Asante sana mwalimu Ndacha nimeokolewa na ukweli unaohubiri hakuna ukweli mbili maandiko yakisomwa na kufafanuliwa vibaya yanaweza kupoteza wengi kama nilivyokua apo mwanzo kabla ya kumskiza Mwalimu Ndacha..ubarikiwe sana mtumishi Nina Imani umesaidia wengi
Mungu akubariki sana na akupe hekima zaidi tuko nyuma yako hapa nilipo tuko watu kumi kwa kukusikiliza na kukupa moyo na kukuombea sana hakuna anayekuweza
Pastor Mwankema unakosea sana kusema kuwa Yesu alikuja kurekebisha amri za Mungu. Sio Kweli bali Yesu alikuja kuzifafanua na kuzitekeleza na kwa sababu zinaandikwa moyoni anasema ukimtamani mwanamke umeshazini kwamba roho imeshatenda inasubiri execution ya mwili tuu. Hapo hamna rekebisho wala badiliko hapo ndio Mungu anakufundisha.
Kutoka 16:29 Angalieni, kwa kuwa Bwana amewapa ninyi hiyo Sabato, kwa sababu hii huwapa siku ya sita chakula cha siku mbili; kaeni kila mtu mahali pake, mtu awaye yote asiondoke mahali pake kwa siku ya saba.
Nafurahia mujadala lakini nataka kuwaelezea kwamba siku ya Kwanza ya Kwanza ya juma hapa nataka musome kjf baada ya pasaka tarehe 14 nisan siku ya 15 yaaitwa highway Sabbath nasiku ya mwisho tarehe 22 ni highway Sabbath na Pentecost inahesabiwa siku 50kutoka siku ya highway Sabbath on 15 nisan
Kweli nawambia ndugu zangu. Zaidi mtu anavyo kataa ukweli kutetea mienendo yake, uikuza imani yake kinyume na ukweli. Hivi moyo wake huwa ngumu na pia giza huwa kuu ndani yake. #ujumbe huu umfikie Daniel wote wa imani sawa naye#
Matthew 6:22-23 [22]The light of the body is the eye: if therefore thine eye be single, thy whole body shall be full of light. Taa ya mwili ni jicho; basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote utakuwa na nuru. [23]But if thine eye be evil, thy whole body shall be full of darkness. If therefore the light that is in thee be darkness, how great is that darkness! Lakini jicho lako likiwa bovu, mwili wako wote utakuwa na giza. Basi ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa giza; si giza hilo! Kutumikia Mabwana Wawili. # Daniel soma na jamani andiko hilo
shida yangu ni moja... kuna mtu anakiri alibadirisha sabato.. na pia catechism ya catholic inasema wanajua sabato ni jumamosi but wao walibadilisha kwa kupenda kwao.. mimi hapo nko na shida kutoka kwa mwalimu mwakemwa
Muhubili Daniel una kubuka kwa madiko vile Yashuah alisema,yeyote atawakishesha mja wa kodoo zake kwa kufunza kinyume na vile madiko time Nena atawekwa ile kitu ya kusiaga kwa shingo yake,namwenye atatowa neno Moja nayeye atatolewa kwa ufalume wa yah
2:05:35 Jamani Mwankemwa anauliza swali baada ya yesu kufufuka je aliitunza sabato? Nami nimuulize je yesu baadae ya kufufuka kuna andiko linalo onyesha aliingia kuabudu siku ya kwanza ya juma? Hakuna ushahidi wowote wa maandishi unaoongelea hayo katika Biblia Ila amri mpya yesu aliyotupatia ya upendo imebeba amri zote 10 za Mungu na wala sio tisa, ukimpenda Mungu utazishika amri zake (Amri ya 1 -4) na ukiwa na upendo kwa jirani yako utazishika amri za Mungu (Amri ya 5 -10). Na hiyo ndiyo maana ya Amri mpya yesu aliyosema anatuachia
Ni kweli nimeamini kuwa Sunday law inakuja, na watu kama Mwankemwa wanatayarisha ulimwengu kupokea udanganyifu huu unaotoka kwa shetani, ole wenu mnaokataa sabato
Pastor Mwankema ni lini Yesu alipofufuka alifanya ibada siku ya kwanzaa? Na pia Mwankema Agano jipya lipo moyoni sasa kama lipo moyoni kwanini unasemani siku ya kwanza sasa, si ingekuwa siku yeyote?
THE TWO COVENANT? "Tell me, ye that desire to be under the law, do ye not hear the law? Gal 4:21. For it is written, that Abraham had two sons, the one by a bondmaid, the other by a freewoman. Gal 4:22. But he who was of the bondwoman was born after the flesh; but he of the freewoman was by promise. Gal 4:23. Which things are an allegory: for these are the two covenants; the one from the mount Sinai, which gendereth to bondage, which is Agar. Gal 4:24. For this Agar is mount Sinai in Arabia, and answereth to Jerusalem which now is, and is in bondage with her children." Gal 4:25. NB "Which things are an allegory (MFANO - EXAMPLE) for these are the two covenants" Galatians 4:25. HOW ARE THEY THE EXAMPLE OF THE TWO COVENANTS? How did the two covenants enter into the family of Abraham? SINCE HAGAR is one and an ALLEGORY (MFANO) of the two Covenants HER STORY is the STORY of the Covenant from SINAI. BIG QUESTIONS? (1) TO WHOM PROMISE WAS ISHMAEL BORN IN THE FAMILY OF ABRAHAM? (2) WHO MADE THE SCHEME (PROMISE) OF ABRAHAM MARRING AGAR? (2b) WAS IT GOD"'S SCHEME (PROMISE) OR PEOPLES SCHEME (PROMISE)? (3) IF SARAH AND ABRAHAM HAD BELIEVED GOD'S PROMISE AND HELD FAST ONLY TO THAT, WOULD ISHMAEL EVER HAVE BEEN FOUND A PLACE IN THE FAMILY OF ABRAHAM? (4) WOULD TWO SONS EVER HAVE BEEN BORN TO ABRAHAM? NO! YET "these are the two covenants" Gal 4:25, WHY? Because the AGAR Covenant of the bondwoman "was born after the flesh; (MWILI) but he of the freewoman was by promise. Gal 4:24. Lord did not make a covenant of bondage with Israel but as AGAR COVENANT entered into the house of Abraham SO Israel entered in the LORD"s Covenant in FRESH and bore the fruits of FRESH WHICH MADE THE COVENANT A BONDAGE to them. "But Israel, which followed after the law of righteousness, hath not attained to the law of righteousness. Rom 9:31. Wherefore? Because they sought it not by faith, but as it were by the works of the law. For they stumbled at that stumbling stone"" Rom 9:32. "Which things are an allegory: for these are the two covenants. Gal 4:25. FEW OF THE ISRAELITES ENTERED THE COVENANT AS WAS THE PROMISE "I delight to thy will. O mu God: yea thy LAW IS WITHIN MY HEART" Psalms 40:8. There is no man that can do Gods will if that will, is and cannot be written in his heat; he will stumble at that stumbling stone" Rom 9:32.
kisha Daniel anaitwa mwalimu mm sijuwi kwa nini wanamuita mwalimu,mwalimu gani uyu ambae anakana amri za Mungu kisha nakuambia watu wavunje amri za Mungu shida sana kweli!
@@richardchimba3800 si yeye alimtuma mwanawe abadilishe agano liwe jipya basi likawa agano kiroho lakale lilikuwa nikuchinja wanyama sahii Yesu ndiye sadaka aliye chukua nafasi ya wanyama tena yeye ndiye sabato basi
Asante sana mwalimu Ndacha nimeokolewa na ukweli unaohubiri hakuna ukweli mbili maandiko yakisomwa na kufafanuliwa vibaya yanaweza kupoteza wengi kama nilivyokua apo mwanzo kabla ya kumskiza Mwalimu Ndacha..ubarikiwe sana mtumishi Nina Imani umesaidia wengi
Mungu akubariki sana na akupe hekima zaidi tuko nyuma yako hapa nilipo tuko watu kumi kwa kukusikiliza na kukupa moyo na kukuombea sana hakuna anayekuweza
Pastor Mwankema unakosea sana kusema kuwa Yesu alikuja kurekebisha amri za Mungu. Sio Kweli bali Yesu alikuja kuzifafanua na kuzitekeleza na kwa sababu zinaandikwa moyoni anasema ukimtamani mwanamke umeshazini kwamba roho imeshatenda inasubiri execution ya mwili tuu. Hapo hamna rekebisho wala badiliko hapo ndio Mungu anakufundisha.
Bona wafute Moja wambakishe Tisa,mwakemwa
Una shida na kuelewa .
Mwalimu ndacha mi naomba somo la jinsi ya kutunza sabato
Danieli ungana na wenzako mukafanye kazi ya mungu , huwezi hiii hoja,
Mwalimu Dacha Mungu anasema mwenye masikio na asikie Damu ya Mwankemwa aitakuwa mikononi mwako umekamilisha yako kazi atapewa ufahamu na Mungu
Tena bibilia Iko wasi ,hakuna neno ya kipindi hiki na kile
Warumi 15:4
Daniel acha uongo wala kutetea uongo njaa niyo inakusumbua unaongea kwa kiwango cha chini sana kwenye uelewa wewe siyo mwalimu
Kulingana na mwali Daniel ni kwamba katika bibilia ikate na ubanga au chochote kile lile agano la kale na kulitupilia mbali pole sana mwalimu Daniel
mwalimu ndacha nakuelewa..wewe ndiye umenikomboa kutoka kwenye uongo
Amina mtumishi, ila ni Mungu aliyekukomboa kupitia Ndacha, sifa zimrudie YEYE milele
@@albertmwangi3297 amina amina
@@albertmwangi3297nakuelewa
HONGERA MWALIMU NDACHA MUNGU AKUBALIKI Hwakuwezi wao wa jumapili wanafanya ngera mwachema hahui kitu
Kutoka 16:29 Angalieni, kwa kuwa Bwana amewapa ninyi hiyo Sabato, kwa sababu hii huwapa siku ya sita chakula cha siku mbili; kaeni kila mtu mahali pake, mtu awaye yote asiondoke mahali pake kwa siku ya saba.
Ndacha anaeleweka vizuri
Ndacha Biblia yote iko kichwani hakuna mtu atakaye mshinda kwa hoja
Nafurahia mujadala lakini nataka kuwaelezea kwamba siku ya Kwanza ya Kwanza ya juma hapa nataka musome kjf baada ya pasaka tarehe 14 nisan siku ya 15 yaaitwa highway Sabbath nasiku ya mwisho tarehe 22 ni highway Sabbath na Pentecost inahesabiwa siku 50kutoka siku ya highway Sabbath on 15 nisan
Kweli nawambia ndugu zangu. Zaidi mtu anavyo kataa ukweli kutetea mienendo yake, uikuza imani yake kinyume na ukweli. Hivi moyo wake huwa ngumu na pia giza huwa kuu ndani yake. #ujumbe huu umfikie Daniel wote wa imani sawa naye#
Sunday ni mfano
Sabatu ndio original
Hao wengine kweli sitaki hata kuwasikiliza waende na jumapili yao hata natama kusogeza mbele hWana la maana
Ata kutetea juma pili yenyewe hajui
Mbona mnakwepa kuitunza sabato nyie ? Yesu ana sema mkimpenda mtazishika amri zake katka kitabu cha yohana14:15
Yani hapo pana mwanafunzi na mwalimu na mwanafunzi anafoace kufundisaha mungu amsaidiee
Sabato TAKATIFU ndo siku ya kuabudu zingine zote Amna kitu ni udanganyifu wa shetani
Mwalimu nafuatilia masomo nikiwa Juja barikiweni but mwalimu Daniel anatatea uogo
Mwankemwa ana chekesha kweli eti amlibya sabato iliondolewa. Ila hizo zingine Tisa zililekebishwa. Kwanini zisiondolewe zote.iondoke mojatu.mwankemwa hebu ondoa hicho kibanzi kilichoko akilini kwako. Funguka. Huoni Kama nimuongo dhahili. Kama nikuondilewa zingeondolewa zote.
Kwani si ziliondolewa zote tu na ikabaki upendo Kwani hujui
Upendo ni nini?@@juliuskalama2746
Sabato ni ya milele
@@daudmtoba191wewe unafikiri mbinguni kuna sabato?
@@juliuskalama2746 wew sabato ni yamilele
Matthew 6:22-23
[22]The light of the body is the eye: if therefore thine eye be single, thy whole body shall be full of light.
Taa ya mwili ni jicho; basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote utakuwa na nuru.
[23]But if thine eye be evil, thy whole body shall be full of darkness. If therefore the light that is in thee be darkness, how great is that darkness!
Lakini jicho lako likiwa bovu, mwili wako wote utakuwa na giza. Basi ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa giza; si giza hilo! Kutumikia Mabwana Wawili.
# Daniel soma na jamani andiko hilo
Kumbe wewe ulienda shule ya bibilia,ndio maana tuna subuana
ndacha ni mwalimu
shida yangu ni moja... kuna mtu anakiri alibadirisha sabato.. na pia catechism ya catholic inasema wanajua sabato ni jumamosi but wao walibadilisha kwa kupenda kwao.. mimi hapo nko na shida kutoka kwa mwalimu mwakemwa
Muhubili Daniel una kubuka kwa madiko vile Yashuah alisema,yeyote atawakishesha mja wa kodoo zake kwa kufunza kinyume na vile madiko time Nena atawekwa ile kitu ya kusiaga kwa shingo yake,namwenye atatowa neno Moja nayeye atatolewa kwa ufalume wa yah
Nakumbuka uliiimba hiii mada , mbona hujajiaandaaaa????? Mimi ni mluther lakini mmmmmmm
2:05:35 Jamani Mwankemwa anauliza swali baada ya yesu kufufuka je aliitunza sabato?
Nami nimuulize je yesu baadae ya kufufuka kuna andiko linalo onyesha aliingia kuabudu siku ya kwanza ya juma?
Hakuna ushahidi wowote wa maandishi unaoongelea hayo katika Biblia
Ila amri mpya yesu aliyotupatia ya upendo imebeba amri zote 10 za Mungu na wala sio tisa, ukimpenda Mungu utazishika amri zake (Amri ya 1 -4) na ukiwa na upendo kwa jirani yako utazishika amri za Mungu (Amri ya 5 -10). Na hiyo ndiyo maana ya Amri mpya yesu aliyosema anatuachia
mwalimu daniel acha kusimamia uongo
Watu wote wa shule ya theologia ni wa utatu. Usipokubaliana na utatu utafukuzwa shule!
❤❤❤❤❤❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Uyo sio musomi ata kidogo
mwalimu Daniel as no idea over the Sabbath
We hujui lolote hata unabwabwaja tu jumapili haina hata mshiko untupotezea wakati mwachie Ndacha ndiye kiboko yako
Daniel ni aya gani katika bibilia inasema amri kumi zilikomeshwa msalabani?
MWALIMU MWANGEMWA KARIBU KATIKA SABATO UKUWE MWANAFUNZI WA BIBLIA.
😂😂😂Daniel nimusani kabisa huna hoja yoyote sabbath niyamungu
Ni kweli nimeamini kuwa Sunday law inakuja, na watu kama Mwankemwa wanatayarisha ulimwengu kupokea udanganyifu huu unaotoka kwa shetani, ole wenu mnaokataa sabato
Hapo kweli
Mwalimu Daniel, ulipewa shilingi ngapi kubwabwanya hapo studio?????????
Mwalimu uyo mutu hawezi kuelewa
Pastor Mwankema ni lini Yesu alipofufuka alifanya ibada siku ya kwanzaa? Na pia Mwankema Agano jipya lipo moyoni sasa kama lipo moyoni kwanini unasemani siku ya kwanza sasa, si ingekuwa siku yeyote?
kwani ukisema siku ya kwanza ya juma na jumapili sikitu kimoja elimu ya mwakemwa ni ndogo sana
THE TWO COVENANT? "Tell me, ye that desire to be under the law, do ye not hear the law? Gal 4:21. For it is written, that Abraham had two sons, the one by a bondmaid, the other by a freewoman. Gal 4:22. But he who was of the bondwoman was born after the flesh; but he of the freewoman was by promise. Gal 4:23. Which things are an allegory: for these are the two covenants; the one from the mount Sinai, which gendereth to bondage, which is Agar. Gal 4:24. For this Agar is mount Sinai in Arabia, and answereth to Jerusalem which now is, and is in bondage with her children." Gal 4:25. NB "Which things are an allegory (MFANO - EXAMPLE) for these are the two covenants" Galatians 4:25. HOW ARE THEY THE EXAMPLE OF THE TWO COVENANTS? How did the two covenants enter into the family of Abraham? SINCE HAGAR is one and an ALLEGORY (MFANO) of the two Covenants HER STORY is the STORY of the Covenant from SINAI.
BIG QUESTIONS? (1) TO WHOM PROMISE WAS ISHMAEL BORN IN THE FAMILY OF ABRAHAM? (2) WHO MADE THE SCHEME (PROMISE) OF ABRAHAM MARRING AGAR? (2b) WAS IT GOD"'S SCHEME (PROMISE) OR PEOPLES SCHEME (PROMISE)? (3) IF SARAH AND ABRAHAM HAD BELIEVED GOD'S PROMISE AND HELD FAST ONLY TO THAT, WOULD ISHMAEL EVER HAVE BEEN FOUND A PLACE IN THE FAMILY OF ABRAHAM? (4) WOULD TWO SONS EVER HAVE BEEN BORN TO ABRAHAM? NO! YET "these are the two covenants" Gal 4:25, WHY? Because the AGAR Covenant of the bondwoman "was born after the flesh; (MWILI) but he of the freewoman was by promise. Gal 4:24.
Lord did not make a covenant of bondage with Israel but as AGAR COVENANT entered into the house of Abraham SO Israel entered in the LORD"s Covenant in FRESH and bore the fruits of FRESH WHICH MADE THE COVENANT A BONDAGE to them. "But Israel, which followed after the law of righteousness, hath not attained to the law of righteousness. Rom 9:31. Wherefore? Because they sought it not by faith, but as it were by the works of the law. For they stumbled at that stumbling stone"" Rom 9:32. "Which things are an allegory: for these are the two covenants. Gal 4:25. FEW OF THE ISRAELITES ENTERED THE COVENANT AS WAS THE PROMISE "I delight to thy will. O mu God: yea thy LAW IS WITHIN MY HEART" Psalms 40:8. There is no man that can do Gods will if that will, is and cannot be written in his heat; he will stumble at that stumbling stone" Rom 9:32.
Yan hat uso wako unaonyesha kua ni muongu unabambanya maneno
Mwankemwe unachekesha kabisa.na watu wanao kufata wote wamepotea
huyu mwakemwa Hana nukuu Wala mafungu nimaneno maneno2
Mwl Mwankemwa acha MANDIKO yajieleze
ningekuwa na uwezo ningemuonga ndacha gari maanake anastahiki kuwa mtumishi wa ukweli
Unaongea maneno ya kutoka wapi hii ni hadithi unatusimulia au unasoma ngojera we mwachie mwalimu wako Ndacha akufundishe bwana tumekuchoka
Mwankemwa umeshindwa hoja kabisa, na unapotea kwa kutojua maandiko
Daniel kumbe ujuwi biblia wewe ni wakala wa shetani kabisa sabato ni muhuri na alama ya Mungu kasome kwanza Mungu akusamehe kwani ujuwi unalalolitenda
kisha Daniel anaitwa mwalimu mm sijuwi kwa nini wanamuita mwalimu,mwalimu gani uyu ambae anakana amri za Mungu kisha nakuambia watu wavunje amri za Mungu shida sana kweli!
Wewe ndiye huelewi amri kumi ziko kimwili haziko kiroho brother acha kumfuata ndacha vingine unahitaji roho mtakatifu akusaidie na sio kumsikiliza ndacha kila kitu
@@juliuskalama2746 yaan alichoandika Mungu kwa mkono wake zipo kimwili ?
Kitu gani kimeandikwa na Mungu zaidi amri zake 10 ?
@@richardchimba3800 si yeye alimtuma mwanawe abadilishe agano liwe jipya basi likawa agano kiroho lakale lilikuwa nikuchinja wanyama sahii Yesu ndiye sadaka aliye chukua nafasi ya wanyama tena yeye ndiye sabato basi
@@juliuskalama2746 umeshapotea kitambo sana ata mm nimekuwa katika ibada za juma pili ila kwa sasa sipo tena maana akuna ukweli!
mwakemwa wewe ni dhaifu wa kuelewa maandiko
Hayo maneno ya mtume Paulo yana msumbua Mwankemwa inafaa atoe Andiko Mungu au Yesu kapadirisha Amri ya inne huyo anasifia jumapili
Ndacha huyu mtu ngumu kuelewa .
@@paulmutuajustus5277 sabato niuyahudi
Mwakemwa Mungu akusaidie utoke kwenye mapokeo
Nguruwe zimekutana sasa 🐖🐖