Jinsi ya kukabiliana na aibu - Joel Nanauka

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

КОМЕНТАРІ • 105

  • @alexmahenge3817
    @alexmahenge3817 Рік тому +3

    Wewe ni Hadhina ya Ulimwengu Nakukubali saana Mkuu. Umefanyika dawa kwa wanadamu sisi kupitia Mafundisho yako.

  • @jacquelineboazy4641
    @jacquelineboazy4641 Рік тому +1

    Sitasahau aisee aibu niliopita Tena ya kusingiziwa ikaniharibia future yangu Ila Mungu atalipa

  • @kpetres2872
    @kpetres2872 3 роки тому +7

    Nilikuwa nqisubiri Sana hii.Nilipanda jukwaani kuperfom as a stand up comedian badala ya kucheka watu wakasonya TU. Nilijiapiza sitorudia kuchekesha Tena, kumbe chanzo Ni audience Haikuwa na idea kuhusu comedy🏌️🏌️🏌️

  • @kiokofrancis9962
    @kiokofrancis9962 3 роки тому +11

    Mwaka 2019 ulkua mwaka wangu wa Aibu kubwa, lkn nashkuru mungu nimeinuka upya Aibu sio mwisho wa maisha Asante joel

    • @YohanaJackson-g3j
      @YohanaJackson-g3j Місяць тому

      Mimi ilikuwa 2015 jamani jamani kuna mambo yanaaibisha

  • @mecksoncarhan1081
    @mecksoncarhan1081 3 роки тому +5

    Vipo vitu na mambo mengi yanayokatisha tamaa, lakini kwa ushauri huu utawasaidia wengi. Asante sana.

  • @christinammassy1550
    @christinammassy1550 3 роки тому +5

    Ukimya unafaa sana huku ukimshirikisha Mungu 💪

  • @lwt472
    @lwt472 3 роки тому +4

    Kwangu furaha kubwa kuelimika na haya mafundisho yako mwalimu.mungu ukupe umri mrefu wendelee kuwasaidia wengi zaidi

  • @gtubgxuxj6906
    @gtubgxuxj6906 3 роки тому +6

    Nikwel kaka joel mim yalinikuta mwaka 2015 mpaka nikaomba taraka kwa mme wangu nashukulu san

  • @happynessbitababaje4787
    @happynessbitababaje4787 Рік тому

    Nilipitia hiyo Hali, ashukuriwe Mungu nilikaaa kimya mpaka leo

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 3 роки тому +4

    Asante Kaka Joel kwa elim nzuri

  • @AliMohamed-wp1op
    @AliMohamed-wp1op 3 роки тому +1

    I do salute Samoha Zakwani, amenikosoa ama kunirekebisha kwa Direction ama Attitude niliyokuwa nayo ambayo hata wewe ulishindwa kunicoach ama kunitoa kwenye muelekeo huo. SO GIVE RESPECT TO CORRECTORS

  • @AsiaBakary
    @AsiaBakary Рік тому

    Nilipata aibu kubwa mwaka 2020 na ilifika hatua nikakata tamaa ya maisha nashukuru Mungu nimeinika upya

  • @emmanhoadebayor5784
    @emmanhoadebayor5784 8 місяців тому

    Mungu akupe maisha maref bro ili watu weng wapate kuvuna mema kwako

  • @damudamu2584
    @damudamu2584 2 роки тому +1

    Bro uko vizuri brother

  • @lilianfidelis7559
    @lilianfidelis7559 2 роки тому +1

    Kaka ubarikiwe sana umebadilisha maisha ya wengi...naomba pia uzungumzie kushinda woga mbele za watu.

    • @LizoMan-f5y
      @LizoMan-f5y Рік тому

      BIG UP broo azngumzie na ilo pya

  • @daudkwalu3563
    @daudkwalu3563 3 роки тому +2

    Alright big up sana mentor of all mentors, Mungu akubariki sana sana ktk kazi hii nzuri

  • @EliasGwaya
    @EliasGwaya 4 місяці тому

    Nimepitia hiyo Hali nashukuru Mungu Kwa ajili Yako coach

  • @lilywhite2872
    @lilywhite2872 3 роки тому +2

    Nashukuru kwa elimu Joel ,,napenda kuongeza kuwa ukweli n kitu ambacho hutembea taratibu Sana bali uongo hupenya haraka Sana, hvyo ikiwa umeaibika kwa kusingiziwa tulia na uvumilie ukweli ukijulikana hata wabaya huanza kukutetea,,,shda n kwamba wengi hushindwa kuvumilia,,,,na kuanza kujitetea wakati lile ulopakaziwa halijaisha bado utaonekana unataka kujisafisha tu

    • @LizoMan-f5y
      @LizoMan-f5y Рік тому

      YAANI mi ndo nasibiwa na hio hali saiv KIUKWEL inanijenga ila hali ya kistaamil ndo nzito san ila maneno ulooandika apo yameshanipa nguv san SHUKRAN san kw joel ila brooh UMENIWEKEA SNA 🙏💯

  • @matrugnawangaeli4815
    @matrugnawangaeli4815 3 роки тому +1

    Ni kweli kabisa, ninahitaji msaada wa ziada kwa naama hali yangu sio nzuri ninaona kama vile hakuna msaada wowote. Lakini ninajipa moyo ili niweze kutoka hapa nilipo. sio jambo rahisi na wala hakuna kinacho shindikana.

    • @LizoMan-f5y
      @LizoMan-f5y Рік тому

      broohh!!! sio jambo rahis so sir TUNAPTYA MAGUM san

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Рік тому

    27.10.2021 Ndugu yangu wa tumbo moja tena mwanamke aliwanichulia maneno makubwa yaajabu nilitamani kufa lakini nilisimama na Mungu mwanzo mwisho nilijipa moyo katka Neno la Mungu lisemalo kutoka wafilipi 4:6

  • @josephpaul689
    @josephpaul689 3 роки тому +5

    Thanks brother for your gift !

  • @تةامممن
    @تةامممن 2 роки тому

    Kabisa nihaataliiiiii san 🤐🤐🤐🤐🙏🤝

  • @AlexJefwa
    @AlexJefwa 3 місяці тому

    Asante br.. Joel naendelea kujifunza

  • @danielbwaibamba2932
    @danielbwaibamba2932 3 роки тому +1

    Sitaruhusu aibu iwe mwisho wa tumaini langu

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 3 роки тому

    Nimepata katika aibu ila nilijaribu kukaa kimyaa japo ilikuwa ngumu ahsante Brother kwa Elimu hii Ubarikiwe sana maana mwanafunzi sipitwi na vipindi vyako 🙏

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Рік тому

    ❤.Ahsante sana

  • @nurusamwel4378
    @nurusamwel4378 3 роки тому

    Asante kwa mafunzo haya Mungu akubariki sana siku hadi siku najiona tofauti.

  • @diwanizubeir2522
    @diwanizubeir2522 3 роки тому +1

    Safi sana yaani umeeleweka mkufunzi

  • @muhsinsalum8009
    @muhsinsalum8009 Рік тому

    Shukran kwa maarifa

  • @samohazakwani6899
    @samohazakwani6899 3 роки тому +1

    Shkrn sana brother kwa somo leo ni mara ya pili narudia kuskiliza hili somo. Katika maisha nimepitia hayo uliosema, nliwahi kujibu na kujitetea lkn haikuleta faid ila kuzidisha chuki kwa wengine. Kwa mara nyengine nilinyamaza matokeo yalikuwa mazuri nilipata utulivu wa moyo. Katika mafunzo ya dini kupitia maneno ya Mtume wetu Muhammad Alaihi Salaam alisema: " Ushujaa sio kugombana bali ni kuishika nafsi unapohamaki". Au km alivyokusudia. Fundisho lamaneno yake sio kugombana na kila anaeekuudhi, kukaa kimya inazima moto wa shetani. Shkrn sana kwa elimu yako yenye manufaa.

  • @rahmaomary8020
    @rahmaomary8020 2 роки тому

    Shukurani kwa kututambulisha

  • @mussadismass9306
    @mussadismass9306 3 роки тому

    Ubarikiw sana kaka Joel tuko pamoja

  • @albertokihalalwa1921
    @albertokihalalwa1921 3 роки тому +3

    Umefanyika baraka

  • @muhidinikalunga610
    @muhidinikalunga610 3 роки тому

    Asante Sana kaka juzi umenipata aibu katika kazi

  • @muniraahmed8794
    @muniraahmed8794 2 роки тому

    Shukran brother kwa msaada wako kwetu.

  • @epifaniasawaki3315
    @epifaniasawaki3315 3 роки тому +1

    Asante sanaaaaa mwalimu🙏.

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 3 роки тому

    Nijambo Nzuri sana Mkuu

  • @ZephaniaChacha
    @ZephaniaChacha Рік тому

    Glory to God

  • @AliMohamed-wp1op
    @AliMohamed-wp1op 3 роки тому +4

    Allah shall bless Samoha Zakwani for the extraordinary Advice, and shall bless Mr. Joel too as the way, Ameen!!!

  • @fredricksteven2063
    @fredricksteven2063 3 роки тому

    Asante!! sana somo limekuwa msaada sana kwangu

  • @lukandaguillaume4175
    @lukandaguillaume4175 2 роки тому

    My teacher

  • @damudamu2584
    @damudamu2584 2 роки тому

    Naitaji msaada kweli kweli sina raha ofsini hata kidgo yani umenigusaaa? Kabisaaaa

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 2 роки тому

    Tunashukuru sana

  • @neemarajabu9432
    @neemarajabu9432 2 роки тому

    Asante ubarikiwe

  • @jivakasglobaltech5037
    @jivakasglobaltech5037 3 роки тому

    Kunyamaza ndiyo jibu asante sana kaka

  • @mwajumahaji8283
    @mwajumahaji8283 3 роки тому +1

    Asantee kaka naendelea kujifunza

  • @تةامممن
    @تةامممن 2 роки тому

    Nimejifunza kunyamanza kwakwer

  • @danielbwaibamba2932
    @danielbwaibamba2932 3 роки тому

    Ahsante kaka

  • @damudamu2584
    @damudamu2584 2 роки тому

    Nanauka nikija dar nitakutafuta

  • @chrssmsafi8307
    @chrssmsafi8307 3 роки тому +1

    Shukulan xana kaka joel

  • @abdillahomar4541
    @abdillahomar4541 Рік тому

    Unajua kuna jambo nataka nilitapike ila najua litakua na aibu na nikikivumilia linazidi kuniumiza

  • @maltuzdaniel4892
    @maltuzdaniel4892 3 роки тому +4

    Mungu azid kukubariki

  • @damudamu2584
    @damudamu2584 2 роки тому

    Kwakweli mwezi huu wa kumi nimepata aibu kubwa mno na chanzo ni mm mwenyewe

  • @husseinkitingi8186
    @husseinkitingi8186 3 роки тому

    Thanks joel

  • @cleopatraadolf6492
    @cleopatraadolf6492 3 роки тому

    Asante kaka

  • @zainabmbarak1043
    @zainabmbarak1043 3 роки тому

    Mwenza wangu alipitia aibu akachukuwa aibu yake nqkunichqfua mimi

  • @onlinemateustv1925
    @onlinemateustv1925 3 роки тому +1

    Kuna aibu nyingine Zina vunja moyo mimi as me sina tumaini kabisa

  • @felisteravija1901
    @felisteravija1901 3 роки тому

    Thanx bro

  • @Mkaambali
    @Mkaambali 3 роки тому

    Asante

  • @noelkisonga5534
    @noelkisonga5534 3 роки тому +1

    Mpaka muda huu nipo kwenye wimbi hilo

  • @LizoMan-f5y
    @LizoMan-f5y Рік тому

    Tunakutana na hizo hali kwel na sis nahss tupo external yaani ni mamb yalio sababshw na watu NI VYEMA KUW katika hali gan ? Ukiacha ulizoorodhesha

  • @damudamu2584
    @damudamu2584 2 роки тому

    Mr nanauka nitumie no yake mkuu

  • @MeshakiKisalu-dt8vo
    @MeshakiKisalu-dt8vo 7 місяців тому

    Utamujuwaj ambay hakuwukuma

  • @ChristopherMwita-t2s
    @ChristopherMwita-t2s 4 місяці тому

    Mimi ninasumbuliwa na aibu ya kudai au kudaiwa hii ikoje na naweza kukabiliana nalo vip?

  • @abdisalami7348
    @abdisalami7348 2 роки тому

    Na kama umeumbwa tu na aibu tangia utotoni ni nini nifanye ili kuondokana na hiyo Hali..??

  • @hafsahcletty5968
    @hafsahcletty5968 3 роки тому

    🙏

  • @AliMohamed-wp1op
    @AliMohamed-wp1op 3 роки тому +1

    Dawa ya moto ni moto, akuumizae muumize, akusingiziae msingizie

    • @frankmtei3017
      @frankmtei3017 3 роки тому +2

      Ukifanya hivyo hutakaa salama

    • @AliMohamed-wp1op
      @AliMohamed-wp1op 3 роки тому +1

      @@frankmtei3017 ni bora kutokaa salama kuliko kubeba uchungu

    • @seniorsimplicity7855
      @seniorsimplicity7855 3 роки тому

      @@AliMohamed-wp1op uchungu ni mbaya sana nilikumbana na uchungu mwaka uliopita lakini nashukuru Mungu alinipitisha hicho kipindi

    • @samohazakwani6899
      @samohazakwani6899 3 роки тому

      Usilipe ubaya kwa ubaya, mtenda mema hutendea nafsi yake na mtenda mabaya humrudia mwenyewe. Mola hayuko pamoja na wenye kudhulumu, hata kama hukulipiza Allah humlipa kila mtu kwa alilolifanya.

    • @AliMohamed-wp1op
      @AliMohamed-wp1op 3 роки тому

      @@samohazakwani6899 Asalam aleykum, Advice yako imeniondolea mzigo mkubwa wa kuweka rohoni na visasi, nimejifunza the otherside of behaving, ningependa tufanye Friendship nawewe kama utapenda, bila ya sexual intrests, mimi niko na mke mjerumani na naishi ujerumani, kama hutopenda kuwa na urafiki nami basi I do appreciate your Great Advice which turned me to another dicection or Attitude. ALLAH BARIK

  • @jacquelinebumbugu4876
    @jacquelinebumbugu4876 3 роки тому +4

    Wengi utanguliwa na aibu..siri ni kuwa muwazi ili uwe huru

  • @luhanyamipawantobi6888
    @luhanyamipawantobi6888 3 роки тому

    Mimi nilitupiwa mzigo na mtu ambae aibu kaifanya yy na mpenz wake chumban,,eti nikambiwa Mimi ndo nimevujisha ile vdeo ya utupu wao!!!???

  • @mcnyoka
    @mcnyoka Рік тому

    Elimu unayo itoa hailingani kabisa n Subscribers ulio nao,
    Naomba tulioko humu tusambaze link za Joel ili views wawe wengi wajifunze

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 роки тому

    🙏🙏🙏🤦‍♀️

  • @AliMohamed-wp1op
    @AliMohamed-wp1op 3 роки тому

    I'll try to contact Samoha Zakwani and also give her a present if she Accepts for releasing my loads

  • @bravotechcons.co.ltdbtccl9002

    Aksante Joel. Mimi bwana ni madeni mkuu. Daaa

  • @leyankoika1261
    @leyankoika1261 Рік тому

    Bro uko vizuri sana

  • @anordnjau1748
    @anordnjau1748 2 роки тому

    Asante

  • @hammyyombe5229
    @hammyyombe5229 3 роки тому

    🙏