Shekh wetu acha wa mtukane hawajui kama azungumza haki??!! Halaf hao watakuja namazito siku ya kuyyamah . Halaf hayo yapenda tv naukiwachunguza hawasali kabisa
Sheikh yupo sawa tu. Tv zinatumika kumong'onyoa maadili ya kiislamu. Kama unataka kuyatuza basi uwe unafatilia mambo ya kheri tu kitu ambacho hakuna anayefanya.
Mtama wewe mwenyewe wenda hujuwi ata kutawadha wala hujuwi ata nguzo za swala kisha unatukana ma sheikh. Asili ya mwendawazimu huwa anaona watu wazima wenye akili timamu ndo wendawazimu yeye ni mzima zingatia maneno haya wewe safiihun
Vip mzee baba unaelim yoyote ile juu ya haya ambayo anayoyazungumzia? Au unabwabwaja tu Kama unaelim tupe tuongoke Pila we yani unaongea kitu ambacho huna elim nacho
Huyu kwake ameeka TV halafu clip zke nyngne eti zimekuja kueleza sababu maalum za qassim mafuta kueka TV kwake.. 😂😂. Yaan yy kueka kwake TV kuna sabb maalum
Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh Kwanza naomba nikupe pole kwa kutotambua nafasi ya masheikhy wa Sunnah kama Kasimu Mafuta kwenye jamii yetu, maana wengi wenye kupinga dawah ya sunnah hawana hoja za kielimu zaid ya kutoa matusi Pili, Sheikhy hajasema TV haraam bali kasema hazifai kutokana na madhara yake kwenye familia zetu na akaonesha kutambua faida zake lakin akahitimish kwa kuonesha faida ni ndogo kuliko faida. Tatu , Binafsi nashauri wasiomfaham vizuri Sheikhy Kasimu Mafuta dawah zake wanaenda na uvumi wa maneno yenye chuki binafsi na kuona maneno yake mabaya lakini yakitafakuliwa vizuri utaona Sheikhh hana lake zaidi ya kunusu Uislam
@@maftahyahya7709Wa’alaykums salaam warahmatullaahi wabarakatuh kabisa akhy mimi nimebadilika kutoka kumchukia enzi zile za Aboud Rogo hadi kumpenda Shaykh wetu Kassim Mafuta (Allaah amuhifadhi)
Nyie masalafiya jadida simushaingia peponi .kuliko sie masalafiyu.bado hatujaingia kwa jinsi muelewavyo majadida na munavyofundishwa na hao wajinga.kama mjinga khamisi imamu
WAISLAMU wacheni kutukanana kwasababu ya khilaaf za wanazuoni سباب المسلم فسوق وقتاله كفر Kumtukana muislamu ni ufaasiq na kupigana naye ni ukafiri Tuchunge ndimi zetu
Shekhe wewe hutumii simu? Jee! Unatumia simu ya aina gani? Maana hizo nyengine ni zaidi ya TV. Unatetea uhalali wa redio, Jee! Kwenye redio hakutangazwi mipira na kupigwa mziki? Tena mziki wa kwenye redio ni balaa.
Jazakallahu lkheiy. Allah atujaalie tuwe wenye kutekeleza amini
Jazakkah llah khaira khaira shekh Allah akuripe kher
ALLAH akulipe sheikh QASIM MAFUTA hakika umesema kweli
Wasiokua na upana wa kuelewa bas wao wataongea matus
Ila ALLAH awasameh na pia awaongoze
Shekh wetu acha wa mtukane hawajui kama azungumza haki??!! Halaf hao watakuja namazito siku ya kuyyamah . Halaf hayo yapenda tv naukiwachunguza hawasali kabisa
@@YusuphSadiki nimtihani kaka yangu
ALLAH atupe mwisho mwema
@@HakizimanaSelemani-wg3ze Allah ndo wa kuombwa msaada katika Yale wanayoyaeleza allahumah amiin
حفظك الله ورعاك الله يا شيخنا ابو الفضل
Alhamdulillah
Anataka tuishi zama za giza daah bado waisilamu tunasafasi ndefu sana
Sheikh yupo sawa tu. Tv zinatumika kumong'onyoa maadili ya kiislamu. Kama unataka kuyatuza basi uwe unafatilia mambo ya kheri tu kitu ambacho hakuna anayefanya.
Shekh kazungumza kheri wanye maradh razima waumie na ndio ilivyo haki
Kirin Malkin Nabisco vyenu
حفظك الله ورعاك يا شيخنا أبو الفظل قاسم مفوتا
Wallah UMESEMA KWELI KABISA ila wanaokubeza wao ndiyo failure Siyo wewe.95percent TV IMEUA UISLAM
Umeelewa dini vibaya na umewaelewa vibaya maulamaa wacha kupotosha watu mpuuzi
Ni vizur kuzuia ulimi wako kaka kuliko ulicho kisema
@@mjedamjeda4734 siwezi kuziwia ulimi wangu kwa hawa wanaofadhiliwa na wajinga bila kujijua na wanauchafua uislam saana tu
Mtama wewe mwenyewe wenda hujuwi ata kutawadha wala hujuwi ata nguzo za swala kisha unatukana ma sheikh. Asili ya mwendawazimu huwa anaona watu wazima wenye akili timamu ndo wendawazimu yeye ni mzima zingatia maneno haya wewe safiihun
Hana kitu mbabaishaji huyuu
Vip mzee baba unaelim yoyote ile juu ya haya ambayo anayoyazungumzia? Au unabwabwaja tu
Kama unaelim tupe tuongoke
Pila we yani unaongea kitu ambacho huna elim nacho
با رك لله
فيك
Shkh mtapeli tv utaki cm unataka na clip unaangalia ujitambui ulamah usuhi
ni kweli kabisa akhy
Umemuelewa kweli shekh ?? Au ndio ujinga hebu muwe mnasikiliza vizuri ndo unasema akh
Huyu kwake ameeka TV halafu clip zke nyngne eti zimekuja kueleza sababu maalum za qassim mafuta kueka TV kwake.. 😂😂. Yaan yy kueka kwake TV kuna sabb maalum
Unaushahidi Gani wewe au na wewe nimchunguzaji?wachamungu wanajulikana tu
Lawmaking Nabisco yasema
Tena mbaya zaidi Leo watu wazima Kazi Simba yanga
Ivi wakat anasoma shule ya msingi alikuaga wa ngapi darasan tumechoshwa na mafelia
Primitive communalism perspective.
Huyu sheikh ana kichaa sana.Tumkamate apelekwe milembe hospitali ya vichaa
Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh
Kwanza naomba nikupe pole kwa kutotambua nafasi ya masheikhy wa Sunnah kama Kasimu Mafuta kwenye jamii yetu, maana wengi wenye kupinga dawah ya sunnah hawana hoja za kielimu zaid ya kutoa matusi
Pili, Sheikhy hajasema TV haraam bali kasema hazifai kutokana na madhara yake kwenye familia zetu na akaonesha kutambua faida zake lakin akahitimish kwa kuonesha faida ni ndogo kuliko faida.
Tatu , Binafsi nashauri wasiomfaham vizuri Sheikhy Kasimu Mafuta dawah zake wanaenda na uvumi wa maneno yenye chuki binafsi na kuona maneno yake mabaya lakini yakitafakuliwa vizuri utaona Sheikhh hana lake zaidi ya kunusu Uislam
@@maftahyahya7709Wa’alaykums salaam warahmatullaahi wabarakatuh kabisa akhy mimi nimebadilika kutoka kumchukia enzi zile za Aboud Rogo hadi kumpenda Shaykh wetu Kassim Mafuta (Allaah amuhifadhi)
Uko sahihi kabisa ndug ang wengi hawamjui shekhe vzr na wanazuoni wengi hukataza jambo kama halina manufaaa kwa umma
Ukweli usemwe japo unauma nimekuelewa shekh
@@maftahyahya7709umesema kweli ndugu
ALLAH akulipe juu ya hilo
hii chanel ya kihizby
Naam salafiya jadida kama anavyowapotosha jadida duktur uchwala khamisi imamu mpumbavu yule
Nyie masalafiya jadida simushaingia peponi .kuliko sie masalafiyu.bado hatujaingia kwa jinsi muelewavyo majadida na munavyofundishwa na hao wajinga.kama mjinga khamisi imamu
WAISLAMU wacheni kutukanana kwasababu ya khilaaf za wanazuoni
سباب المسلم فسوق وقتاله كفر
Kumtukana muislamu ni ufaasiq na kupigana naye ni ukafiri
Tuchunge ndimi zetu
Watakuja kuulizwa mbele ya Allah na wanaotaka matv namashabiki ya mipira tu hata huku kwetu twa waona tu
Maalim tunaomba dalili inayosema television haifai kuangalia
Hahaahaa wataka dalili???Naomba utusaidie wewe amer wapi maulidi yana dalili????
Labda hukumuelewa vizuri
Rudi usikilize utaelewa tu
Hajasema kuwa shekh ni Haram Bali kasema inamanufaa kidogo na inamadhara mengi na wanaotetea tv mashabiki
Shekhe wewe hutumii simu?
Jee! Unatumia simu ya aina gani? Maana hizo nyengine ni zaidi ya TV.
Unatetea uhalali wa redio, Jee! Kwenye redio hakutangazwi mipira na kupigwa mziki?
Tena mziki wa kwenye redio ni balaa.
Nahisi hukumuelewa
Ebu rudi usikie vizuri na kwaumakini
Ukiwa na kichwa chakuelewa bas utamuelewa