ANAYO ALAMA, MOYO, ILIVYOWANYANYUA UMATI LAYLATUL HELWA 2024, SHARIF KOBA
Вставка
- Опубліковано 23 кві 2024
- ANAYO ALAMA, MOYO, ILIVYOWANANYUA UMATI LAYLATUL HELWA 2024, SHARIF KOBA
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
UA-cam: / @babdeomiladu
Mm ni twarika ila twende mbele nyuma hivi nisawa sauti za wanawake wanaume kua sambamba hivi hapa hakuna Mungu anachokifurahikia huu ni upuzi mtupu na dhambi tupu 😢😢😢😢
اللهم صل وسلم على سيدنا محمد وآله وصحبه اجمعين
Kweli sheitwan ana nguvu sana
Allahumma swali WA sallim alaihi
Mimi ni twariqa, na hii shughuli haimridhishi Mungu wala Mtume
Tuangalieni namna tunavofanya mambo ya twariqa tusije kutukanisha mashekhe wanaojiheshimu na wasokuwemo
Allahumma taQabbal duaa yaa rabbal alamiyn
Mmmmmh sawa sie watu wa Maulid twakubali lakin aya jaman Eeee Tafadhalin tuachen Wallah
Mnona kawaida t miziki kwenye maulidi sasa ukiskia mashekh wanapiga vita uanze kupinga
Mimi ni Sufi ila hii SI Hadhara ya mtume Muhammad
😂😂😂
Subuhana Allah Babdeo ndo unaelekea wapi, unaudhalilisha uislamu wew unaonekana unarusha darsa, mihadhara na mawaza ya kiislamu na unautangaza vizuri masjidi mtoro, leo hii unarusha mambo haya ya ajabu, miziki,changanyiko was waanawake na wanaume, wanawake wamejipamba mbele za wanaume ambao ni haramu kuwaona wakiwa katika hali hiyo, mcheni Allah
Hivi masheikh zetu kina Sheikh Mziwanda Sheikh Abas mnayaona haya au mnayafumbia macho tu😢
Mambo ya kawaida haya kwa watu wa maulidi
Hii sio khery, hii ni shari maangamizo haya
Allahumma swalliy wasallim alayh
Haraaaam
BAADHI YA WAISLAM SIJUI TUKOJE KWANINI TUNAKUWA NA HUSDA SANA WATU WAKIFURAHI NI KOSA MDA WOTE MNAPENDA MAWAIDHA YA KUTISHANA NDIO MNAONA NDIO DINI BAADHI HAWAPENDI WATU WAKIFURAHI
Allah awaongoze wao na sisi
Jamani hapo hakuna twariqa hapo musichanganye mambo,hao ni wanajifanyia sherehe zao tu.
Upuuzi mtupu Yani tumekuwa kama mayahudi na wakristo huu sio uislam ni upotevu mkubwa.
Ibada ya shaytwaan
Eh wallaahi hakuna tofaut nawanazoita SHOW za wasanii
HASAD TU
Wanawake wanavyojipura sas khaaa
Ulitaka wasivaee
Humu ndio kwny mafichio ya mabaradhuli
Mtume hasifiwi hivo jamani
Swadakta 🎉🎉🎉
Babdeo walitaka kumfuata ili wamhoj abuu khawlah akawaambia hawezi kukaa nao kwa mahojiano kwa kuwa wao ni watu wa bidaa wakakasrika hayaa ona vituko vya rekodi zao. Mwenye macho haambiwi tazama.
❤❤❤
Sio kila jambo baya linarushiwa kwenye usufi
Nyinyi wa kina sheikh Uthaman Sheikh walid Muft Abubakar elezeeni vzr Hadhara za mtume s.a.w mawahabi ndio wanapata la kusema
Sasa hapa uwahabi unaingiaje wewe angalia huu ndio uislam aliyoufundisha mtume? Subhaana llaah nilini mutazinduka nahii ndo channel inayoyumika zaid kutangaza mas ala hayo ya maulid ,jiulize je haya yanayofanywa je ni mafundisho ya uislam wake kwa waume kupaza sauti kuimba ona wakina mama wafanyavyo dah subhaanallaah
Uhabi kadhia Yao nikutukana na kujiona wao ni waislamu safi ....sieti kwa chuki ndio ilivyo
Tusi kusema kua huu ni uzushi ktk dini ndio tusi!!
@@SwabihaAhmed Uzushi hata mmi na ww ni tumezuka baada ya Dini
@@muktarkassim6647jahil murakkab wewe hata Bidaa hujui ndo mukafanya Mambo hayo.
Kijogooooo 😂😂😂
❤
MashaAllah Allah wabarikiye nyote natamani niwe hapo swale ala Habibi Mohammad Love Frm Kenya
Duh!dini inachezewa hii.
Upuuzi mtupu
Hasad tu hizo
Kama angejua English,Arabic. na Kituruki angeweza kumshinda Maher Zain.
Na halafu mtu kama manara aja fanya nini hapo?? Wakati siku zote anaudhalilisha uislam
Taswwuffi ni kitu chengine na kinachofanyika hapo ni kitu chengine
Mimi ni msufi na ash aariyu aqiidatan na shaafiyu madh haban, ila hili lina mambo ambayo hata sheria ya wanavyuoni wetu wanayakataa na hayafai, mchanganyiko huo wa wanawake na wanaume hauna dhwawaabit za kisheria ambazo zimewekwa na wanavyuoni wetu...sifikirii kama ni sehemu sahihi kupostiwa na channel hiii....mambo mengine yasifanyike kwa ushabiki tunajibebea dhambi ndugu waislamu...
Si wametengwa ww umeona wapi wamechanganyikana
@@Abuusaad-uy5cx hemu angalia hao wanawake walivovaa nywele ziko wazi mapambo ya kwenye uso yaliyozid mipaka ya kisheria, alimradi apo hakuna mwanya wa kusema huo mchanganyiko ni mubaahah.
Tofauti ya Qwaya za kikiristo na hii kitu hapa ni ipi???????
Watu wanaimba na kucheza vinanda ngoma nari zinarindima Allah awape fahamu na awangoe kutoka katika ujahili
Mashaallah! Qalb tulizana
Hii ni dini mpya sio uislam abadan.
Allah ndio anajuwa sio ww usipende kuhukum binadam mwenzio
Kawaida furaha ni ulevi wakati mwingine
tunawaombea san wenzetu mlio tabiriwa pepo mkiwa hai na makasiriko yenu
Hapa hakuna dini huu ni mziki
Ukiona uzushi una huishwa ujue suna nazo zime uliwa za kutosha hao wana haribu kizazi
Mashaallah Mashaalla🎉🎉🎉🎉
Nasubiri mpost video ya Mastia
Hii Taarabu ya wapi?
Ya Ahlulmaulid.
Zanzibar
Ni Kenya awu ni tanzani
Tanzania
Mashaallah 🎉
❤❤❤❤❤mashallah
Mashallah
Mpaka nimeliaaaa😢mtume mzurrrrr
Anayo alama❤❤❤❤
Mawahabi povu ruhsa😂
Kwann
Matamanio ya nafsi zenu ndo adui mkubwa kuliko shetani
Hii bendi ya mziki inaitwaje tafadhalini
Hio inaitwa "wahuni washenzi"
Naona na nyie wahuni mpo kuwaangalia wahuni wenzenu wala hamjaacha kuangalia
😂😂@@khatibabass3106
@@nasramzee1131 Mambo mlianza kidogo kidogo mkaona ya kawaida ,mlifungua wenyewe huu mlango sasa kuufunga hamuwezi.Na bado utakuja kuona na kucheza kabisaa
Wapi huku
Huku ndiko tulipofikia wajinga wanakabidhiwa jukumu la kuongoza watu akina manara na wenzie wote hakuna walijualo katika dini wanafanya mambo ya kihuni na ya kipuuzi kabisaaaa kisha wanayanasibisha ktk dini na wale waliokuwa na elimu kidogo wanaendeshwa na matamanio ya nafsi hata kama wataona ni kosa hawawezi sema ukweli kisa maslahi tuh.
We unafanyaje kwenye page, ungeenda kuswalia rakaateennn badili ya kuangaliya, swalluuu alannaaabbyyy
M ungu iokoe dini yako kama ulivyo ahidu
Babdeo mmepotea ktk upotofu mkubwa, mnarekodi mambo ya kipuuzi na kurusha, sasa hii ni hadhara gani hujui ni taarabu au ni nini, yaani ni upuuzi mtupu mnaidhalilisha cheneli nyinyi badala ya kusaidia kusambaza mambo ya dini msambaza upuuzi, mnalo la kwenda kujibu mbele ya ALLAH
Mimi pia ni mtu wa mawlid kindakindaki lakini katika hili nakuunga mkono ndugu yangu siko pamoja na walioandaa hadhara hii maana imejaa shub,ha nyingi sana kama mchanganyiko wa wanawake na wanaume,,,wanawake wengi wamejipamba na wanaonekana waziwazi mbele ya wanaume wa kando,,,wanawake kupaza Sauti zao mbele ya wanaume,,,hakuna nidhamu ya utulivu,stara ya wanawake wengi si sahihi,,lakini pia baadhi ya qaswida zinazoimbwa zimetoka nje ya malengo ya hadhara za mtume maana maudhui zake hazieleweki nyingi ni kwa sababu ya kupiga hela tu ,,naomba tubadilike hasa hili la kuchanganyika wanaume na wanawake ni hatari jamani tunazidi kuwapa pwenti wapinzani wetu
Kimfano ungetoa MAONI YAKO bila matusi huu ujumbe USINGEFIKA nauliza tu
Wapumbavu wate awo
Sidhani kama kuna dini inafundisha matusi kama yako @@user-gc3ec9wx6z
@@rahmaidd8818Tatizo elimu nayo ina saidia hasa ukiwa nayo haswa hao wanao toa maoni kwa matusi sijui ili iweje
Swalluuu allannabbbyyyy
Masha'Allah🙏🌹
Mashalaah kwakweli najiona kama nilikuepo hapo mpaka machozi yafulaa yamenibubujika
Ujinga gani huu
MAWAHABI HAWATAKOSA MATUSI MAANA WANAUNGUA WAKIONA MTUME YWASIFIWA
Sasa hapo mtume anasifiwa au tamasha la taarabu tu hilo
Mtume (S.W.A) kadhalilishwa hajasifiwa.
Atukanishwa hapo wala hasifiwi. Haidhuru na Mimi ni ahlu Maulid ila hapo sio sawa.
Raha sana
Ww mpumbavu sema tu Mashallah,jahil ww
Allahumma swalliy wasallim alayh