MAMLAKA YA KI MUNGU KUZISHINDA NGUVU ZA GIZA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Вставка
- Опубліковано 11 сер 2021
- Kwenye hili somo Mtumishi wa Mungu ametufundisha namna gani tulipookoka/ kuzaliwa mara ya pili (kiroho) Mungu alituketisha pamoja na Mwanae pendwa Yesu Kristo, kwa sababu hiyo na sisi pia tumepewa mamlaka ya kukanyaga nge na nyoka na hakuna nguvu yoyote ya giza inayoweza kutusumbua, tumepewa mamlaka ya kuamuru na vitu vikawa.
Fatilia mafundisho haya na mengine mengi upokee baraka ambazo Mungu kutumia watumishi wake amezileta kwa ajili yako. Mungu akubariki sana.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our UA-cam: ua-cam.com/channels/67L.html...
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
Ufunuo wa ajabu. Asante Yesu kwa ufunuo kupitia kwa mtumishi wako. From kenya 🇰🇪
Sina maneno ya kutosha kumshukuru Mungu kwa maarifa haya, Mungu akubariki sana Pastor Kyando.
Amina Mungu ni mwema kwakunifunulia nakuweza kunitoa katika usingizi sasa nimejuwa namna ya kukanyaga nakushinda kila roho chafu Asante Mungu kwaajiri ya Mtumishi wako 🙏
Imani yangu inazidi kukua siku Hadi siku Kwa mafundisho Yako Sasa naweza kuzishinda nguvu za giza,ubarikiwe sana pastor Kyando
Lord God almighty, I ask in Jesus Christ name bestow upon me wisdom and revelation in every area of my life.
Amina mtumishi Mungu akubariki sana kwa mafundisho mazuri.
Nashukuru sana Mungu kwani napita njia ya youtube kujifunza. Lakini natamani kujua ratiba ya Dodoma ili nami nishiriki ibada kamili.
Mungu akubariki sana kwa mafunzo yako mazuri.
Nimejifunza mengi tangu nikujue!
Asante sana mtumishi wa mungu umenifungua macho ubarikiwe sana
ameen..kuanzia leo nimejuwa nimeketishwa na na KRISTO nina mamlaka ,,,asante kwa mafundisho haya pastor.
Wooow! I always say ur the best Pastor ever in Tz. It's about time watu kunywa maziwa tuachie watoto na tung'ang'ane na mifupa sasa.
Toka nianze kufuatilia mafundisho yako mtumishi,umenijenga sana na Mungu amenipeleka hatua hadi hatua.Barikiwa sana na Mungu wa mbinguni azidi kukupaka mafuta mabichi kwa ajili ya utukufu wake.
Amen mtumishi barikiwa sana
Nimeipenda Sana opening statement ya kuwa vita yoyote lazima upiganwe uimalize uendelee na mengineyo.
Oooh, nimejisikitikia sana kwakuchelewa kujua nilipo,Ahnte sana mtumishi kwa mafunuo mazuri ,Mungu akubariki sana
Baba Mungu akubariki sana umenifungua macho yangu ya kiroho 🙏🙏 nitatumia mamalaka lakini sio kumlilia Mungu juu vyote viko chini ya nyayo zangu.
Ameni kwaimani mungu naomba niponye Mimi mwanao magreth laston nazikataa ndoto mbaya zinazo nifwatilia Kwa jina la yesu
Kutoka DRC UVIRA, Nabarikiwa na Neno la Mungu , Mungu asifiwe !!
Ansate mtumishi kwa fundisho hili
Ndiomana watu walio okoka uwa Wana furaha sn,kumbe wameketi pamoja na Kristo
You have a very broad understanding on how to conquer the powers of darkness. Asante sana MTUMISHI WA MUNGU.
Amen pastor
Amen, Bwana Yesu tufundishe
Aseh Mungu ni mwema sanaaa namtukuzaa sanaa Mtumishi hili som very powefull yaan mpka nasisimka
AMEN . My spiritual eye's are really opening wide. Barikiwa zaidi Mtumishi uendelee kutufundisha nasi tutoke gizani. We have been victims as a family but from now on ì believe things are not going to be same. Tutamkanyanga kabisa. Jina la MUÑGU litukuzwe.
Ni kheri ulizaliwa🙌🙌...your the best teacher and man of GOD...i real see the reality of CHRIST through you...
Hallelujah
Amina mtumishi wa Mungu, kiukweli nimejifunza mamlaka yangu ktk ulimwengu wa roho
👏👏👏 Respect mtumishi wa MUNGU Aliye Hai somo sahihi ubarikiwe sana
Very Powerful 🔥! Apostle & Teacher of this Generation.I tap to this Grace and annoiting! Mungu azidi kukutunza Pastor.
Amina balikiwa sana mtumishi kwa kunifungua macho ya rohon na kunipa ujasili
Karibu Bukoba 🙏🙏🙏
Amen...
Powerful message MUNGU akubariki sana pastor
Amen amen
Sifa na Utukufu kwa Mungu
Nabalikiwa sana
Ameeeeeen man of God
AMINA.MTUMISHI,.MUNGU MUWEZA YOTE AKUBARIKI
Yani nabarikiwa sana aisee mwalemi mtumishi unafundisha vizur sana
Kwa kweli mi wachawi wana tabia ya kunichanja hii hali siipendi baada ya mafundisho haya naamini ntakua salama hawatachezea mwili wangu tena kwa jina la Yesu
Amen napokea malakai ya kiungu tangu sasa kwa jina la Yesu
Mafunzo mazuri ingawa maombi ni kazi kuhubiri ni rahisi
Your the best teacher
Ubarikiwe sana. Usikivu wa sauti umepata changamoto
Asant mtumishi nmeelew sana
May God bless you pastor 🙏
Pastor Ubarikiwe sana kwa shule nzuri.
dah! ubarikiwe sana mtumishi saana yani sana
Amen man of God
Amen
Amina
Barikiwa mtumishi.... Iwepo na part two
Amen! ili somo safi! Ubarikiwe mtumishi. Sasa wenye kua inje ya Tanzania wanatoa sadaka kwa njia gani?
Be blessed,,,,,man of God 🙏🙏🙏
Sauti ipo chini sana
Amen Baba nimebarikiwa
Amen hallelujah
Aise yaani nimebarikiwa hadi naona nimechelewa kumjua huyu pastor anajua kufundisha sana neno la Mungu
Rebeca nipeni number yake nimuelekeze dawa babere
Mungu azidi kukupa ma ufunuo makubwaaa
Amen 🙏🏿
Amen.
Amen, Amina
Ameen
Amen 🙏🙏🙏
Fundi mitambo sauti mdogo Sana.
Asante mtumishi wa mungu nabarikiwa
Mchungaji nimecheka Hapo pa kupoteza identity 😀😀😀
🙏
👏
Mungu azidishe kuwa Pamoja na nyinyi Kira Siku upenzi wa Yesu Kristo
amina mungu ni mukubwa
Channel haina sauti
DODOMA KUSANYIKO NI WAPI?
Ibada inafanyikia Ukumbi wa Dear Mama, Area C njia panda ya kuelekea Arusha. Karibu sana.
@@realityofchristchurch habari mtumishi wa Mungu.huduma yako ipo wapi Kwa Sasa natamani kufika
Ameen
Amen
Ameen
Amen