Habari mm naitwa Anold Audax ni mzaliwa wa Bukob ila kwa sasa niko morogoro naomba unisaidie tuonane mimi na ww kwa maana nina changamoto nzito sana kias kwamba jamii iiliyo nizunguka inaniona kama kichaa hivi tafdhali nakuomba nikuone mara tyu utakapo ona comment hii....... See you at the top
Nimefurahi sana kukutana na wew nimemsamehe niliyemkosea namshukulu pia kwakua asingeniumiza nisingekujua wewe elimu yako inafaida sana.furaha yangu niwajibu wangu
Nina rafiki angu ambae nimejitoa kwake mno us a good friend pale anapo nihitaji ila kunamuda anakua na hasira San kiasi Kwa ana diriki kusema urafk wetu utavunjka Kuna wakat nasema Bora iwe Ivo ila nikikaa kidogo napata maumivu sana nashndwa JE nifanyaj
Shukrani kwa somo zuri..! Tunashukuru kwa maoni yetu mnayafanyia kazi, BORA MSIWE MNAWEKA MZIKI KWENYE VIDEO MAANA MUDA MWINGINE NI KELELE TU, HATUPATI SOMO VIZURI
Niliwahi kuibiwa kwa uzembe nilijilaumu sana ila baada ya kusikia kutoka kwako nilijisamehe na nikaanza kuona mumivu yanapona na sasa hivi nimepona kabisa Asante sana joel nanauka
Asante sana joer mungu akubaliki kwani nimeweza kufaliji kwani nilishaumizwa kwenye mahusiano aise ubalikiwe kwakuweza kutufundisha maneno yenye faraja!
Ni vema kuwasha mshumaa kuliko kuendelea kulaumu giza. Asante san umetusaidia kuwasha mshumaa maan weng huwa ni kujilaumu kisa makosa ya nyum badala ya kufany kitu kutokana na makosa
@Joel Nanauka; ASANTE, Nasaha zako zimejaa Tiba 1). Usiruhusu kale yako ikuwekee mipaka - don’t allow your past ( limiting belief )limits your future 2). Jifunze ili usirudie makosa - learn to avoid repeating mistakes 3). Hakikisha umepona kabisa kabla kuanza kurasa mpya - gets total and complete healings before new chapter 4). Jisamehe - forgive yourself 5). Wasamehe wengine - forgive others
Nashukuru sana kwa masomo yako kwa kweli huwa simamilizi siku tatu bila kusikiliza na ku note mafundisho yako, mungu akubariki sana. Swali langu ni je ukiwa unasema nimemsamehe lakini sitaweza sahau je kwa kauli hiyo unakuwa umesamehe kweli au bado kuna chuki na maumivu ndani yangu?
Unamsaidiaje mtu ambaye ametumia vyote alivyonavyo na bado hajaweza kupata mpenyo, mimi nimetumia kila nilichonacho nimebaki 0 na gharama za msingi za maisha zinanitegemea kwa sasa, naanzia wapi kwa hali kama hivyo na nimejitahidi sana kutafuta kazi yoyote mradi kukidhi gharama za msingi ila bado sijafanikiwa
Umekua mwalim wangu mpaka sahv watu wanao nizunguka wanavutiwa na mm jinsi nnavyo wapa hamasa na akili yanmekua nikijilisha kinacho stahili kwakufuatilia video zako na kusoma
Mim nimepitia magumu mengi toka nilipoanz kujitambuwa hadiss nilipo nimekosea na nikakosewa lakini nilisamehe wote walio nikosea ila ni mtu mmoja t nashindwa kumsamehe hivi ni kwanin lakini kila nikikumbuka moyo wangu unaumu amenikosea halafu hataki kuniomba msamaha ukizingatia ni ndungu yng kabisa wa dam
Nimefurahi sana kukutana na wew nimemsamehe niliyemkosea namshukulu pia kwakua asingeniumiza nisingekujua wewe elimu yako inafaida sana.furaha yangu niwajibu wangu
Asante Kaka Joel, usiruhusu Jambo lililokuumiza likuwekee mipaka, ninafuta mpaka kwa jina la Yesu
Nimuda sahihi sana kukutana namasomo yako i say, japo nilipoteza mda lakini naamini bado nina nafasi. Thank you so much joel.
Habari mm naitwa Anold Audax ni mzaliwa wa Bukob ila kwa sasa niko morogoro naomba unisaidie tuonane mimi na ww kwa maana nina changamoto nzito sana kias kwamba jamii iiliyo nizunguka inaniona kama kichaa hivi tafdhali nakuomba nikuone mara tyu utakapo ona comment hii....... See you at the top
Nategemea matokeo makubwa kupitia video zako mwalimu joel nanauka...🙏
Ahsante mm nimeishi na kinyongo miaka 18 kwa mahusiano lakini mwaka huu nimesamehe kila kotu na kuanza maisha mapya ya amani
Nimefurahi sana kukutana na wew nimemsamehe niliyemkosea namshukulu pia kwakua asingeniumiza nisingekujua wewe elimu yako inafaida sana.furaha yangu niwajibu wangu
3.hakikisha umepona kabisa ndo stage niliyonayo kaka,
Asante kwa somo la wakati sahihi
Ahsante,hiv unaweza kuendelea kuishi na mtu asiyekusikiliza,ukimweleza jambo ahamini mpaka aambiwe na mtu mwingine ndo achkuwe hatua.
Hapna hapo Kuna tatizo Kaka angu
Nina rafiki angu ambae nimejitoa kwake mno us a good friend pale anapo nihitaji ila kunamuda anakua na hasira San kiasi Kwa ana diriki kusema urafk wetu utavunjka Kuna wakat nasema Bora iwe Ivo ila nikikaa kidogo napata maumivu sana nashndwa JE nifanyaj
Mungu awe anakubariki tu ✊✊Juu unajenga Jamii ya watu wengi Duniani
Thanks soo much. Mimi sijaweza kutrust na kuingia katika second relationship baada ya kuathirika on my first relation. It has been years now.
Shukrani kwa somo zuri..!
Tunashukuru kwa maoni yetu mnayafanyia kazi, BORA MSIWE MNAWEKA MZIKI KWENYE VIDEO MAANA MUDA MWINGINE NI KELELE TU, HATUPATI SOMO VIZURI
Niliwahi kuibiwa kwa uzembe nilijilaumu sana ila baada ya kusikia kutoka kwako nilijisamehe na nikaanza kuona mumivu yanapona na sasa hivi nimepona kabisa
Asante sana joel nanauka
Name joy sana kukufatilia nimefaidika sana maumivu niliyopatiwa katika mahusiano yalinikutanisha nawe shukulani nimepona maumivu haraka ubalikiwe sana
Asante kaka Joel kwa %85 umeyabadili maisha yang mengi nimefanya kupitia masomo yako mungu akubariki sana
Asante kaka, nitahakikisha napona kabisa, na kuwasamehe wengine ili niwe na aman ndan ya moyo wangu.
Thanks bro am proud of you for me njia ya pili ilinisumbua ndomana nililudia makosa But from now sitoludia Tena na nitasonga mbele... 🙏🙏
Asante sana joer mungu akubaliki kwani nimeweza kufaliji kwani nilishaumizwa kwenye mahusiano aise ubalikiwe kwakuweza kutufundisha maneno yenye faraja!
Ni vema kuwasha mshumaa kuliko kuendelea kulaumu giza. Asante san umetusaidia kuwasha mshumaa maan weng huwa ni kujilaumu kisa makosa ya nyum badala ya kufany kitu kutokana na makosa
@Joel Nanauka; ASANTE, Nasaha zako zimejaa Tiba
1). Usiruhusu kale yako ikuwekee mipaka - don’t allow your past ( limiting belief )limits your future
2). Jifunze ili usirudie makosa - learn to avoid repeating mistakes
3). Hakikisha umepona kabisa kabla kuanza kurasa mpya - gets total and complete healings before new chapter
4). Jisamehe - forgive yourself
5). Wasamehe wengine - forgive others
Najisikia kidogo fuu kwa Somo lako
Your the best brother, umenifanya nimebadili my thinking
Hongera kwa kipaji ulichopewa na mwenyezi mungu hakika wengi wetu unatusaidia sana kwa mafundisho Yako, mungu akujalie maisha marefu
See you at the top.... Asante kaka
Nakufrahia Sana umenitoa ktika msongo mkubwa wamawazo mungu akubaliki amen
Shukrani Sana ndugu.kwa kuendelea kutujengaaa
Ninashukuru sana kaka Joel ,kwani nimepata mwanga Na kusamehe walionikosea Na mm mwaenyewe nimejisamehe ,thanks you
Sahihi sana. Joel Mungu akulinde.
Thanks Joel for teaching,,,
Asante sana Mr Joel. Ninazo video zako zaidi ya mia mbili zimenisaidia sana
Nikiwa na mawazo huwa naangalia video zako...your the best
Ahsante Santa kaka Joel mungu azd kukubarik..🙏🙏🙏 kwa mafunzo mazur
Asante kaka Joel Sasa naimani nitapona maumivu yangu ya kuto kusamehe
Kwakwel dunia hii inamitihan mno,,, magumu niliyopitia yakiniumiza mnooo,,, kwakwel nikikumbuka roho inapata mshtuko😭
God bless you Joel Nanauka
Thank you sir Joe!!
Mwenyez Mungu akubarki JoelNanauka
Ahsante kwa kutuelimisha
Asante sana kwa mafunzo Mungu azidi kukufunuliya mengi yakutuelimisha
Nakukubali sana Joel, mungu akubariki Sana.
Nashukuru sana mwalim
Be blessed my brother loves you
Asante kwa mafunzo yaako mungu akubariki
Don't pretend, ninashukuru sana kwa darasa zuri zinanifanya niwe strong again
Be blessd uncle😍
God bless you 🙏
Mungu akubari sana
Asante sana
Asante kaka angu nitazingatia
Asnt sna joel ntajitahid sna kufat hya ili kuwez kuondoa maumiv nliuoyabeb
Safi sana
Hskika kaka joel asante
Maashallah. Nikweri kabisa
Asante kaka yangu
Blessed
Ubarikiwe
Asante.
🙏🙏🙏 bro
Mungu akubariki kaka
Asante kaka
Vizuri sana
Oooh💪💪
Nimefurahi kuhusu somo.najifunza.
Kaka naomba unisaidie siwezi kusahau kabisa kwa ninauchungu sana moyoni
Asante
Barikiwa sana kaka
Somo zuri sana mkuu
Asante sana japo nimechelewa kukujua 🤣🤣🙏🙏🙏
Hii somo kwangu ni pana,naitj kupona
Yaani mie kaka Joel kujisamehe mwenyewe ndo inanitesa hadi leo,kusamehe wengine nimwepesi sana kuwasamehe ila kwa mm ndo siwezi naomba nishauri
Forgiveness point no. 4&5
👌
Niliachwa na mtu kila nikitaka nimsamehe na,kumsahau nashindwa tena bado nampenda
Kwa magum niliyopitia nilikuwa sijagundua kujisamehe nashukuru kunifumbua macho mentor wangu
Nashukuru sana kwa masomo yako kwa kweli huwa simamilizi siku tatu bila kusikiliza na ku note mafundisho yako, mungu akubariki sana. Swali langu ni je ukiwa unasema nimemsamehe lakini sitaweza sahau je kwa kauli hiyo unakuwa umesamehe kweli au bado kuna chuki na maumivu ndani yangu?
Hapo utakuwa hujasamehe
Unamsaidiaje mtu ambaye ametumia vyote alivyonavyo na bado hajaweza kupata mpenyo, mimi nimetumia kila nilichonacho nimebaki 0 na gharama za msingi za maisha zinanitegemea kwa sasa, naanzia wapi kwa hali kama hivyo na nimejitahidi sana kutafuta kazi yoyote mradi kukidhi gharama za msingi ila bado sijafanikiwa
kaka nimekuelewa
Mimi nataka kusamehe lkn kila nikijaribu kusahau naumia ni kwann?
Kuna video nimeshindwa kuiona ila iliongelea vitu vya kufanya wakati unapo kutana na anguko la maisha.Tafadhali naomba link yake
😭😭
Umekua mwalim wangu mpaka sahv watu wanao nizunguka wanavutiwa na mm jinsi nnavyo wapa hamasa na akili yanmekua nikijilisha kinacho stahili kwakufuatilia video zako na kusoma
Nikuwasame walo nikosea
Kuna kuomba msamaha pia. Wengi ni wagumu
Maneno kuntu nmejisamehe
Hiki Ni chakula chenye madini yake
Apo kwenye kuhakikisha kuwa umepona ndo mtihani
Unawezaje kupona wakati mtu huo bado unamuona natamani nimpotezee kama anavyo nipotezea mm
Ama nisimuwaze kabisa
Nahisi siwezi kupona nifanye nini
Mim nimepitia magumu mengi toka nilipoanz kujitambuwa hadiss nilipo nimekosea na nikakosewa lakini nilisamehe wote walio nikosea ila ni mtu mmoja t nashindwa kumsamehe hivi ni kwanin lakini kila nikikumbuka moyo wangu unaumu amenikosea halafu hataki kuniomba msamaha ukizingatia ni ndungu yng kabisa wa dam
Sio lazima aje kuomba msamaha msamehe ww itakua vizur zaidi
Msamaha hua ni kwa ajili ya furaha na amani yko mwenyewe.Msamehe tu na utaona ni jinsi gni maisha yko yatasonga mbele
Naomba namba ako ya watsap Kaka plz yangu 0743147069
hii ni nyimbo mpya ya
mboy mweusi👇🏽👇🏽
ua-cam.com/video/0pZvX3nlbus/v-deo.html
Nimefurahi sana kukutana na wew nimemsamehe niliyemkosea namshukulu pia kwakua asingeniumiza nisingekujua wewe elimu yako inafaida sana.furaha yangu niwajibu wangu
Najikuta ni mweny amanii teleeee