaji elimu yao ya D mbili ndo matatizo yao haya kama Derulo Hana maajabu hata mond angeimba na Chriss brown wangesema Hana jipya , Simba popote ulipo jipige kifua una Dunia Yako kaka tunajifunza mengi Toka kwako
Fanya follow up,jadon derulo ana subscribers 35m,anahit songs nying. Jason really did diamond a favor. And am a fan way before hii remix,na yupo bado yupo juu!
De rulo yule ni class ya dunia hii mondi itampeleka sana mfano rema kwa Selena Gomez ilimpush sana kumbuka Selena Gomez alikuwa muda mrefu hajaimba nyimbo 😢😢😢😢
Inasikitisha kuona baadhi ya wa TZ wanamkosoa daimond na kumdhihaki badala yakumpongeza kwa kazi nzuri iliokuwa inasifiwa hata nchi za nje. Ivo hawana ata hamu yakujisifia wenyewe kuwa na mtanzania anaefanya makubwa duniani. Huo ni ujinga na roho mbovu. Jonijo siku zote hana jema lakumsemea daimond, sijui wamekwazana wapi. Lakini inafaa kujifunza kusema la ukweli ili upate kufanikiwa 😊
Hapa jonijo alifeli kidogo ile ni colabo kubwa sana halafu Jason ni mtu wa watoto hana kujiona kabisa Chris brown yupo vzuri lakini anajiona sana na pia amepoteza funs wengi sana kutokana na skendo za kila siku
Ukiwa mjinga huwezi kuelewa ila kauli tu ya kusema sio mzuri ni jibu tosha mtaenda kumtazama na kujua ni mkubwaaa game over kama unakula ugoro huelewi😅😅😅😅
WATANGAZAJI WA EFM awajielewi hata kidogo wanachuki sana na daimond platinum NASISI KAMA WATANZANIA TUJIFUNZE KAMA WENZETU WA KENYA TV KAMA HIZO SIO ZAKU SAPOTI KABISA KAMA WANASHINDWA KUSAPOTI VITU VETU BORA tusapoti TV zenye watangazaji wanao jielewa
Huyo mtangazaji afutwe kazi hajui anachokisema🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah diamond akulinde nahsuda za mwanadamu akuzidishiye riski ameen
Watangazaji vilaza wengi wapo Efm
HILO PRESENTER LIPUUZII JONIJO NI MPUUZI PIA. JASON DELULO IS BIG TO US MAPRESENTER WAPUUZI
Watanzania tuna mengii ya kujifunza kupitia SIMBA 🎉🎉🎉🎉
Jifunze tuuu brother
@@MeenaHassan-fd9vvTatizo wabongo hampendani mbn msiwe km wakenya...
Jonojoo hatuache kwanza sisi tupo bize na comasava
Simba atazidi kuwa simba
Demu wangu jonijoo unafelimno.🎉
Simba baba lao
Watangazaji kama Hao wakufukuzwa inchi kabisa 😂😂😂
Jonijo wadawa😂 yamemua mbwa uyo
Huyu mtangazaji mshenzi yeye sana simba wamtake wasimtake hashikiki
very true ✌️🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🎉💪🦁🦁
❤ watanzania kwa ujinga tunaongoza kweli kama hilo suala baada ya kumsuport diamond anavotuwakilisha kimataifa tunaanza kumsema vibaya jamani tuache unafiki huo Simba atabaki kuwa Simba long life🎉🎉
Yani sisi ngozi nyeusi tumejaa na chiki binafsi na roho mbaya
Takataka Sana haooo jmaaaa yaaniii asee watuu wanawivuu Sanaa aseee duuu hawa jamaaa duuuu🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄 hapanaa middle simbaa tusaliii sanaaa mwambaaa hapanaa kwa kwelii duuuu
Wivu unawasumbua awana lolote. Daimond Plantinum kawaacha mbali ❤
Njaa br ndo zinawatesa kama pimbi dingano😂😂
Very true!
Majizzo anawapotosha sana watangazaji elimu yao ya D mbili ndo matatizo yao haya kama Derulo Hana maajabu hata mond angeimba na Chriss brown wangesema Hana jipya , Simba popote ulipo jipige kifua una Dunia Yako kaka tunajifunza mengi Toka kwako
Chizi huyo jonijo ajui mziki atupishe ss tuko bize na comasava
😂
Hawa watangazaji wasengee tuu
Mpumbavu Huyo anafuga ndevu Pesa Hana mpuuzi kweli huyo ni
Jealous only. Nothing else!
Simba🔥🔥🔥🔥🔥
middle, mm shabiki namba moja naomba kujua jina la wimbo background, tangu 2019 huwa natamani sanaa kujua
Daaaah💔
Fanya follow up,jadon derulo ana subscribers 35m,anahit songs nying. Jason really did diamond a favor. And am a fan way before hii remix,na yupo bado yupo juu!
Wa ine leo jmn ❤❤
Simbaaa🙏🙏🙏🙏
Je uyo ninani ka sema ivo mbon simujuwi
Iyo nipumbavo to
De rulo yule ni class ya dunia hii mondi itampeleka sana mfano rema kwa Selena Gomez ilimpush sana kumbuka Selena Gomez alikuwa muda mrefu hajaimba nyimbo 😢😢😢😢
hello middle simba getting u loud and clear from kenya
Kwaza john amefubaa mno analolote
Tanzânia Mashoga sana, Simba ndo abari ya Mozambique 🇲🇿
Tengua kauli shoga wew popoma mmoja ndio utukane nchi nzima shubamiti wew
Like kwa wakwanza jamani🎉
Chuki zao ndiyo ndiyo zinapoza roho mbayaaa tuu simba la masimba hakuna kama simba😂😂😂😂
Shoga Sana huyu jonijo! Akwende
Fala sana huyo aendeeee
Jonijo Ana Chuki sana Huyu jamaa
akilindogo uyo achan nae
Roho mbaya sio mzuri
Simba wa in the world sasa😂😂😂
Uyo ana wivu
huo atulie tu simba
Huyu pia atakuwa ni mwanasimba😂😂😂😂😂😂 Jonijo hana akili
Kwasababu aritoka wcb ndio chanzo chakumchuki smb kaferi sana😂😂😂😅😅 atakoma nabado bc ataingia aimbe kwenye mbadara wa jnsn derulo
Hasidi hana sababu
Wasanii wengine wanajisikiliza wenyewe saahivi katika sebule zao😂
Hakuna kifungu cha kuwafungia hao watangazaji
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni simba anajua labda afe ndo wasanii wanaowataka wawe juu 😂
Uyo mtangazaji Hana akili
Kuwasogeza kule! Kule wapi?
Hakuna kazi inakosa changamoto kaka simba achananao watu wanamsema mungu haonekan sembuse wewe
huyu derulo ni wamoto muda wote tatizo labda hajamfuatilia anazo ngoma zake mpya kali na ametoa album juz tuu
Huyo joycejo ana chuki si alifukuzwa kazi pale wasafi
Wanawivu unawasumbua and hao awajui mziki watengeneze tuu script za maigizo😂😂
Kwenyehuu mzik hakuna kama simba wivu2 unawasumbua
Ni simba la masimba
Awamu djuwi Jason Derulo Awa ni wa popo tu
Hii ni kolabo ya djuuu Sana
Fala sana jonijo
Jonijo ni mjinga na mpumbavu
Kweli ajakoseya jonijo
Wanatafuta kiki hao mbwa
Mshamba huyoo mamaee
Inasikitisha kuona baadhi ya wa TZ wanamkosoa daimond na kumdhihaki badala yakumpongeza kwa kazi nzuri iliokuwa inasifiwa hata nchi za nje. Ivo hawana ata hamu yakujisifia wenyewe kuwa na mtanzania anaefanya makubwa duniani. Huo ni ujinga na roho mbovu. Jonijo siku zote hana jema lakumsemea daimond, sijui wamekwazana wapi. Lakini inafaa kujifunza kusema la ukweli ili upate kufanikiwa 😊
Badala tupiganie makonda aonekane mpo bize kubishama usenge wa hawa jamaa da kwel zt bhana 😢😢
Yeye jonijo basi apeleke ndevu zake ao akamuombee baba yake kolabo aone km atafanikiwa duuuh kumbe hii inchiii wajinga bado wapo 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Akili fupi na wazito kufikiria na ma boss wa media waamgalie watu wanaowaajili
Wale ni matakotu
Kiukweli tumempea Jason favour
Hapa jonijo alifeli kidogo ile ni colabo kubwa sana halafu Jason ni mtu wa watoto hana kujiona kabisa Chris brown yupo vzuri lakini anajiona sana na pia amepoteza funs wengi sana kutokana na skendo za kila siku
Kisa tu katoka wasafi binadam 😂😂😂😂😂
Huyo Jonijoo anajuwa kusema baba aako tu hana lolote.
Uyu joninjo kama ye ako na impact aliinteview wangap wa nnje
Lakin anachosema nikweli , kwasababu diamond yeye anataka grammy sasa kama unataka grammy inabidi utafute watu ambao wapo kwenye grammy
Uyo boya anaumia ajaludishwa wasafi ndio maan anaumia ten tulimsahau kabisa kaon aludi mjini kuinga ngoma ya simba.
Huyo jonijo ni "K"
ofu mbona alionge sio jonijo ika kikombe chote kapewa yeye
Jonijoo chuki za kufukuzwaga kazi wasafi
mimi.naupenda u mziki unaoinba video zako
Kiufupi nichuki tuu
🎉 wa kwanza like kwangu
Jonijo wewe nikuma kama ya jilani kwako we nikuma,
"Delulo" ndio nani ndugu mtangazaji? Fanyia kazi "R" na "L" kaka. Utafika mbali.
Bwege tu uyo
Ukiwa mjinga huwezi kuelewa ila kauli tu ya kusema sio mzuri ni jibu tosha mtaenda kumtazama na kujua ni mkubwaaa game over kama unakula ugoro huelewi😅😅😅😅
Midomo ni yao
Jonijo anaupwilu hp mondi nndo kafanya ferulo tumjue na sio derulo ndo kamtangaza mondi mbwa ww
Kwa hawo watangazaji akuna mwanadam kweli
Watafuteni wengine ili aimbe
Wajinga sana
WATANGAZAJI WA EFM awajielewi hata kidogo wanachuki sana na daimond platinum NASISI KAMA WATANZANIA TUJIFUNZE KAMA WENZETU WA KENYA TV KAMA HIZO SIO ZAKU SAPOTI KABISA KAMA WANASHINDWA KUSAPOTI VITU VETU BORA tusapoti TV zenye watangazaji wanao jielewa
Dah hawa jamaa kumbe machoko hivi ata siamini
Kumbe jonijoo n Mjinga kias hicho
Kwa jinsi walivyo muongelea jason ina mean tukija bongo wasanii n 5 tuu hakuna wengne wenye impact ikatokea labda msaan wa kenya kuja kuimba bongo
Jason Derulo✔
Jason Deluro❌
Kiukweli watanzania amujui kutamuka jina la Derulo😅😅😅
Unajivunia nini sasa hali ya kuwa wewe mwenyewe kiswahili hukijui vizuri, acha ushamba kiazi weee
amujui😂 kutamuka😂 ni nini hapo umeongea samadu weee😂😂😂
Simba nisimba tuuuuu
Wana angamia kwa kukosa maalifa
Wakwanza leo
Hhhh ko
Walikua wanongea jokes tu
Ndokazi yawa Bongo,mtu akisema ukweli anachambwa nikitu cha kawaida sana kwa wabongo nawala sio mjadala,wewe kaziyako niku mkungia diamond, unataka upewe vipaza sauti vya inchi nzima ?