BAHARIA BALOZI:NILIAGA KIAINA MTAANI/ NINGETOSWA BAHARINI/SOKA LIKANIOKOA/KOMBE LA DUNIA!/BASTOLA.14

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #baharia #safari #dupamdupange

КОМЕНТАРІ • 32

  • @dar24media
    @dar24media  Рік тому +8

    kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na jumatano saa nne kamili asubuhi, kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kupitia namba #0653127761

  • @Kiwambakiwamba
    @Kiwambakiwamba Рік тому +1

    Kipindi kizuri sana napenda sana story yake pia nimejifunza mengi kutoka kwa Baharia balozi lakini sauti ipo chini sana mjitahidi kidogo kuongeza sauti big up Balozi

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Рік тому +4

    South Africa people is giv you big up bahalia ww jembe sana

  • @athumaniomary1245
    @athumaniomary1245 Рік тому +2

    Nakubali shoo nakubali shooo

  • @Byme6434
    @Byme6434 Рік тому +2

    Nimeipenda hiyo Selfcontrol ❤

  • @emmanuelsanga4836
    @emmanuelsanga4836 Рік тому +6

    Dar 24 ikiwapendeza mchukueni huyu jamaa balozi mpeni segment wawe na dupa wawatafute mabaharia wawe wanawahoji

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Рік тому

    Big up sana mkongwe maisha safalindefu

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Рік тому +1

    Nic story

  • @kwilasajunior5367
    @kwilasajunior5367 Рік тому +1

    Hii irudiwe🎉

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Рік тому +1

    Final episode hii, pamoja sana

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Рік тому +2

    Aisee hiyo mbanga ya kwenye teaser nayo itakuwa balaa

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 Рік тому

    Hii ya jambazi tunaisubiri sana

  • @biglizer
    @biglizer Рік тому

    Kabinyau nakubali masta npo leo Acha nmsikilize mshua wa ikwiriri kwa manjengu😂

  • @africatanzaniatours
    @africatanzaniatours Рік тому +2

    Tuwekee number ya balozi ndugu mtangazaji

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Рік тому +1

    Kwel hiyiii story ww utaishii sana kama ulishii mzansi ukachola 26 wengi kama ww hawawezi ishii 10 years ndio mana unatunia unachola vijana wanae jifanya mitamboo

  • @GodwinMbowe-ju7rc
    @GodwinMbowe-ju7rc Рік тому

    Huyu namjua kabisa Muongo

    • @shadiidinyo1657
      @shadiidinyo1657 Рік тому

      Nenda na wewe ktk kipindi uongee ukweli

    • @luogafrank3205
      @luogafrank3205 Рік тому

      Umemfahamu vip angalau utuambie kidogo nini amedanganya hapo utusanue

    • @GodwinMbowe-ju7rc
      @GodwinMbowe-ju7rc Рік тому

      @@shadiidinyo1657 huyu Wala hasumbui ni nuongo ngoja nikuonyeshe kwenye video mem alafu nakutumia utaona

  • @husseinjarufu5047
    @husseinjarufu5047 Рік тому

    umesahau kumuliza still bado ana mawasiliano na arafa...

  • @mwanaishasaleh8327
    @mwanaishasaleh8327 Рік тому

    Mawani kidogo hata vua kidogo tuzione mboni

  • @zenanassor7118
    @zenanassor7118 Рік тому +1

    Hii ya ujambazi lini itayoka!😂

  • @rashidyrashidy3923
    @rashidyrashidy3923 Рік тому

    🔥🔥🔥🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kilogreek4050
    @kilogreek4050 Рік тому

    HINAWEZEKANA UKAKAMATWA NA NAMBA BILA KUFANYA TUKIO UKAFUNGWA????🇹🇿🇬🇷

  • @RamlaJuma-rz3rl
    @RamlaJuma-rz3rl Рік тому

    Nipeni number jaman

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Рік тому

    Kabinyau sijachoka kumskiza