Wanakula raha raha gani sasa mana hawalali kwaraha mchana wao hawana raha usiku hawana rahana tabasam lao wakikutana nawatu lakini wakikaa pekeao wanamawazo mengi sana hawa bora hata anae pata shiringi 1000 kwa siku anapata usinginzi mnono kuliko hawa
Jamaa mjinga WA kuelewa na kichwa chake kigumu Sana...alitaka utajiri kashapata kafara hatki kutoa umaskini nao Hautaki ......sasa tukufanyeje am tired wallah watkaje mwanadamu🤦🤦
@@shijandobehe4953 yani ndg me ile misanamu yadukani naiogopa balaa hapa jana tumekwenda dukani nilikua sijaliona kumbe limezibwa nanguo yani nageuka hivi naona kama mtu anapepesa macho weee duka zima walishangaa mikelele niloitoa nipo chini natetemeka balaa hadi nilokwenda nae hanitaki tena
@@shijandobehe4953 😅😅😅😅ndg wee usione misanam yote iliopo madukani ukajua nimisanam mengine majini nahiyo yajana sio mara ya kwanza jana kama mara ya 3 napiga kelele hasa sijui natatizo gani sijui ninae kichwan
Davista kuna wengine wanasimulia stori za kawaida sana ila unawaulza maswal mengi sana Ila huyu jamaa story yake nzuri na huulizi maswal kbs Au tusibiril mwisho? Kama hapo kuna mavazi yao wanavaaga mavazi gan? Kama yale ya freemason tunayoyaona au? Uko ni wapi ujinini au wapi? Huyu dada kwa wakat huo ni mzur sana au anaumbo lile la kijini kama yule tamath yule wa kwanza
Huyu binti n yule jinü mahaba yule wa mzee Hasan wa pemba hajatoka badoooo❤❤😂😂
Nan kagundua
Kaka ni msafi sana,toka akiwa dereva lazima aoge,,sahii tuko episode 20 bado hasahau kuoga,umetisha sana kamanda
😂😂😂😂😂
Kumbe mnakula raha duniani mwisho wa siku mnakwenda kulipa pesa mlizozitumia duniani 😢kuzimu mungu tusaidieee na vizazi vyetu visiingie na tamaa hizi🤲
Wanakula raha raha gani sasa mana hawalali kwaraha mchana wao hawana raha usiku hawana rahana tabasam lao wakikutana nawatu lakini wakikaa pekeao wanamawazo mengi sana hawa bora hata anae pata shiringi 1000 kwa siku anapata usinginzi mnono kuliko hawa
Sanaa,msikilize wamayo
Waaaaa
Exactly
Hakuna Cha bure mpaka kuzimu
asante Sana kaka kwa kazi kubwa hakika mungu akubariki sana nimejifunza mengi kutoka kwako
Mungu tusaidiye wanao
KWA HAKIKA HAKUNA RAFIKI KAMA YESU
Nimafunzo mengi sana kupitia simlizi hii. Mungu atusaidie ila nikwa sisi kutubu dhambi zetu
Hii sasa inaelekea kuwa ISIDINGO 😢 au Chakori 😂😂😂
Wale wanaochaguwa wanaume wenge pesa na amtaki kutafuta zenu ndio ivyo
Ukaribu yako na jini ni karibu sana kuliko ukaribu yako na mungu?? Umaskini sio kilema Bora amani mungu mbele
Waaah! Dunia ina mambo.. duuuh. Kweli usitamani mali ya mtu kwani hujui kaipataje
Nakwambia kwa familia pasije pakaingiwa na mtu wa tamaa za pesa mbona atawaangamiza nyote
Sasa kwanini usikate mkono wako mwenyewe kwani Baba yako alikutuma😢
Nikifungo hiki
Huyu kaka ni msafi pia anapenda kuoga sana 😂😂
usafi sio kuogaa tu😂
😃😃😃😃 my people
@@NM-yl2uw kumbe
Tuko na wewe mpka umkate dingii mkono 😂
😅😅😅😅
Mmmh una roho mbaya😢
😂
Jamani...
😂😂😅😅
Jamaa mjinga WA kuelewa na kichwa chake kigumu Sana...alitaka utajiri kashapata kafara hatki kutoa umaskini nao Hautaki ......sasa tukufanyeje am tired wallah watkaje mwanadamu🤦🤦
Mungu wangu tushukuru vidogo tulivyo navyo iyi inanifanya niwaokope matajiri
Kweli hamna Cha bure chini ya jua
Watatu leo❤❤❤
Jaman pesa hizi ndugu zangu emu tujaribuni kuridhika na hali zetu tulivyo navyo
😢😢tukule nyama ya shemeki ??ni kama duniani akuna chakula ?kimbiliyo ni YESU tuuu !
Hii Simulizi ni ya Wamayo Season two😅
👊✌🙏.
Ila unamoyo wee mkaka unapiga stry najini akati me nikiona hata ile misanam yadukani nahisi kufa
😂😂😂 chezea pesa wewe unasema kupiga nae story tu wengine wanaoa kabsa
@@shijandobehe4953 sianakuja kwa njia yakibinadam ivi unazani akija kimaumbile yake wee utajikuta ushaa zimia mimavi mkojo vyote kwapamoja vishaa changanika
@@shijandobehe4953 yani ndg me ile misanamu yadukani naiogopa balaa hapa jana tumekwenda dukani nilikua sijaliona kumbe limezibwa nanguo yani nageuka hivi naona kama mtu anapepesa macho weee duka zima walishangaa mikelele niloitoa nipo chini natetemeka balaa hadi nilokwenda nae hanitaki tena
@@kalssambaboo9932 😂😂😂😂😂 pole Sana jaman ukazani ndio majini eeee
@@shijandobehe4953 😅😅😅😅ndg wee usione misanam yote iliopo madukani ukajua nimisanam mengine majini nahiyo yajana sio mara ya kwanza jana kama mara ya 3 napiga kelele hasa sijui natatizo gani sijui ninae kichwan
Mama wa mikono mitatu,Yani apo tu mm ndo pananitosha,uyo mm amekua kama kituo Kila sentesi yupo😂😂
Matajiri wa mchongo.
Namba mbili😂😂😂
Huyu jamaa ana tamaa kweli
Mzee wa Kuoga 😂😂😂
Ila jamaa anaujasir sana kaish n majn had kayazoea
Huyu kijana ako na tamaa mludie Mungu 😢
Kumbuka akisema haya ni malipo maana babake alisubua Kijiji Kwa utajiri wake
@@JaneDoe-hf3zy ah, 😮😮
Chande
acha tamaa wende kwa Yesa utapona na utapata kila kitu
Pesa zinamtesa sana akuna amani ndani
Tamaaa mbaya sana
Funzo ni kuridhika na unacho
Huyu mdada ni kama jini Taitas
Mmmh hizi hela za majini ni hatari sana😢😢
Hamna hatari mbn Bata sana
Lwanda magere mbn alikula Bata sana tyu
Wapilii😂😂
Nataman kujua uliponaponaje na hiyo jeuri uliokuwa nayo mpaka leo uko Hapa unasimulia mkasa
Mambo yanakuwa mabaya kweli eti watajili wamekula nyama ya shemeji munguwe tuepushe na tamaaa ya pesa😭😭😭
We Kaka Mbona unatuumiza
Yaani mkeo ameenda kweli?
Na bado unasafirisha you’re mum ili umshugulikie baba ako 😭😭?
Waaaaaiii uyu kaka anamoyo mgumu sana ghaiiiiiii
Wadada mnaotaka kuolewa na matajiri kuweni makini
Mimi naenda kuolewa kanisani matajili basi tena 😂
goood sansaa
Nimeona msos davisita tukaribisheeee
Basi mm namba 0
Davista muendelezo please
Bora ungelala na huyo jini,kuliko kutoa mkono wa mzee wako na wa mkeo
Lingemsumbua maisha yake yote
@@leaherasto929bora lingemsumbua yeye maana yeye ndio alieyatafuta ila mke na baba wakapona
😂😂😂 nasubil kuskia amenusulik kufa
Ila unapenda kuoga jaman😜😀😀
Kumbe umeona kama mimi 😂
Mwanakulitafuta mwana kulipata
Chande
Mi jamn sauti tu ya huyu kaka inanitesa san nimeipnd mno
Hahahaahaahaah
Hata mm msimuliaji nimempenda kichizi
@@vicksanga9958 au ndio mashetani yamesha kupenda
Nitafute mie tumefanana nae kwa vitu vingi hadi lafuz na mengi zaid
Katolewe huko😅
Kwani si huyu kaka alisema mama mkwe alifariki imekuaje tena anamchukua mtoto hapo amejichanganya.
Umeonaeee , alafu Davista hata amuulizi
Labda baba mkwe alioa mwingine
mi nakumbuka alisema mama mkwe ndiye alifariki
Aliefariki ni baba mkwe sio mama mkwe
Kaka unamisimamo ilaa akil hunaa kwel mungu akupi vyote....🙄
Don't judge someone, kwenye haya mambo Kuna kufungwa ufahamu pia,
Kwahio ina maana mkeo kachukuliwa mbona alizembea hakuomba
Davistaaaaaaaaaaaaaa
Unabishana utadhani unabishana na mkeo. Pole sana
Wa kwanza leo
Nime chelewamo jamoni ila tuko pamoja
Jamaa mgumu sana kuelewa kwani angekubali kuishi naye kama mke kuepusha mauaji na madhara mengine ingemgharimu nini?
Nimefikamo
😂😂😂😂😂😂😂
Sasa siungekata wakwako iliujuwe maumivu
Davista kwenye hicho kikopo umeweka mbege
😅😅😅😅
Mama mkwe sialifaliki mpaka ukaenda choon😢
aliyefariki ni babamkwe
@@NM-yl2uw kumbe
Alie fariki ni mtoto
Yote haliyataka mwanamke
3 hands mama is full of crap eti mkono wa mtoto wangu inaumiza wen shes demanding hands nkt🙄
English 😂😂😂😂😂yako hatuilewi, ongea kiswahili tu😂😂😂
uyo binti tembeanae tu usiogope
Uhondo
Story ya kutunga huyu jamaa anaesimulia hii story kajirudia
Leta yako
Wanadam bhana unafkir kalazimishwa kuiskiliz
@@happyatonga2618 m@t@ko yako
Davista kuna wengine wanasimulia stori za kawaida sana ila unawaulza maswal mengi sana
Ila huyu jamaa story yake nzuri na huulizi maswal kbs
Au tusibiril mwisho?
Kama hapo kuna mavazi yao wanavaaga mavazi gan? Kama yale ya freemason tunayoyaona au?
Uko ni wapi ujinini au wapi?
Huyu dada kwa wakat huo ni mzur sana au anaumbo lile la kijini kama yule tamath yule wa kwanza