UNYAMA: BABA AMUUA MTOTO WA MKE WAKE, BAADA YA KUMKUTA AKIWASILIANA NA MWANAUME ALIYEZAA NAYE...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • UNYAMA: BABA AMUUA MTOTO WA MKE WAKE, BAADA YA KUMKUTA AKIWASILIANA NA MWANAUME ALIYEZAA NAYE...
    Hamisi Fasisenga, Mkazi wa Kunduchi-Mtongani Jijini Dar, ambaye ni dereva wa malori anadaiwa kumuua mtoto mwenye umri wa miezi 6 aitwaye Ivan Keneth chanzo kikidaiwa ni wivu wa mapenzi.
    Taarifa zainaeleza kuwa, Hamisi alifikia hatua hiyo baada ya kumnasa mkewe Mima Mjogo akizungumza kwa simu na mwanaume ambaye amezaa naye mtoto huyo.
    Kufuatia tukio hilo, wanahabari wetu Richard Bukos na Issa Mnali wamefika eneo la tukio na kuzungumza na mama wa marehemu Mima Mjogo, baba mwenye nyumba Sadick Seif, bibi wa marehemu Veneranda Mpango pamoja na mjumbe Zainabu Ally ambao wamesimulia jinsi tukio lilivyotokea.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

КОМЕНТАРІ •

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 2 роки тому +20

    Asingemua mtoto. Angemwacha uyo mke na mwanae. Nitatizo kubwa hili. Mungu mkuu atusaidie sote Amen.

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 2 роки тому +11

    Dah mtoto mzuri sana ila tumuachie Mungu ndo ajuae kila kitu

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 2 роки тому +6

    Ukweli utakuweka wazi Kila kukicha hayo tunayo wenzio tunavumilia kaka.ona Sasa unakwenda jela umekosa maisha ya ulaiyani.kapumzike salama uko jela na mungu atakupa hadhabu uwezi amini

  • @agnesslyatuu8026
    @agnesslyatuu8026 2 роки тому +11

    eee Mwenyezi Mungu tusaidie waja wako. Asingemuuwa mtoto jamani. mtoto Hana makosa

  • @Amina-xc8tl
    @Amina-xc8tl 2 роки тому +3

    Aaah 😭 mackini, mbona watu wamekuwa naroho ngumu hivi,sasa mzazi kama huyu hawezi kulea mtt hata warafiki yke hata kwamalipo,mbwa sana huyu,yy ameua huyu mtt anajua kizazi yy anacho anaweza kuzalisha,mshenzi,pumbavu zake,he will pay for what he did😭😭, ALLAH kakulaani leo duniani mpk kesho akhera😭,inaumiza roho sana

  • @mwitaagness455
    @mwitaagness455 2 роки тому

    Unaolewaje na mwanaume mwingine huku una mtoto wa miez sita, jaman jaman, na Vifo vingine huwa sielewi nivya Mungu au , umeshaolewa bado una mawasiliano kwingine jamani nimelia kwa uchungu, unakatisha maisha ya mtu kisa wivu, ohoo Yesuuu

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 роки тому +1

    Subuhanallaha pole mama mungu atakutiya nguvu

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 2 роки тому +9

    Duh! Mtihan wanawake tuache umalaya kuwabambikia wanaume watoto maisha ni magum Sana mtu anahenyeka jua mvua Ila sijapenda huyu jamaa Shelia ifante mkondo wake😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @fatmamamlo7882
      @fatmamamlo7882 2 роки тому

      Sasa umalaya wanini wakati mtoto sio wakwake jaman

    • @zuwenaalamin8985
      @zuwenaalamin8985 2 роки тому +2

      @@fatmamamlo7882 Soma kichwa Cha habari au sikiliza vizuri aliam iwa mtoto niwake nakama unataka mabishano pita hiv

    • @fatmamamlo7882
      @fatmamamlo7882 2 роки тому

      @@zuwenaalamin8985 nimekisoma ila hasir hasar tukose sote mwishowe uhai wake unaishia jela sibora angemuacha to

    • @المهلهلالحراصي
      @المهلهلالحراصي 2 роки тому

      @@zuwenaalamin8985 umalaya upi tena wakati mtoto si wake mwanaume kamkuta mwanamke ana mtoto tayar

    • @jacquelineadrian6436
      @jacquelineadrian6436 2 роки тому

      Zuwena shogaangu hujaelewa🤣🤣alikuta huyo msichana anamtoto tayar ila Sasa kamkuta anawasiliana na baba wa mtoto...ndo hicho kitendo hakupendezwa nacho akamuuwa mtoto

  • @munakhamis982
    @munakhamis982 2 роки тому +5

    Innalillah wainnaillah rajion mtt hana kosa jmn😭😭na sisi wanawake jmn hii michozo haifai

  • @hanifajuma745
    @hanifajuma745 2 роки тому +2

    😭😭😭😭😭😭😭dunia simama kidogo mbona naogopa 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676 2 роки тому +1

    Subhanallah mtto anakosha gani yaani huu mtihani kwakweli bora hata angemuuwa huyo mama mtto angepata Wa kumlea lkn mtto hana hatia yyote

  • @ummuwawili
    @ummuwawili 8 місяців тому

    Yaa Rabbi nijaalie Baba watoso wangu anirejee .....😢

  • @amunikanju4342
    @amunikanju4342 2 роки тому +2

    Good

  • @ashuraissa7762
    @ashuraissa7762 2 роки тому

    Mtihani yarab

  • @prettyheart45
    @prettyheart45 2 роки тому +2

    unajua binadamu tupo tofauti saan katika kupokea jambo wanawake umalaya utatuua jmn 🙌ww unamaingzia mtu mtto wengn akil zao wana maamuz ya ajabu kma ivo kumuua mtto asonahatia chanzo ni uyo mama na sura yake mbaya hyo kainamaaa apo kma mtuu ila yye ndio atajbu kwa mung na uyo mtto atamlilia yye sio uyo baba tna pumbavu

  • @rahmakhassan2573
    @rahmakhassan2573 2 роки тому +1

    Sasa mtu kuongea na mzazi mwenzie ndo umuue mtoto jamani mbona dhambi 😢😢😢😢😢so angetafutana na uyo mme mwenzie wamaliziane😭😭😭😭😭😭😭dah nimeumia kwakweli😭

  • @narfatkarama5743
    @narfatkarama5743 2 роки тому +1

    Mungu tulindie watoto wetu na wanyama Hawa yarabi🙏🙏

    • @Awatee
      @Awatee 2 роки тому

      Amiin Yarabby

  • @florahthamson133
    @florahthamson133 2 роки тому +4

    jaman pole malaika wa Mungu hukua na hatia kabisa

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 2 роки тому

    subhanallha roho imeniuma mno mtt anakosa gani arafu mzazi mwezie asiongee nae kuhusu malezi arafu mtt bado mdogo yani nyie kuna wanaume watu wanaroho nguvu

  • @gellysemwali5113
    @gellysemwali5113 2 роки тому +6

    jamani mtoto anakosa gani? daaah uuwiiiii maraika jmn😭😭😭😭

  • @vailetiludovickkweka6611
    @vailetiludovickkweka6611 2 роки тому

    Bora mm lie kaaa pembeni nakusem mungu Afanye njia cyo kupelek mtoto fek

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 роки тому +4

    Angeachana nae tuu japo inauma

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 роки тому

    Nashukuru wakwe zangu nlikaa uzazi miezi 6 hata huyo mwanaume hajawahi fika chumban kwangu maongezi yetu na kumwona mtt viliishia sebulen jaman wanawake tuacheni kuhangaika kama umempata wakuzaa nae tulia nae wanaume hawana roho yakuvumilia huo ujinga ona sasa malaika wa Mungu ameuliwa bila hatia kwa tamaa za muda mchache na wivu tu😭😭😭

  • @shamsakarimu6276
    @shamsakarimu6276 2 роки тому

    Jamani jamani mungu akupe kinacho stahiki

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 2 роки тому +1

    Jamani Wanawake tuache kuwabambikiza Wanaume Watoto ambao sio wao.pia huyu mwanaume asingemuua Mtoto , mtoto hana kosa angemrudixha mkwewe kwao..

  • @ummuziana5723
    @ummuziana5723 2 роки тому

    Innali LLahi wainna illayhi rajiun Allah awafanyie wepes

  • @camillahamis1069
    @camillahamis1069 2 роки тому

    Huyo Malaya nae kazidi khaa anasababisha mtt kuuliwa Hana hatia 😭😭 kosa la mama jamani khaa dunia hii inaisha

  • @hizamwaimu3918
    @hizamwaimu3918 2 роки тому +7

    Ivi mtu ulee mimba badae mtoto hadi miezi sita baadae uje usikie mke anaongea na mwanaume kua mtot so wako ...daa inauma sana ...ila kua SI busala

  • @lovenesslyimo763
    @lovenesslyimo763 2 роки тому

    Ee Mungu alale mahali pema peponi huyo baba jela maisha jamani hivi mtu ukiwa unanyonyesha ukaolewa na mwanaume si baba yake inakuaje

  • @arafakhatibu4035
    @arafakhatibu4035 2 роки тому +2

    Daah😭😭😭mung tunusuru

  • @emmiearon4652
    @emmiearon4652 2 роки тому

    Mungu maraika wa Mungu kafanya nn mambo ya mapenz hadi kwa mtoto jamani anakosa gani mtoto we mwanaume Mungu anakuon

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 роки тому

    Mtihani

  • @sylviermuhonjah8411
    @sylviermuhonjah8411 2 роки тому

    Tamaa za mwanamke amepotezata mwanae ,,vivu na hasira zimemtia jamaa ameishia jela,

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 2 роки тому +3

    Innalilah wanna ilah lajihun

  • @muharas0059
    @muharas0059 2 роки тому +4

    wanawake malaya san ahhhh

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 роки тому +1

      wanaume malaya. mbwa hasa hawa wenye malory dala dala makodkita ni hatariiiiiiiiiiii ndiooo wanaoenezanga ukimwi mikaswende visonono

    • @ciarmnyone738
      @ciarmnyone738 2 роки тому

      We mwenyew Malaya mbuzi weee

    • @muharas0059
      @muharas0059 2 роки тому

      kondooo wa yuda weee

  • @salomemchewa5187
    @salomemchewa5187 2 роки тому +2

    Likafungwe, hilo janaaume.

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 2 роки тому +2

    Mtoto anakosa gani mpaka anamuuwa jamani.kwanini wasingemuu huyo mama

  • @alibushiri4725
    @alibushiri4725 2 роки тому +3

    Yote hyo mwanamke ameyasababisha mung anawaona

  • @nasriabdi9046
    @nasriabdi9046 2 роки тому +1

    hiyo sound ya mwanzo muitoe inakera bhna

  • @nasrahamisi9266
    @nasrahamisi9266 2 роки тому

    Dah jamani vifo vimezidi sana Tanzania 😭

  • @aminamauhfoda9201
    @aminamauhfoda9201 2 роки тому

    Allah akbar

  • @keithapeter7854
    @keithapeter7854 2 роки тому +3

    Kiukweli inauma sana kwa kulea mimba ambayo si yako huku ukijua ni yako kilichompa hasira kwa huyo jamaa ni maumivu ya mapenzi pamoja na ugumu wa maisha

  • @osamaalharthy4150
    @osamaalharthy4150 2 роки тому +1

    Innalilah wainna lilayhi rajiuun

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 2 роки тому +2

    Mbon mambo yamekuwa iv tz nn shida na mwenzi mtukufu hu watu hawamuofi hata Allah jmn shetani amefungwa minyororo sasaiv sasa nn kinawasababisha..km yule arie mua mtto wa mdgo wake nadia

  • @letciamapunda8428
    @letciamapunda8428 2 роки тому

    Wanaume saivi wamepatwa na ukichaa tuwe makini wanawake Bora kuishi mwenyewe

  • @juliethgabriel4537
    @juliethgabriel4537 2 роки тому +1

    Maskini wee! inauma lkn baba usingemuua mtoto! sasa utaenda kusota jela wenyewe wataendelea na raha zao

  • @eddytheophil7626
    @eddytheophil7626 2 роки тому

    So 😭😭😭 sad..

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman2200 2 роки тому

    SubhanAllah

  • @lissacosmas6978
    @lissacosmas6978 2 роки тому +1

    ndo shida yakuolewa ukiwa hujamaliza kudanga kama unanyege za kuku si tumie majira jaman

  • @BINTIwaKITANGA
    @BINTIwaKITANGA 2 роки тому

    Inna lillah wa Inna ilayh rajiun 😭 sijui niseme nini Kwa hili

  • @rehemamlaponi1580
    @rehemamlaponi1580 2 роки тому +1

    Mtoto hana hatia ww mama mbaya umponza kiumbe asie na hatia

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 2 роки тому +1

    Ka mbona nimambo ya ajabu sana

  • @Pastorbarakamwanjala
    @Pastorbarakamwanjala 2 роки тому +1

    Ktk harakat za kitetea utu .

  • @sosoalsos9912
    @sosoalsos9912 2 роки тому

    Wanaume mkona shda gni jmni ukipenda uwa penda na boga lake kma utki huyo mtto ugewachana na huyo Mama na mtto wake

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 2 роки тому

    Hilo limama ni limalaya sn! Umalaya wako umefanya mwanao kuuwawa! Hilo dune nalo likafie jela.

  • @Wiseoneclassic
    @Wiseoneclassic 11 місяців тому

    Wanawake mnatuletea matatizo sio wote wenye moyo wa kuvumilia hivi

  • @siwemamichael690
    @siwemamichael690 2 роки тому

    kilanga komoo tamaa kutaka matumizi sehemu mbili

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 2 роки тому

    Ila cc wanawake jmn hebu vitu vingine tuvipunguzage wenyewe,bara unataka na pwani unataka,ona Sasa amesababisha madhara kwa kiumbe kisicho kuwa na hatia,amua kukaa na mmoja bc.

  • @omarysadiki9923
    @omarysadiki9923 2 роки тому

    Angemuua mama mtoto,. Mtoto Hana kosa

  • @annastevensteven9515
    @annastevensteven9515 2 роки тому +1

    Sas uwo kak nibora tu angemfukuza uwo.dada aende.na.uwo.mtoto kwa.uwo bwana.kuliko kumkatisha maisha.kiumbe.ambacho.hakin.hatiya jamani

  • @gabrielaugustine1999
    @gabrielaugustine1999 2 роки тому

    Mbona watu tumekua na roho za kikatili? Naomba selekali itoefundisho kwa huyu mtuhumiwa

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 2 роки тому

    Kuna limbwajike nalo lilimbambikizia mwanaume mtoto,cha kushangaza,litoto kuzaliwa kafanana na jamaa mwingine,yaani utafikiri baba na mtotoni mapacha.Hilo Dada ni aibu.

  • @aginessmgaza9899
    @aginessmgaza9899 2 роки тому

    Dunia😭

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 2 роки тому +1

    Hivi wanawake mwalimu wetu alikufaga na kifafa au wwe mwanaume alikuacha umepata mume anakupa huduma unaanza kurudi kwa wazamani kama unajua mnapendana na huyo wazamani kwanni uanzishe mausiano mengine

  • @aishahusseni3352
    @aishahusseni3352 2 роки тому

    Apo tujifunze wakina mama mtoto anakuaje na wababa wawili jamani nimeshawai kuona mtoto ana makadi mawili anakula uku na uku dah ila asira hasara kaka hela inakuusu ungejua ungejukataa

  • @zulfaomari2045
    @zulfaomari2045 2 роки тому

    Mngu wangu huyo baba anyongwe

  • @hassaniidrissa5916
    @hassaniidrissa5916 2 роки тому

    Innalilahi wainna illaihi rajiun) biayi dhanbi qutilati😭

  • @josephkapinga652
    @josephkapinga652 2 роки тому +2

    Dereva wa malori wakubali hizo changamoto ya kusafiri muda wote, kwa miezi hivyo angefahamu changamoto hizo zingekuja na jinsi ya kukabiliana nazo

  • @ruu6592
    @ruu6592 2 роки тому

    Tz imekuaje

  • @angelageofrey9756
    @angelageofrey9756 2 роки тому

    Sasa kwanini amuue mtoto jamani nadhani Sio mzima huyo jamaa na we mke achana na huyo mume kweli

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 2 роки тому

    Sasa utamuoaje mwanamke mwenye mtoto wa miezi 6 bado ananyonyesha. Yani ulimtongoza vp?

  • @dhabiyaalawi3024
    @dhabiyaalawi3024 2 роки тому

    Sasa kwani huyo ndio amie huyo mwanamke sababu mtoto anamskosa gani katili mkubwa asiachwe apewe adhabu inayostahiki muache huyo mwanamke na wewe utapata mwanamke mwingine lkn kimya mtoto ndogo huo mnyama mkubwa

  • @fatumajumanne3529
    @fatumajumanne3529 2 роки тому

    Wanawake 2we na mcmamo bla ya hvyo 2tapoteza wa2 wanao2saidia na kuwapenda 2jtahd kuwa wa kwel Co unampa m2 mzgo wa kulea kiumbe kccho chake alafu krahc unamwambia mtt c wake MUNGU akutie nguvu dada ktk kpnd hko kgumu.

  • @mmn7480
    @mmn7480 2 роки тому

    JAMANI NCHI YETU INA NN MBONA MATUKIO AYA YMEZDI JMNI😭😭😭 MAPDRI NA MASHEH TUOMBENI JMNI MAAN TUNAPO ELEKEA SPO SIJUI KUNA NN KIMEKUJA KIBAYA KWENY NCHI YTU

    • @mariammakengwa4551
      @mariammakengwa4551 2 роки тому

      Nchi yetu Haina vita ila wameamua kutuletea shetani mbaya tuuwane sisi kwasisi Ili tupungue duuuh mwenyezi mungu atunusuru jamani

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 роки тому

    Aya wamama wenye mtoto aliye na baba zaidi ya mmoja kilio kiko njiani

  • @shaby988
    @shaby988 2 роки тому

    Wanawake mafara sana ndo wanao tuhalibia maisha

    • @ciarmnyone738
      @ciarmnyone738 2 роки тому

      We unatukana mwanamkee una laana kwelii ....Anziaa kwenu kumtukana mama Mana yy ni mwanamke piaa

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 2 роки тому +1

    Huyu jamaa afungwe na huyu mwanamke afungwe pia maana wote chanzo Cha mauaji ya huyu mtoto inauma Sana unalea mtoto unajua wako kumbe mama ake mayala kazaa na mwaume mwengine ila jamaa angedili na huyu mwanamke mtoto kamuonea bure umalaya ni kitu kibaya Sana yani umeolewa na bado unazaa na mwanaume mwingine duh na eti unawasiliana nayo kabisa mpumbavu wewe haya ona Sasa umesababisha mtoto asie na hatia anyongwe

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 2 роки тому

      Mmh balaa kwakweliii

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 роки тому

      hata wao au yy dereva wa malor ni malaya mbwa mbwa

    • @ciarmnyone738
      @ciarmnyone738 2 роки тому

      Hkuna mty ambayee sio malayaa ni swala la mda TU na kucheza na Akili ya mwenzioo

  • @ziadakisanga1011
    @ziadakisanga1011 2 роки тому +2

    Duuuuu

  • @theafricaiknow6615
    @theafricaiknow6615 2 роки тому +2

    Mtoto ana kosa gani? 😭😭

  • @khadijagapo6517
    @khadijagapo6517 2 роки тому

    Angemuua huyo mwanamke tuuu

  • @saedyabdalah9869
    @saedyabdalah9869 2 роки тому

    Sasa mwaume unasafiri miezi unategemea kitatokea nin? Jamaa angekubari matokeo tu kalea mimba sasa maraika yure hana kosa angemuacha mwamke ila sio kuua mtoto sheria ifuate mkondo wake

  • @saedyabdalah9869
    @saedyabdalah9869 2 роки тому

    Wanawake wanacheza fauro xana jirekebixhini

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 2 роки тому +1

    Jaamaaanii

  • @josephkapinga652
    @josephkapinga652 2 роки тому +4

    Jamaa mbona ana wivu wa kijinga, bora angejikataa tu.

  • @chantaltulizo5029
    @chantaltulizo5029 2 роки тому

    😭😭😭😭😭😭

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz 2 роки тому +1

    Mtoto hana hatia

  • @reginapiusi6750
    @reginapiusi6750 2 роки тому

    Sasa hapo mtoto anakosagan jaman

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 2 роки тому

    Hamtuliii wanawake kwenda luolewa na mtt mchanga watakia nn? Kwann usimlee kwanza had miaka kadhaa kisha uwanze hizo hekaheka za wanaume? Ona sasa mwisho wa siku unakosa vyooooote

  • @jamesponeca8912
    @jamesponeca8912 2 роки тому +3

    Wanawake badilikeni,huku unataka uolewe,huku unataka uzae,na huyo,muwe mnaamua moja,Kunawanaume wengine wajinga,anaweza kukua hata wewe Mwanamke,iweni wakweli.

  • @magrethndambo7684
    @magrethndambo7684 2 роки тому

    Sasa mtoto kosa lake nn inaumiza

  • @fatmaabasi5262
    @fatmaabasi5262 2 роки тому

    SS amepata nn anaenda Kua chakula Cha nyapala ni ujinga.

  • @hamadiseleman2204
    @hamadiseleman2204 2 роки тому

    Wanawake ukipata mtu kama unamtoto wa mtu uwe muwazi

  • @kudratsaburi7386
    @kudratsaburi7386 2 роки тому

    Tanzania kipimo cha DNA kikiwa elfu 50 asilimia 90 ndoa zawatu zina kufa maana sikuizi imekuwa to much wanawake kumbambikia wanaume watoto inabidi wanaume wawe makini sasa wachukue maamuzi mapema mtoto akizaliwa tu unafanya DNA iyo itafanya wanawake waanze kuogopa 😳

    • @ciarmnyone738
      @ciarmnyone738 2 роки тому

      🤣🤣🤣Eeeeh we ndo utaogopa sio mwanamke aliyezaa mwanaeee

  • @saedyabdalah9869
    @saedyabdalah9869 2 роки тому

    Wengine ubushoke tumezoea

  • @clementiddi5708
    @clementiddi5708 2 роки тому +1

    Pumbavu si mwanaume halisi.

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 2 роки тому

    Mtto hana hatia kwann amtoe loho mtto amemzurumu nafsi yake jmn si angedai galama tu sio kutoa loho maraika

    • @husseinissa7118
      @husseinissa7118 2 роки тому

      Sio angedai gharama bora angemuondoa huyo mwanamke kwani wanawake wa sasa hawatulii kwenye ndoa zao wanakubambikia watoto kumbe sio wako ww unateseka bure kuwalea lkn kwa kumuua mtoto hapo kakosea wanastahiki wote waende jela

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 роки тому

      @@husseinissa7118 hakuna binadam malaya kma wanaume tena usiombe ukapata hawa wa malor dala dala makodkita ukae ukijua utakufa kwa magojwa ya xinaa

    • @husseinissa7118
      @husseinissa7118 2 роки тому

      @@heyumi2340 hakuna mwanaume malaya bali mwanamke ndio anaweza kuwa malaya haujui kuwa anatumia gharama kiasi gani kukuoa,gharama za kukulisha,kukuvisha na kodi za nyumba ww mwanamke unatoa nini zaidi kumsaliti mtu anayekuhudumia for everything na shukrani zenu kuzaa nje ya ndoa

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 роки тому

      @@husseinissa7118 hahaaaa kwani kuna mty anawatuma muoe au tupu zenu wanaume ni malaya malaya mbwa na hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja hayupo kabisa hapa dunian tunawajua sana tena vijiwanaume vyenye kushika vijisenti ni malaya hata nyani ana nafuu kuoa shilingi ngapi mahar yenyewe hata milion ni mtihan etiiii huduma kwa huduma hasa kwa mfano

    • @husseinissa7118
      @husseinissa7118 2 роки тому

      @@heyumi2340 hahahaaa kisaikolojia inaonekana umeachika kwenye ndoa zako na shida kubwa mnataka kushindana na mtu aliyekabidhiwa na wazazi wako akumiliki lkn unakuja kujifanya na ww ni muhimili mwingine na maagizo ya mungu mume anaruhusiwa kuwa na wake wengi lkn mwanamke haruhusiwi kuwa na mume zaid ya mmoja shida mlishawahi kuzungumza na shetan na atujui mliongea nini ?

  • @salomemassawe
    @salomemassawe Рік тому

    hivi una mtoto wamiezi sita unaolewa hawa watoto wakike hawana akili kabisa

  • @jacksongidion5170
    @jacksongidion5170 2 роки тому

    6

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews 2 роки тому +3

    Anyongwe na yeye

    • @abdillahmngoya4681
      @abdillahmngoya4681 2 роки тому

      Anyongwe nani sasa? unajua maumivu ya kupigiwa mimba mke?

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 2 роки тому

      Hapo anyongwe mwanamke tu Malaya aliepitiliza huyo

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 роки тому +1

      @@abdillahmngoya4681 mahar bei gani mnatoa mpka useme etiiii uchungu wa mke na alomzaa nae atasemaje wanaume bwana eti mke hahaaaaaaa

    • @abdillahmngoya4681
      @abdillahmngoya4681 2 роки тому

      @@heyumi2340 haya bhana naona umejitetea

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 роки тому +1

      @@abdillahmngoya4681 hakuna mwanaume yoyote anayejua uchungu wa mke au mtoto uchungu wenu labda kwenye kutafuta pesa na c mke pia mwanaume huwa hana upendo bali anataman tu mwanamke akpata bac anaangalia tena sehem nyingine tunawajua sana sana

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 2 роки тому

    Wanawake mnatupa majaribu sana nyie,dah!!