KASWIDA ANAYO ALAMA ILIVYOWAINUA WAFALME WA MOROKO NA MUFTI WA TANZANIA - NASAHA CREW

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 278

  • @tazzat3383
    @tazzat3383 5 днів тому

    Just imagine prophet Muhammad sitting on this congregation on the high table with all those luxurious delicious food!!! And also dancing!!!SUBHANALLAH

  • @HusnaHussein-oi9jr
    @HusnaHussein-oi9jr Рік тому +5

    Mashallah mnanikumbuxha nilipokua nikixom buguruni neemalwaly qadiria chini ya ustadh Hassan Banda m mungu amlinde na hasadi nanyi nyote

  • @ibrahimjumbe6434
    @ibrahimjumbe6434 Рік тому +7

    MashaAllah
    Mungu amrahamu almarhoum sheikh Ismail Muhammad alikua na beti zake nzuri sana kuhusu kaswida hii 😭😭😭

  • @modiyuu6287
    @modiyuu6287 Рік тому +2

    Mashallah kazi mzuri hakuna bidaa hapo ila nitamaduni to mungu awazidishie kwenye uendelezi ya swala y mtumd s.c.w❤❤❤

  • @raheemhamisi5370
    @raheemhamisi5370 Рік тому +19

    Jaman kwani mbona wimbo mzuri wa kumsifia mtume wetu (S.A.W)hakika nimeupenda jaman kama kuna mtu anayo Audio antumie ntashukur sana jaman.
    Waislaam tupunguze lawama,,,ata km ni taarabu inamsifia mtume wetu kuna ubaya gani,,,???acheni izo jaman waungwana wa kiislam.
    Eti baadhi ya waislaam wamekerwa na suti walizovaa,,???kikubwa ni ujumbe uliopo kwenye qaswida jaman tupunguze kupondea waislaam.

    • @riiabbas3393
      @riiabbas3393 Рік тому

      Yani inaskitisha waislamu kuandika inna lillah wakati watu wamekusanyika Kumsifia Mtume.. Jamani hii dunia ikiwa watu hawakusanyiki kwa mwaka Ivyo ni mtihani kwa vizazi vijavyo mana Hata jina la Muhammad wa natamani lipotee

    • @omaryntagala3740
      @omaryntagala3740 Рік тому +1

      ​@@riiabbas3393 jina la mtume latajwa sana ila sio kwa hili huo sio utaratibu wa kumtaja mtume wetu S.A.W

    • @mariamharoon1840
      @mariamharoon1840 Рік тому

      Hapo kwenye muziki 😢 tu kweri ya allah nijarie nijue dini yetu

    • @jamalimussa4928
      @jamalimussa4928 2 місяці тому

      Mziki huo😢😢

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b 2 місяці тому

      KAMA UMEPATA HIYO AUDIO NAMI NAOMBA

  • @burhantvtzonline5417
    @burhantvtzonline5417 Рік тому +10

    MAASHAALLAH TABAARAKALLAHU,ZITTAAAAAA ZIKUBWAAAAA,swalluuui a'alaa habibi Muhammad (s.a.w)

  • @issajafarimzi2784
    @issajafarimzi2784 Рік тому +10

    Tumswifu mtume(s.a.w) alojaa sifa nzuri zakupende,a

  • @user-id1me9ve1o
    @user-id1me9ve1o 9 місяців тому +2

    Masha Anllah anayo alama kipenzi chetu 😢❤❤اللهم صل وسلم وبارك علي سيدنا محمد

  • @MaryamHaji-bb5gv
    @MaryamHaji-bb5gv 9 місяців тому +2

    Mashallah Allah akuzidishie tupate kuingia nae mtume peponi inshallah

  • @fathiyaali6171
    @fathiyaali6171 Рік тому +8

    ماشاء الله ماشاء الله، اللهم صلي وسلم على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين 😍😍😍😍

  • @aidasalingwa976
    @aidasalingwa976 Місяць тому

    MashaAllah hakika twamsifuMtume Kwa sauti nzuri kama hivi

  • @anwarosman7206
    @anwarosman7206 Рік тому +5

    Maashallaaah very beautiful

  • @hemedisaidi9023
    @hemedisaidi9023 8 місяців тому +1

    Sababu za mtu kua shoga Moja wapo ni mziki mnaacha msingi mzuri wa Kur Ani na Sunnah Kwa ufaamu wa wema waliotangulia mkashika njia mbaya maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam laiti wengekua kama masufi hii dini ya Allah isingetufikia sisi huku baba unaimba na kupiga dufu je mtoto wako atakuaja kuaje namuomba Allah awaongoze ndugu zetu tambue Kila Mmoja atakua kaburini pekeyake ndo pagumu hapo

    • @mwantummakoa4253
      @mwantummakoa4253 4 місяці тому

      Usihukumu Bali muombe mola wako akuepushe na Shari ktk dini,,,yawezekana madhambi ulionayo nimakubwa kuliko hizo dufu,,,mda mwingine hata mzaz wako hujui amekula Nini leo

    • @adamjutto5849
      @adamjutto5849 2 місяці тому

      ​Kwako wewe mwanamke unahakki ta kutetea hayo yanayofanywa,lkn uislamu umemkataza mwanaume kufanya vitu hvi kwa sbbu ni vya wanawake​@@mwantummakoa4253

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 Рік тому +6

    Uzushi wa mzumari katika dini ni zulma mnawafurahisha viumbe mazaifu mnauza dini yenu

  • @rashid3562
    @rashid3562 2 місяці тому +2

    Mnaopenda kuponda ni wachoyo tu Hamna uchamungu wowote

  • @hemedisaidi9023
    @hemedisaidi9023 8 місяців тому +1

    Innalillahi wa inna lillahi rajiuuni ndugu zangu waislam acheni hayo mambo ya kuimba na kupiga dufu wanaume mtume swalla llahu alley wassalam akutoa mafundisha hayo muyafanyayo Wala swahaba zake mikono italegea itakua kama mikono ya Wanawake acheni matamanio ya nafsi maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam walipigania dini ya Allah sio kuimba na kupiga dufu twawapenda kwaajili ya Allah hizo mzifanyazo ni njia za sheitwany Alie laaniwa na Allah

    • @HalfaniRashid
      @HalfaniRashid 3 місяці тому

      Mtume wakati anapokelewa madina ilipoimbwa Twala'al badri zilipigwa nini pale maalim, punguzeni ujuaji, shida mnakariri hamtaki kusoma

    • @HalfaniRashid
      @HalfaniRashid 3 місяці тому

      Dufu zimepigwa kipindi cha mtume sembuse leo bana, jitahidi kusoma maalim, usifate mkumbo

  • @twalaataib7337
    @twalaataib7337 Рік тому +5

    MASHALLAH JAZAKALLAH VERY VOICES FRM KENYA

  • @user-jt7dx4xu2o
    @user-jt7dx4xu2o 10 місяців тому +2

    Maashaala kaswinda nzuri sana

  • @lelasharifabdi1139
    @lelasharifabdi1139 Рік тому +5

    Mashallah mashallah anayo alama bwana mtume like voice 🥰😘❤

  • @leaderboy7565
    @leaderboy7565 Рік тому +11

    Allah atupe ufahamu sahihi wa dini. Tunafanya mambo mengi tunadhani tupo ktk dini kumbe tunahaaribu dini. Tusimeni uislamu wetu

    • @yahyayusuf1761
      @yahyayusuf1761 Рік тому +3

      We wajua maneno yako ni kiasi ya kuita mtu kafiri ati tunaharibu dini hivi ndivo tunavo mswalia mtume s.a.w kama hupendi usitizame

    • @athumanmwamgupu661
      @athumanmwamgupu661 Рік тому +3

      Silazima utazame, Kila mtu anafahamu zake!!?

    • @ramadhanShaban-cb9fs
      @ramadhanShaban-cb9fs 10 місяців тому +2

      Tupokatika haki achadhanapotofu kasomekwanza

    • @hafanabdallah3112
      @hafanabdallah3112 10 місяців тому

      😂😂😂😂😂 Anza kusoma kwanza ww alafu ndo ujibiwe

    • @mariamomary3537
      @mariamomary3537 10 місяців тому +1

      Mbea we we wajua lip tunga lako uwe nalo peke yako we mwenyew muovu

  • @nassirhamad9407
    @nassirhamad9407 8 місяців тому +1

    Mumebaki kwenda kurikodi na Zuchu sasa...Pumbavu zenu
    Hiiii dini munafikiri ni ujinga huo munaofanya watu wa BIDAA... TUTASHUHUDIA mengiii sanaaa

  • @abdulhamidjafar3176
    @abdulhamidjafar3176 Рік тому +1

    Dah dktr abubkry azuubeiyry bin aliy muft mkuu wa Tanzania allh akuepush na bid-aa na uisimamie dini ya allh kwa haki .na allh awafhmishe nyinyi lkn pia awafhmishe na hawa wanokutukneni ,Kwan dini cio kuitana wapumbav Wala waking bl dini nikufhmishn kwa hekm na busara.

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 2 місяці тому

    Heri haya ya kujumuhikia kumbukumbu za kipenzi chetu MTUME WETU MUHAMMAD (saw) Kuliko kujumuikia mipira ya manaswarah ! Nampenda aliye na halama Kipenzi NABI MUHAMMAD (saw) Asiye mswaliya ni mkosefu wa fadhila .

  • @feisalboy6702
    @feisalboy6702 Рік тому +3

    Kawaida ya bidaa cku zote huwa inaongezewa utamu ili sheitwaan azidi kuwachezea ndani ya nafsi zao

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 Рік тому +12

    Apo ndipo waislamu walipo potea, yaan UYAHUDI nyuma ya pazia.
    INNA LILAH WAINA ILAYH RAJIUUN

    • @allyabubakarisaidy5894
      @allyabubakarisaidy5894 Рік тому +3

      ww bhn kam answar utajua mwenyw kwan hz s sifa za mtum au shida nn wamepotea ww ndo haujapotea wot ss hakn anay jua mung ach kusem waislam wamepotea ila inavyoonyesh ww nd wale mnao mping mtum ww wach kuwalaum ulev wa bwan mtum nimtam kulik mviny haram

    • @bahiyalumelezy3016
      @bahiyalumelezy3016 Рік тому +3

      Wewe unajihisi mtakatifu saana unakwenda peonies ee?km wamepotea unawafatilia yanini?unayapenda haswaa ndy maana unasikiliza na kufatilia.ulilazimishwa kutazama?

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 3 місяці тому +1

    Unapo sema Wafalme wanenyanyuka kwani ndio kiigizo chema Subhannallah huo ni muzki namuziki niharam nasivngine ushushi na wazushi nimotoni

    • @user-il5te5xd5y
      @user-il5te5xd5y 25 днів тому

      kwahiyo unathibitisha hao wanaingia motoni

  • @mahfoudhjuma4833
    @mahfoudhjuma4833 Рік тому +2

    Mziki ni mchanganyiko wa alarm na mashairi ss unamtaja mtume ndani ya alarm ...mungu tupe hekma ya kujua haki ilipo

  • @binabeidsalim6380
    @binabeidsalim6380 11 місяців тому +2

    اللهم صلى وسلم عليه
    ما شاء الله يا اخواني

  • @soudkhamis7006
    @soudkhamis7006 9 місяців тому +2

    Hii hatari zaidi sasa . Tumuogope mungu jamani

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 Рік тому +6

    SUBHAANALLAH LEO DUNIA IMEISHA

    • @Allyahmed40
      @Allyahmed40 Рік тому +1

      Acha wivu acha Mtume Muhammad Aswaliwe Sheikh

    • @hamisimuhammad3656
      @hamisimuhammad3656 Рік тому +1

      @@Allyahmed40 kuswaliwa mwenyewe sio hivo sasa

    • @user-il5te5xd5y
      @user-il5te5xd5y 25 днів тому

      unashangaza unaposema dunia imeisha wakati maulid imeanza kabla hujazaliwa

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 2 місяці тому

    Masha Allah aswaliwe mutume❤❤

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 8 місяців тому +1

    Taarab ,uislam na tarabu wapi na wapi ? Tumcheni allah jaman dunia mapito

  • @MohammedAli-zx6yh
    @MohammedAli-zx6yh Рік тому +3

    duh htr mashekh

  • @asmamjema8539
    @asmamjema8539 Рік тому +5

    Mashaallah

  • @BakarOthman-fl7cq
    @BakarOthman-fl7cq 2 місяці тому +1

    Nyote mnaounga mkono upumbavu huo,nyinyi ni majahil murakab,munaunga mkono uyahudi olewenu,na hilo sheikhe lenu ni jahili kubwa

  • @feisalboy6702
    @feisalboy6702 Рік тому +1

    Watu wa bidaa ni watu wabaya sn ktk jamii na uchafu wote ktk jamii asilimia kubwa wao ndio waanzilishi

  • @TeamKRX
    @TeamKRX Рік тому +4

    Acheni basi kwani tumeambiwa tuwe na kilio time zote sikilizeni hadithi za mtume alikuwa na furaha na huzni wakat mwengine acheni basi kosa walilolifanya hawakuvaa kanzu tuuuuuu wengeuwa kichizi mshalahah

    • @hafidhsalum9149
      @hafidhsalum9149 Рік тому

      Wangeuwa kwa hiyo taarabu na vinanda me nahic wangeta viuno ndo wangeuwa zaidi pumbavu zao

    • @pikanaauntzuu1466
      @pikanaauntzuu1466 Рік тому

      Na mtume alikua akienda kuskiliza kasida na wake zake kwenye zinapigwa kasida

    • @hameezhami7795
      @hameezhami7795 Рік тому +1

      Na kunesa alikuwa ananesa rasulullah.❤

    • @user-xl5qj8we2x
      @user-xl5qj8we2x Рік тому

      ​@@hafidhsalum9149😂😂😂😂😂😂

  • @user-dj9tj6tj6y
    @user-dj9tj6tj6y 8 місяців тому +1

    Allhahu Akbar Allah awazidishie

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 Рік тому +7

    magita vinanda ngoma duh ! hapo sasa hata mimi niliokua nikijinadi kua maulidi sio bidaa sasaivi sipo na nyinyi ndio yale aliyo sema hiyo ni ndugu yake taarabu, mnatupoteza

  • @stamelistameli8461
    @stamelistameli8461 Рік тому +3

    Masha allah

  • @RehemaMgongwe-di3yf
    @RehemaMgongwe-di3yf 2 місяці тому

    Nijia ya allh pekee waisilam tumche mwenyezi kwa makin kaswid inatufahamisha tuyafanye mema

  • @hamisimuhammad3656
    @hamisimuhammad3656 Рік тому +3

    Dini imekua kanisa Sasa maana hayo nimambo yakikanisakanisa

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 2 місяці тому

    🎉Si thani kama kuna ikhtilafu kumpenda mohamed ni tharura kuliko nafsi yako NA watoto wako bora isiwe mchanganiko mtume hakusema kitu wakati wa idi wakati watu walikua wamefurahi

  • @saidseif1860
    @saidseif1860 Рік тому +3

    Duh Mambo haya ni uzushi xi mziki huu someni dini jaman

  • @AbuuSaif
    @AbuuSaif 2 місяці тому

    Jaman tufuateni dini tusiuate nafsi zetu NA sheitwan. Allah awaongoze katika haki

  • @saadaliy3979
    @saadaliy3979 Рік тому +3

    Hatar sana mzee koba

  • @MozaissaNassor
    @MozaissaNassor 2 місяці тому

    Yaa Allah tuoneshe haki na utuwezeshe kuifata natuonyeshe baattil na utuwezeshe kuiwacha.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 місяці тому

    Mimi sioni ubaya hapo mana hakujakatwa viuno wala hakujapigwa ngoma za mbwa kachoka uchezaji wake ni ustaarabu tocha mungu muweza anajuwa niya za waja wake tuwache kuhukumiana hupendi acha fanya unoona sawa usiwahukumu watu utakavo wewe

  • @bakariyusufujuma
    @bakariyusufujuma Рік тому +6

    Mbona mmechanyika wanawake na wanaume hayo ndio mafundisho wanawake kuwapiga picha wanaume!?

    • @rashidmlawa6548
      @rashidmlawa6548 Рік тому

      Kwani hujui kama hiyo ni taarabu

    • @bakariyusufujuma
      @bakariyusufujuma Рік тому

      Hahahaaa hapo sawa nilikuwa napata tabu mashindano ya kitabu kitukufu na na hilo zege inakuaje

    • @HalfaniRashid
      @HalfaniRashid 3 місяці тому

      Makka wanachanganyikana wanaume na wanawake wanasali kabisa unasemaje

    • @HalfaniRashid
      @HalfaniRashid 3 місяці тому

      Au hujui ibada za umrah zinavo fanyika

  • @issashekh4726
    @issashekh4726 15 днів тому

    Ewe Allah atunusuru hakika sisi ni wakosefu 😢

  • @user-uo7hs4is6y
    @user-uo7hs4is6y 2 місяці тому

    Masha Allah

  • @SulemanMuhidin
    @SulemanMuhidin 2 місяці тому +1

    Na kwanini wasipige takbir n wanapig makofi, n hawatoridhika mayahi mpaka muwafate mila zao, mie naishaia apo ,sipend mabishano napend kuelimisha 8:58

  • @user-ju1dg4xt4l
    @user-ju1dg4xt4l Місяць тому

    Mashaala allah 🎉🎉🎉🎉

  • @AbdalahSichonge
    @AbdalahSichonge 10 місяців тому +1

    Maashallah

  • @RehemaMgongwe-di3yf
    @RehemaMgongwe-di3yf 2 місяці тому

    Amina karama yamwenyez tuendeleze

  • @salumsimai642
    @salumsimai642 Рік тому +7

    Daaaaaah innalillahi wainnaaa ilaihirajiuuun rajiuuun

  • @SulemanMuhidin
    @SulemanMuhidin 2 місяці тому +1

    Assalamualeykum, Mtume ,amekwisha lisema zamani katika hadithi zake kuwa zitakuja bidaa nyingi, na kuna hadithi ilisem bidaa ni upotevu tena motoni, hivyo tuelimishane muuongoaji ni Allah, kwani hata wakiristo wanaona dini yao ni sahihi na wanabishana , je kweli ni sahihi

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official 2 місяці тому +1

    BIDAA MBAYA 😢😢❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌

  • @jumajafar8710
    @jumajafar8710 Рік тому +2

    lailahillaah,masufinamashianibabanamtoto

  • @barkebahesmy1257
    @barkebahesmy1257 2 місяці тому

    Kuna watu wao kukosowa tuuu lkn hawafundishi mema nendeni mpirani muusifuuu mwisho mupigane😅

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 Рік тому +15

    Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 місяці тому

    Hii bidaa tunaiyona sisi tu tanzaniya hatari sana Indonesia hakuna bidaa kenya hakuna bidaa na nchi kadhaa zinoimba na kutumiya vyombo hivo.jqmana kuna mambo tumwachiye mola tusihukumiane

  • @nassirhamad9407
    @nassirhamad9407 8 місяців тому +4

    BIDAA BIDAAA BIDAAA Haina tofauti na nyimbo za akina DIAMOND na Zuchu na wengineooo....Mcheni Allah watu wa BIDAAA dini munaipeleka siko munaaavuuuka mipaka sasaaa

    • @hamisjuma4081
      @hamisjuma4081 5 місяців тому

      Kama ni Bidaa why umechukua mda wako kwakusikiliza bidaa Acha mambo yako hujalazimishwa kusikiliza Bidaa wewe unaojiona uko sahihi endelea haijatajwa nguruwe hapo katajwa MTUME MOHAMAD S,A,W.

    • @hamisjuma4081
      @hamisjuma4081 5 місяців тому

      BIDAA BIDAA Huku unasikiliza

    • @sharifisangyo8038
      @sharifisangyo8038 3 місяці тому

      Bidaaniwewe hunamaarifayadini acheni wahmu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Рік тому +1

    Wallahi laiti mngekuwa mnajua msiba wa waislam leo kutoijua dini yetu ya uislam basi msingepannda majukwaani na kunengua viuno hii ndio hali walinizonazo viongozi na matajiri wa kiislam.

    • @bahiyalumelezy3016
      @bahiyalumelezy3016 Рік тому

      Waacheni na wewe fanya unaloona kwako sahihi usihukumu watu.wala usiwaangalie ukajikera buree

    • @selemankishema5780
      @selemankishema5780 Рік тому

      @@bahiyalumelezy3016 nenda mapumbavu wewe mmekalia ujinga ujinga hali ya dini mbaya mnafanya mchezo,

  • @Dawlat282
    @Dawlat282 2 місяці тому

    Nzuri sana

  • @FasihiRaisi
    @FasihiRaisi 2 місяці тому

    Kwani hayo maulidi,tofautisheni maulid na wapiga vinanda,hem njoon zanzibar muone maulid y mfunguo 6 maisara,hakuna duf walakinanda

  • @abuuirfan9523
    @abuuirfan9523 Рік тому +4

    TAARAB LIVE

  • @HusnaMakame
    @HusnaMakame Рік тому

    Mashaallah Allah barik

  • @omanruwi5501
    @omanruwi5501 2 місяці тому

    Masha Allah Masha Allah ❤❤🎉🎉

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 Рік тому +2

    pia wataitolea futuwa wakitetea leo hii hivyo vyombo vya mziki

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 Рік тому +2

    Msiba_Mzito_sana

  • @imranijuma6955
    @imranijuma6955 Рік тому +3

    HAWANA TOFAUTI NA MASHIA HAWA ALLAH AWAONGOZE YAANI HATUJA KAMILIKA LKN HAWA WAFUASI WABAKWATA MASHAKA MATUPU NENDA MAKKAH AU MADINA PALE UKAPIGE IVO🙄🤔🤣MASHEKH WA BAKWATA WAPOTISHAJI WAPO KIDUNIA NA STAREHE ZIMEWALEVYA MASKINI NA KUPENDA KUKAA KWENYE MA GARI YA KIFAHARI YANAMWISHO WAKE YAANI WATU WA SUNNA WAPO VIZURI KWENYE MISIMAMO YA KIDINI HAWA WANAPENDA MADUFU SIJAPATA KUONA

    • @ismailmsangule1380
      @ismailmsangule1380 Рік тому

      Wewe omba mwisho mwema usihukumu sio kazi yako

    • @abdelqadir5227
      @abdelqadir5227 Рік тому

      Shiat-Ali and proud❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🌹

  • @najatsalum2122
    @najatsalum2122 Рік тому

    Namuona shekh langu shekh Kabeke

  • @shazyahya4121
    @shazyahya4121 8 місяців тому +1

    Hii ni taarabu watu wasije fikiria kuna dalili ya uislam hapo amekosekana hadija kopa tu

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 2 місяці тому

    Afu sheikh mmoja ananyanyuka anamtusi mzee yusuph kwenye taarab😂,ni kwa sbbu aliona ya kule na haya hayana tofauti,ila angishekimana na watu wa sunnah angeambiwa tenga mda wako uje usome,raha ya ahlu sunnah ipo kwenye kukesha kwenye elimu,sio kukesha kwenye huo upuuzi

  • @salumsimai642
    @salumsimai642 Рік тому +3

    Sasa hiii na taaaarab hakuna tofauti etiiiiii

  • @Fatma-up9qs
    @Fatma-up9qs 2 місяці тому

    Innalillahiy wainnailayhi rajeun. Masufi tupu

  • @barkebahesmy1257
    @barkebahesmy1257 2 місяці тому

    Teta sura zao zina ghdhabu hwapendi furaha abbadan😮mpaka wanzeeka😂

  • @user-kp2ok4zl1x
    @user-kp2ok4zl1x 8 місяців тому

    Si Milad Bali Arusi... Wamechangayika Waume na Wanawake. Pili, viyakula kwa Sahani ghali !!! Wapoteza wakati wao bureee !

  • @ShaameMBakar
    @ShaameMBakar Рік тому +2

    uhuni huu

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 Рік тому +2

    Hakuna tofauti na taarab.

  • @abuuirfan9523
    @abuuirfan9523 Рік тому +2

    Masheikh ubwabwa Allah anawaona mtakwenda kumueleza nini?

    • @bahiyalumelezy3016
      @bahiyalumelezy3016 Рік тому

      Wewe sheikh mchuzi fanya yako ya kimchuzi usiwahukumu watu

  • @Allyahmed40
    @Allyahmed40 Рік тому

    Anayo wallahi Anayo. Opoooooooooh sharif Koba

  • @asyaameir8703
    @asyaameir8703 Рік тому +5

    TAARABU ANAYO ALAMA ILIYOWAKOLEZA WASIOJUA KUTAFAUTISHA BAINA YA DINI NA DUNIA

  • @AzizaMombe-fy4qv
    @AzizaMombe-fy4qv 3 місяці тому

    Allahu akbaaru dini yetu taamu

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Рік тому +2

    Kazi ipo 🤔🙄😣

  • @dullahmihuri
    @dullahmihuri Рік тому +8

    Innalillahi wainna ilaihi rajiuun

    • @jakuabdull34
      @jakuabdull34 9 місяців тому

      Inailahi rajiun mwenyewe cc nyoyo zimefurah kutajwa kipenz chetu

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 Рік тому +1

    dini gani hii?

  • @SulemanMuhidin
    @SulemanMuhidin 2 місяці тому

    Na kwanini wasipige takbir n wanapig makofi, n hawatoridhika mayahi mpaka muwafate mila zao, mie naishaia apo ,sipend mabishano napend kuelimisha

  • @Fatma-up9qs
    @Fatma-up9qs 2 місяці тому

    Is this instrumental song halal in Islam???

  • @wardaam3707
    @wardaam3707 Рік тому

    Maaashallah

  • @HusseinMdee
    @HusseinMdee 3 місяці тому

    Wewe mwenyewe ni bidaa Mana umezuka hukuwepo .

  • @barkebahesmy1257
    @barkebahesmy1257 2 місяці тому

    Ukiwa hupendi ondoka .we bado umeganda tu tuache sisi wa2 wa bidaaa😂

  • @user-wk4kr8id6u
    @user-wk4kr8id6u 2 місяці тому

    Duuuu Allah atunusuru

  • @abdulhalim5950
    @abdulhalim5950 4 місяці тому

    Mashindano y quran alaf mziki nynyi ni masufi mmejiondolea mipaka

  • @shamsaelbeity8250
    @shamsaelbeity8250 Рік тому +2

    Umesoma quran sasa munapiga tarab pumbavu zenu

  • @BakarOthman-fl7cq
    @BakarOthman-fl7cq 2 місяці тому

    Haji manara ww ni muhuni tu tunakujuwa tangia zamani tena ujahili ww

  • @muhammadabushehe359
    @muhammadabushehe359 Рік тому +2

    Masufi ni kama machizi

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Рік тому

    Ebwana ehhhh Nilifikili Sami Yusuf.

  • @abeidmrengaofficial1792
    @abeidmrengaofficial1792 Рік тому +1

    Subhanallah .
    Koba kiongozi wa bidaa.
    Watching from capetown Rsa