KUNYWA POMBE NI MAKOSA LAKINI SIYO DHAMBI| KUNYWENI BAADA YA KAZI| POMBE NI MLANGO WA SHETANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 142

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 3 місяці тому +4

    1 Timotheo 3
    2 Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;
    3 si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda fedha;
    4 mwenye kuisimamia nyumba yake vema, ajuaye kutiisha watoto katika ustahivu;
    5 (yaani, mtu asiyejua kuisimamia nyumba yake mwenyewe, atalitunzaje Kanisa la Mungu?)
    6 Wala asiwe mtu aliyeongoka karibu, asije akajivuna akaanguka katika hukumu ya Ibilisi.

  • @chillogeorge1383
    @chillogeorge1383 3 місяці тому +3

    Kuna wakati unaongopa hadi unaishia kujizonga. Hawawezi tena kuisema kweli ya Mungu.

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 Місяць тому

    Nyinyi wakristo mnakazi kweli hadi leo hii unasema kunywa pombe siyo dhambi nimeamini kweli mnaabudu shetani siyo Mungu

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 3 місяці тому +3

    Daaah

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter 3 місяці тому +2

    Huyu mtumishi nae atakuwa ni mtu wa tungi huyu 🙄🤔

  • @daudinzunda8739
    @daudinzunda8739 3 місяці тому

    Jamaniii baba Levoooo mbona unatetea sanaa pombee

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 3 місяці тому

    Luka 21
    33 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
    34 Basi, jiangalieni, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; siku ile ikawajia ghafula, kama mtego unasavyo;
    35 kwa kuwa ndivyo itakavyowajilia watu wote wakaao juu ya uso wa dunia nzima.

  • @ramadhanishabani4600
    @ramadhanishabani4600 3 місяці тому +10

    tatizo tunaamini sana maneno ya btunaowaita viongozi wa dini. akili kichwani kwako hao ni wapiga dili tu wa duniani walioiona fursa kwny dini

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 3 місяці тому

      amesoma maandiko lakini au hujaelewa mkuu?!.

    • @praymwalu
      @praymwalu 3 місяці тому

      Kweli

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Місяць тому

      Usiwe unarumbana na vilaza wa CCM​@@yuzotv458

  • @BertaVenance
    @BertaVenance 3 місяці тому

    Jomba mnabonga sana mpeni nafasi mtumishi ajibu maswali kwa undani kwa faida ya wasikilizaji msimuhoji kama muhuni

  • @chaco1466
    @chaco1466 3 місяці тому +3

    ivi tanzania kuna wachungaji wa watu au wawanyama kwaiyo ana hamsisha watu kunywa pombe kama sio zambi ila TZ kuna watu wa OVYO sana

    • @marlonstudios4408
      @marlonstudios4408 3 місяці тому

      Wapi kahamasisha na wewe si kasema apo ni makosa

    • @EmmanuelMaro-jj8qz
      @EmmanuelMaro-jj8qz 2 місяці тому

      kiingiacho sio Haram Bali kitokacho kwaiyo hiyo pombe ukinywa isilete madhar ikishakuzd nakulet madhar ndio kasem dhambi kwaiyo akili kichwan mwako kunywa au kuachaa

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 3 місяці тому

    2 Petro 2
    12 Lakini hao kama wanyama wasio na akili, ambao walizaliwa kama wanyama tu wa kukamatwa na kupotezwa, wakikufuru katika mambo wasiyoyajua, wataangamizwa katika maangamizo yao;
    13 Wakipatikana na madhara, ambayo ni ujira wa udhalimu wao, wakidhania kuwa ulevi wakati wa mchana ni anasa; wamekuwa ni mawaa na aibu wakifuata anasa zisizo kiasi katika karamu zao za upendo, wafanyapo karamu pamoja nanyi;
    14 wenye macho yajaayo uzinzi, watu wasiokoma kutenda dhambi, wenye kuhadaa roho zisizo imara, wenye mioyo iliyozoezwa kutamani, wana wa laana;
    15 wakiiacha njia iliyonyoka, wakapotea, wakiifuata njia ya Balaamu, mwana wa Beori, aliyependa ujira wa udhalimu;

  • @abedimat23-tw4kc
    @abedimat23-tw4kc Місяць тому

    Apo nimesha kuelewa

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f 3 місяці тому +1

    Mzee wa upako ni mwongo sana siku hizi, afu yeye mwenyewe ni mlevi. Pombe ni dhambi tena kama ingefaa bac niseme ni dhambi kubwa sana. Pombe inaondoa hekima ya mtu, ukishakosa hekima bac ww utakuwa ni mtu wa namna gani hata haielezeki. Mithali 20:1, mvinyo hudhuhaki, kileo huleta ugomvi na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima. Waefeso5:18, tena msilewe kwa mvinyo ambamo mna ufisadi, bali mjazwe roho. Luka 1:15, kwasababu atakuwa mkuu mbele za Bwana, hatakunywa divai wala kileo, naye atajazwa roho mtakatifu, tangu tumboni mwa mamaye. Huyu anayezungumzwa hapa ni Yohana. Mtumishi wa Mungu hawezi kutumia kileo kwasababu utakuwa unamfukuza roho mtakatifu. Oky? Mzee wa upako wa pombe au siku hizi vp ?

    • @NkondokayaJoe
      @NkondokayaJoe 3 місяці тому +1

      Ogopa sana watu wa aina hiyo, hawa walikwisha tabiriwa ya kuwa nyakati za mwisho watakuja manabii wa UONGO watatoa mafundisho na kufanya miujiza ya ajabu.Ndiyo hawa akina Mzee wa upako na wenzake wanatumia matatizo ya watu kuwa fursa kujineemesha wao wenyewe huku waumini masikini wakiendelea kuteseka na dhiki

  • @nassorntandu4513
    @nassorntandu4513 3 місяці тому +1

    Nashukuru mnaweka mijadala yenye kuleta kuamka kwa akili ya jamii, na kuangalia wana tafsiri vipi masuala yaliyopo kwenye vitabu vya dini.

  • @amirizedy8411
    @amirizedy8411 3 місяці тому +9

    Tatizo lugha ndio zimewacanganya dhambi ni kiarabu kwa kiswahili ndio makosa unaposema kunywa pombe ni makosa sio dhambi bado unajicanganya mwenyewe dhambi ndio makosa nimemaliza

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 3 місяці тому +2

      Ndio maana hiki kiswahil siyo kiarab, hata kiingereza dhambi na makosa ni tofaut, hivi hujui makosa mengi sio dhambi, mfano kuchelewa shule ni kosa ila sio dhambi, na mifano mingine unayo mwenyew

    • @alphamenson3784
      @alphamenson3784 3 місяці тому

      ​@@goldmansun5859True man

    • @Chw_Kdmn83
      @Chw_Kdmn83 2 місяці тому

      Ni sawa kwa Mungu kosa ni dhambi. Hata kuchelewa kazini ni dhambi kwa maana unamdhulumu muajiri wako muda wake mliokubaliana.

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 2 місяці тому

      Kama ndivo, basi mwanadamu hata 1 asingetoboa pepo,, ndomana akaja masihi YESU, kutupunguzia amri,, sasa tumebaki na amri kuu mbili,,1 mpende bwana MUNGU wako kwa nafsi yako yote, 2 mpende jirani yako kama uipendavo nafsi yako,, sasa kunywa pombe, kuowa wake 60-70, sio zambi,

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 2 місяці тому

      @@amirizedy8411 mfano kuna jamii kufuga nywele au kuacha nywele ni kosa, ila si dhambi, wengine kunywa soda ni kosa ila si dhambi na wala si kosa kwa wengine, jiongeze mbinguni tunaenda kwa grace na kujitahid kwa kupapasapapasa utakatifu maana ni ngumu n impossible, tunakuwa watakatifu kwa ajil ya mtakatifu mmoja aliyebeba madhaif yetu, Naye ni Mungu Mungu mwenyew Yesu Kristo mwenyew maana kuna mmoja tu mweny haki naye ni Mungu

  • @mwankunjatyson
    @mwankunjatyson 3 місяці тому +1

    😂😂😂 daaah sasa mtu akikosa ni dhambi tyr

  • @HekimaSalama
    @HekimaSalama Місяць тому

    Wezi njie

  • @mkorinthomgalilaya6700
    @mkorinthomgalilaya6700 3 місяці тому +1

    Adela katulia tuli

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 3 місяці тому

    Warumi 13
    12 Usiku umeendelea sana, mchana umekaribia, basi na tuyavue matendo ya giza, na kuzivaa silaha za nuru.
    13 Kama ilivyohusika na mchana na tuenende kwa adabu; si kwa ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu.
    14 Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaa zake.

  • @denisyohana8104
    @denisyohana8104 3 місяці тому

    swala la kujiuliza ni kosa kwa nani, na siyo dhambi kwa nani,kuna milango miwili wa Mungu yaani wema ,na mlango wa shetani yaani uovu (dhambi),achane kupendezesha ubaya kuwa wema

  • @FrolaMwanja-yk1ck
    @FrolaMwanja-yk1ck 2 місяці тому

    Levi hilo zee,shushu la kuhujum yesu kristo wetu,alishapiga pesa kupitia dini amebaki kupotosha

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 3 місяці тому

    1 Wakorintho 6
    9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
    10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.

  • @phina8058
    @phina8058 3 місяці тому +2

    Nimemuelewa sana mzee wa upako

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 3 місяці тому +4

    Uislam umekamilika aisee, Lusekelo swala la chakula kwetu huku linaitwa israfu, kikizidi sana ni dhambi yan ukila ukavimbiwa haitakiw

    • @BarnabasFabiani
      @BarnabasFabiani 3 місяці тому

      Ume kamilika wapi

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 3 місяці тому +1

      ​@@BarnabasFabianiukitaka ubishi hauwez kuelewa uislamu umeelezea hata namna ya kwenda haja chooni namna ya kula .halali na haramu , uvaaji,uongeaji, utembeaji, n.k ..... ukitaka kujifunza uislamu ondoa kasumba kichwani mwako

    • @CadiaOnesmo
      @CadiaOnesmo 3 місяці тому

      Kukamilika sio hoja hoja ni unayatekeleza yote?​@@AmourAmour-ux3nm

    • @siaolomi1590
      @siaolomi1590 3 місяці тому

      Hata ukiristo umekamilika

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 3 місяці тому +1

      @@siaolomi1590 naomba andiko linaloelezea adabu za kuingia msalani au chooni

  • @paulsibu5770
    @paulsibu5770 2 місяці тому

    Makristo wa Uongo ndo hao na wengine wengi.

  • @hassannjiku
    @hassannjiku 3 місяці тому +1

    Pombe n haramu tena n haram nna mm sasa nimelewa ila n haram nna haifai kwa afaya nna kifamilia sema ukinywa unakuwaje iyo n ujinga wako ila nnasema tena pombe haifai🎉

  • @IsaacParuz
    @IsaacParuz 3 місяці тому +1

    Mithali 23:29-30
    [29]Ni nani apigaye, Yowe? Ni nani aliaye, Ole?
    Ni nani mwenye ugomvi? Ni nani mwenye mguno?
    Ni nani aliye na jeraha zisizo na sababu?
    Ni nani aliye na macho mekundu?
    [30]Ni wale wakaao sana kwenye mvinyo;
    Waendao kutafuta divai iliyochanganyika.

  • @Yeshuatv729
    @Yeshuatv729 3 місяці тому

    Hao ndio wachungaji na maaskofu😀😀

  • @johnsonjoseph5382
    @johnsonjoseph5382 3 місяці тому +2

    Kipotoshi

  • @AlyadamMazruy
    @AlyadamMazruy Місяць тому

    Et nikosa lkn sio dhambia 😂😂😂😂😂 ww mchungaji gn na ww

  • @swalehaltooq5233
    @swalehaltooq5233 3 місяці тому +1

    Eti nimakosa lakoni sio dhambi 😂😂😂😂😂😂

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela 3 місяці тому

      Huu ukristo jmn ndouharibifu wa maisha unasema et ni mlango wa shetani lkn syo dhambi upotevu huo tokeni njooni kweny dini ya haqq

  • @charlesayubu6449
    @charlesayubu6449 3 місяці тому +2

    Tungeomba mumualike pia sheick Shaffi ili awape ukweli kutoka kwenye biblia kuhusu hayo maswali yenu. Mchunganji anajibu kwa kujikanyaga

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 3 місяці тому

    Mmmmmhm Jamii ina Mauti......😢

  • @mazaramatucha
    @mazaramatucha 3 місяці тому +3

    Porojooo

  • @kamangutv5828
    @kamangutv5828 3 місяці тому

    Mchungaji anaakili snaa

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 3 місяці тому +1

    NIMEYAPENDA HAYA MAHOJIANO

  • @shannarsaidSwahili
    @shannarsaidSwahili 3 місяці тому +4

    Na kama mngefuata alichokuja nacho Muhammad s.a.w..mngejifunza kitu..lakini Mlikufuru

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 3 місяці тому

      Muhammad hapaswi kufuatwa kwa chochote, kuoa vitoto vidogo?kuua vitoto visivyo na hatia?kutuambia mbinguni kuna kila ulafi (ngono chafu kuliko ya makahaba, eti mimama 72 inajua mambo inatoka kuzimu just for porno,Muhammad na mwenzak issa wote big Noooo..mbingu ya walafi na walevi na mingono hyo jehanum

    • @shannarsaidSwahili
      @shannarsaidSwahili 3 місяці тому

      @@goldmansun5859 leta Aya inayozungumzia unayosema...afu Aisha r.a hakua mtoto

  • @enoszaka-tx8qw
    @enoszaka-tx8qw 2 місяці тому

    tatizo hamna mpangilio wa maswali kila mtu anataka kuuliza

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 3 місяці тому +1

    1 Petro 4
    1 Basi kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake, ninyi nanyi jivikeni silaha ya nia ile ile; kwa maana yeye aliyeteswa katika mwili ameachana na dhambi.
    2 Tangu sasa msiendelee kuishi katika tamaa za wanadamu, bali katika mapenzi ya Mungu, wakati wenu uliobaki wa kukaa hapa duniani.
    3 Maana wakati wa maisha yetu uliopita watosha kwa kutenda mapenzi ya Mataifa; kuenenda katika ufisadi, na tamaa, na ulevi, na karamu za ulafi, na vileo, na ibada ya sanamu isiyo halali;
    4 mambo ambayo wao huona kuwa ni ajabu ya ninyi kutokwenda mbio pamoja nao katika ufisadi ule ule usio na kiasi, wakiwatukana.
    5 Nao watatoa hesabu kwake yeye aliye tayari kuwahukumu walio hai na waliokufa.

    • @yusuphnundu6113
      @yusuphnundu6113 3 місяці тому

      Wakolosai 2:16-17 16 Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato;
      17 mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 3 місяці тому

    Wagalatia 5
    19 Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi,
    20 ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi,
    21 husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 3 місяці тому +1

    Kumbe kosa unalomkosea mungu kwa upande wako sio zambi lakin kuna zambi kwaiyo zambi ni nin?😂

  • @Saidfadhil-o3o
    @Saidfadhil-o3o 3 місяці тому

    Mkiongea muwe makini jamii inakusikilizeni

  • @pascalmusana2137
    @pascalmusana2137 3 місяці тому +1

    Niikweli

  • @josephmaduka-xv8yp
    @josephmaduka-xv8yp 3 місяці тому +2

    Dhambi ninini kama sio kosa

    • @berry4726
      @berry4726 3 місяці тому

      Ni kosa na ni dhambi.

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 3 місяці тому +2

    Pombe inyweke kwa kiasi

  • @berry4726
    @berry4726 3 місяці тому +1

    Pombe ni haramu na ni dhambi.

  • @ashrafurwegoshora4227
    @ashrafurwegoshora4227 3 місяці тому

    Baba levo unaboa,muache mgeni aongee

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 3 місяці тому +2

    DHAMBI NINENO LA KIARABU MAANA YAKE KWA KISWAHILI NI MAKOSA

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 3 місяці тому +1

      Shida upand w pili hawana mashiko

    • @issamuhammedi
      @issamuhammedi 3 місяці тому

      Ndo dini yao wanayo ifata kazi wanayo

  • @AliyyAli-ii1uz
    @AliyyAli-ii1uz 3 місяці тому

    Naona mnaliwazana muwe mnawaalika na mashekh wenye misimamo yadini

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 3 місяці тому +3

    Ndugi zangu kanisani kuna pombe club kuna pombe kanisani kuna mziki club kuna mziki kanisani madada wanavaa vimini club wanavaa vimini nawashauri tu hameni huko hakuna amani

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 3 місяці тому

      Mbinguni kwa Allah kuna madanguro na walaf na kila uchafu, maana kila kitu ok huko, zungumzia hyo pepo wenu kwanza,yes kanisana kuna nyimbo coz tunamsifu kwa nyimbo nyinyi si madufu mnacheza ka majini 😂😂😂, maana ndio Mungu wenu jini, mvinyo upo yeah ila utupe ushahid tu mbona fresh, na sio dhamb inadepend ni kwa ajil gan, yaan if yo Muslim you better not attack, coz mauchafu yalipo huko yanatisha

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 3 місяці тому

      @@goldmansun5859 sema kanisani kuna nyimbo club kuna nyimbo pia kanisani mnakunywa pombe club pia pombe kanisani kuna vimini club napo sawa

  • @stewardlwimbo3944
    @stewardlwimbo3944 3 місяці тому

    Huyu mzee mpotoshaji sana pombe eti siyo dhambi na mvinyo unaozungumzwa kwenye biblia ni Zabibu ambazo hazijachachushwa ndo ziliruhusiwa

  • @Kiganja
    @Kiganja 3 місяці тому +3

    Kila mtangazaji anataka kuongea na sio kusikiliza wanae muhoji.
    Hizi ni vurugu za kimaongezi.
    Watangazaji muwe wasikivu zaidi. Mnapoteza mambo muhimu kwa mnao wahoji.
    Au ni bora kuwepo na watangazaji wachache ikiwezekana hata mmoja atafaa.

    • @MM-pb7fw
      @MM-pb7fw 3 місяці тому

      watangazaji wa bongo hamna kitu..wanaongea wao zaidi kuliko wanaemuhoji,kelele nyingi mtu kabla hajamalizia kuongea wamesharukia,kama kijiweni

  • @jazzmancoltrane
    @jazzmancoltrane 3 місяці тому

    Haya mambo ya kufuata mila
    Na dini za wageni ndio zimetufikisha hapa. Hawa wageni wemekuja huku Afrika kisha wakatuaminisha kuwa sisi İmanı na dini zetu hazifai za kwao ndio zinafaa. Kisha wakatiambia tufumbe macho kuja kufumbua the rest is history. Ndio maana namkubali sana Ngugi wa Thiongo.

  • @matataoneproduction5355
    @matataoneproduction5355 3 місяці тому

    Kwani dhambi ni nini?

  • @engineerjuma9876
    @engineerjuma9876 3 місяці тому +1

    Akuna handiko hata moja atakalotoa kuhusu pombe,mwanzilishi wa UKILISTO ni MZUNGU na mzungu kwa pombe humwelezi kitu

    • @jamesmshanga1098
      @jamesmshanga1098 3 місяці тому

      Ukristo haukuanzishwa na wazungi,umeanzishwa na Yesu mwenyewe pale Yerusalem ktk nchi ya Israel na sio ulaya

    • @mariacastor3632
      @mariacastor3632 3 місяці тому

      Soma HESABU 6:1 uone Mungu anasema nini kuhusu pombe

  • @dstaroficial
    @dstaroficial 3 місяці тому

    Comedian

  • @IsmailIsmail-ix1yd
    @IsmailIsmail-ix1yd 3 місяці тому +10

    Quran imeenda ndani zaidi kwa kusema "rijsun min amali shaytwaan, fajtanibuhu laalahum yarshuduun"
    Maana: Ni uchafu katika matendo ya shetani, (fajtanibuhu) basi jiepusheni, mpate kuongokewa/uongofu.
    Basi ni nani akaatae uongofu wa Mungu wake na kutekeleza mapenzi na matendo ya shetani. The choice is yours.....

  • @JninjaH2R
    @JninjaH2R 3 місяці тому +1

    😂😂😂😂

  • @Rumbakweka
    @Rumbakweka 2 місяці тому

    Uyu jaama anaongea kwa kufata tupepo POMBE HAIRUHUSIW
    NA AACHANE NA MAMBO YA AGANO LA KALE SS TUNAFATA MATAKWA YA SASA YA AGANO JIPY

  • @Habaritrending.tanzania
    @Habaritrending.tanzania 2 місяці тому

    Kuelewa alichokisema apo mzee inatakiwa uwe na akili kdg ndo utamuelewa la sivyo utajikuta unabisha nA unacomment ujinga

  • @linaschannel3769
    @linaschannel3769 3 місяці тому +1

    Biblia inasema
    usiguse usinuse

  • @barakambunda5428
    @barakambunda5428 3 місяці тому +1

    Uyo ajui biblia kutumia kileo ni dhambi (pombe)

    • @emanuelmkama1325
      @emanuelmkama1325 2 місяці тому

      Mm snyw lakn kwa uelew matokeo ya pombe ndo dhmbi,

  • @samwelmushi6162
    @samwelmushi6162 3 місяці тому +2

    Imeandikwa usimpe jirani yako kilevi

    • @zahornassor5420
      @zahornassor5420 3 місяці тому +1

      Kwann usimpe ? Kwaio Mungu hataki umpe jirani yako kitu kizuri!!? Tumia akili bas mana yke pombe sio mzr ingekuwa mzr usinge ambiwa usimpe jiran hko kilevi

  • @TonFashion
    @TonFashion 3 місяці тому

    Tunyweeeeeee

  • @gilliansiara3324
    @gilliansiara3324 3 місяці тому

    Ku

  • @edwinmbunda6709
    @edwinmbunda6709 3 місяці тому

    Mm sinywi pombe kwa ridhaa yangu, nimeona haina faida kwangu kiafya, kiuchumi lkn pombe sio kosa wala dhambi mtu akitumia kwa kiasi. Ingekuwa ni kosa hata serikali isingeruhusu kuuzwa kwa raia wake

  • @ClassicUsed-jg6ri
    @ClassicUsed-jg6ri 3 місяці тому +1

    Viti moto ndio nn

  • @edwinmbunda6709
    @edwinmbunda6709 3 місяці тому

    Ukinywa kwa kiasi sio kosa.....shida wanadamu wengi hawana kiasi

  • @mussammanga7791
    @mussammanga7791 3 місяці тому +1

    Hawa bhana wapo mbali sana, kunywa pombe ni makosa lkn sio dhambi.
    MwenyeziMungu anasema kutoka kwenye Qur-an.
    "BILA YA SHAKA DINI MBELE YA MWENYEZIMUNGU NI UISLAM".

    • @edwinmbunda6709
      @edwinmbunda6709 3 місяці тому

      Tulia ww

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 3 місяці тому

      @@edwinmbunda6709 Imekuchomaa?

    • @edwinmbunda6709
      @edwinmbunda6709 3 місяці тому

      @@mussammanga7791 Pombe sio dhambi ww, kunywa kwa kiasi ti

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 3 місяці тому

      @@edwinmbunda6709 Hahahaaa! tukikwambieni wenzetu mpo mbali sana.
      Namshukuru MwenyeziMungu kunijaalia kuwa Muislam.
      Poleni.
      MwenyeziMungu anasema kutoka kwenye Qur-an: (5:90-91).
      MwenyeziMungu ameharamisha.
      Kamari, Kula nguruwe( Kiti moto), Kunywa ULEVI, Kutizamia(Nyota) na Kuabudu masani kwa sababu ni kazi ya Sheitwan.
      Sasa wewe sijuwi unamfata mungu yupi alokwambia kuwa ulevi si haramu.
      Pole.

  • @TangaMashewa-qe8kk
    @TangaMashewa-qe8kk 3 місяці тому +2

    huyu mchungaj hamna kitu kosa maana yake umepinga maamrisho ya mungu je kosa si dhambi au atupe jibu dhambi ni nini

    • @ladislausriwa7768
      @ladislausriwa7768 3 місяці тому +1

      Kosa ni kutokufanya kitu kwa usahihi wake. Dhambi ni kuvunja maagano ya Mungu na watu wake haya yapo kwenye amri 10 alizopewa Musa

  • @Adonkamotci
    @Adonkamotci 3 місяці тому

    Acheni kupo Tosha watu pombe Nizambi Dini zime Retwa lRi kupo Tosha watu sim Naona mazambi yanavo zidi vio ngozi wa Dini Wana Rusu pombe Una juA kinacho muo ngoza mtu sio Dini Ni mungu kuA mini Dini Naku Amini mungu Nivitu Viwili Tofauti watu wengi wapo Upande wa shetani wame poteA Wana wapo Teza Nawe ngine Tamah za pesa maisha mazuli Atoki mtu

  • @rennydsollo7791
    @rennydsollo7791 3 місяці тому

    Doctrine...
    Christian Doctrine ndivyo isrmavyo na iaminivyo.
    Hata Mlokole aliye enda School of Bible, atakujibu jinsi Mch. Mzee lusekelo alicho sema au kujibu.
    Azungumzi kwa hulka, Amesoma. Ndoo maana anakwambia siku ya ibada ni Jumamosi, japo yeye huudumia juma Pili.
    Anasimamia Ukweli.
    Doctrine originated From latin Doctor of "Teacher"
    Kama you interested to kno bout what yo beliefs, as Christian. Study It, don' jus feed from yo Faith Elders.

  • @JohnsonBagambi
    @JohnsonBagambi 3 місяці тому

    Tupige kilaji tu akuna namna😂😂😂

  • @ernestgervas7021
    @ernestgervas7021 3 місяці тому +3

    Someni maandiko na muombe roho mtakatifu ili awape ufahamu kwani hapa mnadanganywa tu, eti pombe si dhambi manabii wa uongo wapo na wanafanya kazi kubwa mpaka sasa

    • @Ndenza
      @Ndenza 3 місяці тому +2

      Hojà hupingwa na hojà toa maandiko Ili ubatilishe hojà

    • @medeljoram5325
      @medeljoram5325 3 місяці тому +1

      Una maandiko.?😂 soma bible kijana, au divai, mvinyo, unavyo soma kwa Bible unadhan ni togwa? 😂

    • @elimbotoraphael3940
      @elimbotoraphael3940 3 місяці тому

      Wewe ndiyo hujui maandiko.Biblia inasema msilewe kwan mvinyo lakini haijawahi kubainisha kuwa kunywa ni dhambi

    • @majotv3405
      @majotv3405 3 місяці тому

      ​@@medeljoram5325hujui bibilia imeandikwa na mwanadamu panya ww amka

  • @silverman6930
    @silverman6930 3 місяці тому +1

    Man talking trash here ..: business man 😂

  • @michaelmwaksole7244
    @michaelmwaksole7244 3 місяці тому +2

    Hunaakili mpumbavu mjinga wa mwisho kabisa hii dhambi yakuwapotosha watu utailipa ukiwa kuzimu ktk mateso makali mbwa wewe

  • @amotvtz1302
    @amotvtz1302 3 місяці тому +1

    Kwanza hiyo Pete aliyovaa niyandoa kweli

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 3 місяці тому +1

    Kanisani wanakunywa pombe wanaita divai na biblia inaruhusu unywe pombe

  • @mahmoudhamisi673
    @mahmoudhamisi673 2 місяці тому

    😂😂😂 𝙝𝙖𝙢𝙣𝙖 𝙙𝙞𝙣𝙞 𝙝𝙪𝙢𝙪 𝙨𝙖𝙨𝙖 𝙢𝙡𝙖𝙣𝙜𝙤 𝙬𝙖 𝙨𝙝𝙚𝙩𝙖𝙣𝙞 𝙝𝙖𝙡𝙛𝙪 𝙞𝙨𝙞𝙬𝙚 𝙙𝙝𝙖𝙢𝙗𝙞 𝙪𝙡𝙞𝙤𝙣𝙖 𝙬𝙖𝙥𝙞

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 3 місяці тому

    Mwanzo 9
    20 Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;
    21 akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.
    22 Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.
    23 Shemu na Yafethi wakatwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; na nyuso zao zilielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao.
    24 Nuhu akalevuka katika ulevi wake, akajua mwana wake mdogo alivyomtendea.
    25 Akasema,Na alaaniwe Kaanani;Atakuwa mtumwa kabisa kwa ndugu zake.

  • @shaban6644
    @shaban6644 3 місяці тому +1

    Kuna vitu vyengine Vipo Wazi, Ushaambiwa ni Kosa na ni mlango wa Shetani, then anasema Sio Dhambi.
    Izo ni Siasa.

  • @legrandmsangi8405
    @legrandmsangi8405 3 місяці тому

    Kunywa pombe ni makosa lkn sio dhambi. Basi fafanua, anaongea tu pumba. Mchungaji usikute na yy ni mlevi

    • @MichaelMathew-j3f
      @MichaelMathew-j3f 3 місяці тому

      Yeye mwenyewe anapiga kwelikweli chupa za kutosha hahahahahahahaha humjui huyu mtu

  • @IsaacParuz
    @IsaacParuz 3 місяці тому

    Isaya 66:16-17
    [16]Kwa maana BWANA atateta na wote wenye mwili, kwa moto na kwa upanga wake; nao watakaouawa na BWANA watakuwa wengi.
    [17]Watu wale wajitakasao, na kujisafisha katika bustani, nyuma yake aliye katikati; wakila nyama ya nguruwe, na machukizo, na panya; watakoma pamoja, asema BWANA.

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 3 місяці тому

      Kanisani mnakunywa divai nyie na Kanisani mnapiga mziki km club

    • @edwinmbunda6709
      @edwinmbunda6709 3 місяці тому

      Mungu wetu ni Mungu anayeshika maagano. Hilo andiko umetoa ni agano la kale. Ktk agano jipya hakuna chakula najisi. Ukiweza kula hata konokono ruksa

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 3 місяці тому

      @@edwinmbunda6709 mungu yupi maana kwenye biblia kuna mungu mke kuna miungu mingi kwenye biblia