DIAMOND amewakimbiza DAVIDO,BURNABOY na WIZKID kwa kujaza watu wengi kwenye show moja,ashika namba..
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Please subscribe now on our UA-cam channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#diamondplatnumz
Simba🦁 Ajawaiii muacha Mtu salama ...
. Bigapuu sana 🇹🇿
Diamond Platnumz ni level nyingine , mi huwa nawashangaa watu wanaomfananisha na wasanii wengine ambao hata Burundi hawajawahi kufanya show huko
Simba nimkubwa teana sana kuona msani anaeimba Swahili mpaka anafika apo sio kazi ndogo nivile tuu watuu hawariziki 🤌🤌kwaio tumupe respect yake kama msani kutoka Afrika mashariki ❣️❣️Mimi wakwanza namupa heshima yake 🙏
QATAR WATCHING💯
Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah diamond akulinde nahsuda za mwanadamu akuzidishiye riski ameen
🔥🔥🔥🔥🔥 Simba East Africa
Tatizo letu ss mashabi uwa tunashabikia bili kuchunguza ila kiukweli diamond platnumz anatufanya ss mashabiki zake Tue na furaha sana ❤❤❤
Wcb wasafi tujuane apooh ndugu zanguni ❤❤❤❤
Ogera sana mr diamond platnumz
Simba big one
🦁 simba 🔥
Mashaallah diamond🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
courage Diamond Platnumz je t'aime fort malgré je suis congolais 🇨🇩
🔥🔥🔥
Kweli middle Simba umekuja n'a fact Kila mtu ashinde merch zake , Diamond Plantamz anatuwakilisha East Africa
💥💥🔥🔥🔥🦁🦁
Good job
💥💥💥💥🤝🙌
Simba
Washabiki wa harmonize huku wakizani diamond alikua anaboost watu 😂
😂😂😂😂
Mnaamini ujinga kutoka kwenye channel za wajinga, hv huyu awe wakwanza kupost ishu kama hyo bila wasafi? Acheni kukurupuka watu wabafosi viewers kwenye channel zao ili waingiza pesa
😮😮we vipi kwahiyo unataka ku mlinganisha diamond plantumz na harmonize? Harmonize msanii mkubwa ww sio levo za diamond plantumz.
@@DjemsTorontos Harmonize ana ukubwa kwa vigezo gani?
We zombie!!🔥🔥🔥🔥
Haujui
Wanaongea sana ila mwishowe simba anawin🎉🎉😂😂
Simba in Africa 🔥🔥🔥
Simba🔥🔥🔥💐💐💐💐💐
❤❤❤❤❤
WA kwanza nipewe like zangu
Simbaaaa
Simba i love you so much I'm from kenya but huyu KRG the don ako na utoto sana please middle simba can you explain to this ktg about currency pay ,,he disrespect diamond platnumz because he is from Tanzania
Daaa hiyoo ngoma au hilo biti Linalo lia mwisho ngoma gani please
Manguli hao ❤❤❤simba
big unahuwa sana
Sikupingi Middle uko sahihi kaka mkubwa akili kichwani😅
The one and only 💯💯💯
Kwenye wasani wenye wamefanya vizuri kwaku jaza watu kwa kweli diamond platnumz ayupo ata kwenye top 10 barani Africa
Huyu Somali nae wawapi kw maana Kila mara yy akonyuma na masaa!!!😂😂😂
Toa list yako basi tuone
now tunajua
Ooooh les golois où es tu? 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
😂😂 français swahili
Noma sana
Il faut savoir parler
SIMBA 🔥🔥 MUNGU AKUZIDISHIE MAISHA MAREFU ILI UZD KUTUWAKILISHA WATZ.
𝓝𝓲𝓹𝓸 ❤
middle simba am ur big fun from 254 say hi to mee plz
Oyaa hiki kiumbeee kina barha
Pongezi sana middle 🦁
❤
dimond tunamukubari🎉🎉🎉 sisis
Anawanyoosha bila huruma❤❤❤
Uyo ndo msani mwenye nguvu apo kwenu tanzania alikiba yy anajua redio tu na mademu 😂😂😂
Simba noma Mungu mbariki sana ❤❤❤
I understand Diamond is ur boss 😂😂😂😂😂😂
Simba la Simba
Wezombie🦁
Big mwongo san sikuelewag
Wow fally ipupa
Oya tunaangalia international west Africa ndio wababe ni hilo tu,🙌
Kweli
First from namibia
Sasa kumbe😂😂😂
Mapenz ua sio nakiwango
We tunakujua kama choko daimondi anakugonga na ndomaana unamsifia hata akiwa hafanyi kit cha kueleweka labda awazidi kutoboa toboa pua
Yaa nimekubali
Vipi kuhusiana na numbers kwenye digital platforms kama Spotify na nyinginezo
Kamulize mamaako
🙌🙌🙌
Middo hiyo goma ya nani please nisaidie jina lake.l ask for help support
Sasa wasifia Simba mtu ambaye anajaza Africa aenda uko o2arena mambele we wamsifia apa kweli hauko sawa
Fuatilia Hapo Juu Kabla Middle Hajasema Akili Kumkichwa
Sasa 02 arena inauwezo wakubeba watu elfu 60 pekeake wakati mwamba kashajaza watu laki mmoja Ethiopian akili kichwani zombie 😅😅😅
Acha utoto diamond hiyo amejaza South Sudan wa naijeria hata pale kwao kwa nini washindwe kujaza hivyo, hata kama wamewahi kujaza pale nyumbani kwao iyo dadi ingaliwekwa kwenye mkeka acheni roho mbaya
Diamond mnao mchujulia poa endereeni tu ila huyu mtu sio wakitoto tuache naziea ukisikiriza rekodi hizi ndio unajua diamond sio wamchezo
Bro samahani sana nimefatilia ila nimeshindwa naomba nisaidie jina la song linalool play nyuma apo ukiwa unaongea pleasee
Simba si mchezo
😂😂😂 toka wacha kudanganya watu
Kuna watu hawamini kuhusu diamond😂..hata kukisema burna boy aje bongo na diamond aende nigeria lzma mondi ampiku burna😂
Ndiomana wabongo wengi hawaelewi wanapoambiwa Mondi ni msanii mkubwa wanataka awe anaongea kizulu au kifaransa ndipo watakubali
simbaaaaa
Simbaa anatisha
Kajaza wapi we naye mjinga wewe middlia simba harmonize msanii mkubwa kuliko uyo diamond plantumz wenu mjinga mwenzenu 😮😮
Maskini yaani mna force harmonize mahali kuna facts wow
Jamaa balaa na nusu
Simba mNyama mwingine wewe mwacheni alivyo
mbona haukuzungumuzia arena England kama diamond nimusani mkubwa anawazidi wasani kutoka Nigerian
Bonn yan wakajaze mambeke hilo sasa
hiyo ni kitambo sana wewe ndo unasema saizi
Mond ni habari nyengine
Kk mbona sijasikiya uyoo harmo ambaye iko nataka kushindana na mondi
DPM weka mbali na watoto ni noma
Burna boy South Africa ame Jaza watu laki 100.000 mbona sioni apo fake news
Nyinyi ni wapuuzi mliokuwa hathamini vya kwenu hiyo ni moja ya record ambazo mpaka sasa wasanii wa naijeria hawajaweza kuvunja na wataumia sana
Hakunaga laki 100 mkuu
Alf unaskia alikiba akijitamba kua nimsanii mkubwa kumzidi mwamba kweli?? Ahahahahah 😂
😂😂😂😂😂😂 tunajitekenya na kucheka 😅😅😅😅😅
ni simba la Masimba dangote
We middle sijui km hukanyagwi watu wanajaza arena unasigia east afrika 😂
Acheni utoto sisi tu naangalia numbers kwa nini wao washindwe kujaza hata pale nyumbani kwao Ah! Bro mbona ingaliwekwa kwenye mkeka pia
Uyu atakua anakanyangwa na mondi
sinbaaaaaa
Mwamba. Anapepeaa
Toka uko muongo wewe
W2 wabixh takwim bado wabixhna
👏👏👏👏👏👏👏
Simba
Simbaaaaa
Simba
Simba
Simba
Simba
Simba
Simba